Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Kwanza kabisa nikwambie siasa za kejeri huwa sipendi... kama kuna kitu ambacho hujaelewa sema nami nitaelezea kadri ya uwezo wangu.Tujenge kuheshimiana katika mijadala ndo tutasonga mbele kwani tuko hapa kuelemishana, kukosoana, kufundisha na nk.

Baada ya kuandika hayo.. naomba urejee katika swali langu nililouliza je kama Zitto ni mchanga wa siasa nimuache ili kusudi aendele kueneza hizi sumu za ulaghai na ukanda?

Na je ni wajibu wa nani kukemea mfumo pale tunapoona kuna kasoro?

(Bila kejeri na vijembe tafadhali kama utaweza)

Alinda.

Awali ya yote napenda kukupongeza kwa angalizo ulilolitoa. Japo mimi sijaona kejeli yoyote wala kijembe kwa nilichoandika.Lakin kama umeona hivyo basi niwie radhwi kwani mara zote napenda kutumia lugha ya kistaharabu katika maandiko yangu

Nakuomba nisome vizuri maandiko yangu KWA NIA YA KUNIELEWA na Insh'Allah utanielewa na kama utanisoma kwa NIA YA KUNIPINGA basi kuna mambo utashindwa kuyaona na hivyo kutaka turejee pale pale tulipotoka.

JIBU la suala lako nilishakujibu hapo juu nilisema hivi." Kwa mtazamo wangu na ndivyo ilivyo, kuwa kama SIASA za Tanzania zingekuwa nyoka anayetembea basi ZITTO angekuwa ni mkia. Huwezi kubadilisha chochote kwa nyoka kwa kumkata mkia. Mtu makini anakata KICHWA ili kuuwa huo mfumo".

Kwa kuongezea Masuala ya UDINI, UKABILA na UKANDA yameanza zamani sana huko Tanzania na utakuwa si msemakweli kama utasema Zitto ndio anaye yaanzisha. Huko itakuwa ni kumzulia jambo ambalo lilipandwa zamani sana na sasa ndio lipo katika hatua za mavuno.

Kwa maoni yangu ili kuepuka haya ni vizuri kuhakikisha kuwa Serikali inasimamia HAKI na USAWA kwa jamii yote bila kujali itikadi, dini, kabila wala umaarufu wa watu. NDIO MAANA KULE MWANZO NILISEMA KULETA USAWA NA HAKI NCHINI MWENU mnatakiwa kuchagua VIONGOZI SAHIHI NA WALA SIO VIONGOZI BORA.Ili waweze kusimamia maamuzi sahihi kwa ajili ya maendeleo ya nchi yenu.

Nafikiri mengi nimeandika huko mwanzo sipendi kuyarudia.

Pole sana.

 
Alinda.

Awali ya yote napenda kukupongeza kwa angalizo ulilolitoa. Japo mimi sijaona kejeli yoyote wala kijembe kwa nilichoandika.Lakin kama umeona hivyo basi niwie radhwi kwani mara zote napenda kutumia lugha ya kistaharabu katika maandiko yangu

Nakuomba nisome vizuri maandiko yangu KWA NIA YA KUNIELEWA na Insh'Allah utanielewa na kama utanisoma kwa NIA YA KUNIPINGA basi kuna mambo utashindwa kuyaona na hivyo kutaka turejee pale pale tulipotoka.

JIBU la suala lako nilishakujibu hapo juu nilisema hivi." Kwa mtazamo wangu na ndivyo ilivyo, kuwa kama SIASA za Tanzania zingekuwa nyoka anayetembea basi ZITTO angekuwa ni mkia. Huwezi kubadilisha chochote kwa nyoka kwa kumkata mkia. Mtu makini anakata KICHWA ili kuuwa huo mfumo".

Kwa kuongezea Masuala ya UDINI, UKABILA na UKANDA yameanza zamani sana huko Tanzania na utakuwa si msemakweli kama utasema Zitto ndio anaye yaanzisha. Huko itakuwa ni kumzulia jambo ambalo lilipandwa zamani sana na sasa ndio lipo katika hatua za mavuno.

