During sex: What is your favorite song to hear?

Huwa napenda kusikiliza wimbo "nikiziangalia mbingu-mt secilia arusha."
 
nyimbo ya komba ya mgeni inayohusu ukimwi na nyimbo ya kosa la marehemu hakuvaa kondomu
 
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata
Hahahaha jf raha tupu.

Babu Asprin nani kamwaga Govindar kumar yako?
hahahahaha
 
Last edited by a moderator:
"Tanzania Tanzaniaaaa, nakupenda kwa moyo woteeeee.... Inji yangu Tanzaniaaaaa, jina lako ni tamu sanaaaaa.... Nilalapo nakuota wewee, niamkapo ni heri mama weeeeee.... Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo woteeeeeeeee"

Yaan nikisikiza roho kwatuuuu!!!!!
 
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata

Babu Asprin shikamoo....

Unashtakiwa kwa kuvunja mbavu za mjukuu wako CL.....
 
Last edited by a moderator:
haha menchekesha lol
 
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata

Hasira zote nilizokuwa nazo zimeisha baada ya kusoma comment yako, nimecheka hadi walio karibu wananishangaa
 
Afu kuna wengine wakiwa wanagegedwa full time wanaachia ushuz.i mtu akipita nje si atadhani ndani kuna mashindano ya kupuliza mavuvuzela??[/QUOTE]

loooohhh..... kunivunja mbavu kiasi hiki si haki yako pls yaani hapa narudi home bila mbavu sijui nitajielezaje looo....teheteheteheee....
 
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata

hahahahaha! Daaah! Babuu umeumiza mbavu zangu jamani!!
 

Hahahaha jf raha tupu.

Babu Asprin nani kamwaga Govindar kumar yako?
hahahahaha

Babu Asprin shikamoo....

Unashtakiwa kwa kuvunja mbavu za mjukuu wako CL.....

haha menchekesha lol

Hasira zote nilizokuwa nazo zimeisha baada ya kusoma comment yako, nimecheka hadi walio karibu wananishangaa

Asprin shkamoo bana

[/QUOTE]

loooohhh..... kunivunja mbavu kiasi hiki si haki yako pls yaani hapa narudi home bila mbavu sijui nitajielezaje looo....teheteheteheee....[/QUOTE]

hahahahaha! Daaah! Babuu umeumiza mbavu zangu jamani!!

Kwa hesabu ya harakaharaka, hapa sijakosa LIKES kama kumi kwenye ile yuziful post. Hii imeongeza uhai wangu kwa miaka miwili. Kama kuna virusi vya ukimwi kwenye damu yangu takatifu vitakuwa vimekong'oliwa na nachuro ARV.

Baada ya kusema hayo nawaombeni ruhusa niwahi kaunta ya juu kumuungisha Rehema kampani kwa Guinness mbili za baridi.

Yaani chapchap sana....:welcome:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…