Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Nguruvi3:

Kwanini unaomba twakimu wakati maswali mengi tu unaogopa kuyajibu? Kwenye zaidi ya posti tatu nimekuuliza kwanini mnaona uzito kukemea ubaguzi wa kidini, kikabila, kikanda unaofanya wa viongozi wa juu wa vyama vya kisiasa, wafanyabiashara au viongozi wa serikali?

NI viongozi gani, na wa dini gani wamebagua/wabegauliwa na ni kivipi wamebaguliwa? Maana ukisema "Viongozi" bila kutaja aina ya ubaguzi waliofanya utakuwa hautendei haki mjadala.

Pia kwa vile wewe ni Tanzania bila shaka unapinga ubaguzi wa kidini, kikabila, kikanda na nk kwa nguvu zako zote. Je ni lini wapi wewe kama @Zakumi ulikemea hilo?
Je nani anapaswa ukukemea ubaguzi wa aina yeyote ile pindi pale mtu unapoona/au unapohisi sehemu fulani kuna ubaguzi?


Je nikienda TRA, BOT, Usalama wa Taifa, nitapata takwimu zinazoonyesha diversity ya nchi au watu walipata ajira kwa juhudi na sio kubebwa?

Unahusisha matamshi ya Zitto na matukio ya Rwanda. Matatizo ya Rwanda hayakutokea kwa sababu ya siasa tu. Yalikuwa mpaka kwenye muundo wa ajira.

Kwa hiyo sentesi unakubali "matamshi ya Zitto" ni sababu mojawapo inayoweza kuleta machafuko kama yaliyotokea Rwanda.. Sasa kama ni hivi kipi bora kuzikemea mapema ili kuhepusha madhara ya hapo baadaye au kuziacha bila kukemewa na baadaye madhara yakishatokea tuje hapa tuseme "ooh mie nilijua tu kuwa hiki na kile kitakotea"

Kwanini watanzania wanachagua rais kutoka makabila madogo na sio makabila makubwa? Kwanini mhaya ana nafasi ndogo sana ya kuwa rais?

Sasa kama Mhaya hakujitokeza kugombea urais unataka watu wamchague tu kwa vile ni kabila kubwa? au kama hana sifa abebwe na sifa ya kabila lake ambalo ni kubwa? Tusianze kuangalia rais anatoke wapi, au ni kabila gani, au ni dini gani? tunachopeswa kuangalia ni je huyu rais ni Mtanzania? na je anaguswa na matatizo ya Mtanzania? je ni mchapakazi? mpiga vita rushwa na nk. Mambo ya dini, au sehemu atokayo hayana nafasi.

Na nilitegemea mtu kama wewe ambaye umepata bahati ya kuishi katika ulimwengu wa kwanza ungekuwa wa kwanza kupiga vita udini, ukabila na nk. lakini kwa bahati mbaya unangalia mtu kwa kabila lake na ukianza kabila kitakachofuata ni dini, na baada ya hapo ni maumbile.

Je nini walichonacho makabila makubwa na makabila madogo hawana? na Je nini tofauti kati ya mhaya na "mkara" au msimbiti? Sasa kama wote ni sawa, na wote ni watanzani kwani tatizo liko wapi?

Tumtazame mtu kama mtanzania, tumuhukumu kwa matendo yake si kwa dini yake au kwa kabila lake au kwa maubile yake.
Ulaya na Amerika wamepiga hatua ya kwenda mbele baada ya kuondoa kichwani mwao huu ukabila husio na kichwa wala miguu.. mfn mzuri ni Amerika leo Obama ni rais wao, mtu ambaye baba yake si Mmarekani maana wao unachoangalia ni utaifa, uchapakazi wa mtu, mapenzi ya mtu kwa nchi yake na watu wao na nk.

Lakini leo hii sisi tunaanza kumuangalia mtu ambaye ni mtanzania tena utanzania husio na shaka eti ni kabila gani, eti ni dini gani? kweli? hakika ni uchungu!!

Mtu mweusi kupiga hatua kwenda mbele itakuwa ni miujiza maana mtu ambaye ameelimika, amabaye tulitegemea ukasaidie watu wa vijijini wenye mauno ya ukabila na udini kuwapa elimu lakini ndo kwanza mtu huyu huyu anakuwa mstari wa mbele kuangalia vitu kwa jicho la udini/ukabila. Hakika waafrika tunajichimbia mashimo katika bara bara tunayotarajia kupita..

Yaani hakuna kitu kinachoniudhunisha tunapobaguana wenyewe kwa wenyewe...

Mimi kama Alinda ni mkristo, sina tatizo kama leo ningeenda TRA au Bank au ofisi yeyote ile nikakuta waislamu watupu au wachaga watupu, kwangu mimi kitu muhimu ni utanzania (ndo thamani yetu, ndo dhahabu yetu)
Nitaumia nikiingia ofisi yeyote ile na kukuta wakristo wakenya.. Hiki kitu kitaniumiza.

Tushikamane, sisi sote ni watanzania, sisi sote ni ndugu, Tanzania ndo mama yetu, ndo baba yetu, haya tunayoyaandika kuhusu wanasiasa yasitufarakanishe... Wewe @Zakumi ni mtanzania mwenzangu na ndo kitu muhimu kwangu...

Najua hii posti utaacha kuijibu.


mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
 
Alinda.

Hapa nilitaka nikupe darsa kiduuuchu kuhusu masuala yako hapo juu.

Uchangiaji wa mkoa katika pato la Taifa hauhusiani kabisa na maendeleo ya mkoa. Bali Maendeleo ya nchi yote yanawekwa katika Vipaumbele vya nchi husika na hivyo ndivyo vinavyotoa dira ya bajeti ya mwaka au kipindi fulani ya nchi.

Kama umesoma bajeti pendekezwa ya Tz ya mwaka huu 2015/2016 yenyewe imeonyesha vipaumbele vyake kuwa ni Uchaguzi mkuu, Kura ya maoni ya Katiba Mpya, Kilimo, Afya na Ilmu. Sasa kwa hilo pesa nyingi za bajeti yenu mwaka huu itaelekezwa katika mambo hayo na mengine yanawekwa kama matengenezo / ukarabati na dharula.

Nikiwa kama mchumi kama Tz ingeweka mkazo katika Bandari ambayo ndio njia kuu ya kukusanya mapato yake ( mfano Dar wao hawalimi zao lolote lakin wanaongoza kwa ukusanyaji wa kodi ni kwa sababu ya Bandari tu. Kwani kwanza bandari yenyewe ina makusanyo mengi na makubwa lakin pia viwanda vinatumia uwepo wa bandari hiyo katika kuagizia mitambo na vipuri lakin pia hata kuuza biashara zao nje. Na mwisho ni wafanyabiashara wanavyotumia bandari hiyo kusafirishia bidhaa zao za kuja kuuza Tz na kwengineko).

Sasa kama ingeweka mkazo katika Bandari kama wanavyofanya Kenya au nchi zote Duniyani basi Bandari ya Mtwara na Tanga zingeinua sana makusanyo ya kodi kwani ndanimwe mizigo kama ya Uganda, Burundi, Rwanda, Malawi na Zambia ingepita humo bila usumbufu.Na kwa ujio wa hiyo Gas huko Mtwara basi saa hizi Mtwara ingekuwa ya kwanza mbele ya Dar katika kukusanya kodi.

Tatizo lililopo kwa Tz ni ubinafsi na siasa kushika hatamu za uchumi ndio maana vipaumbele vyake vinalenga baadhwi ya mikoa kisiasa na sio kiuchumi na hivyo nchi nzima kuzama katika umasikini.


Nashukru kwa darsa lako safi..
 
Mkuu ni katika upuuzi wetu tunafaidika na huduma za ujanja wako.

Mkuu tusaidie sasa, ingawa hizo si takwimu alizotumia supreme na hata unaona WanaMahaba wake mnavyopingana, tungependa utufahamishe, kipi hasa kimetumika katika kauli ya supreme, Revenue au GDP?

Usichoke tusiadie, ndilo lengo la elimu kwa umma

cc Mchambuzi
Mkuu Kama huelewi tunachokieleza hapa unadhani utaweza vipi kueleweshwa zaidi ikiwa hata kwa akili ya kawaida unashidnwa kuelewa mchango wa mtu sio pato la mtu. Hata biashara unaweza weka Mtaji mkubwa ukapata faida kidogo zaidi ya mwenye mtaji mdogo akawa na faida kubwa, lakini pamoja na faida kubwa bado unaweza kuwa ni mtaji na faida isokidhi mahitaji yako yote. na jinsi utakavyotumia mapato yako ni kitu kingine tena... Sijui unanielewa?..

Sasa nakuomba rudi ktk site ya THDR alokupa adharusi kuna pahala nime highlight pasome na uwelewe na kama hukuelewa huko basi itanipa shida sana kuendelea kujadili kitu ambacho kimezungumziwa kwa uwazi kabisa.. Kipande hicho kinasema hivi kuhusu Tanzania:-

Ranking at159 out of 187 countries, the UNDP's Global HumanDevelopment Report for 2014 has therefore classified Tanzania as a low human development country. Whatis even more striking is that the country's position inthe HDI ranking has decreased by seven positions incomparison to the previous year.Disaggregating the HDI on a regional level revealsstark differences in levels of human development within Tanzania. While most regions in Tanzania have HDI scores comparable to countries with low HDI scores, three regions – Arusha, Kilimanjaro, and Dar es Salaam– have HDI scores comparable to those countries with medium HDI levels.

Tanzania's low human development ranking is furtherconfirmed by the Multidimensional Poverty Index (MPI).Similar to HDI, the MPI is a three dimensional measure ofhuman development. MPI, however, differs from HDI inone important aspect: contrary to HDI, which measuresaverage achievements in living standards, health, and education, MPI measures a wide range of deprivationsfaced by individuals and households. In recent years,MPI has emerged as a strong alternative for measuringpoverty.

Key Components of Human DevelopmentIn order to attain a more in depth analysis of the statusof human development in Tanzania, the report looks atthe different components of HDI and MPI in detail.The worrisome assessment generated from the aggregatemeasurements presented above remains unchanged.

Despite high GDP growth rates of over 6% during the last decade, the poverty rate has only marginally declined from 33.3% in 2007 to 28.2% in 2012.2A clearer picture on poverty in Tanzania is manifestedby the poverty profile which demonstrates low livingstandards amongst many households.

In relation tothis is a well-known fact that poverty in Tanzania is a rural phenomenon where living standards are worse offcompared to those of urban households. For example,while the use of electricity for lighting has doubled from 10% in 2002 to 21% in 2012, usage in rural areas is stillonly at 8% (compared to 49% in urban areas). Moreover,67% of households in Tanzania live in dwellings with floors made of earth, sand, or dung, while 63% of households have no access to piped water as the mainsource for drinking. Similarly, both the use of wood ascooking fuel and the lack of adequate sanitation for thevast majority of the population are concerning.

With regard to health, Tanzania has made significantprogress in the last decade. Life expectancy rose from51 years in 2002 to 61 years in 2012. Infant mortalitydeclined from 68 deaths per 1000 live births in 2005,down to 45 in 2010. The MDG of reducing infantmortality down to 38 deaths per 1000 live births by2015 thus seems achievable. Under-nutrition, however,remains one of the largest threats to human developmentin Tanzania. Caloric availability at the household level hashardly improved since 1997, and chronic malnutrition isestimated to be an underlying cause of over one third ofunder-five year old deaths.
 
Siku zote unapopata DATA ni vizuri kuzi analyse vizuri na kujiuliza kwanini awe wa kwanza na sio wa mwisho? ana kitu gani cha ziada kuliko wengine ? n.k


Sasa labda tujiulize kwanini Dar es Salaam inaongoza kwa makusanyo ya kodi za TRA? Je wana kitu gani cha ziada kuliko mikoa mingine kiasi cha kuweza kuongoza?
Barubaru

Na mimi naomba nikupe pole, maana na wewe ni hodari wa kutanguliza pole kabla ya kutoa hoja.

Kama ungekuwa mchumi mahiri kama unavyotuambia hapa, ungekuwa unafahamu kwamba DSM ni major "commercial capital" nchini Tanzania, na moja ya the largest commmercial capitals in East and Central Africa. Hata mwanafunzi wa "commerce" wa kidato cha kwanza anaelewa implication ya suala hili kiuchumi ni nini. Ebu tuangalie definition rahisi tu inayokuja 'google'. Inasema hivi:

"Commerce is the activity of buying and selling, especially on a large scale. The system includes legal, economic, political, social, cultural and technological systems that are in operation in any country or internationally."

