Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Nguruvi3,
Yaani wewe huwezekaniki wala hueleweki.Ulipoandika haya ulikuwa na maana gani
Ahaa , nimekuelewa sasa. Ngoja nikuambie kitu. Baada ya kubaini nafasi ni chache, wakazi wa Kilimanjaro wakahamia maeneo mengine. Huko waliendelea kufaulu kwasababu ushindani wa kule walikotoka ulikuwa mkubwa na uliwajenga watoto. Hutapenda hii lakini ni ukweli mtupu.

Unahitaji mfano mzuri ?

Hapa hoja si shule tena, hayo yalikuwa kujenga hoja. Kilichopo mbele yetu ni kuhusu takwimu za supreme ambazo si kuwa hazipo sawa, bali hakuzifanyia uchambuzi, wala hakutumia maarifa kufafanua kama kipo kizuri alichokusudia

Kilichomuongoza kufikia hatua ya shambulio ni ACT na Zitto kuwa na chuki dhidi ya wananchi wa mikoa waliyoishambulia kisiasa. Hakuna ushahidi mikoa hiyo ilitenda lipi baya, hakuna! Ni shambulio tu

Leo wanarudi kusaidia mount Meru Hospitali baada ya kubaini kuwa hoja zao zimeudhi umma, zimekera na zimeonyesha rangi zao kamili.

Mkuu, tetea hoja. Kama Zitto alisoma tu data mkutanoni, hivi unategemea mwanakijiji angeelewa nini tofauti na tunavyosema?

Je, ilikuwa sahihi kusoma data zinazohitaji uchanganuzi kama alivyoonyesha Mchambuzi hapo juu kwa average Tanzanian

Wewe umeshindwa kuzijibu seuse mkulima!
 
Ahaa , nimekuelewa sasa. Ngoja nikuambie kitu. Baada ya kubaini nafasi ni chache, wakazi wa Kilimanjaro wakahamia maeneo mengine. Huko waliendelea kufaulu kwa sababu ushindani wa kule walikotoka ulikuwa mkubwa na uliwajenga watoto. Hutapenda hii lakini ni ukweli mtupu.

Unahitaji mfano mzuri ?

Hapa hoja si shule tena, hayo yalikuwa kujenga hoja. Kilichopo mbele yetu ni kuhusu takwimu za supreme ambazo si kuwa hazipo sawa, bali hakuzifanyia uchambuzi, wala hakutumia maarifa kufafanua kama kipo kizuri alichokusudia

Kilichomuongoza kufikia hatua ya shambulio ni ACT na Zitto kuwa na chuki dhidi ya wananchi wa mikoa waliyoishambulia kisiasa. Hakuna ushahidi mikoa hiyo ilitenda lipi baya, hakuna! Ni shambulio tu

Leo wanarudi kusaidia mount Meru Hospitali baada ya kubaini kuwa hoja zao zimeudhi umma, zimekera na zimeonyesha rangi zao kamili.

Mkuu, tetea hoja. Kama Zitto alisoma tu data mkutanoni, hivi unategemea mwanakijiji angeelewa nini tofauti na tunavyosema?

Je, ilikuwa sahihi kusoma data zinazohitaji uchanganuzi kama alivyoonyesha Mchambuzi hapo juu kwa average Tanzanian

Wewe umeshindwa kuzijibu seuse mkulima!
Mkuu acha uchizi mimi sio mjinga kiasi hicho. Wewe umesema shule za Mwanga zilikuwa na wanafunzi 6000 walokaa mtihani na wakafaulu 62 nafasi nyingine wakapewa wa mikoani hata kama viwango vya ufaulu vilikuwa vodogo.

Inahusiana nini na wana Kilimanjaro kuhama ati wakaenda mikoani ili wapate marks ndogo? hujui hata kudanganya..Kwa mwana saikologia kama mimi huwezi nipaka mafuta ya mgongo mkuu, nimeshajua wewe ni mtu wa aina gani na una upeo gani kama wabaguzi wengine wanaoogopa kuambiwa ukweli. Kwa hiyo inatosha. Endelea na mada yako ya ACT dhidi ya Chadema sijui UKAWA..
 
Mkuu acha uchizi mimi sio mjinga kiasi hicho. Wewe umesema shule za Mwanga zilikuwa na wanafunzi 6000 walokaa mtihani na wakafaulu 62 nafasi nyingine wakapewa wa mikoani hata kama viwango vya ufaulu vilikuwa vodogo.

Inahusiana nini na wana Kilimanjaro kuhama ati wakaenda mikoani ili wapate marks ndogo? hujui hata kudanganya..Kwa mwana saikologia kama mimi huwezi nipaka mafuta ya mgongo mkuu, nimeshajua wewe ni mtu wa aina gani na una upeo gani kama wabaguzi wengine wanaoogopa kuambiwa ukweli. Kwa hiyo inatosha. Endelea na mada yako ya ACT dhidi ya Chadema sijui UKAWA..
Mkuu Mkandara.

Hii data ya Mwanga sijui kaipata wapi ngoja aje atufahamishe.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza, sijamlaumu Nyerere, nilichofanya ni kuonyesha, wananchi wa Kilmanjaro na kwingineko walikubali kwenda sambamba na wenzao.

Kuhusu wanafunzi kutonyimwa elimu kwasababu shule zao zilibaki, hoja ni kuwa shule nafasi za kusonga mbele ziliminywa.
Mwaka 1984 Wilaya ya Mwanga, wanafunzi 6000 walifanya mtihani wa std. Waliochaguliwa ksekondari ni 62.
Wakati huo huo kuna wanafunzi wa mikoa mingine walipewa nafasi hizo hata kama viwango vyao vya ufaulu vilikuwa vidogo.

Nitakushangaza nikukuambia kuwa zaidi ya wanafunzi 200 wa wilaya hiyo walienda highschool za serikali baada ya miaka 4.
Wazazi walitafuta mbadala wakawezeka. Hatuwezi kusimamakuwasota vidole kwa uwekezaji wao.

