Huwa napenda kusikiliza wimbo "nikiziangalia mbingu-mt secilia arusha."
aah, mie nyimbo ya nini jamani, hapo ni sauti ya kitanda kikilalamika na miguno ya wahusika ndio mpango mzima.....
mi napenda sana starehe by Ferooz
Mkuu umekumbuka kunigongea na kaLIKE. Mi na like ni sawa na Kapuya na tubinti twa anda 18
Hahahaha jf raha tupu.Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.
Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.
Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.
Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.
Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata
haha menchekesha lolSijui kwanini watu wengi wanakuwa wepesi kununa siku ya Jumatatu. Sasa mama, kwa sie tunaopenda kugegeda godoro likiwa sakafuni kitanda kitatoaje mguno. Afu kuna wengine wakiwa wanagegedwa full time wanaachia ushuz.i mtu akipita nje si atadhani ndani kuna mashindano ya kupuliza mavuvuzela??
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.
Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.
Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.
Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.
Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata
Hahahaha
haha menchekesha lol
Hasira zote nilizokuwa nazo zimeisha baada ya kusoma comment yako, nimecheka hadi walio karibu wananishangaa
Asprin shkamoo bana
hahahahaha! Daaah! Babuu umeumiza mbavu zangu jamani!!