Nikuulize, je:

1. Hadi hapo hauoni kwamba just from the definition, DSM lazima iongoze in terms of GDP and Tax revenues?
2. Hata bila ya hiyo definition, whats so hard for you to come into agreement kwamba majority of activities nchini - industrial, services (financial, telecommunications, real estate etc), zipo DSM kuliko sehemu nyingine yoyote nchini?
3. Whats so hard to understand kwamba large tax payers in Tanzania, their economic activities are based in DSM kuliko sehemu yoyote ile?

Look at these facts:

*About 40% of Large tax payers wapo DSM, huku Arusha ikiwa na 2.5%, Mwanza 1.2%, na kwa Zitto Kigoma 0.1%.
*Large tax payers contribute about 40% of total revenues collected by TRA countrywide.
*Large tax payers contribute about 70 % of total domestic revenues in Tanzania (TRA and Non TRA based revenues).

Hadi hapa hauoni kwamba wewe, zitto na wafuasi wengine ni wababaishaji tu?
 
Last edited by a moderator:
Barubaru

Na mimi naomba nikupe pole, maana na wewe ni hodari wa kutanguliza pole kabla ya kutoa hoja.

Kama ungekuwa mchumi mahiri kama unavyotuambia hapa, ungekuwa unafahamu kwamba DSM ni major "commercial capital" nchini Tanzania, na moja ya the largest commmercial capitals in East and Central Africa. Hata mwanafunzi wa "commerce" wa kidato cha kwanza anaelewa implication ya suala hili kiuchumi ni nini. Ebu tuangalie definition rahisi tu inayokuja 'google'. Inasema hivi:

"Commerce is the activity of buying and selling, especially on a large scale. The system includes legal, economic, political, social, cultural and technological systems that are in operation in any country or internationally."

Nikuulize, je:

1. Hadi hapo hauoni kwamba just from the definition, DSM lazima iongoze in terms of GDP and Tax revenues?
2. Hata bila ya hiyo definition, whats so hard for you to come into agreement kwamba majority of activities nchini - industrial, services (financial, telecommunications, real estate etc), zipo DSM kuliko sehemu nyingine yoyote nchini?
3. Whats so hard to understand kwamba large tax payers in Tanzania, their economic activities are based in DSM kuliko sehemu yoyote ile?

Look at these facts:

*About 40% of Large tax payers wapo DSM, huku Arusha ikiwa na 2.5%, Mwanza 1.2%, na kwa Zitto Kigoma 0.1%.
*Large tax payers contribute about 40% of total revenues collected by TRA countrywide.
*Large tax payers contribute about 70 % of total domestic revenues in Tanzania (TRA and Non TRA based revenues).

Hadi hapa hauoni kwamba wewe, zitto na wafuasi wengine ni wababaishaji tu?
Mchambuzi, mkuu wangu wee unaishi dunia gani kusema hivyo. Nini maana ya Utawala bora? Kiongozi yeyote anatakiwa kupeleka maendeleo sehemu zote, kuhakikisha anaziwezesha sehemu nyingine kuzalisha ajira sasa kama utajenga sehemu moja tu unadhani watu wataenda kuishi Shinyanga mahala ambapo hakuna maji?.halafu utegemee Shinyanga ichangie Revenue kubwa au sawa na mikoa ilowezeshwa?.

Leo hii wewe ukifungua kiwanda Shinyanga cha cement kikaajiri wa 2,000 tutategemea mchango wa Revenue ya Shinyanga kuongezeka pia na sio kwa hao watu 2,000 tu bali kuna biashara zingine zitatokana na kuwepo kiwanda hicho, lakini nani atakaye fungua Kiwanda hicho Shinyanga ikwa hakuna maji, huwezi fungua utakimbilia Dar au Kilimanjaro kulikowezeshwa upatikanaji wa maji na Umeme. maisha ya wana Shinyanga yatazidi kuporomoka kwa sababu hawana kipato kutokana na ukosefu wa ajira. Ni matatizo yanayoipata mikoa mingi kiasi kwamba serikali yetu imekuwa kama Mlevi. Akipata mshahara la kwanza ni kujirusha, pili kutafuta ulabu na mababes na mwisho kashindwa hata kusomesha watoto wake.

Anachokilalamikia Zitto ni sawa na kumsema mzazi ameweza kumsomesha mtoto mmoja lakini akashindwa kumsomesha mwingine kwa sababu ya Ulevi wake sio kwamba fedha haipo. Na hakuna mfano mzuri na wa wazi kama kusema mbona umeweza msomesha John ukashindwa kumsomesha Mary?. Sasa kosa liwe kwa nini limetajwa jina la mtoto wa kiume alosomeshwa dhidi ya yule wa kike ambaye hakusomeshwa?, ati ni kujenga fitna baina ya mtoto wa kiume na wa kike au Wanaume na Wanawake?.. kweli hii inaingia akilini?

C'mon now, Tukubali kuna mikoa imeachwa na Shinyanga ni mojawapo na hakuna mfano mzuri kama aloutoa Zitto iwe kwa takwimu za aina yoyote lakini ukweli upo wazi kabisa haijalishi kwamba Kilimanjaro ni mkoa wa kabila gani. Maadam takwimu zinaonyesha wazi kwamba ipo mikoa ilochangia vizuri lakini HDI yake ni low na hakuna uzushi wala uongo sote tunaelewa hivyo iweje mnaendelea kudai takwimu wakati mnajua wazi pasipo hata takwimu kwamba ni kweli Shinyanga imeachwa? Aloachwa ataweza vipi kuchangia revenue zaidi!
 
Alinda.
Nikiwa kama mchumi kama Tz ingeweka mkazo katika Bandari ambayo ndio njia kuu ya kukusanya mapato yake ( mfano Dar wao hawalimi zao lolote lakin wanaongoza kwa ukusanyaji wa kodi ni kwa sababu ya Bandari tu.

Je wanaolima, kodi zao (kutoka sekta ya kilimo) zinachangia kiasi gani katika total tax revenues za nchi? Kilimo hivi sasa accounts for less than 30% of GDP, unataka kutuaminisha nini hapa.

Kama wewe kweli ungekuwa ni mchumi mahiri, ulitakiwa uone ni jambo jema sana kwa uchumi wa nchi kupunguza kutegemea sekta ya kilimo in terms of output and revenues na badala yake kuhamia sekta nyingine kwani hayo ndio maendeleo, na ndio msingi wa kutengeneza mapinduzi ya viwanda.

Kwani kwanza bandari yenyewe ina makusanyo mengi na makubwa
Bandari (kwa maana ya Tanzania Ports Authority) ni miongoni mwa walipa kodi wakubwa nchini aka Large Tax Payers kwa mujibu wa TRA. Lakini mchango wa mapato ya TPA katika hawa large tax payers sio zaidi ya 15%. Kwahiyo ni kweli bandari ina makusanyo makubwa lakini sio kweli kwamba TPA (directly) ndio inayoifanya DSM kuwa kinara katika mapato ya Kodi.

Lakin pia viwanda vinatumia uwepo wa bandari hiyo katika kuagizia mitambo na vipuri lakin pia hata kuuza biashara zao nje.

Ni viwanda vipi vilivyopo DSM ambavyo vinategemea bandari ya DSM kuuza bidhaa nje?

Na mwisho ni wafanyabiashara wanavyotumia bandari hiyo kusafirishia bidhaa zao za kuja kuuza Tz na kwengineko.

Pamoja na hayo yote, kwanini TPA badi iwe na mchango usiozidi 15% katika total ya large tax payers?
 

Je wanaolima, kodi zao (kutoka sekta ya kilimo) zinachangia kiasi gani katika total tax revenues za nchi? Kilimo hivi sasa accounts for less than 30% of GDP, unataka kutuaminisha nini hapa.

Kama wewe kweli ungekuwa ni mchumi mahiri, ulitakiwa uone ni jambo jema sana kwa uchumi wa nchi kupunguza kutegemea sekta ya kilimo in terms of output and revenues na badala yake kuhamia sekta nyingine kwani hayo ndio maendeleo, na ndio msingi wa kutengeneza mapinduzi ya viwanda.


Bandari (kwa maana ya Tanzania Ports Authority) ni miongoni mwa walipa kodi wakubwa nchini aka Large Tax Payers kwa mujibu wa TRA. Lakini mchango wa mapato ya TPA katika hawa large tax payers sio zaidi ya 15%. Kwahiyo ni kweli bandari ina makusanyo makubwa lakini sio kweli kwamba TPA (directly) ndio inayoifanya DSM kuwa kinara katika mapato ya Kodi.



Ni viwanda vipi vilivyopo DSM ambavyo vinategemea bandari ya DSM kuuza bidhaa nje?



Pamoja na hayo yote, kwanini TPA badi iwe na mchango usiozidi 15% katika total ya large tax payers?
Dah mkuu hapa nitaingilia hoja isokuwa yangu lakini unazidi kujichanganya mwenyewe..maswali na majibu tunayapata kwa maelezo yako mwenyewe. Kilimo ndio uti wa mgongo wa pato la taifa, lakini kilimo kinaweza kutokuwa na Revenue kubwa kama ilivyo madini na wanaofaidika na tax incentives tofauti na bandari, ebu twambie unachojua wewe mkulima hutozwa kodi kiasi gani ukalinganishe na services zinaztolewa na wafanyakazi au biashara zitokanazo na kuwepo Bandari Dar?.. jamani vipi mbona unaanza kuingia kusiko..
 
Dah mkuu hapa nitaingilia hoja isokuwa yangu lakini unazidi kujichanganya mwenyewe..maswali na majibu tunayapata kwa maelezo yako mwenyewe. Kilimo ndio uti wa mgongo wa pato la taifa, lakini kilimo kinaweza kutokuwa na Revenue kubwa kama ilivyo madini na wanaofaidika na tax incentives tofauti na bandari, ebu twambie unachojua wewe mkulima hutozwa kodi kiasi gani ukalinganishe na services zinaztolewa na wafanyakazi au biashara zitokanazo na kuwepo Bandari Dar?.. jamani vipi mbona unaanza kuingia kusiko..

Rejea hoja ya Barubaru kisha uone nilikuwa najaribu kujenga hoja gani dhidi ya hoja zake. Mengine haya ni kuzidi kutuondoa tu kwenye mada. Hoja ya msingi ni kwamba zitto amekuja na takwimu za kilaghai. Nitajadili zaidi wakati najibu bandiko lako #785 .
 
Rejea hoja ya Barubaru kisha uone nilikuwa najaribu kujenga hoja gani dhidi ya hoja zake. Mengine haya ni kuzidi kutuondoa tu kwenye mada. Hoja ya msingi ni kwamba zitto amekuja na takwimu za kilaghai. Nitajadili zaidi wakati najibu bandiko lako #785 .
Mkuu nimemsoma Barubaru vizuri tu kabla sijaandika. Mbona mimi nimemuelewa na najua ndivyo Ilivyo. California sasa hivi ndio kuna bandari kubwa kuingiza vitu kutoka Asia nchini na imechangia zaidi ya States nyingi kama sii zote za Marekani, kutokana nayo kuna biashara na viwanda vingi vimefunguliwa, ongezeko kubwa la ajira na Population inazidi kuongezeka kila siku na unaweza shangaa wakawa na Unemployment kubwa kwa sababu kila mtu anakimbilia huko.

Ndivyo ilivyo Dar yetu, Kwa hiyo sii jambo la kujua kitu gani kina mchango mkubwa katika GDP ya Marekani ili kuonyesha California inafaidika vipi. Services inaweza changia GDP vizuri na kati lakini ikaongoza ktk Revenues wakati huo huo pia ikawa na unemployement kubwa kwa sababu watu wanakimbilia huko. Na ukiendekeza kutosheleza Dar tu tukasahau kuyaendeleza majimbo mengine kuna hatari kubwa ya Dar, Arusha na Kilimanjaro kuwa overpopulated maana kila mtu mikoani atafikiria kuhamia Dar, Arusha au Kilimanjaro wakaacha majimbo yao - (Urbanization).

Leo hii Dar inaweza kuwa na un employemnt kubwa kuliko Shinyanga kwa sababu watu wanatafuta ajira in services. Kuyawezesha majimbo mengine ndio solution ili majimbo hayo yaweze kufungua miradi yao na kuchangia zaidi ktk revenue, ukiwanyima hawataweza changia zaidi.

