Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #401
TUKIO LA TANGA SIYO USULUHISHI NI UPATANISHI (III)
MITANDAO ISIBADILI MAANA NA ASILI YA TUKIO
Kwa upande wa serikali, hili jambo ni la kufikirisha. Inapofikia mahali mkuu wa nchi anaingilia kati, ni dhahiri suala lilikuwa zito kuliko inavyodhaniwa.
Halikuwa zito kwa Media ni kwa mtendaji wa serikali aliyeichafua kuombewa msamaha
Uzito wake unaongezeka kwa kujiuliza, lini serikali itatoa uhakiki wa vyeti na majina ya RC mhusika ili kusafisha hali ya hewa!
Huko nyuma tulieleza, hoja zisipotolewa majibu kutajengeka utamaduni wa 'kuhifadhiana'.
Ni kwa utamaduni huo tulisema, zoezi la uhakiki wa vyeti litaingia doa.
Liliingia doa waziri alipolazimika kuondoa makundi ya watumishi kukwepa jina la mtu
Kiongozi huyo anailazimu serikali 'kumpatanisha' na wadau kwa makosa binafsi zaidi kuliko majukumu yake
Haipendezi kumweka Mh Rais katika wakati tusiotarajia kama ilivyotokea Tanga
Swali la kujiuliza, kuna ni, anayetenda na kupewa 'pass' hata panapoonekana wazi?
Je, kiongozi huyu ni Asset au ni Liability na anaisadiaje serikali?
Na kwanini serikali iendelee kulinda taswira kwa gharama ya mtu mmoja?
Kwa upande wa Media na hasa TEF, hili limekuwa funzo zuri kwa viongozi wengine wasioheshimu taaluma yenu 'rogue' na wanaotaka kuwatumia watavyo.
Ni funzo zuri mnaweza kulinda taaluma mkiamua, hatua mlizochukua bila kujali zimewaathiri vipi, zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa sana.
Mumeitendea taaluma haki na heshima
Tusemezane
MITANDAO ISIBADILI MAANA NA ASILI YA TUKIO
Kwa upande wa serikali, hili jambo ni la kufikirisha. Inapofikia mahali mkuu wa nchi anaingilia kati, ni dhahiri suala lilikuwa zito kuliko inavyodhaniwa.
Halikuwa zito kwa Media ni kwa mtendaji wa serikali aliyeichafua kuombewa msamaha
Uzito wake unaongezeka kwa kujiuliza, lini serikali itatoa uhakiki wa vyeti na majina ya RC mhusika ili kusafisha hali ya hewa!
Huko nyuma tulieleza, hoja zisipotolewa majibu kutajengeka utamaduni wa 'kuhifadhiana'.
Ni kwa utamaduni huo tulisema, zoezi la uhakiki wa vyeti litaingia doa.
Liliingia doa waziri alipolazimika kuondoa makundi ya watumishi kukwepa jina la mtu
Kiongozi huyo anailazimu serikali 'kumpatanisha' na wadau kwa makosa binafsi zaidi kuliko majukumu yake
Haipendezi kumweka Mh Rais katika wakati tusiotarajia kama ilivyotokea Tanga
Swali la kujiuliza, kuna ni, anayetenda na kupewa 'pass' hata panapoonekana wazi?
Je, kiongozi huyu ni Asset au ni Liability na anaisadiaje serikali?
Na kwanini serikali iendelee kulinda taswira kwa gharama ya mtu mmoja?
Kwa upande wa Media na hasa TEF, hili limekuwa funzo zuri kwa viongozi wengine wasioheshimu taaluma yenu 'rogue' na wanaotaka kuwatumia watavyo.
Ni funzo zuri mnaweza kulinda taaluma mkiamua, hatua mlizochukua bila kujali zimewaathiri vipi, zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa sana.
Mumeitendea taaluma haki na heshima
Tusemezane