Pili,tunakubaliana Nyerere aliondoa Ombwe, kWanini leo supreme leader awasute wale walioathirika na mgawanyo huo?
Ndipo hoja inapokuwa na mashiko,Zitto alisema bila kutafakari akiongozwa na hisia zake binafasi dhidi ya wananchi wa mikoa mingine. Unakubali serikali ndio iliamua, wapi Zitto the supreme, anapata hoja ya kuwasoata vidole vya macho kwa jitihada zao.

Tatu kuhusu Mwanga, unakubali kuwa mazingira yanachangia sana maendeleo. Hongera!

Niende mbali, maji yanatoka ardhini. Wilaya ya Mwanga ipo milimani na maji yanatitirirka.
Kusiko na maji ni Bondeni ambako mradi haujalkamilika kama ule wa Shinyanga.

Sababu kubwa ni kuwa tatizo la maji Shinyanga ni kubwa kuliko Mwanga na hivyo kipaumbele ni Shinyanga.
Hivyo kulaumu wananchi wa Mwanga kwa maji yanayotoka ardhini kwa kisingizio cha serikali kuwekeza ni kichekesho mkuu.

Kuhusu umeme, Wilaya ya Mwanga imepata umeme katika miaka ya 1990 ingawa nguzo zilipita wilayani kwenda Moshi na Tanga. Wanafunzi walisoma na vibatali kama eneo lingine.unapowalaumu kwa mbinu zao kama anavyowasema Zitto, inasikitisha.

Kuhusu Zitto kusoma data za HDI kama zilivyowekwa, hapa ndipo inaonyesha udhaifu, uhuni na ulaghai.

Kiongozi mkuu alipaswa kuelewadata za HDI zinahitaji watu wenye elimu nzuri kuchanganua

Kiwenda kuwasomea wananchi ni kujenga chuki akijua wengi hawataweza kunyumbua kama anavyofanya Mchambuzi na wengine. Hivyo, 'kusoma tu' kuna mtia hatiani, kiongozi alipaswa kujua impact ya kile anachosema.
Kiongozi mzuri husoma mazingira ya hadhra yake kabla hajafungua kinywa.

Supreme alifungua kinywa na kuachia sumu, sasa anajisafisha baada ya kuharibu.

Nanyi mnamchafua kwa kumuogesha na maji machafu. Hoja zenu zinamwangamiza kama hii ya HDI.

kandara unaamini Sup alikuwa na haki ya kusoma data asizojua impact yake, na asizojua zitatafsiriwaje na wananchi! Poor supreme

Kuhusu Lindi, nipo katika rekodi ya kutetea msimamo wa gesi kuwasaidia.

Msimamo wangu ni kuwa uwepo wa gesi uwe na impact iwe direct au indirect. Nimewaasa wasomi warudi kujenga makwao kama wa Kilimanjaro ili kuleta hamasa na mwamko. Kuna mtu anaitwa 'The Big show' atanisaidia kutoa ushuhuda wa haya

Kuhusu umasikini wao, usiwapoteze kwa kuwaonea huruma bila kuwaambia ukweli.

Elimu ni muhimu sana,pa kuanzia ni hapo. Kama wataendelea kulia na viatu na kuondoa wanafunzi wakaolewe, miaka 10 ijayo wataendelea kusema hayo hayo.

Mkoa wa Kilimanjaro ni masikini kwa rasilimali muhimu ya ardhi. Huwezi kuamini nikikuambia kuwa remittance za wananchi walioko nje ya mkoa ndizo zinatumika kuwekeza katika maeneo kama elimu.

Nimekupa mfano, wananchi wa Nronga waliojenga barabara kwa sh milioni 100 za kuchangishana kwa wale walioko nje ya eneo. Lengo ni kupata barabara ili wapeleke mazao sokoni. Hapo ndipo watapata ada ya kuwapeleka watoto wao private school.

Lindi na kama Kilwa wana ardhi nzuri. Muhimu ni watu wao ambao hawana utamaduni wa kurudi na kuwEkeza katika elimu ili waweze kupata watu wenye uwezo wa kutumia ardhi.

Kwasasa wanauza mashamba kwa ajili ya kilimo cha mibono.
Wasilaumiwe kwasababu wananchi wao waliosoma wapo Dar na Arusha, hawataki kurudi kuwasaidia wanavijiji kubaini uuzaji wa ardhi ekari moja milioni 1 ni hasara ya kudumu. Watarudi kununua ardhi hiyo kwa milioni 50 miaka 10 ijayo.

Hoja muhimu ni kuwa lazima tuwatie moyo wananchi na kuwaeleza wapi wanakosea na wapi wanafanya vema.

Nipo katika rekodi nikisema Kilimanjaro inaongoza kwa utapia mlo kwasababu watu wanajali zaidi kazi kuliko maisha ya watoto.

Si kwa makusudi bali imetokea. Kwavile wana elimu tatizo limepungua kwa asilimia zaidi ya 70 tangu lilipotangazwa katika utafiti.

Hivyo kuwekeza katika elimu ni muhimu, si kuwadanganya watu wanaonewa na mikoa fulani ili hali tunajaua kuozesha mtoto au kushawishi ahame nyumbani na si kwenda shule ni kosa kubwa zaidi.

Nyumbani kwetu Tanga wana tatizo kama la Lindi, na tunaona hali ilivyo

Hayo ndiyo supreme anapita akihubiri kuwa Shinyanga na Mwanza wanaonewa na Kilimanjaro na Arusha, wakati si kweli.

Kuna dudu linaitwa CCM limeshindwa, supreme anaona haya kulitaja anaamua kufanya shambulio kubwa na kali la kisiasa dhidi ya wale walioamua kujitafutia mbadala wa maendeleo. Huu ulaghai ili apate wanachama ndio tunaupiga vita

Ni ulaghai kwasababu leo mwenyekiti wa ACT yupo Arusha akitoa misaada mount Meru.

Ingekuwa vema angeenda Shinyanga kule anakoamini wameonewa na kupunjwa na Aruaha.
Hakwenda huko akijua kuwa wanachokifanya ni ulaghai wa kisiasa.

Huku supreme anahubiri chuki kule mwenyekiti wa ACT anatangaza 'upendo'.

Ni katika ulaghai wa kisiasa na si ukweli wa mambo.

Ulaghai huo tunaupiga vita na Pakuanzia ni kwa hawa malaghai waliojidhihiri.