Unajua kwa nini Nyerere alisifika miaka ile, ni kwa sababu aliweza kusambaza maendeleo hadi vijijini watu wakaitazama Dar kama mji mkongwe tu. Lakini kumbe Tanzania nzima hapakuwa na mji wala kijiji watu wakifa njaa, wakikosa huduma bora na tulikuwa katika uwezeshaji huo UJAMAA ukapigwa vita.

Miaka ya 70s huwezi kuta nchi yoyote ya Kiafrika iloweza kusambaza maendeleo sio maghorofa kama sisi, hao Kenya ilikuwa Nairobi na majimbo ya kusini yalopakana nasi ndio yalijengwa, ukienda North utafikri haupo Kenya. Nairobi ilikuwa overpopulated toka miaka hiyo wakati Tanznaia nzima ilikuwa hakuna Chokoraa wala watu wanaolala kwenye nyumba za mabox au Plastic....leo hii ni hadith nyingine kabisa..
 
Mchambuzi, mkuu wangu wee unaishi dunia gani kusema hivyo. Nini maana ya Utawala bora? Kiongozi yeyote anatakiwa kupeleka maendeleo sehemu zote, kuhakikisha anaziwezesha sehemu nyingine kuzalisha ajira sasa kama utajenga sehemu moja tu unadhani watu wataenda kuishi Shinyanga mahala ambapo hakuna maji?.halafu utegemee Shinyanga ichangie Revenue kubwa au sawa na mikoa ilowezeshwa?.

Leo hii wewe ukifungua kiwanda Shinyanga cha cement kikaajiri wa 2,000 tutategemea mchango wa Revenue ya Shinyanga kuongezeka pia na sio kwa hao watu 2,000 tu bali kuna biashara zingine zitatokana na kuwepo kiwanda hicho, lakini nani atakaye fungua Kiwanda hicho Shinyanga ikwa hakuna maji, huwezi fungua utakimbilia Dar au Kilimanjaro kulikowezeshwa upatikanaji wa maji na Umeme.


Anachokilalamikia Zitto ni sawa na kumsema mzazi ameweza kumsomesha mtoto mmoja lakini akashindwa kumsomesha mwingine kwa sababu ya Ulevi wake sio kwamba fedha haipo.

Na hakuna mfano mzuri na wa wazi kama kusema mbona umeweza msomesha John ukashindwa kumsomesha Mary?.

Sasa kosa liwe kwa nini limetajwa jina la mtoto wa kiume alosomeshwa dhidi ya yule wa kike ambaye hakusomeshwa?, ati ni kujenga fitna baina ya mtoto wa kiume na wa kike au Wanaume na Wanawake?.. kweli hii inaingia akilini?

C'mon now, Tukubali kuna mikoa imeachwa na Shinyanga ni mojawapo na hakuna mfano mzuri kama aloutoa Zitto iwe kwa takwimu za aina yoyote lakini ukweli upo wazi kabisa haijalishi kwamba Kilimanjaro ni mkoa wa kabila gani.

Maadam takwimu zinaonyesha wazi kwamba ipo mikoa ilochangia vizuri lakini HDI yake ni low na hakuna uzushi wala uongo sote tunaelewa hivyo iweje mnaendelea kudai takwimu wakati mnajua wazi pasipo hata takwimu kwamba ni kweli Shinyanga imeachwa? Aloachwa ataweza vipi kuchangia revenue zaidi!
Niliwahi kusema, WanaMhaba wa supreme leader ni wazuri wa kukimbia mada, baadaye hurudi kujadili walichokimbia. Na hapa kwa mkandara ni mfano mzuri. Narejea point nilizowekea alama nyekundu.

Kwanza, Mkandara, katika uzi huu tumeeleza vema kwanini kuna tofauti ya maendeleo baina ya sehemu moja na nyingine.
Kwa ufupi tulisema, Historia(ukoloni), mazingira(physical), mwamko

Bandiko moja nyuma Mchambuzi alichambua vizuri na kushaididia kuwa hatuwezi kutenga maendeleo na jitihada binafasi. Nilichangia kwa kusema jitihada zina msukumo wa kichocheo muhimu kama elimu.

1. Mkandara si kweli kuwa kuna mikoa imewezeshwa. Kinyume chake kuna mikoa imezuiliwa.
Nnitakupa mifano niliowahi kusema huko nyuma. Kagera na K'njaro katika elimu ilikuwa mbali sana.

Kuna mwaka mmoja(197..) mtihani wa std wa kitaifa, Kagera na K'njaro walitoa 2/3 ya wafaulu.
Nyerere aliliona tatizo nafasi zikatolewa kwa mikoa.

Kagera na K'njaro walishafikia hatua ya kujenga college na University.
Serikali ikatengeneza mfumo wa kuua vyama vya ushirika kuleta uwiano.

Mkandara, mwaka 1990, Wilaya ya Mwanga ambayo ni changa ilikuwa na shule nyingi kuliko Singida, Mtwara, Shinyanga combine. Shule hizo zote asilimia 98 ilikuwa private schools.

Watu walitumia rasilimali zao kusomesha watoto na wala si kuwezeshwa.

Tena walisomesha watoto katika shule zote ziwe za wazazi, dini au watu binafasi.

Elimu ilitafutwa kama kitu cha lazima. Hilo lielewe na Zitto aliyesomea Kibohehe analielewa.
Pengine uchungu wake dhidi ya Kilimanjaro ni kwa aliyoyaona.

2. Upatikanaji wa umeme Dar unatokana na ukweli kuwa ni commercial hub na mji mkuu.

Upatikanaji wa umeme Kilimanjaro ni zao la uwepo wa bwawa la Nyumba ya Mungu, Pangani na uwekezaji uliofanywa na wakoloni kuanzia zama hizo kutokana na masilahi yao (physical) na kijiografia kuwa ni mji wa kitalii n.k. Elewa hilo!

3. Mfano wa kusomesha watoto. Hoja ya Zitto ingekuwa na mantiki kama angejibu hoja za Mchambuzi.

Kwanini asilinganishe Mbeya na Shinyanga, Kagera na Tabora ? Kwanini asitumie namba 1-6 badala yake ametumia namba 7 na 9
kwa mujibu wa data zake.

Huko nyuma supreme leader alishawahi kusema K'njaro imeendelea kuliko Kigoma bila data

Hapa ni kuwa supreme leader ana hasira za kisiasa na ameamua kutangaza vita na watu wa mikoa husika kwasababu zile zile alizosema Kitila mkumbo' Tatizoi la Zitto hutoa kauli zinazoacha ukakasi, si mvumilivu''

Tunasema hivi, supreme leader amechukua ugomvi wake na watu wachache na kuuhamishia kwa wananchi wa Arusha na Kilimanjaro bila sababu za maana wala msingi. Ana chuki ya siku nyingi na Kilimanjaro alikopata elimu yake! why?

4. Hakuna mkoa ulioachwa, kilichopo ni jamii zilizokubali kuachwa.
Lindi wamedunga shule kwasababu watoto wameendea kuoelewa au wamehamia Dar.

Miaka 10 utaseme wameachwa nyuma!
Shinyanga waliwekeza vipi kilinganisha na wenzao. Kuna ushahidi walizuiwa?
Mgao wa taifa unaofanywa, unawahusu vipi wananchi wa mikoa mingine dhidi ya mikoa fulaani

5. Hoja kuwa wananchi wa Kilimanjaro ni wa Kabila gani.
Hapa unaonyesha chuki za kikabila, na kuungana na Zitto katika hoja ile ile ya chuki za kikanda.

Mkandara ninazo rekodi za kutosha zikionyesha jinsi unavyowasema Wachagga kwa lugha za ukakasi kama zile za supreme

Kitu usichokijua ni kuwa mkoa wa Kilimanjaro una Makabila makuu mawili. Wachagga na Wapare.

Wapare ni sehemu muhimu sana ya mafanikio ya mkoa wa Kilimanjaro. Kwa mfano, wafanyabishara wengi wasiojulikana ni Wapare wala si wachaga. Wachagga wanaonekana kwasababu wamechukua sehemu kubwa ya mkoa na wanatajwa sana
Hivyo dhana kuwa mkoa huo una kabila moja ni ukosefu wa elimu ya mazingira.

Kama upo upendeleo basi CD Msuya atashutumiwa sana kama Mchaga.

Nenda mererani na Arusha uone. In fact Arusha ina Wapare wengi, kinachojulikana wote ni wachagga.

Kama ambavyo utasema Ngorika ni Mchaga kwasababu wana jina la Mberesero linalotumika kote.
Minja si la lazima awe Mchagga wapo wapare. IGP wa kwanza Elangwa Shihidi ni Mpare ingawa anatajwa Mchagga.

Hawa watu walioweza kutoa IGP katika miaka ya mwanzo wa Uhuru, utawezaje kuwalaumu na kuwashambulia kisiasa kama anavyopfanya Supreme?

Ninakupa elimu hiyo ili kukuvua chuki dhidi ya wachagga na pengine kutoa nafasi ya wewe na Zitto kupambana na Wamasai, Waarumeru,Wabarabaig,wasandawi, Wambulu, Wachgga , Wapare mkijua mnapambana na nani hasa.

Kadri mnavyoongea ndivyo mnavyojipambanua. Umeona MwanaMahaba Adharusi alivyomtia matatani supreme.


Masalaam
 
NI viongozi gani, na wa dini gani wamebagua/wabegauliwa na ni kivipi wamebaguliwa? Maana ukisema "Viongozi" bila kutaja aina ya ubaguzi waliofanya utakuwa hautendei haki mjadala.

Pia kwa vile wewe ni Tanzania bila shaka unapinga ubaguzi wa kidini, kikabila, kikanda na nk kwa nguvu zako zote. Je ni lini wapi wewe kama @Zakumi ulikemea hilo?
Je nani anapaswa ukukemea ubaguzi wa aina yeyote ile pindi pale mtu unapoona/au unapohisi sehemu fulani kuna ubaguzi?

Kwa hiyo sentesi unakubali "matamshi ya Zitto" ni sababu mojawapo inayoweza kuleta machafuko kama yaliyotokea Rwanda.. Sasa kama ni hivi kipi bora kuzikemea mapema ili kuhepusha madhara ya hapo baadaye au kuziacha bila kukemewa na baadaye madhara yakishatokea tuje hapa tuseme "ooh mie nilijua tu kuwa hiki na kile kitakotea"

Sasa kama Mhaya hakujitokeza kugombea urais unataka watu wamchague tu kwa vile ni kabila kubwa? au kama hana sifa abebwe na sifa ya kabila lake ambalo ni kubwa? Tusianze kuangalia rais anatoke wapi, au ni kabila gani, au ni dini gani? tunachopeswa kuangalia ni je huyu rais ni Mtanzania? na je anaguswa na matatizo ya Mtanzania? je ni mchapakazi? mpiga vita rushwa na nk. Mambo ya dini, au sehemu atokayo hayana nafasi.

Na nilitegemea mtu kama wewe ambaye umepata bahati ya kuishi katika ulimwengu wa kwanza ungekuwa wa kwanza kupiga vita udini, ukabila na nk. lakini kwa bahati mbaya unangalia mtu kwa kabila lake na ukianza kabila kitakachofuata ni dini, na baada ya hapo ni maumbile.

Je nini walichonacho makabila makubwa na makabila madogo hawana? na Je nini tofauti kati ya mhaya na "mkara" au msimbiti? Sasa kama wote ni sawa, na wote ni watanzani kwani tatizo liko wapi?

Tumtazame mtu kama mtanzania, tumuhukumu kwa matendo yake si kwa dini yake au kwa kabila lake au kwa maubile yake.
Ulaya na Amerika wamepiga hatua ya kwenda mbele baada ya kuondoa kichwani mwao huu ukabila husio na kichwa wala miguu.. mfn mzuri ni Amerika leo Obama ni rais wao, mtu ambaye baba yake si Mmarekani maana wao unachoangalia ni utaifa, uchapakazi wa mtu, mapenzi ya mtu kwa nchi yake na watu wao na nk.

Lakini leo hii sisi tunaanza kumuangalia mtu ambaye ni mtanzania tena utanzania husio na shaka eti ni kabila gani, eti ni dini gani? kweli? hakika ni uchungu!!

Mtu mweusi kupiga hatua kwenda mbele itakuwa ni miujiza maana mtu ambaye ameelimika, amabaye tulitegemea ukasaidie watu wa vijijini wenye mauno ya ukabila na udini kuwapa elimu lakini ndo kwanza mtu huyu huyu anakuwa mstari wa mbele kuangalia vitu kwa jicho la udini/ukabila. Hakika waafrika tunajichimbia mashimo katika bara bara tunayotarajia kupita..

