..Zitto ndiye anayeamini ktk hayo mambo ya mikoa fulani kudhulumu mikoa mingine. mambo ya kuchonganisha jamii moja vs nyingine.
..mimi siamini kama kuna mkoa au jamii fulani hapa Tz inaishi kinyonyaji na kudhulumu mikoa na jamii nyingine.
..hata mikoa ambayo iko nyuma kimaendeleo au jamii ambazo ziko nyuma kimaendeleo naamini zinapaswa kusaidiwa ili maendeleo yamfikie kila Mtanzania.
..Zitto ndiye anayeamini ktk hayo mambo ya mikoa fulani kudhulumu mikoa mingine. mambo ya kuchonganisha jamii moja vs nyingine.
..mimi siamini kama kuna mkoa au jamii fulani hapa Tz inaishi kinyonyaji na kudhulumu mikoa na jamii nyingine.
..hata mikoa ambayo iko nyuma kimaendeleo au jamii ambazo ziko nyuma kimaendeleo naamini zinapaswa kusaidiwa ili maendeleo yamfikie kila Mtanzania.
AdharusiNisome kwa umakini Nguruvi3 magie3 Mchambuzi
Naeleza kilichosemwa na Zitto na source ya Takwimu alizozizotoa
Source ya Takwimu alizotoa Zitto zinatoka Tanzania Human Development Report 2014(THDR 2014)
Nanukuu maelezo ya Zitto
"Dar inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa-16.9% Dar
-9.2% Mwanza kabla haijagawanya
-7.3%. Mbeya
-6%. Shinyanga
-5.3% Iringa
Hata hivyo Shinyanga ni moja ya mikoa yenye Umaskini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia pato la Taifa.
Mikoa yenye Maendeleo Zaidi ni Arusha,Kilimanjaro na Dar es salaam.
Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7 kuchangia Pato la Taifa
Mchambuzi usome maelezo ya Zitto hapo chini,maana wewe unataka Zitto ataje CCM
" Zitto akasisitiza ndio mana ni lazima kubomoa mfumo wa sasa wa uchumi,huwezi kuwa na mkoa unashika nafasi ya 4 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namna 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu.
Shinyanga ina migodi 2 ya dhahabu na migodi 2 ya Almasi,ina Ng'ombe na Pamba.
Tunavita moja tu,kufanya Mapinduzi ya mfumowetu was uchumi kutoka mfumo wa kinyonyaji na kifisadi na kujenga uchumi shirikishi,pia Zitto aligusia Takwimu za watu wenye elimu ya sekondari simiyu ni 3.7%, na Dar ni 29% inaongoza nchi mzima
ZakumiJokakuu;
Katika michango yako mingi unachanganua mambo bila kuwa biased. Kama tungeweza kutumia sifa zako, tungeweza kumwangalia Zitto kama mwanasiasa na kupima maneno yake kama yanasaidia jamii, taifa, na yeye mwenyewe.
Matatizo yaliopo ni kuwa toka Zitto awe na migogoro na Chadema na toka aondoke CDM, kuna watu kwa sababu wanazozijua wenyewe wamehamua kucheza na Zitto bega kwa bega. Wanafuatilia anachosema. Wanafuatilia anapokwenda. They are obsessed with him 24/7. He's their number one enemy. I think he doesn't deserve that.
Kwa maoni yangu, Zitto anao uhuru wake wa kikatiba. Kuondoka kwake CDM, kusitufanye tumnyime haki yake ya kikatiba. Uhuru wa katiba unampa ruhusa ya kuitisha mikutano na kuzungumza. Katika mambo atakayozungumza, mengine hatutapendezwa nayo. Lakini hiyo isitufanye kumnyima haki yake. Nchi imehamua kufuata western democracy na hizo ndizo gharama zake.
Adharusi
Umeuliza swali, umepata jibu kutokana na maelezo yakomwenyewe.
Hakuna neno hata moja liloongezwa nje ya maelezo yako.
Mkandara aliwah ikusema(nukuu ipo) Supreme leader alisoma takwimu tu, asilaumiwe.
Wakulaumiwa ni hao THDR 2014
Inaelekea Adharusi anatushawishi tusome maelezo tu kama yalivyo. Kwa njia hiyo hatutakiwi kufikiri au kupambanua, kuchambua na kuleta maana liliyokusudiwa.
Tatizo la kusoma tu kama ilivyo, ndilo litakukabili katika hoja zifuatazo.