Masalaam
Mkuu fanya marekebisho kiduchu kwenye ili bandiko lako kisha tuendelee na mjadala wetu ACT – Wazalendo na Supreme Leader.

Kuna watu wanaweza kutumia ili bandiko lako kama reference na hizo data za Mwanga.

Ahsante.
 
Nikisoma hoja za Mchambuzi , Barubaru , nguvuri3 , Mkandara hoja #433 , #439 na #440 Zakumi na wengineo wote mnakubaliana kuwa maendeleo hayapimwi kwa GPD tu bali kwa kuangalia zaidi Tax Revenues, Historia ya eneo fulani, mwamko, idadi ya mashule, idadi ya watu, hosp na nk. na katika uchambuzi yakinifu wa mchambuzi amesema kuwa GPD inapatikana kwa kuchukua jumla ya uzalishaji kugawanya na idadi ya watu. Hivyo basi kila mtu anaelewa kama GPD ni kigezo pekee cha maendeleo basi mikoa yoote yenye wakazi wachache ingekuwa imepiga hatua mbele kimaendeleo kuliko mikoa yenye watu wengi.

Hivyo basi kama tunakubaliana kuwa GPD si kigezo cha kuangalia maendeleo katika mikoa yetu, basi tutakuwa tunakubali kuwa Zitto alifanya makosa kutoa mfn ya Arusha na Kilimanjora kuwa inamaendeleo kuliko Shinyanga kwa vile tu Shinyanga wanachangia zaidi katika pato la Taifa.

Na kama tunakubalina na hili basi hapa ndipo hoja ya nguvuri3 inaposimama kuwa pamoja na kuwa Zitto ni mchumi mzuri lakini anatumia lugha za kilaghai kufarakanisha watu. Labda kama Zitto au Adharusi wana maelezo tofauti na haya.. Natumaini Adharusi pindi atakapopata nafasi atakuja kutoa ufafanuzi ni nini Zitto alikusudia na kujibu maswali yangu no.#767
 
Mkuu acha uchizi mimi sio mjinga kiasi hicho. Wewe umesema shule za Mwanga zilikuwa na wanafunzi 6000 walokaa mtihani na wakafaulu 62 nafasi nyingine wakapewa wa mikoani hata kama viwango vya ufaulu vilikuwa vodogo.

Inahusiana nini na wana Kilimanjaro kuhama ati wakaenda mikoani ili wapate marks ndogo? hujui hata kudanganya..Kwa mwana saikologia kama mimi huwezi nipaka mafuta ya mgongo mkuu, nimeshajua wewe ni mtu wa aina gani na una upeo gani kama wabaguzi wengine wanaoogopa kuambiwa ukweli. Kwa hiyo inatosha. Endelea na mada yako ya ACT dhidi ya Chadema sijui UKAWA..
Mnatafuta namna ya kuondoka katika zinazomkabili supreme.

Nimeeleza kwa ufasaha kuwa nafasi ziligawanywa kwa mikoa baada ya mitihani ya kitaifa kubadilishwa na kuwa ya mikoa.
Hadi hapo kama huelewei basi tena

Tunasema hivi data za Zitto kama alivyoleta Adharusi na Mkandara ndizo tunajadili

Mchambuzi kaonyesha bila chembe ya shaka nini HDI. Watetezi wa supreme hakuna anayejaribu kugusa huko.

Tumeuliza, Mkandara anaposema supreme anaonewa kwa kwasababu tu kasoma data mkutanoni, tunamuuliza je ilikuwa sahihi kwa supreme kusoma data nzito na pana kama za HDI katika mkutano wa wananchi wa kawaida kabisa?

Je, Supreme alifafanua kile kilichomo ndani ya HDI?

Ni kwanini alitumia ufanano wa mikoa ya Shinyanga(16) na Kilimanjaro(9) na Arusha(7) na wala si Shinyanga na mikoa namba 1-6? Hamgusi huko
Alinda kamuuliza Adharusi na Mkandara, kuna uhusiano gani wa ato la taifa na maendeleo ya Shinyanga/Mwanza/K'njaro/Arusha? Mumekimbia

Mchambuzi kauli kama data ni za HDI kwanini zisitumike kwa Sumbawanga vs Kigoma ikiwa Sumbawanga inachangia GDP kubwa na Kigoma wana Revenue kubwa? Mumekimbia

Tumemuuliza Mkandara, baada ya uhuru kuna ushahidi gani wa wananchi wa Kilimanjaro kupewa fursa zaidi ya Shinyanga? Tumepewa jibu wao wana maji hivyo ni rahisi kuwekeza. Tumeuliza hayo maji yanaletwa na malori kutoka hazina? Mitini

Sasa watu waatafuta namna ya kufionyanga maneno. Hamtuondoi katika hoja hata kidogo.

Mchambuzi kaweka data mkasema zimepitwa na wakati. Adharusi kaweka, hamuwezi kutetea. Mkandara katupa zake zinamshatkai supreme.

Kauli ya supreme ni shambulio kwa taifa. Ulaghai hauwezi kufichwa kwa ujanja ujanja.

Jambo jema, hata ninyi mnatambua kwa hoja na takwimu ''supreme aliteleza ulimi'' na sasa kilichopo mbele yake ni kuueleza umma nia ya kulimega taifa imekusudia nini na kwanini? Hii si vita ya kanda kama anavyotaka iwe ni vita ya walaghai dhidi ya taifa

Hatutakaa kimya
 
Nikisoma hoja za Mchambuzi , Barubaru , nguvuri3 , Mkandara hoja #433 , #439 na #440 Zakumi na wengineo wote mnakubaliana kuwa maendeleo hayapimwi kwa GPA tu bali kwa kuangalia zaidi Tax Revenues, Historia ya eneo fulani, mwamko, idadi ya mashule, idadi ya watu, hosp na nk. na katika uchambuzi yakinifu wa mchambuzi amesema kuwa GPA inapatikana kwa kuchukua jumla ya uzalishaji kugawanya na idadi ya watu. Hivyo basi kila mtu anaelewa kama GPA ni kigezo pekee cha maendeleo basi mikoa yoote yenye wakazi wachache ingekuwa imepiga hatua mbele kimaendeleo kuliko mikoa yenye watu wengi.