Yaani hakuna kitu kinachoniudhunisha tunapobaguana wenyewe kwa wenyewe...

Mimi kama Alinda ni mkristo, sina tatizo kama leo ningeenda TRA au Bank au ofisi yeyote ile nikakuta waislamu watupu au wachaga watupu, kwangu mimi kitu muhimu ni utanzania (ndo thamani yetu, ndo dhahabu yetu)
Nitaumia nikiingia ofisi yeyote ile na kukuta wakristo wakenya.. Hiki kitu kitaniumiza.

Tushikamane, sisi sote ni watanzania, sisi sote ni ndugu, Tanzania ndo mama yetu, ndo baba yetu, haya tunayoyaandika kuhusu wanasiasa yasitufarakanishe... Wewe @Zakumi ni mtanzania mwenzangu na ndo kitu muhimu kwangu..

Alinda:

Nimemuuliza Nguruvi3 suala hili mara nne, na ameshindwa kujibu. Ni wewe na Zumbekuu mmejaribu kutoa maoni yenu, japokuwa kwa ufupi au kunielimisha. Na ninashukuru kwa hilo.

Tukirudi kwenye mjadala kamili. Maendeleo ya jamii yana mambo mengi sana na huwezi kutumia darubini moja kupata jibu kwanini watu wapo nyuma au mbele kimaendeleo.

Kuhusiana kanda ya Kaskazini, people there are not monolithic. Na katika posti moja nikauliza kama Arusha wameendelea kwanini kulizaliwa mkoa wa Manyara? Hata ukichukua mkoa wa Kilimanjaro wenyewe, maendeleo hayapo sawa kwa jamii zote. Hivyo kutumia Kanda ya Kaskazini VS kanda ya Ziwa ni kuzunguka mbuyu wakati akilini tunaelewa tunasema wasukuma VS wachagga.

Ukilinganisha maendeleo ya msukuma na mchagga, au mchagga na mpare, au mpare na msukuma, kila kitu kinajieleza kwa sababu unazungumza tamaduni mbili tofauti kama mtaliano na mjerumani. Ukitumia ukanda na mapato ya serikali, kuna vitu vinaweza kujifisha. Kiasi kikubwa cha matumizi ya serikali kinaenda kwenye sehemu yenye watu wengi.

Hivyo kwa kutumia takwimu za kiserikali naweza kusema Shinyanga doesn't get its fair share of the deal. Lakini kwa kutumia mlinganisho wa maisha ya msukuma na mchagga kiutamaduni, nina sababu nyingi za kimsingi kusema kwanini wachagga wapo mbele kimaendeleo. :becky::becky:

Kuhusiana na mimi kuwa nje, nimejifunza kuwa diversity brings economic growth. Ninapokwenda Mtwara nataka kuona wazawa wa Mtwara na watanzania wengine waliohamua kwa matakwa yao kwenda kuishi Mtwara wakiendesha shughuli zao bila hofu. Wao ndio chachu za maendeleo. Lakini sitaona chachu za maendeleo, iwapo kazi walioachiwa wakazi wa Mtwara ni kufagia barabara.

Watu wengi hapa wanatumia kigezo cha elimu kutetea maendeleo yaKilimanjaro au kanda ya kaskazini. Kutokana na ndondoo zangu za kubeba mabox nilipinga hilo nikasema education isn't a prerequisite for economic growth. Nikapingwa hilo. Sijabadilisha usemi wangu. Hila huo ni mjadala mwingine.
 
Niliwahi kusema, WanaMhaba wa supreme leader ni wazuri wa kukimbia mada, baadaye hurudi kujadili walichokimbia. Na hapa kwa mkandara ni mfano mzuri. Narejea point nilizowekea alama nyekundu.

Kwanza, Mkandara, katika uzi huu tumeeleza vema kwanini kuna tofauti ya maendeleo baina ya sehemu moja na nyingine.
Kwa ufupi tulisema, Historia(ukoloni), mazingira(physical), mwamko

Bandiko moja nyuma Mchambuzi alichambua vizuri na kushaididia kuwa hatuwezi kutenga maendeleo na jitihada binafasi. Nilichangia kwa kusema jitihada zina msukumo wa kichocheo muhimu kama elimu.

1. Mkandara si kweli kuwa kuna mikoa imewezeshwa. Kinyume chake kuna mikoa imezuiliwa.
Nnitakupa mifano niliowahi kusema huko nyuma. Kagera na K'njaro katika elimu ilikuwa mbali sana.

Kuna mwaka mmoja(197..) mtihani wa std wa kitaifa, Kagera na K'njaro walitoa 2/3 ya wafaulu.
Nyerere aliliona tatizo nafasi zikatolewa kwa mikoa.

Kagera na K'njaro walishafikia hatua ya kujenga college na University.
Serikali ikatengeneza mfumo wa kuua vyama vya ushirika kuleta uwiano.

Mkandara, mwaka 1990, Wilaya ya Mwanga ambayo ni changa ilikuwa na shule nyingi kuliko Singida, Mtwara, Shinyanga combine. Shule hizo zote asilimia 98 ilikuwa private schools.

Watu walitumia rasilimali zao kusomesha watoto na wala si kuwezeshwa.

Tena walisomesha watoto katika shule zote ziwe za wazazi, dini au watu binafasi.

Elimu ilitafutwa kama kitu cha lazima. Hilo lielewe na Zitto aliyesomea Kibohehe analielewa.
Pengine uchungu wake dhidi ya Kilimanjaro ni kwa aliyoyaona.

2. Upatikanaji wa umeme Dar unatokana na ukweli kuwa ni commercial hub na mji mkuu.

Upatikanaji wa umeme Kilimanjaro ni zao la uwepo wa bwawa la Nyumba ya Mungu, Pangani na uwekezaji uliofanywa na wakoloni kuanzia zama hizo kutokana na masilahi yao (physical) na kijiografia kuwa ni mji wa kitalii n.k. Elewa hilo!

3. Mfano wa kusomesha watoto. Hoja ya Zitto ingekuwa na mantiki kama angejibu hoja za Mchambuzi.

Kwanini asilinganishe Mbeya na Shinyanga, Kagera na Tabora ? Kwanini asitumie namba 1-6 badala yake ametumia namba 7 na 9
kwa mujibu wa data zake.

Huko nyuma supreme leader alishawahi kusema K'njaro imeendelea kuliko Kigoma bila data

Hapa ni kuwa supreme leader ana hasira za kisiasa na ameamua kutangaza vita na watu wa mikoa husika kwasababu zile zile alizosema Kitila mkumbo' Tatizoi la Zitto hutoa kauli zinazoacha ukakasi, si mvumilivu''

Tunasema hivi, supreme leader amechukua ugomvi wake na watu wachache na kuuhamishia kwa wananchi wa Arusha na Kilimanjaro bila sababu za maana wala msingi. Ana chuki ya siku nyingi na Kilimanjaro alikopata elimu yake! why?

4. Hakuna mkoa ulioachwa, kilichopo ni jamii zilizokubali kuachwa.
Lindi wamedunga shule kwasababu watoto wameendea kuoelewa au wamehamia Dar.

Miaka 10 utaseme wameachwa nyuma!
Shinyanga waliwekeza vipi kilinganisha na wenzao. Kuna ushahidi walizuiwa?
Mgao wa taifa unaofanywa, unawahusu vipi wananchi wa mikoa mingine dhidi ya mikoa fulaani

5. Hoja kuwa wananchi wa Kilimanjaro ni wa Kabila gani.
Hapa unaonyesha chuki za kikabila, na kuungana na Zitto katika hoja ile ile ya chuki za kikanda.

Mkandara ninazo rekodi za kutosha zikionyesha jinsi unavyowasema Wachagga kwa lugha za ukakasi kama zile za supreme

Kitu usichokijua ni kuwa mkoa wa Kilimanjaro una Makabila makuu mawili. Wachagga na Wapare.

Wapare ni sehemu muhimu sana ya mafanikio ya mkoa wa Kilimanjaro. Kwa mfano, wafanyabishara wengi wasiojulikana ni Wapare wala si wachaga. Wachagga wanaonekana kwasababu wamechukua sehemu kubwa ya mkoa na wanatajwa sana
Hivyo dhana kuwa mkoa huo una kabila moja ni ukosefu wa elimu ya mazingira.

Kama upo upendeleo basi CD Msuya atashutumiwa sana kama Mchaga.

Nenda mererani na Arusha uone. In fact Arusha ina Wapare wengi, kinachojulikana wote ni wachagga.

Kama ambavyo utasema Ngorika ni Mchaga kwasababu wana jina la Mberesero linalotumika kote.
Minja si la lazima awe Mchagga wapo wapare

Ninakupa elimu hiyo ili kukuvua chuki dhidi ya wachagga na pengine kutoa nafasi ya wewe na Zitto kupambana na Wamasai, Waarumeru,Wabarabaig,wasandawi, Wambulu, Wachgga , Wapare mkijua mnapambana na nani hasa.

Kadri mnavyoongea ndivyo mnavyojipambanua. Umeona MwanaMahaba Adharusi alivyomtia matatani supreme.


Masalaam
Mkuu unajua akili hii ndio mimi siwezi kabisa kushndana nayo wala kufikiri kama mnavyofiiria.

Kwanza swali lako la kwanza ambalo umefikia kumlaumu Nyerere kama Lissu lpasipo kuzingatia Nyerere alifanya nini.

OK kabla ya Uhuru Kagera na Kilimanjaro ilikuwa ikitoa 2/3 ya wafaulu lakini hiyo 2/3 ya jumla gani? tuseme watoto 20,000. Lakini mwalimu aliweza fanya mfumo elimu walokuwa wakipata Kagera na Kilimanjaro uwe universal kwa wote ili kuwezesha mikoa mingine itoe wafaulu. kama ilikuwa tatizo la walimu bora alizalisha walimu bora, kama ilikuwa ni vufaa alihakikisha vifaa vinapatikana. Hivyo miaka hiyo ya 70 shule za serikali zilitoa Elimu bora kuliko shule za Private kwa sababu ziliweza kushindana.

Nyerere hakuiua Elimu ya Kagera wala Kilimanjaro ila aliondoa ongwe la elimu bora kupatikana sehemu hizo tu na kwa baadhi ya watu wakati mikoa mingine ama watu wengine hawana elimu. Mikoa mingine ikaweza kutoa watoto walosoma na wakashinda mitihani pasipo kuondoa uwezo wa Kagera wala Kilimanjaro kwa sababu shule zao ziliendelea kuwepo, na walikaa mtihani sawa na watoto wengine walopewa nafasi sawa na elimu bora.

Swala la Wilaya a Mwanga - Wiaya hiyo imewezaje kuwa na shule nyingi kuliko mikoa uloitaja? kwa sababu kimazingira imewezeshwa kuna maji, umeme, usafiri bora na mazigira bora ya Kibiashara (location). Kwa hiyo vitu hivi havitokei mbinguni vinatengenezwa ili kuwezesha uwekezaji. Unaweza kuta wilaya hiyo ina wakazi wenye uwezo mkubwa wa kusomesha watoto wao shule za private na hivyo kujenga pale ikawa ideal, haya yote hayapo sehemu nyinginezo.

2. Upatikanaji wa Umeme Dar ni zao la nini? hivi mkuu unajua tunachoongelea? hakuna alosema Dar isiwe na Umeme ila serikali inatakiwa kusambaza Umeme kote kaa elimu ya Nyerere ili miji na mikoa mingine iweze kuzalisha na kuchangia zaidi ktk revenue zake. Ni sawa na kusema wewe unaomba mshahara zaidi, haina maana kwamba unataka mshahara wa mwenzako ukatwe ili upatiwe wewe, isipokuwa unapotolea mfano wa mishahara wa mwenzako kuwa mkubwa zaidi yako ni kujenga hoja ya kwa nini wewe unastahili mshahara pia zaidi na utakapo pewa ina maana utachangia kodi zaidi vile vile.

3. Hilo la Elimu na data alotumia Zitto umezipata wapi maana nachokumbuka kazungumzia Maendeleo ya watu HDI ambayo yana cover mambo mengi sana. sasa ikiwa takwimu zimeonyesha Shinyanga ipo chini ya Kilimanjaro na takwimu hizo zimetolewa na chombo cha kimataifa kama THDR unamtaka vipi Zitto ndiye atolee maelezo badala ya HTDR walofanya utafiti huo. Wewe unaposoma takwimu unatakiwa wewe kujibu maswali ya watu unavyoona wewe au takwimu zimesema nini. kwa nini usitake kuwauliza THDR wenyewe walifanya uchunguzi badala yake umtake alosoma takwimu hizo na kuzifanyia kazi.

