Duniani wachawi wanatutesa sana hii kitu tumeifukua nyumbani kwangu inasikitisha

Duniani wachawi wanatutesa sana hii kitu tumeifukua nyumbani kwangu inasikitisha

Huo ni uchafu tu, mikwara ya kishirikina, hakuna cha kuweza kukudhuru ikiwa hutaweka hofu yoyote na huo uchafu.

Chukua mafuta taa na kiberiti vichome moto kisha endelea na maisha yako.
Unaongea sababu ujui unachoongea
 
Moto ulikua unawaka katika maji
20220828_181730.jpg
 
Wazee wa vifungo,wazee wa vifundo,wazee wa kuzibia watu rizkibwapumbavu sana hii jamii. Unakuta mtu anaewasaidia huyohuyo ndio wanamuangamiza.
Almanusura nichinje mtu,wanaudhi saana.
Wanaharibu mahusiano ya watu na familia nyingi.
Ndoa nyingi kuvurugika chanzo ni haya mashenzi yaitwayo machawi haswa ngazi ya ukoo kuna watu mambwa sana.
I hate.....
Kama hayajawahi kukufika piga kimya,songa mbele.
 
huyu mganga wa kienyeji anataka msema, amefukuaje ili aseme kuna mganga mzuri toka sumbawanga, na hapo itakuwa ni tiketi ya kupiga watu. kuweni makini, kafungafunga matambara hapo anajifanya uchawi umetolewa.
 
Huo Ni uhuni Kama uhuni mwengine, Kama ulileta mtu kuja kuagua familia yako Basi jua kakufanyia uhuni,
Nakuunga mkono kwa asilimia zote, ulichosema ni ukweli mtupu tunapigwa sana na hawa jamaa hakuna lolote hapo ni jamaa tu anajifanya kula kiulaini pesa za watu nimeshashuhudia hii kitu
 
Kwani unakuwa unajua kuwa una dhurika?
Unaona tu Mambo hayaendi kumbe watu wamefukia vitu
Huo ni uchafu tu, mikwara ya kishirikina, hakuna cha kuweza kukudhuru ikiwa hutaweka hofu yoyote na huo uchafu.

Chukua mafuta taa na kiberiti vichome moto kisha endelea na maisha yako.
 
Back
Top Bottom