Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

imagesCA4RTUD8.jpg


Hivi tulikuwa tunajadili nini vile...!
 
1. Tuseme basi hoja yako ya kodi za mipakani ina mashiko, hivyo we ignore CUSTOMS and EXCISE stats nilizowasilisha awali, how does that change the story?

2. Nimetoa mifano ya texas huko juu lakini nikajibiwa na Ritz kwamba wao wameendelea, kwahiyo tusiwajadili. Sasa kama wameendelea, na sisi tunafanyeje tuendelee kama sio kwa kujifunza kutoka kwa wenzetu walioendelea kupitia sekta ya mafuta na gesi?

Texas leads the US in oil reserves, lakini the major source of revenues in Texas is not oil and gas taxes but sales and use tax, by over 50%. Hoja yangu ya msingi hapa ni kwamba tuache kuwa wavivu wa kufikiri kwa vile tu kuna utajiri wa mafuta na gesi katika mkoa fulani. Tuache kupumbaza wananchi wa Mtwara kwamba wamejaliwa sana kuliko wenzao kwa hiyo walale kwa raha na starehe wasubiri serikali ikusanye kodi from oil and gas na kuwamwagia mapesa, na kuwapa huduma za bure. Mwanasiasa anayewaeleza wananchi hayo ni sumu ya hatari kwa mustakabali wa taifa letu.

Sambamba na kusubiria kodi kutoka oil and gas, wana mtwara sasa wajipange in terms of development of Human Capital ili watoto wao, wajukuu wao na vitukuu vyao waweze faidika kwa maana ya ajira za maana kwenye sekta ya oil and gas, ajira ambazo zitakatwa kodi na kuchangia maendeleo yao sambamba na kodi kutoka katika uzalishaji wa oil and gas. Pia wawe na skills za kuja wawezesha kutumia fursa zilizopo in the oil and gas value chain, kuwa suppliers, contractors n.k. Wana mtwara wana haja ya kujipanga ili oil and gas ivutie real estate development ili mkoa wao uanze kukusanya property taxes nzuri.

Siasa za kuwafanya wana Mtwara wawe na imani kwamba faida ya oil and gas sector will trickle down in the short to medium term, ni siasa hatarishi sana kwa wana mtwara, na taifa kwa ujumla. Wana mtwara wanahitaji viongozi wa kuwasaidia kujipanga ili sekta ya oil and gas itumike kama mbegu ya kupanda kuwafungulia katika maeneo mengine where they also have a comparative advantage over other regions. Pia wawe na fikra ya kuangalia investment opportunities zipo wapi na jinsi gani they can harness local and outside capital kuendelea. Kwa mfano:

1. Kilimo (Korosho)
2. Usafiri wa Anga na Maji.
3. Utalii.
4. Ufugaji nyuki.
5. Viwanda.
6. Pia maeneo ya social and economic infrastructure kama vile elimu, afya, mawasiliano, barabara kwa mtindo wa Build Operate and Transfer, na maeneo mengine mengi.

Mchambuzi:

I think I have answered this. Comparing US States and Tanzanian regions is to compare apple and orange. As I told you in my previous post, US states have full autonomy to enact their own laws and also enforce their own systems of taxation; whereas, Tanzanian regions are the extension of the center government bureaucracy.

Take for example the municipal governments in Tanzania. Even in Kilimanjaro and Arusha regions, where people build science labs for their secondary school children, the municipal governments there can’t pay their own employees. So the comparison you try to make doesn’t make sense at all.

I think you are confused. For those who live in the US will tell you that for the past six years the extraction of oil/gas has spurred economic activities in Texas, South Dakota, Oklahoma, and other states. What’s more, the revenues of those states have gone up. So you can’t say oil/gas isn’t a major source of revenue. For example, after the financial crisis of 2008, many US states are struggling to balance their budgets, but oil/gas states are financially stable and some have experienced budget surplus.

If oil/gas can spur economic activities in Mtwara, why people of that region shouldn’t claim the ownership? I believe you are the one who is struggling to think here. It seems to me you can’t sustain your own life using your own environment. I don’t envy what people of Mtwara, Kilimanjaro, Shinyanga for what they have. Development is all about taking advantage of what’s available in your environment.