1 Kwa mujibu wa takwimu zako, Dar, Mwanza, Mbeya, Shinyanga zinaongoza kuchangia pato la taifa.
Uchangiaji huo upo katika eneo gani?
2 Hata hivyo Shinyanga ni mmoja wa mikoa yenye umasikiniwa kutupwa
Je, umasikini wa Shinyanga ni namba ngapi kitaifa? Kwa mujibu watakwimu za Zitto, Shinyanga ni ya ngapi kwa umasikini? (Tunajua ni ya 4kuchangia pato la taifa)
3 Mikoa yenye maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dares Salaam. Je, hiyo rank inahusisha mikoa mitatu tu?
Katika orodha ya mikoa 5 yenye maendeleo, Kilimanjaro na Arusha zinashika nafasi ya ngapi? ( Kuchangiapato ni Dar, Mwanza, Shy, Iringa)
4. Neno hata hivyo kama lilivyotumika hapo juu linaaminisha nini?
5 Kuna uhusiano gani kati ya kuchangia pato, maendeleo,Arusha, Kilimanjaro, Dar, Mwanza, Shinyanga na Iringa?
6 Kubomoa mfumo wa uchumi wa sasa, kuna uhusiano gani kati ya mkoa unaochangia pato la taifa (4) na umasikini ukiwa wa 16 kati ya 21? Hapa hoja inauliza, kuna uhusiano gani kati ya mfumo wa uchumi, pato la taifa,maendeleo na umasikini?
7 Zitto anasema, kuna vita moja ya kuondoa mfumo wakinyonyaji na kifisadi na kujenga uchumi shirikishi
Kuondoa ufisadi na unyonyaji ni jukumu letu sote. Swali neno la mfumo shirikishi limetumika kwa mantiki gani?
Hapa tunauliza, mfumo shirikishi utawahusisha akina nani? (Kumbuka mafisadi hawanakabila au dini) sasa mfumo huo shirikishi, unawashirikisha akina nani?
Ukiweza kujibu kila hoja kama zilivyo bila ubabaishaji au ulaghai nitaomba radhi kumwekea maneno supreme.
Ukishindwa basi na ukae kimya kwa Amani ii upate faida ya kujifunza na kuelewa!
Ni wakati sasa tuyaweke maelezo haya katika 'simple terms' zinazoeleweka na wengi.Definition of Human Development:
Human development has been defined by the United Nations Development Programme as the process by which people can achieve higher levels of well-being by expanding their capabilities and functioning. Human development therefore seeks to enable people to lead full and productive lives, whereby they can satisfy their life needs such as by raising their incomes and improving specific factors of their standard of living.
Definition of Economic Transformation:
Economic transformation is a process entailing the changing of the structure, path and speed of economic growth. Thus a shift in the whole production relations and choice of techniques for production. Economic transformation may also imply changes in the drivers of the economy; and thus the sectors that contribute most to growth. What it means really is not only transformation from low-growth to high-growth but also to move to capital or technology-intensive production processes that also facilitate more employment economy-wide (i.e. not necessarily in the same industry)
What is socio-economic transformation?
Socio-economic transformation iscommonly defined as a process in which an increasing proportion of economicoutput and employment are generated by sectors other than agriculture. Thisprocess of transformation connotes the shift from agricultural-based societies to urban, industrial and/or service-based economies with sustained high GrossDomestic Product (GDP) growth rates. GDP growth combined with a reductionin the population's growth rate - resulting from improvements in educationalaccess and quality increases GDP per capita, which, in turn, reduces poverty.
The definitions above simply imply that the two subjects of economic growth and human development are twins that are inextricably related. One does not need to be held back to allow fulfillment of the other.
Haya turudi kwenye mada, Chama cha ACT - Mpini wa CCM kumaliza upinzani, kwa kukumbushana matamko mbali mbali yaliyowahi kutolewa na Supreme Leader na kuzua maswali badala ya majibu. Nitaanza kwa kujadili dira na malengo ya ACT-Tanzania/ACT-Wazalendo baada ya kuzinduliwa rasmi.
Haya watetezi wa Supreme Leader, nuru na dira ya ACT-Tanzania/ACT-Wazalendo, je mnaelezaje pale alipoamua kwa makusudi kabisa kutaja Ubungo, Kawe na Segerea mjini Dar es Salaa, kama ndio majimbo ACT-Wazalendo wanayoyapa kipaumbele kuyakomboa? Kutoka mikononi mwa nani? Chadema?