Hivyo basi kama tunakubaliana kuwa GPA si kigezo cha kuangalia maendeleo katika mikoa yetu, basi tutakuwa tunakubali kuwa Zitto alifanya makosa kutoa mfn ya Arusha na Kilimanjora kuwa inamaendeleo kuliko Shinyanga kwa vile tu Shinyanga wanachangia zaidi katika pato la Taifa.

Na kama tunakubalina na hili basi hapa ndipo hoja ya nguvuri3 inaposimama kuwa pamoja na kuwa Zitto ni mchumi mzuri lakini anatumia lugha za kilaghai kufarakanisha watu. Labda kama Zitto au Adharusi wana maelezo tofauti na haya.. Natumaini Adharusi pindi atakapopata nafasi atakuja kutoa ufafanuzi ni nini Zitto alikusudia na kujibu maswali yangu no.#767
Alinda, tumeshawishiwa kuwa data za Mchambuzi hazifai. Tukaomba halisi kwa mujibu wao

Wameleta za HDI, Mchambuzi kazifinyanga finanyanga hakuna jibu.

Mkandara anasema Zitto alisoma tu katika mkutano, asilaumiwe
 
Kabla sijakujibu nakuomba soma maelezo haya hapa ujue kinachozungumziwa maana unachanganya serikali na wananchi. Serikali ni muwezeshajina wananchi ni matokeo ya uwezeshwaji..
Soma kipande hiki cha THDR :-

This report argues that economic growth, while welcomed and necessary, is not enough. Rather than focusing on the mere expansion of output, Tanzanianeeds to emphasize the importance of changing qualitative features of production that occur through the growth process. It needs an economic transformation forhuman development. Economic transformation refers to a structural change in the economy, characterized by lesser contribution to GDP from the agricultural sector and greater contribution from the industrial and service sectors, accompanied by a demographic transition from high birth and death rates to low birth and death rates.

For economic transformation to work for human development, it is crucial that the transformation processgoes hand in hand with the creation of employment opportunities, income growth, as well as social provisions.Put it differently, a meaningful economic transformation requires inclusive growth characterized by widespread poverty reduction and improvements in living standards.While ends in themselves, providing quality social services,such as healthcare, education, and water, ensures that Tanzanians are fit to participate in economic activities.With active guidance and leadership from the state anda vibrant private sector, economic transformation can increase productivity, create employment, and cater for social provisions, thus working for human development.

Je, unakubaliana nacho au laa...
Nakubaliana nacho au laa kwamba nini? Sijaelewa, tupe mtazamo wako wa kiuchambuzi. Vinginevyo naona kama ni kiwewe cha kulemewa hoja.

NB: pitia pia kipande hiki bofya database kushoto kisha tazama basic demographic and social economic indicators - upate kuona serikali ina wajibu gani sio wananchi, wao ni matunda ya serikali ilowajibika kwao.

Kwanini nibofye badala ya wewe kutueleza hilo? Na iwapo ni kweli kwamba serikali ina wajibu kwa wananchi, wajibu huo unatekelezwa na kipi kati ya GDP na Tax Revenues za wananchi?

Je unakubali kwamba Kodi ya serikali ni fedha za wananchi? Ikiwa unakubali kwamba fedha za serikali chanzo chake wananchi, kuna ubaya gani wananchi ku - mobilze fedha zao kwa njia nyingine mbadala kama vile michango kwa ajili ya miradi ya maendeleo badala ya kusubiri mgao wa kodi kwa ajili ya kila kitu?
 
Alinda:

Nimemuuliza Nguruvi3 suala hili mara nne, na ameshindwa kujibu. Ni wewe na Zumbekuu mmejaribu kutoa maoni yenu, japokuwa kwa ufupi au kunielimisha. Na ninashukuru kwa hilo.

Tukirudi kwenye mjadala kamili. Maendeleo ya jamii yana mambo mengi sana na huwezi kutumia darubini moja kupata jibu kwanini watu wapo nyuma au mbele kimaendeleo.

Kuhusiana kanda ya Kaskazini, people there are not monolithic. Na katika posti moja nikauliza kama Arusha wameendelea kwanini kulizaliwa mkoa wa Manyara? Hata ukichukua mkoa wa Kilimanjaro wenyewe, maendeleo hayapo sawa kwa jamii zote. Hivyo kutumia Kanda ya Kaskazini VS kanda ya Ziwa ni kuzunguka mbuyu wakati akilini tunaelewa tunasema wasukuma VS wachagga.

Ukilinganisha maendeleo ya msukuma na mchagga, au mchagga na mpare, au mpare na msukuma, kila kitu kinajieleza kwa sababu unazungumza tamaduni mbili tofauti kama mtaliano na mjerumani. Ukitumia ukanda na mapato ya serikali, kuna vitu vinaweza kujifisha. Kiasi kikubwa cha matumizi ya serikali kinaenda kwenye sehemu yenye watu wengi.

Hivyo kwa kutumia takwimu za kiserikali naweza kusema Shinyanga doesn't get its fair share of the deal. Lakini kwa kutumia mlinganisho wa maisha ya msukuma na mchagga kiutamaduni, nina sababu nyingi za kimsingi kusema kwanini wachagga wapo mbele kimaendeleo. :becky::becky:

Kuhusiana na mimi kuwa nje, nimejifunza kuwa diversity brings economic growth. Ninapokwenda Mtwara nataka kuona wazawa wa Mtwara na watanzania wengine waliohamua kwa matakwa yao kwenda kuishi Mtwara wakiendesha shughuli zao bila hofu. Wao ndio chachu za maendeleo. Lakini sitaona chachu za maendeleo, iwapo kazi walioachiwa wakazi wa Mtwara ni kufagia barabara.

Watu wengi hapa wanatumia kigezo cha elimu kutetea maendeleo yaKilimanjaro au kanda ya kaskazini. Kutokana na ndondoo zangu za kubeba mabox nilipinga hilo nikasema education isn't a prerequisite for economic growth. Nikapingwa hilo. Sijabadilisha usemi wangu. Hila huo ni mjadala mwingine.
Mkuu kuna maswali mengine hayajibiki kwasababu hapa si mahala pake.

