Duru za biashara za mtandao: Kuna dalili za watu kulizwa huko kwenye soko la forex, wajuzi wa haya masuala njooni huku

Duru za biashara za mtandao: Kuna dalili za watu kulizwa huko kwenye soko la forex, wajuzi wa haya masuala njooni huku

Humlaumu kijana wakati unaona vijana wenzio wamesuuzwa toka mwaka 2017 na ngonjera za ku download pesa humu😂!!!


Kijana amehamia kwenye ghorofa mkabala na Mlimani City baada ya kuwanyoosha kwa usajili wa TMT au “The Money Team” wale magwiji wa JF akiwemo Maxence Melo mwenyewe 😂 kipindi kile yupo pale Jangid Plaza na kuendesha campaign zake za Forex kwamba msome vitabu sana ila mlipie training na huduma ya signals!

Sasa baada ya kukinukisha Jangid plaza na wana usalama kuanza kumjazia nzi amehamishia goli sam nujoma road mkabala na mataa ya kuelekea sinza makaburini😅 na kubadilisha jina toka TMT na kujiita 360” Capital!

Kijana anapush Jaguar matata sana huku akiendelea kuwanyenga vijana wazembe wazembe kwa matumaini kuwa crypto currency itawatoa kimaso maso! Review nyingi za mtandaoni insta ni kwamba kijana anawa inspire sana yani na lifestyle yake ya ki motivesheno speaker! Anaonekana katoboa sana yani 😂😂😂

Ushauri wangu ni kwamba hakuna pesa rahisi jamani😅 pesa ni ngumu sana! Forex wala cryptocurrency zitakufilisi tu ni mavitu yanayotaka uwe na mapesa ya mchezo ni kama kamari tu za kiuchumi zile😅
Mkuu wangu Sina lakusema kuhusu forex kama ni kamali au laa?. Lakini nachojiuliza kwa nini serikali haimchukulii hatua, kama namna inavyochukulia matapeli wengine?. Kama anaiba na bado sheria za nchi hazimtii hatiani basi Mimi nampongeza.
 
Humlaumu kijana wakati unaona vijana wenzio wamesuuzwa toka mwaka 2017 na ngonjera za ku download pesa humu😂!!!


Kijana amehamia kwenye ghorofa mkabala na Mlimani City baada ya kuwanyoosha kwa usajili wa TMT au “The Money Team” wale magwiji wa JF akiwemo Maxence Melo mwenyewe 😂 kipindi kile yupo pale Jangid Plaza na kuendesha campaign zake za Forex kwamba msome vitabu sana ila mlipie training na huduma ya signals!

Sasa baada ya kukinukisha Jangid plaza na wana usalama kuanza kumjazia nzi amehamishia goli sam nujoma road mkabala na mataa ya kuelekea sinza makaburini😅 na kubadilisha jina toka TMT na kujiita 360” Capital!

Kijana anapush Jaguar matata sana huku akiendelea kuwanyenga vijana wazembe wazembe kwa matumaini kuwa crypto currency itawatoa kimaso maso! Review nyingi za mtandaoni insta ni kwamba kijana anawa inspire sana yani na lifestyle yake ya ki motivesheno speaker! Anaonekana katoboa sana yani 😂😂😂

Ushauri wangu ni kwamba hakuna pesa rahisi jamani😅 pesa ni ngumu sana! Forex wala cryptocurrency zitakufilisi tu ni mavitu yanayotaka uwe na mapesa ya mchezo ni kama kamari tu za kiuchumi zile😅
Nimecheka hapo kwenye meseji za malalamiko kuna jamaa mmoja eti anasema ''wasipokuwa serious watapoteza wateja sana'' Wawe serious nmana gani tena na u-serious wao ni kula vichwa vya watu? Ukiona umeliwa kichwa ujue wako serious!
 
Sirjeff ni tapeli mmoja very smart, yaani ni yapeli wa level ya kimataifa.Mimi nilishatrade na 360capital nikakumbana na ishu ya slippage... nilimfuata dm instagram akasema linashughulikiwa soon ila ikawa sio. Hii ishu ya slippage pekee inampa uhakika wa kuunguza accounts za traders wadogo hivyo yeye kupata faida kwa kuongeza freequncy ya deposits. Narudia tena Sirjef Denis ni tapeli atakae na asikie.
 
Sirjeff ni tapeli mmoja very smart, yaani ni yapeli wa level ya kimataifa.Mimi nilishatrade na 360capital nikakumbana na ishu ya slippage... nilimfuata dm instagram akasema linashughulikiwa soon ila ikawa sio. Hii ishu ya slippage pekee inampa uhakika wa kuunguza accounts za traders wadogo hivyo yeye kupata faida kwa kuongeza freequncy ya deposits. Narudia tena Sirjef Denis ni tapeli atakae na asikie.
Kwa nini Serikali haimchukulii hatua?.
 
Muda si mrefu wata deactivate accnt zao za kwenye mitandao yote hiyo itakua kama ndo ishara ya kwaheri ya kuonana
Mm nilishawahi kujiunga na haya mambo ya sarafu za kimtandao nikapiga hela ndefu kidogo kwa level ya uchumi wangu Hadi leo huwa sitaki kukumbuka kabisa na wala sijawahi kumsimulia mtu yoyote niliona ndo itakua njia sahihi ya kusahau
 
Sirjeff ni tapeli mmoja very smart, yaani ni yapeli wa level ya kimataifa.Mimi nilishatrade na 360capital nikakumbana na ishu ya slippage... nilimfuata dm instagram akasema linashughulikiwa soon ila ikawa sio. Hii ishu ya slippage pekee inampa uhakika wa kuunguza accounts za traders wadogo hivyo yeye kupata faida kwa kuongeza freequncy ya deposits. Narudia tena Sirjef Denis ni tapeli atakae na asikie.
Hii slippage unaigunduaje?
 