Kwa maoni yangu ili kuepuka haya ni vizuri kuhakikisha kuwa Serikali inasimamia HAKI na USAWA kwa jamii yote bila kujali itikadi, dini, kabila wala umaarufu wa watu. NDIO MAANA KULE MWANZO NILISEMA KULETA USAWA NA HAKI NCHINI MWENU mnatakiwa kuchagua VIONGOZI SAHIHI NA WALA SIO VIONGOZI BORA.Ili waweze kusimamia maamuzi sahihi kwa ajili ya maendeleo ya nchi yenu.

Nafikiri mengi nimeandika huko mwanzo sipendi kuyarudia.

Pole sana.


Tuko pamoja ..Soma tena bandiko langu la nyuma.
 
unatuchekesha sasa,Rozi kamili kawa mbunge viti maalumu lini?si uchaguzi wa 2010,itakuaje hiyo iwe imeandikwa 1995
Mchambuzi Nguruvi3 nawahakikishia siwezi kukimbia mjadala,sijaona Hoja ya kunikimbiza,nikimbie kwa maneno yenu mnayomlisha Zitto, wapi Zitto kasema KLM inaipokonya ShY,Zitto kazungumzia mgawo was serikali hauko sawa,nyie mnapotosha mnaleta maneno yenu,mgawo unafanywa na serikali,ata mtoto wa darasa la NNE anajua,nyie mnajitoa akili mnasema Zitto kasema KLM inaipokonya Shy mlistahili Ban kwa upotoshaji alichosema Zitto
Ok, tueleze amesema nini kwa ufasaha. Pili, tuletee zile data alizotumia kwa hoja ya kwanza.
 
unatuchekesha sasa,Rozi kamili kawa mbunge viti maalumu lini?si uchaguzi wa 2010,itakuaje hiyo iwe imeandikwa 1995
Mchambuzi Nguruvi3 nawahakikishia siwezi kukimbia mjadala,sijaona Hoja ya kunikimbiza,nikimbie kwa maneno yenu mnayomlisha Zitto, wapi Zitto kasema KLM inaipokonya ShY,Zitto kazungumzia mgawo was serikali hauko sawa,nyie mnapotosha mnaleta maneno yenu,mgawo unafanywa na serikali,ata mtoto wa darasa la NNE anajua,nyie mnajitoa akili mnasema Zitto kasema KLM inaipokonya Shy mlistahili Ban kwa upotoshaji alichosema Zitto
Mkuu wangu hizo data za ndugu yetu JokaKuu kina Mchambuzi na Nguruvi3 wanameza mazima tu bila kuhoji usingekuwa wewe tulikuwa tumezama mtoni.

Ngoja tuendelee na hoja zetu nzito Shinyanga yaipokonya Kilimanjaro huku tunapiga vigelegele.

Data zimejaa kweli kweli.
 
Last edited by a moderator:
Wanao mkosoa Zitto wanadai wanafanya hivyo sababu Zitto hataki kuiondoa CCM, sasa watu lazima wahoji mbona wanatouti kubwa na Zitto, mbona yeye ndio kaweza kushawishi kambi zote upinzani na kuishugulikia serikali ya CCM,Mbowe na genge lake wanaupinzani wa kuongea majukwaani(maneno matupu),Zitto kapeleka miswada binafsi bungeni,na baadhi ikakubalika
Mkuu Adharusi.

Kila pro-Chadema anakuja na madai yake binafsi dhidi ya Zitto msome Lema hapa chini naye kaja na madai yake.


Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akizungumza na wakazi wa Shinyanga ambapo pamoja na mambo mengine-amewataka watanzania Kumpuuza kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe kwa madai kuwa amepewa pesa na CCM ili azunguke nchi nzima kuvuruga Chadema(UKAWA) lakini akasisitiza kuwa Kamwe Hataweza kwani wameshajua anachokifanya ndiyo maana kwenye mikutano yake hathubutu kuisema vibaya CHADEMA na maeneo aliyothubutu wananchi wamekuwa wakimzomea.Godbless Lema pia alivitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini kufanya kazi kwa kuzingatia sheria za nchi badala ya kupendelea chama Tawala.Mbunge Lema pia alisema -Kitendo cha Zitto Kabwe kujitangaza kuwa ni Mzalendo ni Unafiki Mtupu kwani Uzalendo haupimwi kwa Umaskini kwani hakuna mtu anayependa kuwa maskini kila mtu anapenda kuwa na maisha mazuri.Mkutano unaendelea-Lema pia alidai kuwa Matatizo mengi yaliyopo nchini Tanzania siyo CCM bali ni Uoga wa Watanzania wenyewe kufanya maamuzi magumu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Adharusi.