Kwa mfano, uliuliza kwanini tunapata marais kutoka makabila madogo, sijui nikujibu nini maana unatakiwa utueleze kabila la Mwinyi ni lipi? Pili, utueleze tatizo ni Rais au ni rank nzima ya uongozi. Tutakapokujibu tayari umeshaanda dhana ya dini. Huko hatutaki kwenda

Kwa mtazamo wa haraka kuna kitu zaidi unachotaka kuzungumzia. Unaposema kwanini hatupigi vita nepotism, nashangaa maana sijui kama uliwahi kuona tulivyo na tunavyosimama kidete dhidi ya uhuni na wahuni kama BoT n.k.

Hatujafiki nepotism ya kiwango unachotaka tuamini, ndio maana tunapiga vita sana watu wanaosimama katika majukwaa kama supreme leader wakianzisha mijadala ya hovyo kama ule wa Kili Vs Shinyanga

Pili, umekubali kuwa maendeleo ni tatizo kwa nchi nzima hata katika mkoa mmoja.

Kama unakubali tofauti hizo, basi tuungane kukemea kauli za upotoshaji za supreme kuwa wapo walioendelea zaidi ya wengine kwasababu za kinyonyaji

Tatu, unakosea unaposema tukiongelea Shinyanga Vs Kili ni wasukuma na Wachagga.
Nimempa Mkanadara darsa la Kilmanjaro. Ni uelewa finyu kudhani kuwa wazaliwa wa Kilimanjaro ni wachagga. Inasikitisha.

Nne, labda utueleze prerequist ya maendeleo ni kitu gani.

Mimi nasimama kuwa ni elimu, si Tanzania bali dunia nzima. Wenzetu wenye akili wanajua hilo ndio maana hawachezi makida na elimu kama sisi. Tafuta mkoa mmoja, angalia wilaya hadi kijiji halafu uje tutaongea kwa kuchepuka chepuka

Hata supreme leader anajua hilo
 
Alinda, tumeshawishiwa kuwa data za Mchambuzi hazifai. Tukaomba halisi kwa mujibu wao

Wameleta za HDI, Mchambuzi kazifinyanga finanyanga hakuna jibu.

Mkandara anasema Zitto alisoma tu katika mkutano, asilaumiwe

Hivi unatumia akili zote hizi kumjadili Ayatollahh!!?? Nadhani haujetendei haki hili linawafaa labda kwa watu wa karibu yake kama Mkandara na wale wa Deen yetu.
 
Mnatafuta namna ya kuondoka katika zinazomkabili supreme.

Nimeeleza kwa ufasaha kuwa nafasi ziligawanywa kwa mikoa baada ya mitihani ya kitaifa kubadilishwa na kuwa ya mikoa.
Hadi hapo kama huelewei basi tena

Tunasema hivi data za Zitto kama alivyoleta Adharusi na Mkandara ndizo tunajadili

Mchambuzi kaonyesha bila chembe ya shaka nini HDI. Watetezi wa supreme hakuna anayejaribu kugusa huko.

Tumeuliza, Mkandara anaposema supreme anaonewa kwa kwasababu tu kasoma data mkutanoni, tunamuuliza je ilikuwa sahihi kwa supreme kusoma data nzito na pana kama za HDI katika mkutano wa wananchi wa kawaida kabisa?

Je, Supreme alifafanua kile kilichomo ndani ya HDI?

Ni kwanini alitumia ufanano wa mikoa ya Shinyanga(16) na Kilimanjaro(9) na Arusha(7) na wala si Shinyanga na mikoa namba 1-6? Hamgusi huko
Alinda kamuuliza Adharusi na Mkandara, kuna uhusiano gani wa ato la taifa na maendeleo ya Shinyanga/Mwanza/K'njaro/Arusha? Mumekimbia

Mchambuzi kauli kama data ni za HDI kwanini zisitumike kwa Sumbawanga vs Kigoma ikiwa Sumbawanga inachangia GDP kubwa na Kigoma wana Revenue kubwa? Mumekimbia

Tumemuuliza Mkandara, baada ya uhuru kuna ushahidi gani wa wananchi wa Kilimanjaro kupewa fursa zaidi ya Shinyanga? Tumepewa jibu wao wana maji hivyo ni rahisi kuwekeza. Tumeuliza hayo maji yanaletwa na malori kutoka hazina? Mitini

Sasa watu waatafuta namna ya kufionyanga maneno. Hamtuondoi katika hoja hata kidogo.

Mchambuzi kaweka data mkasema zimepitwa na wakati. Adharusi kaweka, hamuwezi kutetea. Mkandara katupa zake zinamshatkai supreme.

Kauli ya supreme ni shambulio kwa taifa. Ulaghai hauwezi kufichwa kwa ujanja ujanja.

Jambo jema, hata ninyi mnatambua kwa hoja na takwimu ''supreme aliteleza ulimi'' na sasa kilichopo mbele yake ni kuueleza umma nia ya kulimega taifa imekusudia nini na kwanini? Hii si vita ya kanda kama anavyotaka iwe ni vita ya walaghai dhidi ya taifa

Hatutakaa kimya
walanalimegaje Taifa,wakati wewe ndio uliemlisha Maneno kwa kujitoa uelewa kwa chuki zako, Mchambuzi na Nguruvi3 kazi yao kutafsiri kwa chuki maelezo ya watu wasiowapenda,wako tayali wakusingie neno,ata kama ujasema.
 
Last edited by a moderator:
Alinda:
Kiasi kikubwa cha matumizi ya serikali kinaenda kwenye sehemu yenye watu wengi.

Katavi ina idadi Ya wananchi Karibia sawa na Mbozi, au Kwimba, Au Nzega au Kilosa. Lakini hizi Ni Wilaya, huku Katavi ikipewa hadhi Ya mkoa. Je kati Ya wilaya Hizi nne na mkoa wa Katavi, Ni Wapi kiasi kikubwa cha matumizi Ya serikali yanaenda? Je Ni kutokana na idadi Ya wakazi wa maeneo husika kweli?
 
walanalimegaje Taifa,wakati wewe ndio uliemlisha Maneno kwa kujitoa uelewa kwa chuki zako, Mchambuzi na Nguruvi3 kazi yao kutafsiri kwa chuki maelezo ya watu wasiowapenda,wako tayali wakusingie neno,ata kama ujasema.

