During sex: What is your favorite song to hear?

During sex: What is your favorite song to hear?

mabhula ale na nkima unge,kamlibhalongo..
goodmorning sezae
Umeona eeeee?

Kamlebalongo kwiza kole nkima one mwinwa masangu mong'wela na mihayo! Mabhula ele na nkima onge kah mlebalongo koleng'wamba!

Cc mwallu
 
Hahhaaa u have made my mornng kwa kweli.
Yaa. .. alafu uzuri ni kuwa huu wimbo unafika mahali unakuwa na kama pozi hivi... hapo mnachenji style. ... kisha tena en alaji... alaji... alaji... okudundu kudundu kudundu kudundu. ...
Tam sana Jawilat
 
Last edited by a moderator:
Kuna zile za Marvin Gaye; Sexual Healing and Lets Get It On,pia ule wa Whitney Myheart will go on (instrumental)..kwa wale wapenda slow and romantic scene!!!

Ama kwa wale wapenda rough na fujo mnasikiza disco songs za zamani,ama Rock music instrumental!!

Lol mkimaliza mkishaoga mnadance blues.. Ya I will Always Love You kama mnanguvu bado ..teh teh
bi kidude laazizzz
 
durng xex nothng take place in the mind of participant apart frow the sex.
 
Hakuna mipangilio bana!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
ina maana huwa unafurahia nini hapa mkuu?

sex goes with feelings
Hapana nilitaka kujua huo wimbo una maudhui ya aina ipi

Sababu hakuna nilichoambulia

Lugha iliyotumika hapo kwangu ni mtihani sijui ni kifaransa au sijui ni lugha gani ... kwa kweli
 
Usiombe kuna siku play list yangu kakapigwa kawimbo ka Sam Mapangala

Dunia tunapita eh
Binadamu ni mchangaa
Itabaki milele ni milimaa X4

Hamu yote iliisha
 
mkuu wafaa kwenda kwa awilo!!



hahaaaa!!! sipati picha Threesixteen Himself akizunguka kama feni!!

mkuu utaua mtoto wa watu!


!
!
kama unakula chabo game yangu kwa mara ya kwanza ni muhimu kuja na kipande cha limao kukusaidia usitapike hasa kama una kitapitapi cha karibu. Maana hiyo mirahatupuiko yake sio ya kitoto. Lakini pili unaweza ukawadharau sana akina nyamwela au falii ipupa, maana hawana miuno kabisa wale. Ngoma ina mzigo halafu inazunguka feni cha mtoto.

 
Last edited by a moderator:
Kuna wimbo flani ivi wa awili longomba mkali.sana bolingo .
 
!
!
kama unakula chabo game yangu kwa mara ya kwanza ni muhimu kuja na kipande cha limao kukusaidia usitapike hasa kama una kitapitapi cha karibu. Maana hiyo mirahatupuiko yake sio ya kitoto. Lakini pili unaweza ukawadharau sana akina nyamwela au falii ipupa, maana hawana miuno kabisa wale. Ngoma ina mzigo halafu inazunguka feni cha mtoto.


limao?... hahhaaa!!
 
Back
Top Bottom