4. Na hi sitakujibu maana sasa umeonyesha haswa rangi zako na kwamba una matatizo ktk kuelewa kwako na pengine sii kosa lako bali ulivyolelewa. Utanisamehe lakini uloyaandika hapa sikutegemea kabisa kutoka kwako. Do you think wananchi wa mikoa ya Lindi wanayataka maisha ua maskini? umewahi kuishi maisha ya kimaskini ukashindwa hata mlo acha ada ya shule kwa wanao? whta will you do kama ungekuwa umevaa kiatu chao! Leo wanapodai haki yao juu ya gas mnawabeza! Yaani umeongea kama wazungu wa hapa KKK juu ya mtu mweusi na sitoweza kuendelea na mjadala na mtu mwenye fikra hizo.

- Msahamani sana..
 
Mchambuzi, mkuu wangu wee unaishi dunia gani kusema hivyo. Nini maana ya Utawala bora? Kiongozi yeyote anatakiwa kupeleka maendeleo sehemu zote, kuhakikisha anaziwezesha sehemu nyingine kuzalisha ajira sasa kama utajenga sehemu moja tu unadhani watu wataenda kuishi Shinyanga mahala ambapo hakuna maji?.halafu utegemee Shinyanga ichangie Revenue kubwa au sawa na mikoa ilowezeshwa?.

Leo hii wewe ukifungua kiwanda Shinyanga cha cement kikaajiri wa 2,000 tutategemea mchango wa Revenue ya Shinyanga kuongezeka pia na sio kwa hao watu 2,000 tu bali kuna biashara zingine zitatokana na kuwepo kiwanda hicho, lakini nani atakaye fungua Kiwanda hicho Shinyanga ikwa hakuna maji, huwezi fungua utakimbilia Dar au Kilimanjaro kulikowezeshwa upatikanaji wa maji na Umeme. maisha ya wana Shinyanga yatazidi kuporomoka kwa sababu hawana kipato kutokana na ukosefu wa ajira. Ni matatizo yanayoipata mikoa mingi kiasi kwamba serikali yetu imekuwa kama Mlevi. Akipata mshahara la kwanza ni kujirusha, pili kutafuta ulabu na mababes na mwisho kashindwa hata kusomesha watoto wake.

Anachokilalamikia Zitto ni sawa na kumsema mzazi ameweza kumsomesha mtoto mmoja lakini akashindwa kumsomesha mwingine kwa sababu ya Ulevi wake sio kwamba fedha haipo. Na hakuna mfano mzuri na wa wazi kama kusema mbona umeweza msomesha John ukashindwa kumsomesha Mary?. Sasa kosa liwe kwa nini limetajwa jina la mtoto wa kiume alosomeshwa dhidi ya yule wa kike ambaye hakusomeshwa?, ati ni kujenga fitna baina ya mtoto wa kiume na wa kike au Wanaume na Wanawake?.. kweli hii inaingia akilini?

C'mon now, Tukubali kuna mikoa imeachwa na Shinyanga ni mojawapo na hakuna mfano mzuri kama aloutoa Zitto iwe kwa takwimu za aina yoyote lakini ukweli upo wazi kabisa haijalishi kwamba Kilimanjaro ni mkoa wa kabila gani. Maadam takwimu zinaonyesha wazi kwamba ipo mikoa ilochangia vizuri lakini HDI yake ni low na hakuna uzushi wala uongo sote tunaelewa hivyo iweje mnaendelea kudai takwimu wakati mnajua wazi pasipo hata takwimu kwamba ni kweli Shinyanga imeachwa? Aloachwa ataweza vipi kuchangia revenue zaidi!
Mkandara,

Nadhani sasa ni wasaa wenu kukubali tu ukweli kwamba kiongozi wetu mkuu Zitto aliteleza. Ni wajibu wenu kumsaidia, na sio kujitoa muhanga kuteleza nae mpaka maka. Naomba nichangie katika sehemu hiyo yenye nyekundu hapo juu.


Unatumia Human Development Index (HDI) kama indicator ya kubaini wananchi wa mkoa upi wapo mbele, na wa mkoa upi wapo nyuma. Pengine wewe na supreme leader wenu zitto hamuelewi HDI composition yake ni nini, ndio maana mnakuwa walaghai. Twende pole pole na tutabaini:

1. Kati ya Shinyanga na Kilimanjaro, nani yupo nyuma na kwa ninim
2. Nini au Nani alaumiwe juu ya hali ya mkoa mmoja kuwa nyuma namkoa mwingine kuwa mbele na kwa nini.

Hiyo “Human Development Index” yenu inaangalia vigezo vikuu vinne:

1. Life expectancy.
2. Average years of schooling.
3. Expected years of schooling.
4. GDP Per Capita.

Kwa vigezo hivi, kwa mtazamo wako, ambao inaonekana pia upo shared na supreme leader wenu zitto, Shinyanga ipo nyuma ya Kilimanjaro katika yote haya manne. Na bila haya, unahoji – Je:

“Aloachwa ataweza vipi kuchangia revenue zaidi”?

Tujadili:
1. GDP. Tayari tunajua nini maana ya dhana hii.

· Kwa mujibu wa takwimu za 2010/2011 kama mfano, GDP ya Shinyanga ilikuwa ni shilingi bilioni 1.9. Katika kipindi hicho hicho, GDP ya Kilimanjaro ilikuwa ni shilingi bilioni 1.4. Tukiamua kufuata na kuamini bila kuhoji kauli za kilaghai za Zitto, basi Shinyanga ilichangia zaidi katika pato la taifa kuliko Kilimanjaro. Je ni kweli? Hapana, ni ulaghai. Tutaona punde.

Kwa upande mwingine:

Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2010,tax revenues za mkoa wa shinyanga zilikuwa ni shillingi bilioni 11.2, na kwa kilimanjaro, shillingi bilioni 72.4.

Tukirudi kwenye hoja yako kwamba “Aloachwa ataweza vipi kuchangia revenue”. Shinyanga imemwacha Kilimanjaro in terms of GDP Contribution (ingawa wala sio kwa kiasi kikubwa), lakini huyu Kilimanjaro anachangia zaidi in terms of Makusanyo ya Kodi, tena kwa mbali sana.

Kwa maana nyingine, Kilimanjaro inachangia mapato ya kodi karibia mara saba ya mchango wa Shinyanga. Kumbuka, GDP haikusanywi, ni hesabu tu bila ya kujalisha nani anamiliki productive assets, tulishajadili hili kwa kina. Lakini Tax revenues, ni zile wananchi wa kada mbalimbali wanatozwa katika jurisdiction husika. Kumbuka, social contract baina ya serikali yoyote katika nchi ya kidemokrasia ni Tax revenues, sio GDP. Ni Tax revenues na matumizi yake ndio yanaipa serikali husika legitimacy ya kutawala au kuinyima legitimacy hiyo.


Jamani, mnahitaji kuambiwa kwa lugha gani ya kistaarbu ili muelewe kwamba Zitto ni mlaghai na mbaguzi?

Tuendelee kuchambua hoja yako na msaliti zitto ambayo inaipa Human Development Index uzito mkubwa kiasi cha kuanza kubagua watanzania. Tuangalie zaidi “GDP Per Capita”, ambayo ni moja ya vitu vinavyojenga “HDI” yenu.

Kwa mujibu wa Takwimu za 2010/2011, GDP Per Capita kwa mikoa hii miwili ni kama ifuatavyo:

· Kilimanjaro = approx 1,000,000/=
· Shinyanga = approx 670,000/=

Inaonekana mchumi wenu uchwara na msaliti Zitto hajui GDP per capita inapatikana vipi. Ni hivi, GDP Per capita ni takwimu tu, ambayo inapatikana kwa kuchukua jumla ya uzalishaji/output (GDP) - mfano ya shinyanga au Kilimanjaro, na kuigawanya na jumla ya idadi ya watu (population) - kwa mfano ya shinyanga au Kilimanjaro.

Population ya Kilimanjaro ni takribani watu 1.4million, huku population ya Shinyanga ikiwa karibia watu 2.8 million, kama mara mbili ya idadi ya watu wa Kilimanjaro. Usisahau hili.

Ukigawanya hizi population katika GDP za mikoa husika unapata rough figures (GDP Per Capita) kama tulivyo ona hapo juu.

Huko nyuma nilimueleza Zakumi kwamba GDP Per Capita as an indicator imepitwa na wakati na kwamba wataalamu na watafiti mbalimbali wa masuala ya uchumi na maendeleo kutoka nchi zilizoendelea na zinazoendelea, wapo njiani kuibadilisha. KWa mfano, Joseph Stiglitz, Amartya Sen na wengineo. Zakumi akapinga kwa hoja kwamba GDP Per Capita is supreme and it tells the whole story.

Tumeona GDP ya Shinyanga ni kubwa kidogo kuliko Kilimanjaro, lakini GDP Per Capita ya Kilimanjaro kuwa kubwa zaidi ya Shinyanga. Kwanini supreme Zitto hasemi ukweli? Kwanini na nyinyi badala ya kumsaidia mnazidi kupotosha umma?

Kinachofanya GDP Per Capita ya Shinyanga iwe ndogo zaidi ya ile ya Kilimanjaro ni suala moja tu – tofauti kubwa ya idadi ya watu baina ya Kilimanjaro na Shinyanga, basi!. Maswali kwenu:

· Je, wananchi wa Kilimanjaro walaumiwe kwa kuwa na mchango mdogo zaidi ya Shinyanga (GDP wise), lakini pato kubwa zaidi (GDP Per Capita) kwa sababu tu wapo makini zaidi linapokuja suala la controlling population growth/family planning?

Tumeona kwamba Kilimanjaro mchango wao ni mdogo zaidi (GDP) ya Shinyanga (ingawa kwa tofauti ndogo sana) lakini mchango wa Kilimanjaro (in terms of tax revenues) ni karibia mara saba ya ule wa Shinyanga. Swali kwenu:

· Je, ni sahihi kusema kwamba Shinyanga wananyonywa na Kilimanjaro? Kwa hoja zipi?

Ni muhimu Zitto aje humu kukiri kwamba aliteleza, vinginevyo hatuta acha kutetea taifa letu lisivurugwe na wabaguzi na wa binafsi kama Zitto kabwe. Never.

Tuangalie vigezo vingine vya hiyo Human Development Index ambayo Supreme leader zitto anazunguka nayo kwenye mkoba wake wa usaliti na ubaguzi nyinyi wafuasi wake kudandia upuuzi huo bila kutumia akili zenu kuchambua mambo. Vigezo hivyo ni:

Life Expectancy, Average Years of Schooling and Expected Years of Schooling.

Life Expectancy:

Wastani Kitaifa ni miaka 55. Shinyanga, wastani wake (miaka 55), sawa sawa na wastani wa taifa. Tuendelee. Kilimanjaro, life expectancy yake ni zaidi ya wastani wa taifa na wa Shinyanga, yani miaka 67. Je:
Wa kulaumiwa hapa ni nani? Je, ni mkoa ambao unajali zaidi uzazi wa mpango (Kilimanjaro) au mkoa ambao haupo makini katika hilo (Shinyanga)?

· Je Shinyanga wanahitaji nini ili waweze kuwa maini zaidi na masuala ya afya kama vile family planning programme?
· Je, uzazi wa mpango unahitaji fedha kiasi gani cha fedha za walipa kodi ili kufanya ufanikiwe Shinyanga kama Kilimanjaro?
· Je, Kilimanjaro wamekosa nini kuwa makini zaidi katika hilo na wamefanikiwa kwa kumyonya nani?
· Je, kama ni fedha zimetumika, zimetoka wapi, kwenye GDP au Tax Revenues?

Tukiwa bado kwenye suala la Human Development Index, tuangalie kidogo juu ya janga la Ukimwi. Kwa mujibu wa takwimu za NBS, wastani wa taifa (HIV prevalence) ni 5.8%. Kwa mkoa wa Kilimanjaro, ni 1.9%. Kwa mkoa wa Shinyanga, ni 7.6%, kwa maana kwamba Ukimwi mkoani Shinyanga, prevalence yake ni above National Average. Hili ni suala ambalo linahusika moja kwa moja na life expectancy, hence Human Development Index yenu mnayozunguka nayo kwenye mikoba kuladhai na kubagua watanzania. Je:

· Wa kulaumiwa juu ya janga la ukimwi ambalo linachangia life expectancy ya Shinyanga kuwa ndogo kuliko Kilimanjaro, ni wananchi wa Kilimanjaro? Kwa hoja zipi?