Vipi, Laptop bado ipo kibiti? Nilitarajia utakuja kupangua hoja kwa hoja za kitakwimu.
 
Last edited by a moderator:
Sawa kabisa sasa inajulikana kwamba Zitto alitumia GDP kuonyesha jinsi mfumo mbovu wa mikataba unavyoweza kuwagharimu wananchi wa Shinyanga!
Zitto hajui uchumi basi, Ni mbabaishaji mbali Ya kuwa mlaghai na mbaguzi. Tukijikita Katika ukweli unaojitokeza kwamba Zitto hajui uchumi, je:

Matatizo yetu Ni volume of output (GDP) contribution Ya sekta Ya Madini au mapato Ya Kodi katika sekta Ya Madini? Tanzania sasa Ni top three in terms of output Ya mining sector in Africa. Tanzania sasa inavutia wawekezaji wakubwa kutoka kila pande ya dunia Kuja kuwekeza Kwenye mining sector, lakini kwa kauli yako japo juu hence Ya supreme zitto, hilo Ni tatizo. Nini kigumu kujua kwamba Kilio Chetu Ni low revenues and not large output Ya sekta Ya Madini?

Kwa kweli mnasikitisha sana na mchumi wenu uchwara Zitto Kabwe.
 
Last edited by a moderator:
Vipi, Laptop bado ipo kibiti? Nilitarajia utakuja kupangua hoja kwa hoja za kitakwimu.
Kawaida yao, wakiona jiko moto wanatulia.Uzi ukisonga mbele utaona wanachomoa bandiko na kuanza kulijadili kana kwamba hawakuona ya nyuma

Huyu tulikubaliana na data zake za fb, nashangaa kashidwa kusimama kuzitetea
Anasema watu wana chuki, yaani alitaka tumeze fb style
 
Mkuu kuna maswali mengine hayajibiki kwasababu hapa si mahala pake.

Kwa mfano, uliuliza kwanini tunapata marais kutoka makabila madogo, sijui nikujibu nini maana unatakiwa utueleze kabila la Mwinyi ni lipi? Pili, utueleze tatizo ni Rais au ni rank nzima ya uongozi. Tutakapokujibu tayari umeshaanda dhana ya dini. Huko hatutaki kwenda

Kwa mtazamo wa haraka kuna kitu zaidi unachotaka kuzungumzia. Unaposema kwanini hatupigi vita nepotism, nashangaa maana sijui kama uliwahi kuona tulivyo na tunavyosimama kidete dhidi ya uhuni na wahuni kama BoT n.k.

Hatujafiki nepotism ya kiwango unachotaka tuamini, ndio maana tunapiga vita sana watu wanaosimama katika majukwaa kama supreme leader wakianzisha mijadala ya hovyo kama ule wa Kili Vs Shinyanga

Pili, umekubali kuwa maendeleo ni tatizo kwa nchi nzima hata katika mkoa mmoja.

Kama unakubali tofauti hizo, basi tuungane kukemea kauli za upotoshaji za supreme kuwa wapo walioendelea zaidi ya wengine kwasababu za kinyonyaji

Tatu, unakosea unaposema tukiongelea Shinyanga Vs Kili ni wasukuma na Wachagga.
Nimempa Mkanadara darsa la Kilmanjaro. Ni uelewa finyu kudhani kuwa wazaliwa wa Kilimanjaro ni wachagga. Inasikitisha.

Nne, labda utueleze prerequist ya maendeleo ni kitu gani.

Mimi nasimama kuwa ni elimu, si Tanzania bali dunia nzima. Wenzetu wenye akili wanajua hilo ndio maana hawachezi makida na elimu kama sisi. Tafuta mkoa mmoja, angalia wilaya hadi kijiji halafu uje tutaongea kwa kuchepuka chepuka

Hata supreme leader anajua hilo

Nguruvi3:

Usiseme kwa mfano wakati nimeuliza swali moja mara nne na kukuomba utoe maoni au majibu yako. Ulishindwa kufanya hivyo. Nitakuelewa ukisingizia sababu za kiufundi kwa sababu naona bado unashindwa kujibu swali lenyewe na yale ya zaida.

Vilevile kuna maswali mengine ni rethorical questions. Yanaulizwa kujenga hoja na sio kupata majibu. Kuhusu Mwinyi, Yeye kazaliwa mwanalomango, Kisarawe na ni Mzaramo.

Kuhusu kukemea sina mamlaka ya kukemea mtu na vilevile sina mamlaka ya kuzuia haki za mtu za kikatiba. Zitto ana haki zake za kikatiba ambazo ni zilezile zilizokupa wewe na Mchambuzi uwezo wa kumwita Zitto Supreme Leader, Evil, mlaghai, --------- na kadharika.

Hakuna democracy tambarare.
 
Katavi ina idadi Ya wananchi Karibia sawa na Mbozi, au Kwimba, Au Nzega au Kilosa. Lakini hizi Ni Wilaya, huku Katavi ikipewa hadhi Ya mkoa. Je kati Ya wilaya Hizi nne na mkoa wa Katavi, Ni Wapi kiasi kikubwa cha matumizi Ya serikali yanaenda? Je Ni kutokana na idadi Ya wakazi wa maeneo husika kweli?

Supreme Mchumi unalazimisha point. Ni vyombo vingapi vya kiserikani vipo kwenye eneo lenye watu wengi? Afu umekimbia swali langu. Ngoja nirudie.

Je umerudisha kadi ya yanga (CCM)?
 
Nikisoma hoja za Mchambuzi , Barubaru , nguvuri3 , Mkandara hoja #433 , #439 na #440 Zakumi na wengineo wote mnakubaliana kuwa maendeleo hayapimwi kwa GPD tu bali kwa kuangalia zaidi Tax Revenues, Historia ya eneo fulani, mwamko, idadi ya mashule, idadi ya watu, hosp na nk. na katika uchambuzi yakinifu wa mchambuzi amesema kuwa GPD inapatikana kwa kuchukua jumla ya uzalishaji kugawanya na idadi ya watu. Hivyo basi kila mtu anaelewa kama GPD ni kigezo pekee cha maendeleo basi mikoa yoote yenye wakazi wachache ingekuwa imepiga hatua mbele kimaendeleo kuliko mikoa yenye watu wengi.