You say wana-Mtwara wajipange. How could they do that when they don’t have any executive position and power to decide their own destiny? Every executive decision is made in Dar Es Salaam and Dodoma with people who have no tie to the region and who have no interest to develop the region.
 
Mkuu maneno mazito! Watu wakumbuke jimbo lenye mafuta Nigeria ndilo masikini. Na kama mafuta na gesi yangekuwa mwarobaini basi Nigeria isingekuwa hapo ilipo.

Tuliwahi kusema huko nyuma na The Big Show akiwemo kuwa, wananchi wa Mtwara wapiganie faida za gesi si kwa kutaka ibaki bali kwa fursa zitakazopatikana.

Kwasasa Kiwanda cha Dngote kitaajiri watu. Ukiangalia ajira na shughuli za kiuchumi ni kubwa sana kuliko inavyodhaniwa

Wananchi wa Mtwara wajiandae kupokea fursa hizo wakiwa na maandalizi. Mimi ningewashauri wajiandae kwa elimu zaidi.

Kuongezeka kwa uwekezaji kuna kwenda sambamba na huduma za jamii kama elimu na afya.
Endapo hawatakuwa tayari, fursa za elimu na afya zitawafaidsha watu kutoka maeneo mengine na wao watafuata kauli za Zitto tu.

Kilimo mi eneo jingine. Huduma na ongezeko la shughuli za kibiashara na huduma linakwenda sambasamba na huduma za uzalishaji wa chakula n.k. Hapo wanapaswa kuwekeza maana embe wanalouza sh 50 ipo siku wataliuza sh 1000.

Hata hivyo lazima wajiandae kwa hilo vinginevyo fursa zilizopo ni za wote na katika ushindani watakuwa nyuma.
Hoja itakayosimama ni ya Zitto, wananchi wa kanda X wanakuja kuchukua fursa zetu

Uvuvi balo ni eneo la kuangalia. Kutakuwa na ongezeko la walaji tena wa viwango tofauti.
Ni wakati sasa wajiandae kuhakikisha uvuvi wanaoufanya si wa ngalawa tena. Waende mbele zaidi

Kuna investment katika real estate. Watu wanahitaji makazi, je Mtwara wanajiandaa kwa hilo?

Orodha ni ndefu sana, hoja kubwa ni kuwa lazima wajiandae kwa vizazi vyao.

Maandalizi mazuri ni kuwekeza katika elimu, mengine yatafuata. Ni kuangalia fursa zilizopo na jinsi gani wataiztumia. Si kuangalia gesi na mafuta maana Williamson diamond ilikuwepo Shinyanga.

Hao Kilimanjaro na Arusha wanaosemwa na supreme, silaha yao kubwa ni uwekezaji katika elimu

Kwanini umlaumu mwananchi wa Kilimanajaro, Arusha, Kagera n.k. kwa kutumia fursa uliyoshindwa kuitumia hapo ulipo?

Matokeo yake, wanatumia fursa hizo na wanafanya 'remmitance' kwao, wanaendelea.

Supreme anasema, hapana, ni wanyonyaji!

Nguruvi3:

Any place in Africa where coffee is cultivated, people have experience economic growth. So education isn't a prerequite of development in Kilimanjaro, Kagera, or Mbeya region.

If education is the prerequite, people of Malawi could have experience robust economic growth because they love to go to school there.

If Nyerere, Mengistu, and Mugabe increase literacy rate in their countries to unprecendent levels, however their efforts didn't translate into any economic gain. So education isn't what give the people of Kilimanjaro an edge.

Furthermore, if Arusha was a such developed region, why did they divide it into two regions: Manyara and Arusha?
 
Mkuu Mag3
Mjadala unahusu ACT na supreme katika kumaliza upinzani

Yaliyojitokeza , jitihada za kubadili mjadala ili kunusurukauli za supreme kuhusu mgawanyo wa rasilimali.
Watetezi wakaja na hoja za Mbona fulani kasema pia.