Pia kuna suala la ‘Doctor to Patient Ratio’. Mkoa wa Kilimanjaro has a higher ratio than Shinyanga kwa maana ya kwamba Kilimanjaro kama mkoa, idadi ya Madaktari kwa kila wananchi elfu moja ni kubwa zaidi kyuliko idadi hiyo kwa mkoa wa Shinyanga. Mbali ya takwimu hii kuwa bora zaidi Kilimanjaro kutokana na mkoa huu kuwa na more effective family planning system kuliko Shinyanga, lakini pia ni jambo lililo wazi kwamba wananchi wa Kilimanjaro wanajulikana sana kwa pia juhudi zao za kusomea fani ya udaktari. Lakini muhimu zaidi, Kilimanjaro inaongoza kwa ku – retain madaktari wao mkoani humo baada ya kumaliza masomo ya udaktari. Retain rate ni kubwa kuliko Shinyanga. Swali kwako, Je:

· Ni haki kweli kulaumu wananchi wa Kilimanjaro kuwa na HDI kubwa (refer to life expectancy argument) kuliko wananchi Shinyanga?

Components za mwisho ambazo zinajenga hiyo HDI yenu ni Average Years of Schooling and Expected Years of Schooling. Katika hili, sina haja ya kujadili kwani Nguruvi3, Mag3, na wengine wamelijadili vyema sana.

Cc Waberoya, Ritz, adhurusi
 
Mkandara,

Nadhani sasa ni wasaa wenu kukubali tu ukweli kwamba kiongozi wetu mkuu Zitto aliteleza. Ni wajibu wenu kumsaidia, na sio kujitoa muhanga kuteleza nae mpaka maka. Naomba nichangie katika sehemu hiyo yenye nyekundu hapo juu.


Unatumia Human Development Index (HDI) kama indicator ya kubaini wananchi wa mkoa upi wapo mbele, na wa mkoa upi wapo nyuma. Pengine wewe na supreme leader wenu zitto hamuelewi HDI composition yake ni nini, ndio maana mnakuwa walaghai. Twende pole pole na tutabaini:

1. Kati ya Shinyanga na Kilimanjaro, nani yupo nyuma na kwa ninim
2. Nini au Nani alaumiwe juu ya hali ya mkoa mmoja kuwa nyuma namkoa mwingine kuwa mbele na kwa nini.

Hiyo "Human Development Index" yenu inaangalia vigezo vikuu vinne:

1. Life expectancy.
2. Average years of schooling.
3. Expected years of schooling.
4. GDP Per Capita.

Kwa vigezo hivi, kwa mtazamo wako, ambao inaonekana pia upo shared na supreme leader wenu zitto, Shinyanga ipo nyuma ya Kilimanjaro katika yote haya manne. Na bila haya, unahoji – Je:

"Aloachwa ataweza vipi kuchangia revenue zaidi"?

Tujadili:
1. GDP. Tayari tunajua nini maana ya dhana hii.

· Kwa mujibu wa takwimu za 2010/2011 kama mfano, GDP ya Shinyanga ilikuwa ni shilingi bilioni 1.9. Katika kipindi hicho hicho, GDP ya Kilimanjaro ilikuwa ni shilingi bilioni 1.4. Tukiamua kufuata na kuamini bila kuhoji kauli za kilaghai za Zitto, basi Shinyanga ilichangia zaidi katika pato la taifa kuliko Kilimanjaro. Je ni kweli? Hapana, ni ulaghai. Tutaona punde.

Kwa upande mwingine:

Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2010,tax revenues za mkoa wa shinyanga zilikuwa ni shillingi bilioni 11.2, na kwa kilimanjaro, shillingi bilioni 72.4.

Tukirudi kwenye hoja yako kwamba "Aloachwa ataweza vipi kuchangia revenue". Kilimanjaro imemwacha Shinyanga in terms of GDP Contribution (ingawa wala sio kwa kiasi kikubwa), lakini huyu Kilimanjaro anachangia zaidi in terms of Makusanyo ya Kodi, tena kwa mbali sana.

Kwa maana nyingine, Kilimanjaro inachangia mapato ya kodi karibia mara saba ya mchango wa Shinyanga. Kumbuka, GDP haikusanywi, ni hesabu tu bila ya kujalisha nani anamiliki productive assets, tulishajadili hili kwa kina. Lakini Tax revenues, ni zile wananchi wa kada mbalimbali wanatozwa katika jurisdiction husika. Kumbuka, social contract baina ya serikali yoyote katika nchi ya kidemokrasia ni Tax revenues, sio GDP. Ni Tax revenues na matumizi yake ndio yanaipa serikali husika legitimacy ya kutawala au kuinyima legitimacy hiyo.


Jamani, mnahitaji kuambiwa kwa lugha gani ya kistaarbu ili muelewe kwamba Zitto ni mlaghai na mbaguzi?

Tuendelee kuchambua hoja yako na msaliti zitto ambayo inaipa Human Development Index uzito mkubwa kiasi cha kuanza kubagua watanzania. Tuangalie zaidi "GDP Per Capita", ambayo ni moja ya vitu vinavyojenga "HDI" yenu.

Kwa mujibu wa Takwimu za 2010/2011, GDP Per Capita kwa mikoa hii miwili ni kama ifuatavyo:

· Kilimanjaro = approx 1,000,000/=
· Shinyanga = approx 670,000/=

Inaonekana mchumi wenu uchwara na msaliti Zitto hajui GDP per capita inapatikana vipi. Ni hivi, GDP Per capita ni takwimu tu, ambayo inapatikana kwa kuchukua jumla ya uzalishaji/output (GDP) - mfano ya shinyanga au Kilimanjaro, na kuigawanya na jumla ya idadi ya watu (population) - kwa mfano ya shinyanga au Kilimanjaro.

Population ya Kilimanjaro ni takribani watu 1.4million, huku population ya Shinyanga ikiwa karibia watu 2.8 million, kama mara mbili ya idadi ya watu wa Kilimanjaro. Usisahau hili.

Ukigawanya hizi population katika GDP za mikoa husika unapata rough figures (GDP Per Capita) kama tulivyo ona hapo juu.

Huko nyuma nilimueleza Zakumi kwamba GDP Per Capita as an indicator imepitwa na wakati na kwamba wataalamu na watafiti mbalimbali wa masuala ya uchumi na maendeleo kutoka nchi zilizoendelea na zinazoendelea, wapo njiani kuibadilisha. KWa mfano, Joseph Stiglitz, Amartya Sen na wengineo. Zakumi akapinga kwa hoja kwamba GDP Per Capita is supreme and it tells the whole story.

Tumeona GDP ya Shinyanga ni kubwa kidogo kuliko Kilimanjaro, lakini GDP Per Capita ya Kilimanjaro kuwa kubwa zaidi ya Shinyanga. Kwanini supreme Zitto hasemi ukweli? Kwanini na nyinyi badala ya kumsaidia mnazidi kupotosha umma?

Kinachofanya GDP Per Capita ya Shinyanga iwe ndogo zaidi ya ile ya Kilimanjaro ni suala moja tu – tofauti kubwa ya idadi ya watu baina ya Kilimanjaro na Shinyanga, basi!. Maswali kwenu:

· Je, wananchi wa Kilimanjaro walaumiwe kwa kuwa na mchango mdogo zaidi ya Shinyanga (GDP wise), lakini pato kubwa zaidi (GDP Per Capita) kwa sababu tu wapo makini zaidi linapokuja suala la controlling population growth/family planning?

Tumeona kwamba Kilimanjaro mchango wao ni mdogo zaidi (GDP) ya Shinyanga (ingawa kwa tofauti ndogo sana) lakini mchango wa Kilimanjaro (in terms of tax revenues) ni karibia mara saba ya ule wa Shinyanga. Swali kwenu:

· Je, ni sahihi kusema kwamba Shinyanga wananyonywa na Kilimanjaro? Kwa hoja zipi?

Ni muhimu Zitto aje humu kukiri kwamba aliteleza, vinginevyo hatuta acha kutetea taifa letu lisivurugwe na wabaguzi na wa binafsi kama Zitto kabwe. Never.

Tuangalie vigezo vingine vya hiyo Human Development Index ambayo Supreme leader zitto anazunguka nayo kwenye mkoba wake wa usaliti na ubaguzi nyinyi wafuasi wake kudandia upuuzi huo bila kutumia akili zenu kuchambua mambo. Vigezo hivyo ni:

Life Expectancy, Average Years of Schooling and Expected Years of Schooling.

Life Expectancy:

Wastani Kitaifa ni miaka 55. Shinyanga, wastani wake (miaka 55), sawa sawa na wastani wa taifa. Tuendelee. Kilimanjaro, life expectancy yake ni zaidi ya wastani wa taifa na wa Shinyanga, yani miaka 67. Je:
Wa kulaumiwa hapa ni nani? Je, ni mkoa ambao unajali zaidi uzazi wa mpango (Kilimanjaro) au mkoa ambao haupo makini katika hilo (Shinyanga)?

· Je Shinyanga wanahitaji nini ili waweze kuwa maini zaidi na masuala ya afya kama vile family planning programme?
· Je, uzazi wa mpango unahitaji fedha kiasi gani cha fedha za walipa kodi ili kufanya ufanikiwe Shinyanga kama Kilimanjaro?
· Je, Kilimanjaro wamekosa nini kuwa makini zaidi katika hilo na wamefanikiwa kwa kumyonya nani?
· Je, kama ni fedha zimetumika, zimetoka wapi, kwenye GDP au Tax revenues Revenues?

Tukiwa bado kwenye suala la Human Development Index, tuangalie kidogo juu ya janga la Ukimwi. Kwa mujibu wa takwimu za NBS, wastani wa taifa (HIV prevalence) ni 5.8%. Kwa mkoa wa Kilimanjaro, ni 1.9%. Kwa mkoa wa Shinyanga, ni 7.6%, kwa maana kwamba Ukimwi mkoani Shinyanga, prevalence yake ni above National Average. Hili ni suala ambalo linahusika moja kwa moja na life expectancy, hence Human Development Index yenu mnayozunguka nayo kwenye mikoba kuladhai na kubagua watanzania. Je:

· Wa kulaumiwa juu ya janga la ukimwi ambalo linachangia life expectancy ya Shinyanga kuwa ndogo kuliko Kilimanjaro, ni wananchi wa Kilimanjaro? Kwa hoja zipi?

Pia kuna suala la ‘Doctor to Patient Ratio'. Mkoa wa Kilimanjaro has a lower ratio than Shinyanga kwa maana ya kwamba Kilimanjaro kama mkoa, idadi ya Madaktari kwa kila wananchi elfu moja ni kubwa zaidi kyuliko idadi hiyo kwa mkoa wa Shinyanga. Mbali ya takwimu hii kuwa bora zaidi Kilimanjaro kutokana na mkoa huu kuwa na more effective family planning system kuliko Shinyanga, lakini pia ni jambo lililo wazi kwamba wananchi wa Kilimanjaro wanajulikana sana kwa pia juhudi zao za kusomea fani ya udaktari. Lakini muhimu zaidi, Kilimanjaro inaongoza kwa ku – retain madaktari wao mkoani humo baada ya kumaliza masomo ya udaktari. Retain rate ni kubwa kuliko Shinyanga. Swali kwako, Je:

· Ni haki kweli kulaumu wananchi wa Kilimanjaro kuwa na HDI kubwa (refer to life expectancy argument) kuliko wananchi Shinyanga?

Components za mwisho ambazo zinajenga hiyo HDI yenu ni Average Years of Schooling and Expected Years of Schooling. Katika hili, sina haja ya kujadili kwani Nguruvi3, Mag3, na wengine wamelijadili vyema sana.

Cc Waberoya, Ritz, adhurusi
Kabla sijakujibu nakuomba soma maelezo haya hapa ujue kinachozungumziwa maana unachanganya serikali na wananchi. Serikali ni muwezeshajina wananchi ni matokeo ya uwezeshwaji..
Soma kipande hiki cha THDR :-

This report argues that economic growth, while welcomed and necessary, is not enough. Rather than focusing on the mere expansion of output, Tanzanianeeds to emphasize the importance of changing qualitative features of production that occur through the growth process. It needs an economic transformation forhuman development. Economic transformation refers to a structural change in the economy, characterized by lesser contribution to GDP from the agricultural sector and greater contribution from the industrial and service sectors, accompanied by a demographic transition from high birth and death rates to low birth and death rates.

