Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #201
TATHMINI (iii)
Kuwachukulia hatua watu wanaoandika hisia zao ziwe sahihi au la ni kujinyima fursa
Hao ni wachache , haijulikani wangapi wana mtazamo huo. Njia nzuri ni kushinda nyoyo nyingi 'win the heart' ambapo fursa ipo kuliko kufukuzana na wachache
Mashirika kama CIA, FBI, M15, Scotland Yard, KGB n.k. yamo katika mitandao yakisoma hisia za wananchi ili kupata ufahamu wa nini kinaendelea katika jamii
Marekani ndio wenye ufunguo wa Internet na ndio wamekuwa waathirika katika harakati za kigaidi kwa kutumia internet na mitandao ya kijamii.
''Recruitment'' ya watu waouvu inafanyika kwa ugunduzi wao.
Marekani haizui au kuwachukulia hatua, inatumia mwanya kukabliana na hali mbali mbali
Wiki mbili zilizopita Marekani ilinusuru Taifa dakika za mwisho kwa taarifa za kigaidi
Taarifa za mhusika zilijulikna na taifa husika, lakini lini anatekeleza azma,ilitoka Marekani
Taarifa zilipatikana kupitia mitandao ya kijamii ambako walikuwa wanafuatilia nyendo
Huu ni mfano tu kuonyesha kuwa ili kuweza kubaini nini kilichopo nyuma ya mtu au watu ni lazima kuelewa hisia zilizopo na kuzifanyia kazi katika kupata matokeo chanya
Hasira haionyeshi uovu, ndani ya hasira inaweza kupatikana busara, na hiyo ndiyo inayotakiwa kufanyiwa kazi wala si kukabiliana na hasira
Lakini pia kuna somo kutoka Marekani. Katika miaka ya 90 wakati wa Bill Clinton, kulitokea shambulio katika mji wa Oklahama.
Vyombo vya habari vilijikita kuzungumzia ugaidi na kundi la Alqaeeda wakati huo.
Habari nzima ikafunikwa na jina la Ugaidi
Vyombo vya dola vilikuwa kimya vikifanya uchgunguzi.
Mwishowe, walimkamata Mmarekani Mweupe kwa jina la Tom McVeigh.
Tom alikuwa na hasira dhidi ya US kwa mambo Imani,akazihamishia kulipua jengo
Mwisho wa siku vyombo vya habari vikajifunza namna ya ku 'react' katika matukio.
Siku hizi vinazungumzia habari baada ya utibitisho.
Vyombo vya dola vya wenzetu havitoi taarifa za kuchanganya au 'reactions' tu
Kauli ya mkuu wa Operesheni ilitoka mapema, ilikuwa na viashiria vya hisia za tukio
Katika muda mfupi, kamanda alipataje habari kuhusu uhusiano wa wahalifu na siasa?
Marufuku ya mikutano ya ndani nanje, inahusianaje na tukio lilo katika uchunguzi?
Hivyo tukio zima limekuwa na kile kinachoitwa ''parti pris' au preconceived notion.
Kwamba kuna hali ya kisiasa hivyo tukio linahusiana na hali hiyo
Je, iwapo kuna wananchi wenye taarifa,katika mazingira ya kuwa na ''majibu'' watajitokeza?
Je, hili si kuwa linawagawa wananchi na hivyo kuinyima Polisi fursa nyingine?
Je,ikibainika ni sababu zingine nini itakuwa taswira ya jeshi mbele ya umma?
Je, uchunguzi ukibaini mengine tofauti utawezwaje kuwekwa mbele ya jamii?
Je, tukio la juzi linatofautianaje na mengine ya nyuma kiasi cha kuliekeleza pengine?
Hili ni tukio baya sana, lakini pia linaweza kutusaidia tusijepatwa na mengine tukijua yanajirudia. Swali ni je, Polisi wanatazamaje jinsi lilivyochukuliwa na jamii, na mazuri au mapungufu yanaeleza lolote la kujifunza kwa siku za mbaleni?