Wakuu hii nawaletea baada ya dogo fulani kunitafuta huku amefura analalamika ameingia kwenye biashara ya kudownload pesa na kampuni fulani inaitwa 360 Capital na kushindwa kutoa pesa zake. Nikazama kwenye mitandao ya kijamii na kuitafuta kiundani maana jina lake ni kama niliwahi kulisikia.

Katika pita pita zangu nikaiona ni Kampuni iliyoanzishwa na kijana wa kitanzania mpambanaji na mtafutaji almaarufu kama jina fulani la mji fulani huko Canada, wakongwe wa humu mtakuwa mmeshamjua.

Sasa nikazama zaidi kwenye page zao za instagram na twitter na kukuta malalamiko ya wa wadau wengine kuwa wanashindwa kutoa hela (withdrawal) kwa uelewa wangu mdogo wa forex ni kama wameingiza hela na kufanya trading sasa faida waliyoipata haitoki...na wengine wanasema akaunti zao zilizokuwa verified zimeondolewa hiyo status.

Hapo nikaishia kucheka tu na kumwambia dogo hiyo hela yake afanye kuachana nayo, labda kama kuna technical issues tu za kiungwana baadaye anaweza kuipata, ila kwa historia ya huyu mtafutaji kuna uwezekano mkubwa imeshaondoka.

Nimeweka baadhi ya screenshot za wadau hapo chini , natoa tu angalizo hii si kwa ajili ya kuchafua biashara ya mdau yoyote bali ni kutoa tahadhari, huyu dogo nilimuonya kuhusu kufanya hizo biashara kama hana uelewa wa kutosha akanivimbia nikamuacha afanye kitu roho inataka, pia natoa angalizo kwa wabongo kama mnaanzisha biashara mtandaoni basi jitahidini kuweka technical issues sawa, kama mambo yakienda vibaya hakuna mfumo utakaofanya kazi at 100% siku zote basi mijitahidi kutoa mawasiliano na kujibu wateja wenu kwa haraka, kukaa kimya huku watu wanashindwa kupata huduma kunatengeneza picha kwamba wamepiga, bado naendelea kufuatilia maendeleo ya hii kitu, kama kuna wadau mnajua kinachoendelea njooni huku mtujulishe, mjini kuna mambo mengi na muda ni mchache
View attachment 2006751

View attachment 2006752

View attachment 2006753

View attachment 2006757

View attachment 2006758

View attachment 2006759

View attachment 2006760

View attachment 2006761

View attachment 2006762

View attachment 2006763

View attachment 2006765

View attachment 2006766

View attachment 2006756

View attachment 2006764
Forex haina shida kabisa ukiijua... Ila waswahili kama hao akina Jeff ndio wanafanya mambo yanakuwa magumu...

Mimi binafsi nilishaapa sitakaa nifanye biashara na Broker ambaye hana review ya kueleweka kwenye site ya Forex Peace Army (FPA)

Screenshot_20211111-164003.jpg


Nipo zangu na Fusion market mambo ni mserereko....

Shida ya wabongo ni wapenda vitonga sana.
 
Ngoja wapigwe kwa kuwa vichwa vyao vimejaa makamasi maana forex ni biashara huria isiyo kuwa tied kabisa na huyo tapeli wa ONTARIO kwann watu wanaendelea kumfata kwa viproject vyake uchwara??
Imagine... yaani mazwazwa wengi kweli
 
Huwa nashangaa sana watu wanaomkejeli sana huyo kijana, kiukweli simtetei lakini namuunga mkono katika suala la uthubutu, pia kama anafanya utapeli kwa nini vyombo vya Dola havimshugulikii au na wao nisehem ya dili zake, pia mkuu naona umescreen shot ujumbe wa wiki MOJA/mbili zilizopita, vipi ujumbe waleo.

Kitu cha ziada kama kijana anafata taratibu zote nakutapeli watu kwa mujibu wa sheria basi nampongeza maana serikali haimchukulii hatua .
Mkuu unafanya vibaya kumtetea huyu jamaa. Pesa siyo rahisi kutoka ndio maana majambazi wanatumia vitu vya ziada kama shaba. Sasa huyu anakutoa hela bila hata kukunyooshea mtutu yani dume zima tena una familiar unatoa hela hivihivi na kumkabidhi dume lingine. Inauma Aisee.

Na kinachouma zaid watu hawasikii na hawajifunzi bado tu wanaingizwa mkenge.

Fak!
 
Mkuu unafanya vibaya kumtetea huyu jamaa. Pesa siyo rahisi kutoka ndio maana majambazi wanatumia vitu vya ziada kama shaba. Sasa huyu anakutoa hela bila hata kukunyooshea mtutu yani dume zima tena una familiar unatoa hela hivihivi na kumkabidhi dume lingine. Inauma Aisee.

Na kinachouma zaid watu hawasikii na hawajifunzi bado tu wanaingizwa mkenge.

Fak!
Mkuu simtetei Jamaa lakini pia nashangaa kama anatapeli watu vyombo vya dola kutomchukulia hatua stahiki, au anashirikiana na wakubwa?.
 
Wonzur huko mwanza na shinyanga pia imeliza Watu....Watu waumizwa ni hatari.
 
Back
Top Bottom