mfano unasell USDTZS let say plus spread ipo 10 sasa huyu mhuni unapoclick trade badala ifungukie kwenye 10 unakuta inafungukia kwenye 9.8 maana yake unaanza na negative kubwa sasa kama unamtaji mdogo pair ikicheza kidogo tuu against you umeunguza account...Hii slippage unaigunduaje?
kwani ONTARIO anasemaje.Wakuu hii nawaletea baada ya dogo fulani kunitafuta huku amefura analalamika ameingia kwenye biashara ya kudownload pesa na kampuni fulani inaitwa 360 Capital na kushindwa kutoa pesa zake. Nikazama kwenye mitandao ya kijamii na kuitafuta kiundani maana jina lake ni kama niliwahi kulisikia.
Katika pita pita zangu nikaiona ni Kampuni iliyoanzishwa na kijana wa kitanzania mpambanaji na mtafutaji almaarufu kama jina fulani la mji fulani huko Canada, wakongwe wa humu mtakuwa mmeshamjua.
Sasa nikazama zaidi kwenye page zao za instagram na twitter na kukuta malalamiko ya wa wadau wengine kuwa wanashindwa kutoa hela (withdrawal) kwa uelewa wangu mdogo wa forex ni kama wameingiza hela na kufanya trading sasa faida waliyoipata haitoki...na wengine wanasema akaunti zao zilizokuwa verified zimeondolewa hiyo status.
Hapo nikaishia kucheka tu na kumwambia dogo hiyo hela yake afanye kuachana nayo, labda kama kuna technical issues tu za kiungwana baadaye anaweza kuipata, ila kwa historia ya huyu mtafutaji kuna uwezekano mkubwa imeshaondoka.
Nimeweka baadhi ya screenshot za wadau hapo chini , natoa tu angalizo hii si kwa ajili ya kuchafua biashara ya mdau yoyote bali ni kutoa tahadhari, huyu dogo nilimuonya kuhusu kufanya hizo biashara kama hana uelewa wa kutosha akanivimbia nikamuacha afanye kitu roho inataka, pia natoa angalizo kwa wabongo kama mnaanzisha biashara mtandaoni basi jitahidini kuweka technical issues sawa, kama mambo yakienda vibaya hakuna mfumo utakaofanya kazi at 100% siku zote basi mijitahidi kutoa mawasiliano na kujibu wateja wenu kwa haraka, kukaa kimya huku watu wanashindwa kupata huduma kunatengeneza picha kwamba wamepiga, bado naendelea kufuatilia maendeleo ya hii kitu, kama kuna wadau mnajua kinachoendelea njooni huku mtujulishe, mjini kuna mambo mengi na muda ni mchache
View attachment 2006751
View attachment 2006752
View attachment 2006753
View attachment 2006757
View attachment 2006758
View attachment 2006759
View attachment 2006760
View attachment 2006761
View attachment 2006762
View attachment 2006763
View attachment 2006765
View attachment 2006766
View attachment 2006756
View attachment 2006764
Mimi namtumia hotforex na XM, huyu wako unaweza deposit &withdraw kwa kutumia skrill?Forex haina shida kabisa ukiijua... Ila waswahili kama hao akina Jeff ndio wanafanya mambo yanakuwa magumu...
Mimi binafsi nilishaapa sitakaa nifanye biashara na Broker ambaye hana review ya kueleweka kwenye site ya Forex Peace Army (FPA)
View attachment 2007038
Nipo zangu na Fusion market mambo ni mserereko....
Shida ya wabongo ni wapenda vitonga sana.
yes kwa skrill inawezekanaMimi namtumia hotforex na XM, huyu wako unaweza deposit &withdraw kwa kutumia skrill?
Teh teh tehSir Jeff a.k.a Ontario si mchezo ,vijana wanapapatika Sana na showoff za Instagram..na huko kawapiga Tena? Basi kijana hatari kupita maelezo...watu wazima na vitambi vyao hapa jf hawana hamu naye na hawataki kusikia Hilo jina.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Teh teh tehWateja wao hawawezi kuisha. Vijana wengi siku hizi tunataka pesa ya haraka. Nina wengi nawafahamu. Wanapost vipicha na latest iphone, suti na siku hizi wanenda dubai wanapiga picha nyingi alafu wanapost kidogo kidogo ili udhani wanaendaga mara kwa mara[emoji23][emoji23][emoji23]
hahaaha mkuu planett kwamba unatrade 2021 tena kupitia ontario!? sisi wazee tulishanyooka mwaka 2017 kuna kamanda wangu mmoja humu simtaji tulikuwa kampala kwenye training ya forex tunakunywa maji lita 16 kwa siku huku tukivuja jasho account inateketea...Sirjeff ni tapeli mmoja very smart, yaani ni yapeli wa level ya kimataifa.Mimi nilishatrade na 360capital nikakumbana na ishu ya slippage... nilimfuata dm instagram akasema linashughulikiwa soon ila ikawa sio. Hii ishu ya slippage pekee inampa uhakika wa kuunguza accounts za traders wadogo hivyo yeye kupata faida kwa kuongeza freequncy ya deposits. Narudia tena Sirjef Denis ni tapeli atakae na asikie.
Kawaida yake kujitetea, kwanini hakuwachunguza kabla ya kuwaleta kwa watanzania,hapo keshawapiga watz wenzie, shenz** zake!Naona kimeumama hukoView attachment 2009493
Nipo hapa ONTARIO CANADA nawa zoom tu
,Biashara ya crypto currency hakuna benk itataka uijue,,,,,,
Shubamiiit
kuna dogo alinijia na mahesabu ya excel jinsi atakavyokuwa ana "danlodi" hela na ku "akumuleti" faida mpaka mwisho wa mwaka atakuwa dolari laki kadhaa za kimarekani..nikajaribu kumkumbusha msemo wa lugha ya malikia if it is too good to be true it probably... hakunielewa kabisa akachukulia kama namuonea wivu mafanikio yake....sijamsikia tena kitambo kuhusu kudanlodi hela...
Hii tunaita Weka mbali na watoto
Muda si mrefu wata deactivate accnt zao za kwenye mitandao yote hiyo itakua kama ndo ishara ya kwaheri ya kuonana
Mm nilishawahi kujiunga na haya mambo ya sarafu za kimtandao nikapiga hela ndefu kidogo kwa level ya uchumi wangu Hadi leo huwa sitaki kukumbuka kabisa na wala sijawahi kumsimulia mtu yoyote niliona ndo itakua njia sahihi ya kusahau
ontaria atawamaliza kikubwa kashalamba na pesa aliyotarget hata TMT aliaandaa uzi kwamba hata yye alipata hasara ila huyu jamaa kwa kushirikiana na mabeberu kupiga wabongo wenzie hajamboNaona kimeumama hukoView attachment 2009493
chkua tu watu 100 kwa waliowekeza $100 jamaa kalamba $10,000. Bado hao 100 ni kama 6% ya watu wote waliokuwa wanamtumia huyo broker hapa Tz kupitia kwakeAccount deactivated teyr mda tu bro
hahahaha, 'hakuna benki itakayotaka uijue'