OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Kweli kabisa, na ni kila wakati na ndio asili yake.Mungu ni mwema mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa, na ni kila wakati na ndio asili yake.Mungu ni mwema mkuu
Ameeeeeeen ktk yeyeKweli kabisa, na ni kila wakati na ndio asili yake.
Maelezo ya kina mkuu. IlikuwejeMoto ulikua unawaka katika majiView attachment 2338252
Hapa naona kuna usanii tuMoto ulikua unawaka katika majiView attachment 2338252
Duniani wachawi wanatutesa sana hii kitu tumeifukua nyumbani kwangu inasikitisha sana .
View attachment 2337247View attachment 2337248
Ndio. Sana tu. Wajinga ndio waliwao.Hapa naona kuna usanii tu
Hapo mlikuwa mmefungwa minyororo ya kichawi . Mtakua mmepitia mengi sana Kama familia. Anza kuunganisha dots utaelewa zaidi. Poleni sanaDuniani wachawi wanatutesa sana hii kitu tumeifukua nyumbani kwangu inasikitisha sana .
View attachment 2337247View attachment 2337248
Ujumbe ndio huoDuniani wachawi wanatutesa sana hii kitu tumeifukua nyumbani kwangu inasikitisha sana .
View attachment 2337247View attachment 2337248
Nakuunga mkono kwa asilimia zote, ulichosema ni ukweli mtupu tunapigwa sana na hawa jamaa hakuna lolote hapo ni jamaa tu anajifanya kula kiulaini pesa za watu nimeshashuhudia hii kituHuo Ni uhuni Kama uhuni mwengine, Kama ulileta mtu kuja kuagua familia yako Basi jua kakufanyia uhuni,
Huo ni uchafu tu, mikwara ya kishirikina, hakuna cha kuweza kukudhuru ikiwa hutaweka hofu yoyote na huo uchafu.
Chukua mafuta taa na kiberiti vichome moto kisha endelea na maisha yako.
Nipe unywele wako basi.....Uchawi ni imani yako tu
Nitafute Jmos naenda for hair cut, utasomba nywele utakazoNipe unywele wako basi.....
Mkuu; ungelituwekea ni Kwa mujibu wa sheria ipi ( Nukuu hiyo sheria)..........plz.Ujumbe ndio huoView attachment 2339926