Tetesi: Duru: Sugu, Wenje, Kigaila na Mwalimu kuhamia CCM

Tetesi: Duru: Sugu, Wenje, Kigaila na Mwalimu kuhamia CCM

Kwa mujibu wa mnyetishaji aliye karibu na mmoja wa wale Wabunge (Covid 19) amedai Wajumbe hao wa Kamati Kuu ya Chadema wameshakubaliana endapo Lissu ataibuka mshindi wa kiti cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa pasi na kusubiri hata siku moja mbele watatangaza kuhamia CCM.

Moja ya mke wake si Mbunge katika wale Covid, ndiyo katujuza hapa, tayari Mr wake na hao wenzake wametengeneza Group na wameshakubaliana endapo Tundu akishinda mara moja wataomba kupokewa huko CCM. Wazi wanatambua Tundu atawala kichwa mapema tu na ndiyo maana hawana amani kabisa."

Wanne hao tayari wana Group la sogozi na tayari mipango ya kukimbilia CCM walishaanza kuifanya kwa kuwasiliana na Makalla na usishangae hata Mkutano Mkuu wa CCM ujao pale Dodoma baadhi yao wanaweza kuibukia huko hiyo siku."

Duru.
Taarifa nilizonazo ni kinyume chake. Kwamba Mch. Msigwa ashamuandalia makao Lissu iwapo mpango wao wa kuisambaratisha Chadema kupitia uchaguzi utakaposhindwa. Lissu atahamia CCM akimfuata Mch. Msigwa.
 
Kwa mujibu wa mnyetishaji aliye karibu na mmoja wa wale Wabunge (Covid 19) amedai Wajumbe hao wa Kamati Kuu ya Chadema wameshakubaliana endapo Lissu ataibuka mshindi wa kiti cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa pasi na kusubiri hata siku moja mbele watatangaza kuhamia CCM.

Moja ya mke wake si Mbunge katika wale Covid, ndiyo katujuza hapa, tayari Mr wake na hao wenzake wametengeneza Group na wameshakubaliana endapo Tundu akishinda mara moja wataomba kupokewa huko CCM. Wazi wanatambua Tundu atawala kichwa mapema tu na ndiyo maana hawana amani kabisa."

Wanne hao tayari wana Group la sogozi na tayari mipango ya kukimbilia CCM walishaanza kuifanya kwa kuwasiliana na Makalla na usishangae hata Mkutano Mkuu wa CCM ujao pale Dodoma baadhi yao wanaweza kuibukia huko hiyo siku."

Duru.
Ila akishinda Mbowe basi wanamwambia Makalla kua wameghairi??
 
Yericko hata senti moja hata pewa kwa jinsi alivyojaza tope kichwani.

Leo nimeshanga hata Stivu Nyerere amemwambia kuwa anakichwa ngumu kwa kumpigania Mbowe🤣🤣
Kama siyo huu uchaguzi tusingemjua kuwa ni seti tupu
 
Masikini chadema inaangamia.
MBOWE ndio kiongozi pekee atakaye kivusha chama kinyume na hapo chama kitasambaratika.
 
Mods mnaiua JF, kuna ujinga mwingine msiruhusu uandikwe hapa, mtabaki na wajinga kwenye platform hii! maana mtu mwenye akilii ataona hakuna la maana JF!
Wajinga ndio wataondoka, kama akili ni kumsapoti Mbowe na upumbavu wake wa kuuza chama kwa mama Abdul ondokeni
 
Kwa mujibu wa mnyetishaji aliye karibu na mmoja wa wale Wabunge (Covid 19) amedai Wajumbe hao wa Kamati Kuu ya Chadema wameshakubaliana endapo Lissu ataibuka mshindi wa kiti cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa pasi na kusubiri hata siku moja mbele watatangaza kuhamia CCM.

Moja ya mke wake si Mbunge katika wale Covid, ndiyo katujuza hapa, tayari Mr wake na hao wenzake wametengeneza Group na wameshakubaliana endapo Tundu akishinda mara moja wataomba kupokewa huko CCM. Wazi wanatambua Tundu atawala kichwa mapema tu na ndiyo maana hawana amani kabisa."

Wanne hao tayari wana Group la sogozi na tayari mipango ya kukimbilia CCM walishaanza kuifanya kwa kuwasiliana na Makalla na usishangae hata Mkutano Mkuu wa CCM ujao pale Dodoma baadhi yao wanaweza kuibukia huko hiyo siku."

Duru.
Hawa wote hata wakisimama jukwaani hawana mvuto.
 
Back
Top Bottom