Kila pro-Chadema anakuja na madai yake binafsi dhidi ya Zitto msome Lema hapa chini naye kaja na madai yake.


Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akizungumza na wakazi wa Shinyanga ambapo pamoja na mambo mengine-amewataka watanzania Kumpuuza kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe kwa madai kuwa amepewa pesa na CCM ili azunguke nchi nzima kuvuruga Chadema(UKAWA) lakini akasisitiza kuwa Kamwe Hataweza kwani wameshajua anachokifanya ndiyo maana kwenye mikutano yake hathubutu kuisema vibaya CHADEMA na maeneo aliyothubutu wananchi wamekuwa wakimzomea.Godbless Lema pia alivitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini kufanya kazi kwa kuzingatia sheria za nchi badala ya kupendelea chama Tawala.Mbunge Lema pia alisema -Kitendo cha Zitto Kabwe kujitangaza kuwa ni Mzalendo ni Unafiki Mtupu kwani Uzalendo haupimwi kwa Umaskini kwani hakuna mtu anayependa kuwa maskini kila mtu anapenda kuwa na maisha mazuri.Mkutano unaendelea-Lema pia alidai kuwa Matatizo mengi yaliyopo nchini Tanzania siyo CCM bali ni Uoga wa Watanzania wenyewe kufanya maamuzi magumu.
Haya angalia mtu kama huyu wa kusema maneno hayo kweli... Chadema bana ilikuwa Mbowe, Zitto na Slaa basi wengine wachumia tumbo tu..
 
Mimi naamini na nitaendelea kuamini kwamba Zitto ni mpinzani mkubwa wa mfumo wa Fisi uliopo. na anapigwa vita na CCM, Chadema na vyama vingi vyenye wenyewe kwa sababu Uongozi wa chama na taifa ni utajirisho mkubwa kwao na Zitto ameonekana kuwa mwiba kuwapinga sana iwe ktk Ufisadi, Rushwa, Kujilimbikiza mali kupitia Ubunge, uwaziri na kadhalika.

Zitto akifanikiwa kuondoa Mfumo huu ama wananchi wakishtuka na kumsikiliza itakuwa hatari kubwa kwa siasa hizi za Ubwanyenye. Nasikia leo huko Bungeni, wabunge wanajiongezea kiinua Mgongo mbali kabisa na Transition Allowance kiasi kwamba mbunge ataondoka na zaidi ya millioni 200. Hakuna cha CCM, Chadema wala UKAWA walolaani mpango huu, wote wanachekelea kupata fedha ili kujiandaa kugombea tena Ubunge wakati fedha hizo zinatoka mfukoni mwa wananchi. Kama sio wizi huu ni kitu gani? Zitto akisema kuwatetea nyie, oooh anapenda sana U Supreme! Sasa kama ataboresha mfumo huu huo U supreme wake utatukomboa ama utadumaza uchumi. Ndio maana hata Sokoine hakupendwa hadi baada ya kifo chake ndio tunasikia sifa.. Unafiki mtupu.

Watu wanashindwa kutazama Itikadi na sera za chama badala yake wanampima yeye. Kiongozi wa siasa tofauti na dini hutaka kuwakomboa wananchi wakati kiiimani ya dini unajikomboa mwenyewe kwanza. Viongozi Kama Lema anayediriki kusema hawezi somesha watoto wake shule za kata huku akidai elimu bure kwa wote! sijui hawezi kuishi kimaskini kwa sababu jirani zake ni maskini wakati akitumia fedha ya maskini hao hao kuishi vizuri ni kutuonyesha wazi kwa nini yeye hayupo kuwasaidia wananchi bali anachukulia siasa kama dini kujikomboa yeye..Miafrika bana!
 