Hivyo basi kama tunakubaliana kuwa GPD si kigezo cha kuangalia maendeleo katika mikoa yetu, basi tutakuwa tunakubali kuwa Zitto alifanya makosa kutoa mfn ya Arusha na Kilimanjora kuwa inamaendeleo kuliko Shinyanga kwa vile tu Shinyanga wanachangia zaidi katika pato la Taifa.

Na kama tunakubalina na hili basi hapa ndipo hoja ya nguvuri3 inaposimama kuwa pamoja na kuwa Zitto ni mchumi mzuri lakini anatumia lugha za kilaghai kufarakanisha watu. Labda kama Zitto au Adharusi wana maelezo tofauti na haya.. Natumaini Adharusi pindi atakapopata nafasi atakuja kutoa ufafanuzi ni nini Zitto alikusudia na kujibu maswali yangu no.#767

Alendi:

Hiyo definition ni GDP au GDP per capital? Ufafanuzi. Sisi wengine shule tulikimbia.

Kuhusiana na maneno ya Zitto, wengi hapa mko trained kuchambua facts. But you have to understand that politics isn't about facts, but narratives. Those who control narratives always win.
 
Mkandara,

Nadhani sasa ni wasaa wenu kukubali tu ukweli kwamba kiongozi wetu mkuu Zitto aliteleza. Ni wajibu wenu kumsaidia, na sio kujitoa muhanga kuteleza nae mpaka maka. Naomba nichangie katika sehemu hiyo yenye nyekundu hapo juu.


Unatumia Human Development Index (HDI) kama indicator ya kubaini wananchi wa mkoa upi wapo mbele, na wa mkoa upi wapo nyuma. Pengine wewe na supreme leader wenu zitto hamuelewi HDI composition yake ni nini, ndio maana mnakuwa walaghai. Twende pole pole na tutabaini:

1. Kati ya Shinyanga na Kilimanjaro, nani yupo nyuma na kwa ninim
2. Nini au Nani alaumiwe juu ya hali ya mkoa mmoja kuwa nyuma namkoa mwingine kuwa mbele na kwa nini.

Hiyo “Human Development Index” yenu inaangalia vigezo vikuu vinne:

1. Life expectancy.
2. Average years of schooling.
3. Expected years of schooling.
4. GDP Per Capita.

Kwa vigezo hivi, kwa mtazamo wako, ambao inaonekana pia upo shared na supreme leader wenu zitto, Shinyanga ipo nyuma ya Kilimanjaro katika yote haya manne. Na bila haya, unahoji – Je:

“Aloachwa ataweza vipi kuchangia revenue zaidi”?

Tujadili:
1. GDP. Tayari tunajua nini maana ya dhana hii.

· Kwa mujibu wa takwimu za 2010/2011 kama mfano, GDP ya Shinyanga ilikuwa ni shilingi bilioni 1.9. Katika kipindi hicho hicho, GDP ya Kilimanjaro ilikuwa ni shilingi bilioni 1.4. Tukiamua kufuata na kuamini bila kuhoji kauli za kilaghai za Zitto, basi Shinyanga ilichangia zaidi katika pato la taifa kuliko Kilimanjaro. Je ni kweli? Hapana, ni ulaghai. Tutaona punde.

Kwa upande mwingine:

Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2010,tax revenues za mkoa wa shinyanga zilikuwa ni shillingi bilioni 11.2, na kwa kilimanjaro, shillingi bilioni 72.4.

Tukirudi kwenye hoja yako kwamba “Aloachwa ataweza vipi kuchangia revenue”. Shinyanga imemwacha Kilimanjaro in terms of GDP Contribution (ingawa wala sio kwa kiasi kikubwa), lakini huyu Kilimanjaro anachangia zaidi in terms of Makusanyo ya Kodi, tena kwa mbali sana.

Kwa maana nyingine, Kilimanjaro inachangia mapato ya kodi karibia mara saba ya mchango wa Shinyanga. Kumbuka, GDP haikusanywi, ni hesabu tu bila ya kujalisha nani anamiliki productive assets, tulishajadili hili kwa kina. Lakini Tax revenues, ni zile wananchi wa kada mbalimbali wanatozwa katika jurisdiction husika. Kumbuka, social contract baina ya serikali yoyote katika nchi ya kidemokrasia ni Tax revenues, sio GDP. Ni Tax revenues na matumizi yake ndio yanaipa serikali husika legitimacy ya kutawala au kuinyima legitimacy hiyo.


Jamani, mnahitaji kuambiwa kwa lugha gani ya kistaarbu ili muelewe kwamba Zitto ni mlaghai na mbaguzi?

Tuendelee kuchambua hoja yako na msaliti zitto ambayo inaipa Human Development Index uzito mkubwa kiasi cha kuanza kubagua watanzania. Tuangalie zaidi “GDP Per Capita”, ambayo ni moja ya vitu vinavyojenga “HDI” yenu.

Kwa mujibu wa Takwimu za 2010/2011, GDP Per Capita kwa mikoa hii miwili ni kama ifuatavyo:

· Kilimanjaro = approx 1,000,000/=
· Shinyanga = approx 670,000/=

Inaonekana mchumi wenu uchwara na msaliti Zitto hajui GDP per capita inapatikana vipi. Ni hivi, GDP Per capita ni takwimu tu, ambayo inapatikana kwa kuchukua jumla ya uzalishaji/output (GDP) - mfano ya shinyanga au Kilimanjaro, na kuigawanya na jumla ya idadi ya watu (population) - kwa mfano ya shinyanga au Kilimanjaro.

Population ya Kilimanjaro ni takribani watu 1.4million, huku population ya Shinyanga ikiwa karibia watu 2.8 million, kama mara mbili ya idadi ya watu wa Kilimanjaro. Usisahau hili.

Ukigawanya hizi population katika GDP za mikoa husika unapata rough figures (GDP Per Capita) kama tulivyo ona hapo juu.