Hapo ndipo watu wakasema kauli za supreme hazina ukweli. Zikatakiwa takwimuza kuthibitisha supreme hayupo sahihi. Zimeletwa jamvini na ndizo zinaongelewa

Takwimu zinaeleza zenyewe, supreme hakuwa na sababu yoyoteya kitakwimu, kijamii, kiuchumi kusema aliyosema.

Watetezi wake wanakubali hilo ingawa hawasemi kwa uwazi kwavile wamekula yamini ‘allegiance'


Maswali yasiyo na mjaibu ni haya, je, matatizo ya wananchiwa Shinyanga yanaletwa na wananchi wa Arusha na Kilimanjaro kama livyosemasupreme Zitto?

Tunaelewa aliyeanzisha hoja ya ukanda iliyodakwa na CCM ni supreme.
Swali, huu ukanda anaohubiri una tofauti gani na ule aliotueleza upo alikotoka? Hakuna majibu


Kule Mwanza supreme leader alimkaribisha waziri Chizeba kuzungumzia shida za Wana Shinyanga.

Swali , matatizo ya Shinyanga ninani wa kuulizwa?
Waziri wa serikali yaCCM aliyekuwa mkutanoni au wananchi wa Arusha na Kilimanjaro waliokuwa mashambani,ofisini na kwenye biashara zao?


Kwanini supreme hakueleza ukweli kwa kuinyooshea kidole serikali iliyotufkisha hapa miaka 50, anaamua kuvurumisha makombora kwa wananchi wasio nahatia ?

Huko nyuma tumejadili kuwa kama CDM wanakiuka katiba kwakuingiza vipengele kinyemela katika katiba, vipi kipengele kilichoingizwakinyemela masaa 24 kabla ya mkutano kutoa nafasi ya supreme leader?

Lakini kikubwa tunachozungumzia ni hii dhana yakuwagawa wananchi.

Kazi hii ilikuwa ya CCM ingawa walipata dondoo kutoka kwa'CDM-ACT'

Kazi hiyo ya CCM inapofanywa na ACT, nafasi ya ACT ni ipi kama si mpiniwa kumaliza upinzani?
 
Last edited by a moderator:
kwani uongo si wenyewe kwa wenyewe,CCM ni jina tu,au Chadema ni jina tu,katika hivyo kuna watu ambao ni wanachama na n.k yeye anaeleza mfumo hana aja ya kutaja CHAMA kama unavyotaka,ujui zitto anazidi kupevuka kisiasa,huko amewaachia nyinyi


ha ha ha....jambo kuu hili
 
Nguruvi3,
Hivi nikuulize wewe na mwanaasiasa akisema WASUKUMA ndio askini nchini huoni tatizo? Huoni kama wapo watu watatafsiri kuwa yeye Mchagga ndio maana sio maskini? na ebu rudisha kinyume chake, Mbowe angesema Wachagga ndio matajiri nchini ungeleewa vipi? Jamani hizi lugha za kisiasa ni lazima mzipokee kwa nia nzuri msianze kuzitafutia tafsiri zenu maana nakumbuka Mwinyi alikwenda Kisiwani Ukerewe akawaambia wananchi "Mbona kisiwa hiki hakina Minazi mingi?" akaendelea kusema "Kisiwa pasipo minazi ni sawa na mwanamke bila hereni"..

Hapo mtu unaweza tunga uzushi wowote autakao na anavyoona yeye na kwa mapenzi yake yeye. Hii ni lugha tu ya kuhamasisha watu. nawaomba tujaribu kujenga hoja zenye kuzalisha badala ya kubomoa kila tunachokiona maana hizi siasa za sijui Chadema vs ACT hazijengi wala kupanua fikra zetu bali kuendeleza dhana zetu ambazo sii lazima zinaukweli. Tuzungumzie issue yenyewe. hakuna uongo kuwa Shinyanga ni maskini japo wana dhahabu...
 
Mkandara kuna mambo yananyochanganywa katika mada hii

1 Mchambuzi kaweka takwimu, ukizisoma utafikia conclusion kuhusu mgawanyo wa umasikini tulio nao.

Tusiogope kusema kile kilicho na ushahidi wa kisayansi. Mfano, ukienda kwa wabarbaig au wamasai na kuwaambiawameelimika kuliko Wahaya, utakuwa umewatukana. Ukweli wa takwimu si huo.


2. Kauli ya Mbowe inajadilika kama tunavyojadili nyingine.Tumesema leteni tuijadili bila kuifanya sabuni ya kusafisha kauli za supreme leader. Ukisoma maudhui ya mada yanajieleza.

3. Kauli ya Zitto si mara ya kwanza. Aliposema tusiogope EACkwasababu hakuna uwiano kati ya Kigoma na Kilimanjaro, tulichukulia kwa wepesi tu.

4. Kauli ya Zitto kuhusu matumizi mabaya ya rasilimali tuliichukulia kama chanya na hakukuwepo na mashaka juu yake

5. Kauli ya Zitto, Shinyanga ina rasilimali na ingepaswa kuwa zaidi ya Kilimanjaro na Arusha inatia shaka.

Hii nchi kodi za Arusha zinatumika popote. Rasilimali ni zetu wote, wapi inakuja kuwa uwepo wa Mlima Kilimanjaro ni kwa watu wa Kilimanjaro pekee! Na Shinyanga nayo iwe hivyohivyo? Wasi wasi ukaanza kutuingia


6 Kauli ya mgawanyo usi sawa wa rasilimali na kwamba mikoaya Arusha na Kilimanjaro inachangia kidogo na kupata zaidi, Shinyanga inachangia zaidi na kupata kidogo, ni ya kusikitisha, kutisha na kutia kinyaa

Ukichanganya kauli ya 1 na zingine, ukamalizia na 6 ni wazi Zitto ana ‘reservations' zake na watu wa Kilimanjaro na Arusha.

Hapo alilenga kuligawa taifa katika kujitanua kisiasa bila kujali madhara yake kwa taifa.

Ndipo tunasimama na kusema , hapana Zitto! Usiligawe taifa na hatupo tayari kuona linatokea machoni mwetu


Zitto anajenga hisia za uonevu kwa misingi ya ukanda.Hakueleza ukweli wa umasikini wa wananchi wa Mwanza na Shinyanga. Alichoeleza ni kuwabebesha mzigo wananchi wasiohusika kana kwamba wao ni sehemu ya serikali inayogawa mapato taifa

Athari za kauli zake zitaenda mbali na kujikuta tuna vyama vya kikanda.
Mfano, leo mtu kutoka KLM au Arusha atajiuliza kama ni mwafaka kujiunga na ACT.


Lakini pia ACT inajiuzuia kisiasa katika harakati zake. Hivi wakienda Lindi watasema nini kuhusu hali ya kule?

Wakienda Kagera watawaambia nini kuhusu hali yao? Wakienda Arusha na Manyara watasema nini.

Wakienda Mbeya au Kilimanjaro watabebesha mzigo kwa nani, tayari ameshawataja kamawachukuzi wa rasilimali za taifa


Hatari iliyopo mbele ni taifa kukosa ‘homogeneity' na watu kutoamainiana.

Hivi supreme anaamini maendeleo ya Arusha hayana mchango wa watu wa Shinyanga.

Au anaamini Shinyanga haina wakazi wa Kilimanjaro wanaopigika sawa na mtu mwingine


Hatuwezi kuacha kauli za kisiasa ziligawe taifa, na siasa huongozwa na busara.

Tusitoe benefit of doubt kwa watu kutuletea matatizo.


Kauli ya Zitto –ACT ni hatari sana kwa taifa, hatuwez ikufumbia macho.

ACT Wanawajibu, ima kukaa kimya nasi tuliendelea kuliunganisha taifa, au wajitokeze kuomba radhi kwa Watanzania ili sote tuliunge taifa. Kamwe hatutakaa kimya taifa likimegwa na siasa muflisi.

Not on our watch- Mag3
 
Last edited by a moderator:
Mchambuzi:

I think I have answered this. Comparing US States and Tanzanian regions is to compare apple and orange. As I told you in my previous post, US states have full autonomy to enact their own laws and also enforce their own systems of taxation; whereas, Tanzanian regions are the extension of the center government bureaucracy.

I think you are the one who is confused, and now you are passing the confusion on us. Ulisema hivi:

"But one thing you have forgotten. States in the United States have power to collect tax, enact their own laws etc etc. They are countries within a country. If we ask the same type of region autonomy in Tanganyika, the wise people will reply that the process will promote tribalism."

You were against fiscal decentralization arguing that it will spur tribalism. Now you are supporting it, criticizing Tanzania's government for not embracing it. What side of the coin are you?


Take for example the municipal governments in Tanzania. Even in Kilimanjaro and Arusha regions, where people build science labs for their secondary school children, the municipal governments there can't pay their own employees. So the comparison you try to make doesn't make sense at all.
Wrong, tax revenues collected by local government authorities are used for operational costs, mainly salaries and allowance of local government employees. Revisit your facts.

I think you are confused. For those who live in the US will tell you that for the past six years the extraction of oil/gas has spurred economic activities in Texas, South Dakota, Oklahoma, and other states. What's more, the revenues of those states have gone up. So you can't say oil/gas isn't a major source of revenue. For example, after the financial crisis of 2008, many US states are struggling to balance their budgets, but oil/gas states are financially stable and some have experienced budget surplus.

You are deflecting from the main argument. Texas is leading in oil reserves in the US, but does the majority of tax revenues in Texas come from oil and gas? Nope. Over 50% of tax revenues in Texas come from sales and use taxes. Go check your facts on this one too.

Emphasis: Tusiwadanganye wananchi wa mtwara kwamba kwa vile wana gesi na mafuta basi walale raha mstarehe kusubiri kodi from the sector. Nilijadili huko juu on how they can become innovative kiuchumi. Oil and Gas itumike kama mbegu tu to spur other economic and income generating activities.

If oil/gas can spur economic activities in Mtwara, why people of that region shouldn't claim the ownership? I believe you are the one who is struggling to think here. It seems to me you can't sustain your own life using your own environment. I don't envy what people of Mtwara, Kilimanjaro, Shinyanga for what they have. Development is all about taking advantage of what's available in your environment.

If we unpack the very same words you use hapa "Development is all about taking advantage of what's available in your environment", then utaelewa hoja yangu juu ya umuhimu wa ubunifu wa kutumia oil and gas kama means to development, not an end in itself.

You say wana-Mtwara wajipange. How could they do that when they don't have any executive position and power to decide their own destiny? Every executive decision is made in Dar Es Salaam and Dodoma with people who have no tie to the region and who have no interest to develop the region.

Sasa kwanini mnamshabikia Kiongozi kutoka Kigoma (@Zitto) kwenda Shinyanga kudanganya wananchi in a top-down fashion?
 
Nguruvi3:

Any place in Africa where coffee is cultivated, people have experience economic growth. So education isn't a prerequite of development in Kilimanjaro, Kagera, or Mbeya region.

If education is the prerequite, people of Malawi could have experience robust economic growth because they love to go to school there.

If Nyerere, Mengistu, and Mugabe increase literacy rate in their countries to unprecendent levels, however their efforts didn't translate into any economic gain. So education isn't what give the people of Kilimanjaro an edge.

Furthermore, if Arusha was a such developed region, why did they divide it into two regions: Manyara and Arusha?
Zakumi,

I am not sure if you are being sarcastic or honest.
 
Last edited by a moderator:
Zakumi,

I am not sure if you are being sarcastic or honest.
Mchambuzi, sijui kama Zakumi ni Mtanzania ama la ila matumizi ya Kiingereza katika michango yake katika hii mada yananipa mashaka juu ya uwezo wake ama wa kujielewa au kuelewa wanachosema wengine. Ni kama vile anajaribu kuficha mapungufu yake kwa kivuli cha lugha za watu na katika kufanya hivyo anazidi tu kujichanganya...haeleweki anatetea wala kusimamia nini katika huu mnakasha.

Mimi nasubiri Supreme Leader atakapofika Dar es Salaam zilipo wilaya kuu tatu zenye tofauti kubwa kimaendeleo, kiuchumi na kisiasa...je atawaambia wana Temeke kuwa wako nyuma kimaendeleo kwa sababu ya Ilala/Kinondoni? Na je vipi atakapokuwa Kinondoni atawaambia nini...kwamba wanainyonya Temeke/Ilala? Na vipi kwa majimbo ya Dar es Salaam na tofauti zake kimandeleo? Mfano Upanga na Buguruni?

