Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #421
Sehemu ya II
Mzanzibar anasema nje ya muungano znz itakuwa kama Dubai.
Ni kweli kwani kila Taifa hupigania kuwa bora lakini mchangiaji haukuelewa historia ya Zanzibar, jiografia ya dunia n.k. Kukua kwa znz zama hizo kulitokana na uwepo wa makoloni na biashara kutoka makoloni hayo
Hali ya sasa ni tofauti, biashara ya vipusa haipo, utalii ni jambo la kushindaniwa hivyo kuhisi kuwa znz inaweza kuwa ile ya mwaka 1900 au 1800 bila kuzingatia mabadiliko ya dunia ni hisia na si uhalisia
Zao la karafu linazalishwa duniani na nachi zenye maeneo na teknolojia kubwa.
Zama za karafu kutoka znz pekee hazipo tena kama ilivyokuwa kwa zao la Mkonge Tanganyika
Mbunge Zitto alieleza, mawese yalipelekwa Malaysia na mwingereza,Malaysia ndio mzalishaji wakubwa duniani
Nne, Jiorafia ya Dubai na ZNZ ni tofauti. Dubai inapowekeza katika biashara ya meli inapendelewa na jiografia Znz ipo neutical miles 90 kutoka Dar es Salaam, na karibu sana na Mombasa Kenya au Tanga
Disadvantage ya Znz katika ukanda huu ni soko. Ushindani wowote wa kibiashara utakumbana na nguvu ya soko
Makampuni yaliyowekeza znz yanahamia Tanzania bara kwasababu ya nguvu ya soko na ukubwa wa uchumi
Kudorora kwa bandari ya ZNZ ni kwasababu ya uwepo wa bandari zingine katika ukanda ambazo nguvu ya soko inatoa faida kwao. ZNZ iliwahi kutangaza uwepo wa bandari huru. Je, hilo limesaidia chochote?
Tano, kuhusu passport kutokuwa na picha ya karafuu, hili nalo linashangaza.
Passport ni hati ya kusafiria tu ambayo si kila mtu anaitumia. Hati hiyo haiwezi kuwakilisha kila kitu ndani ya nchi
Alichoshindwa kuelewa ni umuhimu wa jina la Tanzania. Kwamba mzanzibar mwenye passport ya Tanzania amefungua milango yake popote Tanzania, iwe Mtwara, Kigoma, Sumbawanga au Arusha
Utanzania unasaidia wazanzibar malaki wasioweza kusafiri kuliko wachache wanaosafiri na kuhitaji picha ya karafuu tu kwasababu ya kujitambulisha ni Wazanzibar
Hoja ya mwisho ilikuwa Utanzania na Uzanzibar, tutajadili sehemu inayofuata
Inaendele...
Mzanzibar anasema nje ya muungano znz itakuwa kama Dubai.
Ni kweli kwani kila Taifa hupigania kuwa bora lakini mchangiaji haukuelewa historia ya Zanzibar, jiografia ya dunia n.k. Kukua kwa znz zama hizo kulitokana na uwepo wa makoloni na biashara kutoka makoloni hayo
Hali ya sasa ni tofauti, biashara ya vipusa haipo, utalii ni jambo la kushindaniwa hivyo kuhisi kuwa znz inaweza kuwa ile ya mwaka 1900 au 1800 bila kuzingatia mabadiliko ya dunia ni hisia na si uhalisia
Zao la karafu linazalishwa duniani na nachi zenye maeneo na teknolojia kubwa.
Zama za karafu kutoka znz pekee hazipo tena kama ilivyokuwa kwa zao la Mkonge Tanganyika
Mbunge Zitto alieleza, mawese yalipelekwa Malaysia na mwingereza,Malaysia ndio mzalishaji wakubwa duniani
Nne, Jiorafia ya Dubai na ZNZ ni tofauti. Dubai inapowekeza katika biashara ya meli inapendelewa na jiografia Znz ipo neutical miles 90 kutoka Dar es Salaam, na karibu sana na Mombasa Kenya au Tanga
Disadvantage ya Znz katika ukanda huu ni soko. Ushindani wowote wa kibiashara utakumbana na nguvu ya soko
Makampuni yaliyowekeza znz yanahamia Tanzania bara kwasababu ya nguvu ya soko na ukubwa wa uchumi
Kudorora kwa bandari ya ZNZ ni kwasababu ya uwepo wa bandari zingine katika ukanda ambazo nguvu ya soko inatoa faida kwao. ZNZ iliwahi kutangaza uwepo wa bandari huru. Je, hilo limesaidia chochote?
Tano, kuhusu passport kutokuwa na picha ya karafuu, hili nalo linashangaza.
Passport ni hati ya kusafiria tu ambayo si kila mtu anaitumia. Hati hiyo haiwezi kuwakilisha kila kitu ndani ya nchi
Alichoshindwa kuelewa ni umuhimu wa jina la Tanzania. Kwamba mzanzibar mwenye passport ya Tanzania amefungua milango yake popote Tanzania, iwe Mtwara, Kigoma, Sumbawanga au Arusha
Utanzania unasaidia wazanzibar malaki wasioweza kusafiri kuliko wachache wanaosafiri na kuhitaji picha ya karafuu tu kwasababu ya kujitambulisha ni Wazanzibar
Hoja ya mwisho ilikuwa Utanzania na Uzanzibar, tutajadili sehemu inayofuata
Inaendele...