Huko nyuma nilimueleza Zakumi kwamba GDP Per Capita as an indicator imepitwa na wakati na kwamba wataalamu na watafiti mbalimbali wa masuala ya uchumi na maendeleo kutoka nchi zilizoendelea na zinazoendelea, wapo njiani kuibadilisha. KWa mfano, Joseph Stiglitz, Amartya Sen na wengineo. Zakumi akapinga kwa hoja kwamba GDP Per Capita is supreme and it tells the whole story.

Tumeona GDP ya Shinyanga ni kubwa kidogo kuliko Kilimanjaro, lakini GDP Per Capita ya Kilimanjaro kuwa kubwa zaidi ya Shinyanga. Kwanini supreme Zitto hasemi ukweli? Kwanini na nyinyi badala ya kumsaidia mnazidi kupotosha umma?

Kinachofanya GDP Per Capita ya Shinyanga iwe ndogo zaidi ya ile ya Kilimanjaro ni suala moja tu – tofauti kubwa ya idadi ya watu baina ya Kilimanjaro na Shinyanga, basi!. Maswali kwenu:

· Je, wananchi wa Kilimanjaro walaumiwe kwa kuwa na mchango mdogo zaidi ya Shinyanga (GDP wise), lakini pato kubwa zaidi (GDP Per Capita) kwa sababu tu wapo makini zaidi linapokuja suala la controlling population growth/family planning?

Tumeona kwamba Kilimanjaro mchango wao ni mdogo zaidi (GDP) ya Shinyanga (ingawa kwa tofauti ndogo sana) lakini mchango wa Kilimanjaro (in terms of tax revenues) ni karibia mara saba ya ule wa Shinyanga. Swali kwenu:

· Je, ni sahihi kusema kwamba Shinyanga wananyonywa na Kilimanjaro? Kwa hoja zipi?

Ni muhimu Zitto aje humu kukiri kwamba aliteleza, vinginevyo hatuta acha kutetea taifa letu lisivurugwe na wabaguzi na wa binafsi kama Zitto kabwe. Never.

Tuangalie vigezo vingine vya hiyo Human Development Index ambayo Supreme leader zitto anazunguka nayo kwenye mkoba wake wa usaliti na ubaguzi nyinyi wafuasi wake kudandia upuuzi huo bila kutumia akili zenu kuchambua mambo. Vigezo hivyo ni:

Life Expectancy, Average Years of Schooling and Expected Years of Schooling.

Life Expectancy:

Wastani Kitaifa ni miaka 55. Shinyanga, wastani wake (miaka 55), sawa sawa na wastani wa taifa. Tuendelee. Kilimanjaro, life expectancy yake ni zaidi ya wastani wa taifa na wa Shinyanga, yani miaka 67. Je:
Wa kulaumiwa hapa ni nani? Je, ni mkoa ambao unajali zaidi uzazi wa mpango (Kilimanjaro) au mkoa ambao haupo makini katika hilo (Shinyanga)?

· Je Shinyanga wanahitaji nini ili waweze kuwa maini zaidi na masuala ya afya kama vile family planning programme?
· Je, uzazi wa mpango unahitaji fedha kiasi gani cha fedha za walipa kodi ili kufanya ufanikiwe Shinyanga kama Kilimanjaro?
· Je, Kilimanjaro wamekosa nini kuwa makini zaidi katika hilo na wamefanikiwa kwa kumyonya nani?
· Je, kama ni fedha zimetumika, zimetoka wapi, kwenye GDP au Tax Revenues?

Tukiwa bado kwenye suala la Human Development Index, tuangalie kidogo juu ya janga la Ukimwi. Kwa mujibu wa takwimu za NBS, wastani wa taifa (HIV prevalence) ni 5.8%. Kwa mkoa wa Kilimanjaro, ni 1.9%. Kwa mkoa wa Shinyanga, ni 7.6%, kwa maana kwamba Ukimwi mkoani Shinyanga, prevalence yake ni above National Average. Hili ni suala ambalo linahusika moja kwa moja na life expectancy, hence Human Development Index yenu mnayozunguka nayo kwenye mikoba kuladhai na kubagua watanzania. Je:

· Wa kulaumiwa juu ya janga la ukimwi ambalo linachangia life expectancy ya Shinyanga kuwa ndogo kuliko Kilimanjaro, ni wananchi wa Kilimanjaro? Kwa hoja zipi?

Pia kuna suala la ‘Doctor to Patient Ratio’. Mkoa wa Kilimanjaro has a higher ratio than Shinyanga kwa maana ya kwamba Kilimanjaro kama mkoa, idadi ya Madaktari kwa kila wananchi elfu moja ni kubwa zaidi kyuliko idadi hiyo kwa mkoa wa Shinyanga. Mbali ya takwimu hii kuwa bora zaidi Kilimanjaro kutokana na mkoa huu kuwa na more effective family planning system kuliko Shinyanga, lakini pia ni jambo lililo wazi kwamba wananchi wa Kilimanjaro wanajulikana sana kwa pia juhudi zao za kusomea fani ya udaktari. Lakini muhimu zaidi, Kilimanjaro inaongoza kwa ku – retain madaktari wao mkoani humo baada ya kumaliza masomo ya udaktari. Retain rate ni kubwa kuliko Shinyanga. Swali kwako, Je:

· Ni haki kweli kulaumu wananchi wa Kilimanjaro kuwa na HDI kubwa (refer to life expectancy argument) kuliko wananchi Shinyanga?

Components za mwisho ambazo zinajenga hiyo HDI yenu ni Average Years of Schooling and Expected Years of Schooling. Katika hili, sina haja ya kujadili kwani Nguruvi3, Mag3, na wengine wamelijadili vyema sana.

Cc Waberoya, Ritz, adhurusi


Mchambuzi:

Naomba uonyeshe sehemu niliyosema kuwa GDP tells the whole story. Ama sivyo hayo ni maneno yako.

Pili kumbuka kuwa hata wenye mawazo unayoyaona ya kibaguzi na hatari kwa usalama wa taifa ni watanzania na wana haki zao ya kitaifa na kikatiba. Hivyo mtazamo wako haukufanyi kuwa more Tanzanian than others.

Mada kamili ni ACT - mpini wa CCM kumaliza upinzani. Wewe si CCM, tuambie kwanini mnataka kuua upinzani? Usiwe unamlaumu Zitto wakati Taasisi yako ndio yenye kuendesha hujuma.
 
Back
Top Bottom