Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Mchambuzi, nilikuwa sijaiona hii kutoka kwa ndugu yetu Zakumi, nanukuu;
And now with a light but serious touch...
...Kwa mara ya kwanza ndani ya taifa hili kajitokeza Kiongozi moja wa chama cha siasa ambaye ni Supreme...yeye ndiye nuru na dira. Nikarudi rudi nyuma kidogo miaka arobaini iliyopita kwa kiongozi aliyewahi kuwa na cheo kama hicho cha Supreme Leader, Comrade Mao Zedong, wa China ambaye nje ya nchi yake alijulikana kama Chairman Mao Tse-Tung. Kiongozi mwingine aliyemkaribia huyo ni yule wa Korea Kaskazini, Kim Il-Sung, ambaye alifika mbali zaidi na kujipachika jina "Eternal Ruler of the Republic"
Kuwalinda mafisadi wanaolimaliza taifa hili baada ya October kutahitaji kiongozi mwenye tabia na msimamo kama wa Supreme Leader and CCM banks on that. Zakumi, it is a plan, it is a compromise and call it obsession or whatever you like, we the Nguruvi3s and other Jihadists/Crusaders like us wont let this devil plan work, not without resistance...not during our watch! Zitto is not real, Zitto is a plant a phoney! Supreme Leader, my foot, those days are gone and done and they wont be coming back, not soon.
Forewarned is forearmed.
Nikauliza, well, at least Nguruvi3 katajwa, sasa hao other CDM Jihadists or Crusaders ndio akina nani?Zakumi said:You mean Zitto !!!. I think Nguruvi3 and other CDM Jihadists or crusaders are obsessed with the guy. They should learn to leave without him and to tie Zitto with CCM is pure cr@p.
And now with a light but serious touch...
...Kwa mara ya kwanza ndani ya taifa hili kajitokeza Kiongozi moja wa chama cha siasa ambaye ni Supreme...yeye ndiye nuru na dira. Nikarudi rudi nyuma kidogo miaka arobaini iliyopita kwa kiongozi aliyewahi kuwa na cheo kama hicho cha Supreme Leader, Comrade Mao Zedong, wa China ambaye nje ya nchi yake alijulikana kama Chairman Mao Tse-Tung. Kiongozi mwingine aliyemkaribia huyo ni yule wa Korea Kaskazini, Kim Il-Sung, ambaye alifika mbali zaidi na kujipachika jina "Eternal Ruler of the Republic"
Kuwalinda mafisadi wanaolimaliza taifa hili baada ya October kutahitaji kiongozi mwenye tabia na msimamo kama wa Supreme Leader and CCM banks on that. Zakumi, it is a plan, it is a compromise and call it obsession or whatever you like, we the Nguruvi3s and other Jihadists/Crusaders like us wont let this devil plan work, not without resistance...not during our watch! Zitto is not real, Zitto is a plant a phoney! Supreme Leader, my foot, those days are gone and done and they wont be coming back, not soon.
Forewarned is forearmed.