Haya angalia mtu kama huyu wa kusema maneno hayo kweli... Chadema bana ilikuwa Mbowe, Zitto na Slaa basi wengine wachumia tumbo tu..
Kuna kitu sijakielewa hapa Lema anasema Zitto hathubutu kuisema Chadema vibaya kwenye kampeni zake na chama chao ACT - Wazalendo.

Hapa Lema kakiri Zitto hana tatizo na Chadema.

Nguruvi3 yeye anasema ACT - Wazalendo kitagawa kura za upinzani.

Mchambuzi yeye anasema Zitto anapita kupambana na Chadema badala ya CCM.

Ebu niweka sawa hapa mkuu wangu tufuate maneno ya nani.
 
Last edited by a moderator:
Mimi naamini na nitaendelea kuamini kwamba Zitto ni mpinzani mkubwa wa mfumo wa Fisi uliopo. na anapigwa vita na CCM, Chadema na vyama vingi vyenye wenyewe kwa sababu Uongozi wa chama na taifa ni utajirisho mkubwa kwao na Zitto ameonekana kuwa mwiba kuwapinga sana iwe ktk Ufisadi, Rushwa, Kujilimbikiza mali kupitia Ubunge, uwaziri na kadhalika.

Zitto akifanikiwa kuondoa Mfumo huu ama wananchi wakishtuka na kumsikiliza itakuwa hatari kubwa kwa siasa hizi za Ubwanyenye. Nasikia leo huko Bungeni, wabunge wanajiongezea kiinua Mgongo mbali kabisa na Transition Allowance kiasi kwamba mbunge ataondoka na zaidi ya millioni 200. Hakuna cha CCM, Chadema wala UKAWA walolaani mpango huu, wote wanachekelea kupata fedha ili kujiandaa kugombea tena Ubunge wakati fedha hizo zinatoka mfukoni mwa wananchi. Kama sio wizi huu ni kitu gani? Zitto akisema kuwatetea nyie, oooh anapenda sana U Supreme! Sasa kama ataboresha mfumo huu huo U supreme wake utatukomboa ama utadumaza uchumi. Ndio maana hata Sokoine hakupendwa hadi baada ya kifo chake ndio tunasikia sifa.. Unafiki mtupu.

Watu wanashindwa kutazama Itikadi na sera za chama badala yake wanampima yeye. Kiongozi wa siasa tofauti na dini hutaka kuwakomboa wananchi wakati kiiimani ya dini unajikomboa mwenyewe kwanza. Viongozi Kama Lema anayediriki kusema hawezi somesha watoto wake shule za kata huku akidai elimu bure kwa wote! sijui hawezi kuishi kimaskini kwa sababu jirani zake ni maskini wakati akitumia fedha ya maskini hao hao kuishi vizuri ni kutuonyesha wazi kwa nini yeye hayupo kuwasaidia wananchi bali anachukulia siasa kama dini kujikomboa yeye..Miafrika bana!
Mkuu kabla sijajibu hoja zako, hebu tupe takwimu alizotumia Zitto kufikia hitimisho kuwa wananchi wa kanda fulani wanawapora wa kanda nyingine. Kama hiyo kauli si sawa, basi tupe kauli yake sahihi na takwimu alizotumia.

Twende taratibu mkuu
 
Kuna kitu sijakielewa hapa Lema anasema Zitto hathubutu kuisema Chadema vibaya kwenye kampeni zake na chama chao ACT - Wazalendo.

Hapa Lema kakiri Zitto hana tatizo na Chadema.

Nguruvi3 yeye anasema ACT - Wazalendo kitagawa kura za upinzani.

Mchambuzi yeye anasema Zitto anapita kupambana na Chadema badala ya CCM.

Ebu niweka sawa hapa mkuu wangu tufuate maneno ya nani.
Mkuu mbona umeingia katika kituo cha kati? Hebu rudi nyuma ili upate ufahamu mzuri wa hoja na mantiki. Nadhani umedandia treni, siyo mbaya, jambo zuri ni kutafuta treni ilianzia wapi.
 
Mkuu Adharusi.

Kila pro-Chadema anakuja na madai yake binafsi dhidi ya Zitto msome Lema hapa chini naye kaja na madai yake.


Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akizungumza na wakazi wa Shinyanga ambapo pamoja na mambo mengine-amewataka watanzania Kumpuuza kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe kwa madai kuwa amepewa pesa na CCM ili azunguke nchi nzima kuvuruga Chadema(UKAWA) lakini akasisitiza kuwa Kamwe Hataweza kwani wameshajua anachokifanya ndiyo maana kwenye mikutano yake hathubutu kuisema vibaya CHADEMA na maeneo aliyothubutu wananchi wamekuwa wakimzomea.Godbless Lema pia alivitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini kufanya kazi kwa kuzingatia sheria za nchi badala ya kupendelea chama Tawala.Mbunge Lema pia alisema -Kitendo cha Zitto Kabwe kujitangaza kuwa ni Mzalendo ni Unafiki Mtupu kwani Uzalendo haupimwi kwa Umaskini kwani hakuna mtu anayependa kuwa maskini kila mtu anapenda kuwa na maisha mazuri.Mkutano unaendelea-Lema pia alidai kuwa Matatizo mengi yaliyopo nchini Tanzania siyo CCM bali ni Uoga wa Watanzania wenyewe kufanya maamuzi magumu.
Ukiliangalia taifa kwa jicho la vyama vya siasa utaona hayo unayosema.

Ukiliangalia taifa kwa upana wake, nadhani kuna kitu unakosa.
Macho hayawezi kuangalia 360dgrees lakini ukijitahidi 180 inaweza kupatikana, na hapo ndipo ningekutia moyo upatilie mkazo
 
Mkuu wangu hizo data za ndugu yetu JokaKuu kina Mchambuzi na Nguruvi3 wanameza mazima tu bila kuhoji usingekuwa wewe tulikuwa tumezama mtoni.

Ngoja tuendelee na hoja zetu nzito Shinyanga yaipokonya Kilimanjaro huku tunapiga vigelegele.

Data zimejaa kweli kweli.
Ndiyo maana tunaomba data za supreme ili tuwe na ufahamu mzuri. Ziko wapi?

Adharusi akiulizwa anaingia mitini, uzi ukisonga mbele anakuja kinyemela
 
Mkuu kabla sijajibu hoja zako, hebu tupe takwimu alizotumia Zitto kufikia hitimisho kuwa wananchi wa kanda fulani wanawapora wa kanda nyingine. Kama hiyo kauli si sawa, basi tupe kauli yake sahihi na takwimu alizotumia.

Twende taratibu mkuu
Mkuu kabla nami sijakujibu.. Labda nikuulize moja ili tuwe msitari mmoja. Je Wanawake wanapopigania mishahara sawa huwa wana maana huporwa na wanaume? Pili, tunapozungumzia Haki za Wanawake, je, unadhani kwamba hawa wanawake kandamizwi na mfumo dume bali wanaume wenyewe? Kisha turudi kwa Zitto with open mind..
cc Alinda
 
Mkuu mbona umeingia katika kituo cha kati? Hebu rudi nyuma ili upate ufahamu mzuri wa hoja na mantiki. Nadhani umedandia treni, siyo mbaya, jambo zuri ni kutafuta treni ilianzia wapi.
Alaa nilikuwa sijui kama wewe ni TT niwe radhi nashuka kituo cha mbele.
 
Ukiliangalia taifa kwa jicho la vyama vya siasa utaona hayo unayosema.

Ukiliangalia taifa kwa upana wake, nadhani kuna kitu unakosa.
Macho hayawezi kuangalia 360dgrees lakini ukijitahidi 180 inaweza kupatikana, na hapo ndipo ningekutia moyo upatilie mkazo
Mkuu mimi mbona naliangalia taifa kwa jicho kama lako la "Chama cha siasa cha ACT mpini wa CCM kumaliza upinzani" nikayaona haya unayosema.