For economic transformation to work for human development, it is crucial that the transformation processgoes hand in hand with the creation of employment opportunities, income growth, as well as social provisions.Put it differently, a meaningful economic transformation requires inclusive growth characterized by widespread poverty reduction and improvements in living standards.While ends in themselves, providing quality social services,such as healthcare, education, and water, ensures that Tanzanians are fit to participate in economic activities.With active guidance and leadership from the state anda vibrant private sector, economic transformation can increase productivity, create employment, and cater for social provisions, thus working for human development.

Je, unakubaliana nacho au laa...

NB: pitia pia kipande hiki bofya database kushoto kisha tazama basic demographic and social economic indicators - upate kuona serikali ina wajibu gani sio wananchi, wao ni matunda ya serikali ilowajibika kwao.
 
Mkuu unajua akili hii ndio mimi siwezi kabisa kushndana nayo wala kufikiri kama mnavyofiiria.

Kwanza swali lako la kwanza ambalo umefikia kumlaumu Nyerere kama Lissu lpasipo kuzingatia Nyerere alifanya nini.

OK kabla ya Uhuru Kagera na Kilimanjaro ilikuwa ikitoa 2/3 ya wafaulu lakini hiyo 2/3 ya jumla gani? tuseme watoto 20,000. Lakini mwalimu aliweza fanya mfumo elimu walokuwa wakipata Kagera na Kilimanjaro uwe universal kwa wote ili kuwezesha mikoa mingine itoe wafaulu. kama ilikuwa tatizo la walimu bora alizalisha walimu bora, kama ilikuwa ni vufaa alihakikisha vifaa vinapatikana. Hivyo miaka hiyo ya 70 shule za serikali zilitoa Elimu bora kuliko shule za Private kwa sababu ziliweza kushindana.

Nyerere hakuiua Elimu ya Kagera wala Kilimanjaro ila aliondoa ongwe la elimu bora kupatikana sehemu hizo tu na kwa baadhi ya watu wakati mikoa mingine ama watu wengine hawana elimu. Mikoa mingine ikaweza kutoa watoto walosoma na wakashinda mitihani pasipo kuondoa uwezo wa Kagera wala Kilimanjaro kwa sababu shule zao ziliendelea kuwepo, na walikaa mtihani sawa na watoto wengine walopewa nafasi sawa na elimu bora.

Swala la Wilaya a Mwanga - Wiaya hiyo imewezaje kuwa na shule nyingi kuliko mikoa uloitaja? kwa sababu kimazingira imewezeshwa kuna maji, umeme, usafiri bora na mazigira bora ya Kibiashara (location). Kwa hiyo vitu hivi havitokei mbinguni vinatengenezwa ili kuwezesha uwekezaji. Unaweza kuta wilaya hiyo ina wakazi wenye uwezo mkubwa wa kusomesha watoto wao shule za private na hivyo kujenga pale ikawa ideal, haya yote hayapo sehemu nyinginezo.

3. Hilo la Elimu na data alotumia Zitto umezipata wapi maana nachokumbuka kazungumzia Maendeleo ya watu HDI ambayo yana cover mambo mengi sana. sasa ikiwa takwimu zimeonyesha Shinyanga ipo chini ya Kilimanjaro na takwimu hizo zimetolewa na chombo cha kimataifa kama THDR unamtaka vipi Zitto ndiye atolee maelezo badala ya HTDR walofanya utafiti huo. Wewe unaposoma takwimu unatakiwa wewe kujibu maswali ya watu unavyoona wewe au takwimu zimesema nini. kwa nini usitake kuwauliza THDR wenyewe walifanya uchunguzi badala yake umtake alosoma takwimu hizo na kuzifanyia kazi.

4. Na hi sitakujibu maana sasa umeonyesha haswa rangi zako na kwamba una matatizo ktk kuelewa kwako na pengine sii kosa lako bali ulivyolelewa. Utanisamehe lakini uloyaandika hapa sikutegemea kabisa kutoka kwako. Do you think wananchi wa mikoa ya Lindi wanayataka maisha ua maskini? umewahi kuishi maisha ya kimaskini ukashindwa hata mlo acha ada ya shule kwa wanao? whta will you do kama ungekuwa umevaa kiatu chao! Leo wanapodai haki yao juu ya gas mnawabeza! Yaani umeongea kama wazungu wa hapa KKK juu ya mtu mweusi na sitoweza kuendelea na mjadala na mtu mwenye fikra hizo.

- Msahamani sana..
Kwanza, sijamlaumu Nyerere, nilichofanya ni kuonyesha, wananchi wa Kilmanjaro na kwingineko walikubali kwenda sambamba na wenzao.

Kuhusu wanafunzi kutonyimwa elimu kwasababu shule zao zilibaki, hoja ni kuwa shule nafasi za kusonga mbele ziliminywa.
Mwaka 1984 Wilaya ya Mwanga, wanafunzi 6000 walifanya mtihani wa std. Waliochaguliwa ksekondari ni 62.
Wakati huo huo kuna wanafunzi wa mikoa mingine walipewa nafasi hizo hata kama viwango vyao vya ufaulu vilikuwa vidogo.

Nitakushangaza nikukuambia kuwa zaidi ya wanafunzi 200 wa wilaya hiyo walienda highschool za serikali baada ya miaka 4.
Wazazi walitafuta mbadala wakawezeka. Hatuwezi kusimamakuwasota vidole kwa uwekezaji wao.

Pili,tunakubaliana Nyerere aliondoa Ombwe, kWanini leo supreme leader awasute wale walioathirika na mgawanyo huo?
Ndipo hoja inapokuwa na mashiko,Zitto alisema bila kutafakari akiongozwa na hisia zake binafasi dhidi ya wananchi wa mikoa mingine. Unakubali serikali ndio iliamua, wapi Zitto the supreme, anapata hoja ya kuwasoata vidole vya macho kwa jitihada zao.

Tatu kuhusu Mwanga, unakubali kuwa mazingira yanachangia sana maendeleo. Hongera!

Niende mbali, maji yanatoka ardhini. Wilaya ya Mwanga ipo milimani na maji yanatitirirka.
Kusiko na maji ni Bondeni ambako mradi haujalkamilika kama ule wa Shinyanga.

Sababu kubwa ni kuwa tatizo la maji Shinyanga ni kubwa kuliko Mwanga na hivyo kipaumbele ni Shinyanga.
Hivyo kulaumu wananchi wa Mwanga kwa maji yanayotoka ardhini kwa kisingizio cha serikali kuwekeza ni kichekesho mkuu.

Kuhusu umeme, Wilaya ya Mwanga imepata umeme katika miaka ya 1990 ingawa nguzo zilipita wilayani kwenda Moshi na Tanga. Wanafunzi walisoma na vibatali kama eneo lingine.unapowalaumu kwa mbinu zao kama anavyowasema Zitto, inasikitisha.

Kuhusu Zitto kusoma data za HDI kama zilivyowekwa, hapa ndipo inaonyesha udhaifu, uhuni na ulaghai.

Kiongozi mkuu alipaswa kuelewadata za HDI zinahitaji watu wenye elimu nzuri kuchanganua

Kiwenda kuwasomea wananchi ni kujenga chuki akijua wengi hawataweza kunyumbua kama anavyofanya Mchambuzi na wengine. Hivyo, 'kusoma tu' kuna mtia hatiani, kiongozi alipaswa kujua impact ya kile anachosema.
Kiongozi mzuri husoma mazingira ya hadhra yake kabla hajafungua kinywa.

Supreme alifungua kinywa na kuachia sumu, sasa anajisafisha baada ya kuharibu.

Nanyi mnamchafua kwa kumuogesha na maji machafu. Hoja zenu zinamwangamiza kama hii ya HDI.

kandara unaamini Sup alikuwa na haki ya kusoma data asizojua impact yake, na asizojua zitatafsiriwaje na wananchi! Poor supreme

Kuhusu Lindi, nipo katika rekodi ya kutetea msimamo wa gesi kuwasaidia.

Msimamo wangu ni kuwa uwepo wa gesi uwe na impact iwe direct au indirect. Nimewaasa wasomi warudi kujenga makwao kama wa Kilimanjaro ili kuleta hamasa na mwamko. Kuna mtu anaitwa 'The Big show' atanisaidia kutoa ushuhuda wa haya

Kuhusu umasikini wao, usiwapoteze kwa kuwaonea huruma bila kuwaambia ukweli.

Elimu ni muhimu sana,pa kuanzia ni hapo. Kama wataendelea kulia na viatu na kuondoa wanafunzi wakaolewe, miaka 10 ijayo wataendelea kusema hayo hayo.

Mkoa wa Kilimanjaro ni masikini kwa rasilimali muhimu ya ardhi. Huwezi kuamini nikikuambia kuwa remittance za wananchi walioko nje ya mkoa ndizo zinatumika kuwekeza katika maeneo kama elimu.

Nimekupa mfano, wananchi wa Nronga waliojenga barabara kwa sh milioni 100 za kuchangishana kwa wale walioko nje ya eneo. Lengo ni kupata barabara ili wapeleke mazao sokoni. Hapo ndipo watapata ada ya kuwapeleka watoto wao private school.

Lindi na kama Kilwa wana ardhi nzuri. Muhimu ni watu wao ambao hawana utamaduni wa kurudi na kuwEkeza katika elimu ili waweze kupata watu wenye uwezo wa kutumia ardhi.

Kwasasa wanauza mashamba kwa ajili ya kilimo cha mibono.
Wasilaumiwe kwasababu wananchi wao waliosoma wapo Dar na Arusha, hawataki kurudi kuwasaidia wanavijiji kubaini uuzaji wa ardhi ekari moja milioni 1 ni hasara ya kudumu. Watarudi kununua ardhi hiyo kwa milioni 50 miaka 10 ijayo.

Hoja muhimu ni kuwa lazima tuwatie moyo wananchi na kuwaeleza wapi wanakosea na wapi wanafanya vema.

Nipo katika rekodi nikisema Kilimanjaro inaongoza kwa utapia mlo kwasababu watu wanajali zaidi kazi kuliko maisha ya watoto.

Si kwa makusudi bali imetokea. Kwavile wana elimu tatizo limepungua kwa asilimia zaidi ya 70 tangu lilipotangazwa katika utafiti.

Hivyo kuwekeza katika elimu ni muhimu, si kuwadanganya watu wanaonewa na mikoa fulani ili hali tunajaua kuozesha mtoto au kushawishi ahame nyumbani na si kwenda shule ni kosa kubwa zaidi.

Nyumbani kwetu Tanga wana tatizo kama la Lindi, na tunaona hali ilivyo

Hayo ndiyo supreme anapita akihubiri kuwa Shinyanga na Mwanza wanaonewa na Kilimanjaro na Arusha, wakati si kweli.

Kuna dudu linaitwa CCM limeshindwa, supreme anaona haya kulitaja anaamua kufanya shambulio kubwa na kali la kisiasa dhidi ya wale walioamua kujitafutia mbadala wa maendeleo. Huu ulaghai ili apate wanachama ndio tunaupiga vita

Ni ulaghai kwasababu leo mwenyekiti wa ACT yupo Arusha akitoa misaada mount Meru.

Ingekuwa vema angeenda Shinyanga kule anakoamini wameonewa na kupunjwa na Aruaha.
Hakwenda huko akijua kuwa wanachokifanya ni ulaghai wa kisiasa.

Huku supreme anahubiri chuki kule mwenyekiti wa ACT anatangaza 'upendo'.

Ni katika ulaghai wa kisiasa na si ukweli wa mambo.

Ulaghai huo tunaupiga vita na Pakuanzia ni kwa hawa malaghai waliojidhihiri.

Masalaam
 
Kwanza, sijamlaumu Nyerere, nilichofanya ni kuonyesha, wananchi wa Kilmanjaro na kwingineko walikubali kwenda sambamba na wenzao.

Kuhusu wanafunzi kutonyimwa elimu kwasababu shule zao zilibaki, hoja ni kuwa shule nafasi za kusonga mbele ziliminywa.
Mwaka 1984 Wilaya ya Mwanga, wanafunzi 6000 walifanya mtihani wa std. Waliochaguliwa ksekondari ni 62.
Wakati huo huo kuna wanafunzi wa mikoa mingine walipewa nafasi hizo hata kama viwango vyao vya ufaulu vilikuwa vidogo.