Kila mtu anajua chama tawala CCM, inavyosononeka kwa hayo majimbo kwamba ama tayari yako mikononi mwa Upinzani au yapo hatarini kuwaponyoka na kuchukuliwa na Upinzani. Je hapa hamuoni kama malengo ya CCM na malengo ya ACT-Wazalendo (soma Supreme Leader) yanashabihiana?
Supreme Leader hakuyataja haya majimbo kwa bahati mbaya, alikuwa ama anatekeleza makubaliano waliyowekeana na CCM au anatekeleza maagizo waliyopeana. Nitashangaa sana akitokea mtu hapa na kukana usaliti huu kwa hoja inayofanana na ile ya kutajwa kwa Shinyanga, Kilimanjaro na Arusha.
Nitarejea tena katika matamko mengine ikiwa ni pamoja na ya viongozi wengine ndani ya ACT-Tanzania/ACt-Wazalendo...
Mag3. Wewe ni mtu mzima tena una wajukuu unapokuwa muongo unawaweka wapi wajukuu zako ki maadili...blah blah blah
Ritz, naomba nikurudishe nyuma miaka mitano iliyopita;April 2015 said:Tayari wananchi wa majimbo kadhaa nchini wamemwandikia- Zitto barua ya maombi ya kumtaka katika uchaguzi mkuu mwaka huu agombee ubunge kwenye majimbo yao kupitia Chama cha ACT-Wazalendo.Miongoni mwa majimbo ambayo yaliyomwomba Zitto akagombeee ubunge ni Nyamagana mkoani Mwanza, jimbo linaloshikiliwa na Ezekia Wenje (Chadema), Kawe ambalo Mbunge wake ni Halima Mdee (Chadema), Ubungo kwa John Mnyika (Chadema), na Segerea kwa Dk.Makongoro Mahanga(CCM)...
Ritz, una haki ya kuniita jina lolote lile lakini sifumbii macho ulaghai kwa umbo lolote lile. Dai la watu kuandika barua kumuomba Supreme Leader agombee Ubunge halikuaza leo...kalaghabaho!February 2010 said:Hadi sasa nimekwishapokea maombi mengi kutoka kwa wananchi wa Jimbo la Kinondoni, Kahama, Geita, Kigoma Mjini na Kigoma Kaskazini ili niwawakilishe bungeni," alisema Zitto.
Hata hivyo, Zitto ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chadema alisema hadi sasa bado hajafanya uamuzi rasmi wa jimbo gani kati ya hayo atakwenda kugombea
Mkuu Ritz naogopa zumbemkuu asijerudia tena yale maneno ukajisikia vibayaMag3.
Wewe ni mtu mzima tena una wajukuu unapokuwa muongo unawaweka wapi wajukuu zako ki maadili.
Unafanya kama wenzako walivyokuwa wanafanya mwanzo kuchangua mikoa miwili Arusha na Kilimanjaro, wewe umeamua kuchagua majimbo kwenye kauli ya Zitto.
Hebu tumsome kiduchu muhusika.
AdharusiNisome kwa umakini Nguruvi3 magie3 Mchambuzi
Naeleza kilichosemwa na Zitto na source ya Takwimu alizozizotoa
Source ya Takwimu alizotoa Zitto zinatoka Tanzania Human Development Report 2014(THDR 2014)
Nanukuu maelezo ya Zitto
"Dar inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa-16.9% Dar
-9.2% Mwanza kabla haijagawanya
-7.3%. Mbeya
-6%. Shinyanga
-5.3% Iringa
Hata hivyo Shinyanga ni moja ya mikoa yenye Umaskini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia pato la Taifa.
Mikoa yenye Maendeleo Zaidi ni Arusha,Kilimanjaro na Dar es salaam.
Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7 kuchangia Pato la Taifa
Mchambuzi usome maelezo ya Zitto hapo chini,maana wewe unataka Zitto ataje CCM
" Zitto akasisitiza ndio mana ni lazima kubomoa mfumo wa sasa wa uchumi,huwezi kuwa na mkoa unashika nafasi ya 4 kuchangia Pato la Taifa lakini unashika namna 16 kati ya mikoa 21 kwa maendeleo ya watu.
Shinyanga ina migodi 2 ya dhahabu na migodi 2 ya Almasi,ina Ng'ombe na Pamba.
