Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Nguruvi3.Ahsante, kwa taarifa ya wasomaji naomba mupuuze hiyo o hotuba ya Ritz. Ni uongo tu hakuna ukweli
1. Kwanza hakusikiliza Redio free Afrika(ushihidi upo)
2. Amesoma kipande cha hotuba hiyo May 13 hapa Duru(ushahidi upo)
3. Amebadili maneno ya hotuba iliyoletwa na mkereketwa mwenzake kwasababu ina maneno machungu(ushahidi upo)
4. Hakusoma hotuba kutoka JF, uzi upo hauna hotuba wala Riza hakuchangia (ushahidi upo)
5. Alikiri kutojua Zitto kasema nini hapa duru May 13 2015, wiki tatu baada ya su[reme leader kumwaga sumu
Kama mnafuatilia mjadala huu, kuanzia mwanzo watu wamempuuza Rutz kila alipoandika.
Tunaomba watu warejee kwenye mambo ya maana
Lengo la kutaka kuondoa watu katika mjadala kwa hoja zisizo na msingi limeanza muda mrefu
Ku entertain hoja kama hizi ni kuvuruga mjadala. Tunaomba watu waachane na ubabbaishaji unaondelea
Tunaomba mjadala uendelee
ACT MPINI WA KUMALIZA UPINZANI
JF ni jukwaa huru sasa unapowambia watu wanipuuze kisa nimeleta hotuba ya Zitto huo ni udhaifu wa fikra.
Ungefanya la maana ili watu wanipuuze ungekuja na hotuba ya kweli ya Zitto ungeeleweka zaidi sasa unakuja na maneno matupu mkuu.
Nimekusoma unasema umeanza kumjadili Zitto toka tarehe 5 huo ni uongo kumbukumbu zipo taziweka wanaukumbi waone au ulikuwa unajadili facebook.
Wewe endelea kunipuuza mimi sina tatizo na kupuuzwa, mimi nimejikita zaidi kuwafahamisha wanaofuatilia huu mnakasha siyo kukufurahisa wewe na imani siyo wote watakao nipuuza ni wafuasi wako tu.
Last edited by a moderator: