Tetesi: Duru: Lukuvi kumrithi Kinana?

Tetesi: Duru: Lukuvi kumrithi Kinana?

'....chaguo la Mwenyekiti ni Paul. Lakini hofu ni je wale wazee watakubaliana naye kwa kigezo cha umri? Chaguo lake la pili ni William Lukuvi na ndiye hasa hata yeye anaona itampa u rahisi kukubalika ndani ya mfumo.'

Duru.

Je, Lukuvi ku mrithi Kinana?
Lukuvu sio mnafiki na hiyo biashara bila unafiki utoboi.
 
Na Lukuvi ndiye alisema mama ni rais wa mpito
Alikuwa sahihi 😅
Ni kwamba itakapofika 2025 Mama ndiyo itakuwa anaanza Rasmi kipindi chake cha kwanza cha URais awamu ya 7 .
Na endapo atashinda tena 2030 ataendelea mpaka 2035 !

Lukuvi yupo sahihi !🙌👍
 
Mama kama Utaona Comment yangu hii, Nafasi ya Kinana tuletee watu hawa mmojawapo atakufaa sana sana tena sana! kwa Maendeleo ya CCM na ataweza kuwadhibiti vzr wahuni.

1. Dkt Bashiru Ally
2. H. Pole pole
3. Paul Makonda
4. Anthony Mtaka

Wapo watakaompinga Mama mmoja kati ya hao akiteuliwa lkn mama hataweza kuwafurahisha kila watu kwa Teuzi zake! Azibe Masikio , Awe Chura.
 
'....chaguo la Mwenyekiti ni Paul. Lakini hofu ni je wale wazee watakubaliana naye kwa kigezo cha umri? Chaguo lake la pili ni William Lukuvi na ndiye hasa hata yeye anaona itampa u rahisi kukubalika ndani ya mfumo.'

Duru.

Je, Lukuvi ku mrithi Kinana?
Hivi Wasukuma mnajiaminisha Kabsaa Makonda anatosha?
 
'....chaguo la Mwenyekiti ni Paul. Lakini hofu ni je wale wazee watakubaliana naye kwa kigezo cha umri? Chaguo lake la pili ni William Lukuvi na ndiye hasa hata yeye anaona itampa u rahisi kukubalika ndani ya mfumo.'

Duru.

Je, Lukuvi ku mrithi Kinana?
Siyo profesa uchwara wa jalalani?
 
Back
Top Bottom