Tunavita moja tu,kufanya Mapinduzi ya mfumowetu was uchumi kutoka mfumo wa kinyonyaji na kifisadi na kujenga uchumi shirikishi,pia Zitto aligusia Takwimu za watu wenye elimu ya sekondari simiyu ni 3.7%, na Dar ni 29% inaongoza nchi mzima
Mkuu, nakumbuka Zitto alishawahi kuunda kamati ya kumsaidia kuchagua agombee jimbo gani.Haya turudi kwenye mada, Chama cha ACT - Mpini wa CCM kumaliza upinzani, kwa kukumbushana matamko mbali mbali yaliyowahi kutolewa na Supreme Leader na kuzua maswali badala ya majibu. Nitaanza kwa kujadili dira na malengo ya ACT-Tanzania/ACT-Wazalendo baada ya kuzinduliwa rasmi.
Haya watetezi wa Supreme Leader, nuru na dira ya ACT-Tanzania/ACT-Wazalendo, je mnaelezaje pale alipoamua kwa makusudi kabisa kutaja Ubungo, Kawe na Segerea mjini Dar es Salaa, kama ndio majimbo ACT-Wazalendo wanayoyapa kipaumbele kuyakomboa? Kutoka mikononi mwa nani? Chadema?
Kila mtu anajua chama tawala CCM, inavyosononeka kwa hayo majimbo kwamba ama tayari yako mikononi mwa Upinzani au yapo hatarini kuwaponyoka na kuchukuliwa na Upinzani. Je hapa hamuoni kama malengo ya CCM na malengo ya ACT-Wazalendo (soma Supreme Leader) yanashabihiana?
Supreme Leader hakuyataja haya majimbo kwa bahati mbaya, alikuwa ama anatekeleza makubaliano waliyowekeana na CCM au anatekeleza maagizo waliyopeana. Nitashangaa sana akitokea mtu hapa na kukana usaliti huu kwa hoja inayofanana na ile ya kutajwa kwa Shinyanga, Kilimanjaro na Arusha.
Nitarejea tena katika matamko mengine ikiwa ni pamoja na ya viongozi wengine ndani ya ACT-Tanzania/ACt-Wazalendo...
Mag3.
Mkuu Nguruvi3.Mkuu Ritz naogopa zumbemkuu asijerudia tena yale maneno ukajisikia vibaya
Anyways, habari hii umeipita kama hukuiona Adharusi
Umeuliza swali, umepata jibu kutokana na maelezo yakomwenyewe.
Hakuna neno hata moja liloongezwa nje ya maelezo yako.
Mkandara aliwah ikusema(nukuu ipo) Supreme leader alisoma takwimu tu, asilaumiwe.
Wakulaumiwa ni hao THDR 2014
Inaelekea Adharusi anatushawishi tusome maelezo tu kama yalivyo. Kwa njia hiyo hatutakiwi kufikiri au kupambanua, kuchambua na kuleta maana liliyokusudiwa.
Tatizo la kusoma tu kama ilivyo, ndilo litakukabili katika hoja zifuatazo.
1 Kwa mujibu wa takwimu zako, Dar, Mwanza, Mbeya, Shinyanga zinaongoza kuchangia pato la taifa.
Uchangiaji huo upo katika eneo gani?
2 Hata hivyo Shinyanga ni mmoja wa mikoa yenye umasikiniwa kutupwa
Je, umasikini wa Shinyanga ni namba ngapi kitaifa? Kwa mujibu watakwimu za Zitto, Shinyanga ni ya ngapi kwa umasikini? (Tunajua ni ya 4kuchangia pato la taifa)
3 Mikoa yenye maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dares Salaam. Je, hiyo rank inahusisha mikoa mitatu tu?
Katika orodha ya mikoa 5 yenye maendeleo, Kilimanjaro na Arusha zinashika nafasi ya ngapi? ( Kuchangiapato ni Dar, Mwanza, Shy, Iringa)
4. Neno hata hivyo kama lilivyotumika hapo juu linaaminisha nini?
5 Kuna uhusiano gani kati ya kuchangia pato, maendeleo,Arusha, Kilimanjaro, Dar, Mwanza, Shinyanga na Iringa?
6 Kubomoa mfumo wa uchumi wa sasa, kuna uhusiano gani kati ya mkoa unaochangia pato la taifa (4) na umasikini ukiwa wa 16 kati ya 21? Hapa hoja inauliza, kuna uhusiano gani kati ya mfumo wa uchumi, pato la taifa,maendeleo na umasikini?
7 Zitto anasema, kuna vita moja ya kuondoa mfumo wakinyonyaji na kifisadi na kujenga uchumi shirikishi
Kuondoa ufisadi na unyonyaji ni jukumu letu sote. Swali neno la mfumo shirikishi limetumika kwa mantiki gani?
Hapa tunauliza, mfumo shirikishi utawahusisha akina nani? (Kumbuka mafisadi hawanakabila au dini) sasa mfumo huo shirikishi, unawashirikisha akina nani?
