During sex: What is your favorite song to hear?

During sex: What is your favorite song to hear?

Kabla hatujaanza tunasikiliza "bedroom bully" wa Shaba Ranks......ila tukishaanza mshikemshike demu wangu huwa anapagawa totaly, so huwa anaanza kunena kwa lugha....na huwa sipo tayari ku miss hiyo, so NAZIMILIA MBALI REDIO......
 
Kabla hatujaanza tunasikiliza "bedroom bully" wa Shaba Ranks......ila tukishaanza mshikemshike demu wangu huwa anapagawa totaly, so huwa anaanza kunena kwa lugha....na huwa sipo tayari ku miss hiyo, so NAZIMILIA MBALI REDIO......
Watu wana mambo humu
 
mkuu aisee we noma aisee!! hii playlist sasa inakuwa inachezwa kila wiki ama kila baada ya siku tatu?

hauchoki nayo?
ha haaa, Play list hii, inakita usiku kucha, mpaka pale, asubuhi unapoamka na kugonga kimoja ili tuweze kukumbukana mchana kutwa.
 
ha haaa, Play list hii, inakita usiku kucha, mpaka pale, asubuhi unapoamka na kugonga kimoja ili tuweze kukumbukana mchana kutwa.

lol! mkuu si utaua mtoto wa watu? aisee mpe nafasi apumuwe!!
 
Kabla hatujaanza tunasikiliza "bedroom bully" wa Shaba Ranks......ila tukishaanza mshikemshike demu wangu huwa anapagawa totaly, so huwa anaanza kunena kwa lugha....na huwa sipo tayari ku miss hiyo, so NAZIMILIA MBALI REDIO......

aisee watu mna wapenzi wa aina nyingi! haya bana! kazi kwenu!
 
Last edited by a moderator:
nami nimelileta kwako.. silimanyi vizuri!

si wajua mkuu sie tumekuja kwa mbio za mafuriko!
Tuwaombe wakuu watusaidie, mimi mwenyewe bila bila

Kama vipi tuwape mji

Mimi na wewe tumeshindwa hiki kitendawili
 
lol! mkuu si utaua mtoto wa watu? aisee mpe nafasi apumuwe!!
Cha asubuhi muhimu, kwani wakati huo amekuja home amejiandaa kabisa kuwa mechi iwe so hard! kabla hajarudi kwao, sasa sitaki kufanya kosa, kwani kuna wakati nammisi sana.ninokuwa bize.
 
tuachane na hilo, neno bazazi, unalielewaje?
Sina uhakika sana maana hapa JF wana lugha zao, ngoja nijaribu

Kwa mtazamo wangu kwa kiswahili safi inaweza kuwa - maluuni au kwa lugha za mtaani sijui niseme - mtu aliyepinda

Ila sifahamu maana halisi yaani nahisi tu
 
Sina uhakika sana maana hapa JF wana lugha zao, ngoja nijaribu

Kwa mtazamo wangu kwa kiswahili safi inaweza kuwa - maluuni au kwa lugha za mtaani sijui niseme - mtu aliyepinda

Ila sifahamu maana halisi yaani nahisi tu

unamaanisha nini unaposema mtu aliyepinda? tabia in general ama?
 
unamaanisha nini unaposema mtu aliyepinda? tabia in general ama?
Tabia zisizoendana na maadili ya katiba au jumuia/jamii inayokuzunguka kwa ujumla

Mfano Madawa ya kulevya - sio kitu kitu kinachokubalika iwe kuuza au kutumia

Kubaka, wizi, utapeli, zinaa nk

Kwa kweli nina clue lakini sina maana halisi au tafsiri kwa neno moja
 
huwa tunaanza na wimbo wa dudubaya~nakupenda tu afu bao likishatoka naweka wimbo wa wakenya unaitwa ~tuendelee ama tusiendelee. basi akikubal anasugua gaga kama shaa mpaka kieleweke
 
Unanikumbusha mdada fulani hivi ye alikua akija geto mkilianzisha tu ni kelele mwanzo mwisho. So inabidi uneutralize kelele hizo kwa kuongeza sauti ya redio. Alikua ana cd collection yake ya Celine deon. Sasa kasheshe ni pale wimbo unapoisha ili uje mwengine. wajikuta nawewe unavizia una sloo down ukianza wimbo mwengine nawewe waanza kuongeza spidi. Hah!
 
Habari zenu wana jukwaa...! leo tuone wengi wetu wanapendelea nini inapokuja suala la kupelekana katika ulimwengu wa mahaba!

nyimbo mbali mbali za slow jams zimekuwa kivutio kikubwa sana kama ingredient ya kufanya tendo hili kuwa more and more romantic ili kuleta ashki za kimahaba kati ya wapendanao!

je, unapendelea wimbo gani hasa wa kimahaba, ambao ukiwa na mpenzi wako faragha, huwa unakupeleka katika dunia ya hisia na kukufanya ujisikie mwingine kabisa??

karibuni....!
Excel loves..how am i supposed to live without you.. on bed lakini!!

157013_599033913441993_119933518_n.jpg

.......nyimbo ya ommy G...ile ya kigumugumu nzuri sana ili wakt huo
 
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.

Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.

Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata

haahaaa babu unataka kuniua, me napendelea kazi tufanye kwa nguvu zetu tulizopewa! Lol, raha kweli kweli!
 
Back
Top Bottom