Labda macho yetu yanabadilika kila mara kama ya kinyonga.
 
Mkuu Adharusi.

Kila pro-Chadema anakuja na madai yake binafsi dhidi ya Zitto msome Lema hapa chini naye kaja na madai yake.


Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akizungumza na wakazi wa Shinyanga ambapo pamoja na mambo mengine-amewataka watanzania Kumpuuza kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe kwa madai kuwa amepewa pesa na CCM ili azunguke nchi nzima kuvuruga Chadema(UKAWA) lakini akasisitiza kuwa Kamwe Hataweza kwani wameshajua anachokifanya ndiyo maana kwenye mikutano yake hathubutu kuisema vibaya CHADEMA na maeneo aliyothubutu wananchi wamekuwa wakimzomea.Godbless Lema pia alivitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini kufanya kazi kwa kuzingatia sheria za nchi badala ya kupendelea chama Tawala.Mbunge Lema pia alisema -Kitendo cha Zitto Kabwe kujitangaza kuwa ni Mzalendo ni Unafiki Mtupu kwani Uzalendo haupimwi kwa Umaskini kwani hakuna mtu anayependa kuwa maskini kila mtu anapenda kuwa na maisha mazuri.Mkutano unaendelea-Lema pia alidai kuwa Matatizo mengi yaliyopo nchini Tanzania siyo CCM bali ni Uoga wa Watanzania wenyewe kufanya maamuzi magumu.

Hawayaoni haya,wao wako na Zitto,nazani watakua wamepewa kazi maalumu,watakuja kujitetea eti waliwai kuja kumkosoa Slaa...na longolongo kibao,ukitaka kuwasoma vizuri,waangalie katika Uzi wa special mgogoro, Nguruvi3 anajifanya kuwachambua wote watu,Zitto,Slaa,Mbowe,ila kaandika page nyingi sana kuhusu Zitto, kisingizio chake Zitto yupo migogoro mingi,hasemi migogoro hiyo yupo na nani?wakati Mbowe ameanza na marehemu chacha,Zitto,na wengine atagombana nao tu
 
Last edited by a moderator:
Hawayaoni haya,wao wako na Zitto,nazani watakua wamepewa kazi maalumu,watakuja kujitetea eti waliwai kuja kumkosoa Slaa...na longolongo kibao,ukitaka kuwasoma vizuri,waangalie katika Uzi wa special mgogoro, Nguruvi3 anajifanya kuwachambua wote watu,Zitto,Slaa,Mbowe,ila kaandika page nyingi sana kuhusu Zitto, kisingizio chake Zitto yupo migogoro mingi,hasemi migogoro hiyo yupo na nani?wakati Mbowe ameanza na marehemu chacha,Zitto,na wengine atagombana nao tu
Una haki ya kufikiri unavyoona.

Mkuu, hivi kukiwa na ugomvi wa Mbowe au Mbatia na Kafulila,hilo linapunguza hoja ya kwamba supreme amekuwa chanzo cha migogoro?

Tunarudi kule kule, kauli ya supreme haina matatizo kwasababu Mbowe kasema!

Adharusi, ondoa boriti katika jicho lako, ili uweze kuondoa kibanzi katika jicho lamwanzako.

Unaponituhumu sijaeleza ugomvi wa Supreme ni upi, nisisitize kwa lugha ya Mlimani City, please please, tueleze Zitto alisema nini, takwimu zipo wapi. Usikimbie wala kubadili mwelekeo.
 
Mkuu kabla nami sijakujibu.. Labda nikuulize moja ili tuwe msitari mmoja. Je Wanawake wanapopigania mishahara sawa huwa wana maana huporwa na wanaume? Pili, tunapozungumzia Haki za Wanawake, je, unadhani kwamba hawa wanawake kandamizwi na mfumo dume bali wanaume wenyewe? Kisha turudi kwa Zitto with open mind..
cc Alinda
Mkuu mfano wako ni mzuri sana. Nitaufafanua.

Kwanza, unatakiwa utueleze supreme Zitto alisema nini.