Inaendelea sehemu ya mwisho
Kuwachukulia hatua watu wanaoandika hisia zao ziwe sahihi au la ni kujinyima fursa
Hao ni wachache , haijulikani wangapi wana mtazamo huo. Njia nzuri ni kushinda nyoyo nyingi 'win the heart' ambapo fursa ipo kuliko kufukuzana na wachache
Mashirika kama CIA, FBI, M15, Scotland Yard, KGB n.k. yamo katika mitandao yakisoma hisia za wananchi ili kupata ufahamu wa nini kinaendelea katika jamii
Marekani ndio wenye ufunguo wa Internet na ndio wamekuwa waathirika katika harakati za kigaidi kwa kutumia internet na mitandao ya kijamii.
''Recruitment'' ya watu waouvu inafanyika kwa ugunduzi wao.
Marekani haizui au kuwachukulia hatua, inatumia mwanya kukabliana na hali mbali mbali
Wiki mbili zilizopita Marekani ilinusuru Taifa dakika za mwisho kwa taarifa za kigaidi
Taarifa za mhusika zilijulikna na taifa husika, lakini lini anatekeleza azma,ilitoka Marekani
Taarifa zilipatikana kupitia mitandao ya kijamii ambako walikuwa wanafuatilia nyendo
Huu ni mfano tu kuonyesha kuwa ili kuweza kubaini nini kilichopo nyuma ya mtu au watu ni lazima kuelewa hisia zilizopo na kuzifanyia kazi katika kupata matokeo chanya
Hasira haionyeshi uovu, ndani ya hasira inaweza kupatikana busara, na hiyo ndiyo inayotakiwa kufanyiwa kazi wala si kukabiliana na hasira
Lakini pia kuna somo kutoka Marekani. Katika miaka ya 90 wakati wa Bill Clinton, kulitokea shambulio katika mji wa Oklahama.
Vyombo vya habari vilijikita kuzungumzia ugaidi na kundi la Alqaeeda wakati huo.
Habari nzima ikafunikwa na jina la Ugaidi
Vyombo vya dola vilikuwa kimya vikifanya uchgunguzi.
Mwishowe, walimkamata Mmarekani Mweupe kwa jina la Tom McVeigh.
Tom alikuwa na hasira dhidi ya US kwa mambo Imani,akazihamishia kulipua jengo
Mwisho wa siku vyombo vya habari vikajifunza namna ya ku 'react' katika matukio.
Siku hizi vinazungumzia habari baada ya utibitisho.
Vyombo vya dola vya wenzetu havitoi taarifa za kuchanganya au 'reactions' tu
Kauli ya mkuu wa Operesheni ilitoka mapema, ilikuwa na viashiria vya hisia za tukio
Katika muda mfupi, kamanda alipataje habari kuhusu uhusiano wa wahalifu na siasa?
Marufuku ya mikutano ya ndani nanje, inahusianaje na tukio lilo katika uchunguzi?
Hivyo tukio zima limekuwa na kile kinachoitwa ''parti pris' au preconceived notion.
Kwamba kuna hali ya kisiasa hivyo tukio linahusiana na hali hiyo
Je, iwapo kuna wananchi wenye taarifa,katika mazingira ya kuwa na ''majibu'' watajitokeza?
Je, hili si kuwa linawagawa wananchi na hivyo kuinyima Polisi fursa nyingine?
Je,ikibainika ni sababu zingine nini itakuwa taswira ya jeshi mbele ya umma?
Je, uchunguzi ukibaini mengine tofauti utawezwaje kuwekwa mbele ya jamii?
Je, tukio la juzi linatofautianaje na mengine ya nyuma kiasi cha kuliekeleza pengine?
Hili ni tukio baya sana, lakini pia linaweza kutusaidia tusijepatwa na mengine tukijua yanajirudia. Swali ni je, Polisi wanatazamaje jinsi lilivyochukuliwa na jamii, na mazuri au mapungufu yanaeleza lolote la kujifunza kwa siku za mbaleni?
Inaendelea sehemu ya mwisho