Nitakushangaza nikukuambia kuwa zaidi ya wanafunzi 200 wa wilaya hiyo walienda highschool za serikali baada ya miaka 4.
Wazazi walitafuta mbadala wakawezeka. Hatuwezi kusimamakuwasota vidole kwa uwekezaji wao.

Pili, kama tunakubaliana Nyerere aliondoa Ombwe, kanini leo supreme leader awasute wale walioathirika na mgawanyo huo? Hapa ndipo hoja yetu inapokuwa na mashiko kuwa Zitto alisema bila kutafakari akiongozwa na hisia zake binafasi dhidi ya wananchi wa mikoa mingine. Unakubali serikali ndio iliamua, wapi Zitto the supreme anapata hoja ya kuwasoyata vidole vya macho kwa jitihada zao.

Tatu kuhusu Mwanga, kumbe unakubali kuwa mazingira yanachangia sana maendeleo. Hongera! Niende mbali kwa kukuambia kuwa maji yanatoka ardhini. Wilaya ya Mwanga ipo milimani na maji yanatitirirka. Kule kusiko na maji ni eneo la Bondeni ambako mradi haujalkamilika kama ule wa Shinyanga. Sababu kubwa ni kuwa tatizo la maji Shinyanga ni kubwa kuliko Mwanga na hivyo kipaumbele ni Shinyanga. Hivyo kulaumu wananchi wa Mwanga kwa maji yanayotoka ardhi kwa kisingizio cha serikali kuwekeza ni kichekesho mkuu.

Kuhusu umeme, Wilaya ya Mwanga imepata umeme katika miaka ya 1990 ingawa nguzo ziliputa wilayani kwenda Moshi na Tanga. Katika miaka ya nyuma wanafunzi walisoma na fanusi na vibatali kama wa eneo lingine. Sasa unapolaumu watu kwa kujiufunza kwa mbinu zao kama anavyowasema Zitto inasikitisha.

Kuhusu Zitto kusoma data za HDI kama zilivyowekwa, hapa ndipo inaonyesha udhaifu, uhuni na ulaghai.
Kiongozi mkuu alipaswa kuelewa kuwa data za HDI zinahitaji watu wenye elimu nzuri na zinahitaji kuchanganuliwa
Kitendo cha kwenda kuwasomea wananchi kililenga kujenga chuki akijua kuwa wengi hawataweza kunyumbua kama anavyofanya Mchambuzi na wengine hapa jamvini. Hivyo, 'kusoma tu' kuna mtia hatia kwasababu akiwa kiongozi alipaswa kujua impact ya kile anachosema. Kiongozi mzuri husoma mazingira ya hadhra yake kabla hajafungua kinywa.

Supreme alifungua kinywa na kuachia sumu, sasa hivi anajisafisha baada ya kuharibu. Nanyi mnamchafua kwa kumuogesha na maji machafu. Hoja zenu zinamwangamiza kama hii ya HDI. Hivi kweli Mkandara unaamini Zitto alikuwa na haki ya kusoma data asizojua impact yake, na wala asizojua zitatafsiriwaje na wananchi! Poor supreme

Kuhusu Lindi, nipo katika rekodi ya kutetea msimamo wa gesi kuwasiaidia. Msimamo wangu ni kuwa uwepo wa gesi uwe na impact iwe direct au indirect. Nimewaasa sana kuwa wasomi wao warudi kujenga makwao kama wa Kilimanjaro ili kuleta hamasa na mwamko. Kuna mtu anaitwa 'The Big show' atanisaidia kutoa ushuhuda wa haya

Sasa kuhusu umasikini wao, wewe usiwapoteze kwa kuwaonea huruma bila kuwaambia ukweli. Elimu ni kitu muhimu sana, na pa kuanzia ni hapo. Kama wataendelea kulia na viatu na kuondoa wanafunzi wakaolewe, miaka 10 ijayo wataendelea kusema hayo hayo.

Mkoa wa Kilimanjaro ni masikini kwa rasilimali muhimu ya ardhi. Huwezi kuamini nikikuambia kuwa remittance za wananchi walioko nje ya mkoa ndizo zinatumika kuwekeza katika maeneo kama elimu. Nimekupa mfano wa wananchi wa Nronga waliojenga barabara kwa sh milioni 100 za kuchangishana kwa wale walioko nje ya eneo husika. Lengo lao ni kuhakikisha wanapata barabara nzuri ili wapeleke mazao sokoni kama walivyosema. Hapo ndipo watapata ada ya kuwapeleka watoto wao private school.

Sasa Lindi na kama Kilwa wana ardhi nzuri. Muhimu ni watu wao ambao hawana utamaduni wa kujenga kwao, kurudi na kuwkeza katika elimu ili waweze kupata watu wenye uwezo wa kutumia ardhi. Kwasasa wanauza mashamba kwa ajili ya kilimo cha mibono. Wasilaumiwe kwasababu wananchi wao waliosoma wapo Dar na Arusha, hawataki kurudi kuwasaidia wanavijiji kubaini kuwa uuzaji wa ardhi ekari moja milioni 1 ni hasara ya kudumu. Watarudi kununua ardhi hiyo kwa milioni 50 miaka 10 ijayo.

Hoja muhimu hapa ni kuwa lazima tuwatie moyo wananchi na kuwaeleza wapi wanakosea na wapi wanafanya vema.
Nipo katika rekodi nikisema Kilimanjaro inaongoza kwa utapia mlo kwasababu watu wanajali zaidi kazi kuliko maisha ya watoto. Si kwa makusudi bali imetokea. Kwavile wana elimu tatizo limepungua kwa asilimia zaidi ya 70 tangu lilipotangazwa katika utafiti.

Hivyo kuwekeza katika elimu ni muhimu sana, si kuwadanganya watu kuwa wnaonewa na mkoa au mikoa fulani ili hali tunajaua kuozesha mtoto au kushawishi ahame nyumbani na si kwenda shule ni kosa kubwa zaidi.

Hayo ndiyo supreme anapita akihubiri kuwa Shinyanga na Mwanza wanaonewa na Kilimanjaro na Arusha, wakati si kweli. Kuna dudu linaitwa CCM limeshindwa, supreme anaona haya kulitaja anaamua kufanya shambulio kubwa na kali la kisiasa dhidi ya wale walioamua kujitafutia mbadala wa maendeleo. Huu ulaghai ili apate wanachama ndio tunaupiga vita

Ni ulaghai kwasababu leo mwenyekiti wa ACT yupo Arusha akitoa misaada mount Meru. Ingekuwa vema angeenda Shinyanga kule anakoamini wameonewa na kuounjwa na Aruaha. Hakwenda huko akijua kuwa wanachokifanya ni ulaghai wa kisiasa.

Huku supreme anahubiri chuki kule mwenyekiti wa ACT anatangaza 'upendo'. Ni katika ulaghai wa kisiasa na si ukweli wa mambo. Ulaghai huo tunaupiga vita na oakuanzia ni kwa hawa malaghai waliojidhihiri.

Masalaam
Mkuu acha uongo yaani mpaka unaudhi unajua. Ni lini matokeo ya shule zetu yalijali sehemu unayotoka? Mwaka 1984 kulikuwa na shule nyingi nzuri mikoani tofauti na 60s ambako shule bora zilikuwa chache na mikoa ya Kagera na Kili9manjaro tu.

Nyerere hakuchukua Affirmative action dhidi ya Kilimanjaro wala Kagera ati kuzipandisha mikoa mingine ishinde hata kama wamefanya vibaya! shame on you guyz..Mimi nina hakika kabisa haikuwepo sheria ya aina hiyo na kama imetokea hivyo ni kwa sababu nyie wenyewe mlosahihisha mitihani ya watoto, ndio mliwapa watoto wenu wenyewe mark kubwa ili wapitishwe. Na mnayafanya hadi kesho kupeana na kuuziana mitihani..

Mimi nimesoma bara na najua elimu niloipata nisingeipata kama sii kuwezeshwa kwa mikoani kutoa elimu bora, hizi habari na fikra zenu za ubwana ndizo zinazolipeleka taifa hili kubaya zaidi maana mnafikiri ni nyie tu wenye miliki halali ya nchi hii. Na mtu yeyote anayeogopa mafanikio ya wengine ni kwa sababu yeye mwenyewe anafanya mazabe, mficha uchi hazai mkuu wangu. Hivyo naanza kuwaogopa, na nashiukuru mada hii imeweza kukuweka uchi mtupu yaani sina hamu na wewe. Duh namshukuru Mungu nimeondokana na fikra za Kichadema kumbe ni cancer mbaya sana..

na imenionyesha jinsi uelewa wako ulivyo mdogo katika majambo muhimu kama haya umeshindwa hata kuelewa pamoja na kila njia tulotumia ufahamu bado unarudia madudu yale yale. Ama kweli...
 
Mkuu acha uongo yaani mpaka unaudhi unajua. Ni lini matokeo ya shule zetu yalijali sehemu unayotoka? Mwaka 1984 kulikuwa na shule nyingi nzuri mikoani tofauti na 60s ambako shule bora zilikuwa chache na mikoa ya Kagera na Kili9manjaro tu.

Nyerere hakuchukua Affirmative action dhidi ya Kilimanjaro wala Kagera ati kuzipandisha mikoa mingine ishinde hata kama wamefanya vibaya haikuwepo sheria na kama imetokea hivyo ni kwa sababu nyie wenyewe mlosahihisha mitihani ndio mliwapa watoto wenu mark kubwa kuliko majibu yao.

Mimi nimesoma bara na najua elimu niloipata nisingeipata kama sii kuwezeshwa kwa mikoani kutoa elimu bora, hizi habari za fikra zenu ndizo zinazolipeleka taifa hili kupaya zaidi. Na mtu yeyote anayeogopa mafanikio ya wengine ni kwa sababu yeye mwenyewe anafanya mazabe. Hivyo naanza kuwaogopa, na nashiukuru mada hii imeweza kukuweka uchi mtupu yaani sina hamu na wewe. Duh namshukuru Mungu nimeondokana na fikra za Kichadema kumbe ni cancer mbaya sana..
Sababu za kubadili mitihani ya kitaifa kuwa ya mikoa nimekueleza. Sijasema hayo uliyonisingizia, hata hivyo najua wazi hii ni misumari usiyotaka kuisikia. Kawaida yetu tunasema kile tunachotaka kusema na si kile unachotaka kusikia

Pili, hatutarajii utuweke katika kundi la maana. Of course upuuzi wetu ni kuanika ulaghai wa supreme leader ambao umeshindwa kuutetea kwa mantiki zaidi ya kumweka mahali pagumu sana kisiasa.

Unaposema data za HDI ni pana sana na zina mambo mengi, halafu ukasema Zitto alisoma tu katika mkutano unatueleza jinsi gani supreme asivyo makini na kauli zake hatarishi kwa taifa hili.

Tumekuonyesha kuwa kwanini asifanye ulinganifu wa mikoa 1-6 na ile anayosema? Huna jibu

Pili, tumekuonyesha kuwa supreme ana inda na kanda ya kaskazini. Ana chuki kwasababu hakuna ushahidi wa aina yoyote ile kuwa mikoa imependelewa kwa namna yoyote.

Hivyo chuki zake binafasi anapozingumanisha na ACT anajaribu kuueleza umma kuhusu azma ya ACT-Tanzania/wazalendo dhidi ya wananchi si wa kaskazini bali wa maeneo yanayojitahdi.

Tatu, Anna Mghirwa ameenda Arusha kule kule wanakokupiga madongo.

Upande wa pili supreme anatema cheche za ulaghai dhidi ya kule kule aliko mwenyekiti wake. Unaweza kuona ulagahi hapo

Hebu ongea na analysis ya mchambuzi kidogo, ukipata nafuu tutaendelea
 
Nguruvi3,
Yaani wewe huwezekaniki wala hueleweki.Ulipoandika haya ulikuwa na maana gani
Kuhusu wanafunzi kutonyimwa elimu kwasababu shule zao zilibaki, hoja ni kuwa shule nafasi za kusonga mbele ziliminywa.
Mwaka 1984 Wilaya ya Mwanga, wanafunzi 6000 walifanya mtihani wa std. Waliochaguliwa ksekondari ni 62.
Wakati huo huo kuna wanafunzi wa mikoa mingine walipewa nafasi hizo hata kama viwango vyao vya ufaulu vilikuwa vidogo.
 
Back
Top Bottom