Ukiweza kujibu kila hoja kama zilivyo bila ubabaishaji au ulaghai nitaomba radhi kumwekea maneno supreme.
Ukishindwa basi na ukae kimya kwa Amani ii upate faida ya kujifunza na kuelewa!
Na unapoona wafuasi wa "Chadema" wanapambana na mtu mmoja basi ujue ipo namna!Mkuu, nakumbuka Zitto alishawahi kuunda kamati ya kumsaidia kuchagua agombee jimbo gani.
All in all, inapofikia mahali 'mpinzani' anatamani majimbo ya upinzani, inatisha
Kwake, Kawe, ubungo ni njema kuliko Ilala, Kigamboni na Temeke. Huko hakuna wananchi wanaomhitaji!!!
Na unapoona ''CCM'' wanampenda mtu na kumtetea, ipo namna!
Hizi siasa za ulaghai ni mbaya sana, kama hatutazikataa tutapata matatizo
Mkuu Nguruvi3, nakujibu kwa kumnukuu Zitto mwenyewe mwaka huo wa 2010;Mkuu, nakumbuka Zitto alishawahi kuunda kamati ya kumsaidia kuchagua agombee jimbo gani.
All in all, inapofikia mahali 'mpinzani' anatamani majimbo ya upinzani, inatisha
Kwake, Kawe, ubungo ni njema kuliko Ilala, Kigamboni na Temeke. Huko hakuna wananchi wanaomhitaji!!!
Na unapoona ''CCM'' wanampenda mtu na kumtetea, ipo namna!
Hizi siasa za ulaghai ni mbaya sana, kama hatutazikataa tutapata matatizo
Zitto alifafanua kwamba uamuzi wa kugombea moja kati ya majimbo hayo utategemeana na utafiti na uchunguzi ambao amekwisha uanza kuufanya kupitia watu wake maalumu pamoja na ushauri kutoka kwa viongozi wa chama chake, ndugu, jamaa na marafiki zake.Zitto 2010 said:Napenda kuchukua nafasi hii kutangaza kuwa nitagombea katika moja kati ya hayo majimbo ambayo wananchi wameniomba, lakini hadi sasa bado sijafanya uamuzi rasmi. Pia nimeuvunja msimamo wangu wa kujiondoa katika siasa kama nilivyotangaza awali, hii ni kutokana na maombi ya wananchi kutaka nibakie katika medani ya siasa.
Pamoja na kuhitajika katika majimbo hayo, siwezi kukurupuka na kutangaza tu kuwa nitagombea jimbo hili. Kwanza nimekwishaanza kufanya utafiti na uchunguzi wa kina katika hayo majimbo pia uamuzi wangu utategemeana na ushauri kutoka kwa viongozi wangu wa Chadema, ndugu, marafiki na jamaa zangu.
Mkuu yaani Zitto akiombwa kugombea sehemu ni makosa lakini wengine wakiombwa siyo makosa.Mkuu Nguruvi3, nakujibu kwa kumnukuu Zitto mwenyewe mwaka huo wa 2010;
Zitto alifafanua kwamba uamuzi wa kugombea moja kati ya majimbo hayo utategemeana na utafiti na uchunguzi ambao amekwisha uanza kuufanya kupitia watu wake maalumu pamoja na ushauri kutoka kwa viongozi wa chama chake, ndugu, jamaa na marafiki zake.
Huo ni ulaghai at its best ingawa bado watu wanamwamini kama Mkandara wakitetea eti huo ndio ukomavu wa kisiasa na kwamba wengine tunaongozwa tu na wivu.
Ritz acha upuuzi wako, sijui una maana gani kudai nimetengeneza maneno yangu, nimenukuu maneno yako word for word! Soma tena niliyoyaandika kama hayamo kwenye post yako. Halafu hii ya kusema sisi ni wana Chadema ni muendelezo tu wa upuuzi wenu; mimi naunga mkono msimamo wa Chadema lakini sijawahi hata kukutana na kiongozi wao hata moja, nasoma na kufuatilia tu harakati zao katika kuwaelimisha wananchi juu ya chama cha kilaghai cha CCM na kitoto chake ACT...I dont even know which is which!
Nitajie Mbunge aliyewahi kuandikiwa barua kutoka majimbo mbali mbali akiombwa agombee majimbo zaidi ya moja.Mkuu yaani Zitto akiombwa kugombea sehemu ni makosa lakini wengine wakiombwa siyo makosa.