Halafu ufafanue alimaanisha nini, na kisha u-suport hoja zako kwa takwimu alizotumia.

Hili ni eneo mnalkimbia ingawa ndilo chimbuko la mijadala mizito katika jamii.

Nikirudi katika hoja yako, wanawake wanaona mfumo dume ambao ni wanaume unawatenga na kuwanyima haki.

Wanawake wote, si vigoli,akina mama au ajuza.
Ni wanawake wote wakiwaangalia wanaume, si barubaru, vijana , makamo au wazee. Ni wanaume


Supreme angaliongelea nchi na umasikini, matumizi mabaya,mgawanyo mbaya wa rasilimali unaothiri nchi kama vile kununua viti vya bilioni 8 tungeelewa.

Bilioni 8 zimetoka Shinyanga/Mwanza/K'njaro/Mtwara/Bukoba,/Kigoman.k.


Supreme hakuzungumzia tatizo kama la umasikini wa nchi.

Ameonyesha katika umasikini wapo waliopiga hatua ambao ni K'Njaro na Arusha.

Akasema, mgawanyo mbaya rasilimali kwa uporaji unapelekea maeneo hayo
kupiga hatua.


Supreme akanogesha, Shinyanga inachangia Zaidi inapatakidogo.

Kilimanjaro inachangia kidogo inapata sana.

Hapa keshaondoka katika utaifa, kaingia katika ukanda


Anajaribu kuwachonganisha wananchi kwa kutumia ukanda nauchumi.

Lengo lake likiwa kuwaambia ‘hao wanawapora' achanane nao, yeye anajua wanaporwa
yupo nao

Kwavile haangalii taifa kama wanawake wanavyowaona Wanaume,bali anaangali vigoli wanavyoonewa na masharabo na si wanaume, tayari analigawa taifa

Mbegu hiyo anayo siku nyingi tangu aliposema K'njaro imeendelea kuliko Kigoma hivyo tusiogope EAC.

Akauza hoja kwa CCM kuwa kuna ukanda kule alikokuwa naibu katibu mkuu.
Na sasa amebeba debe la ukanda ule ulealioukemea


Hapana! Tukikaa kimya ni kulisaliti taifa!

Taifa haliwezi kuvurugwa kwa siasa muflisi.Matatizo yake ya kisiasa ayamalize kwa namna zake na si kutuvuruga na kuligawataifa.

Tutamkemea! Tutakmanya, tutamuonya!
 
Haya angalia mtu kama huyu wa kusema maneno hayo kweli... Chadema bana ilikuwa Mbowe, Zitto na Slaa basi wengine wachumia tumbo tu..
Mkandara , ni hivi unaweza kuanzisha mada inayomhusu yoyote, tupo tutachangia kwa mitazamo yetu.

Huwezi kusubiri Lema azungumze ili upate utetezi wa supreme


Kila mmoja anawajibika kwa kauli zake.

Supreme na genge wanakula matapishi. Wanafanya kazi ya CCMya kueneza uongo.

Tunaomba utueleza,Zitto the supreme, alisema nini? Halafu lete takwimu

Mlipo omba takwimu zililetwa, mkasema hazifai.

Leteni alizotumia supreme kushambulia mikoa ya kaskazini kwa jitihada zao za kujiletea maendeleo.


Leteni hoja, si kutete kauli za supreme kwa vile Mbowe kasema au Lema kasema.

Mkiona ipo haja leteni mada. Hapa ni ACT mpini wa kuvuruga upinzani

Mkuu tetea hoja za supreme za kulimega taifa kwa shambulio dhidi ya mikoa ya kaskazini kwa hoja na takwimu kwanza!
 
..I think u r trying to derail our discussion.

..wewe ni mwanachama wa siku nyingi hapa na unaheshimika.

..hebu acha hiyo michezo.

JKuu:

In Tanzanian politics, there's a lot of money swirling around. There are subsidies from the government. Apart from that, western donors have poured some financial resources to help Tanzanian nascent democracy. So categorically, we can't say in 1995 CDM was broke or the party didn't us money to entice potential members. Why political parties haven't been transparent in their spending?
 
Back
Top Bottom