Zitto alikuwa na sababu maalum ya kuitaja kanda ya Kaskazini na yote ni katika zile propaganda ya kuikandia chama kikuu cha Upinzani, Chadema. Mara ngapi wanaihusisha na Ukaskazini/Udini/Uchaga? Mbinu zile zile zinazotumiwa na CCM ndizo hizo hizo zinatumiwa na ACT Tanzania/Wazalalendo; kupanda mbegu za chuki katika jamii kwa mgongo wa ubaguzi kuhusu maendeleo kikanda, je huu ndio uzalendo?
 
Last edited by a moderator:
Wakati Ukawa inaundwa, Zitto alikuwa ni Mwanachama wa Chadema. Zitto alikuwa anaamini katika itikadi, falsafa, na malengo ya Chadema. Akiwa Chadema, kama mwanachama, aliapa kuwa mwaminifu kwa chama, na kwa maneno yake, katika nyakati tofauti, alisema kwamba ‘adui wa maendeleo ya watanzania ni chama cha Mapinduzi'.

Baada, Zitto akaanza unduminakuwili, na hapa ndio akaanza kutuacha tumeduwaa tusijue la kufanya kwani, akiwa bado mwanachama wa Chadema, akaanza kushutumu UKAWA kwamba wanataka kuvunja muungano. Akaanzea kusema kwamba UKAWA sio lolote bali ni "wasaka tonge." Leo kapata tonge lake la supreme leader, sasa anageuka na kusema kwamba yupo tayaru kuungana na Ukawa, lakini tatizo ni kwamba uongozi wa Ukawa unamzuia kufanya hilo. Hivi kweli inaingia akilini kumkubalia kiongozi wa chama cha upinzani kinachopambana na upinzani kujiunga na movement ambayo awali alisema kwamba movement husika itavunja muungano, na kwamba ni kundi la wasaka tonge??

Tukirudi kwenye hoja ya zitto juu ya UKAWA kuwa na nia ya kuvunja muungano, je ni kwanini zitto alisema hivyo? Ni kwa sababy moja tu, nayo ni kwamba UKAWA uliamua kuungana na wananchi, UKAWA uliamua kuegemea kwenye maoni ya wananchi juu ya Katiba mpya. Zitto kama mwanachama wa Chadema aliwahi kuunga mkono serikali tatu. Kwa hoja yake kwamba UKAWA utavunja muungano, wakati ukweli ni kwamba moyo wa katiba mpya ni muundo wa Muungano:

· Je tutakuwa tunakosea kusema kwamba zitto alianza kutumika na CCM?
· Je tutakuwa tunakosea kusema kamba ni wazi alikuwa na mpango wa kuivuruga chadema?

Mkiwa kama wafuasi wa zitto, huwa mnaamini sana uwezo wake mkubwa wa kujenga hoja na kuwasilisha takwimu. Swali kwenu - Mkandara, Ritz, adhurusi et al:

· Je, Zitto aliposema kwamba hoja ya UKAWA juu ya serikali tatu inalenga kuvunja muungano, Zitto alifanya utafitihuu wapi? Lini? Na alitumia methodology gani kufikia hitimisho hilo?
Mkandara, tafadhali tusaidie katika hili.

Tuangalie masuala mengine muhimu:

Tume ya Nyalali ilikuja na utafiti kupitia kura ya maoni kwamba wananchi walio wengi (80%) walitaka mfumo wa chama kimoja uendelee, huku walio wachache (20%) wakipendelea mfumo wa vyama vingi vya siasa uanzishwe nchini Tanzania. Tatizo ni kwamba wapo wasioelewa kwanini maoni ya wachache yalichukuliwa badala ya maoni ya wengi. Ni hivi - kweli ni kwamba, ukisoma kwa undani juu ya maoni yale (80/20), utagundua mara moja kwamba wananchi walitoa conditions za kuendelea na mfumo wa chama kimoja, conditions ambazo hazingeweza kutekelezeka chini ya chama kimoja, na kuendelea kung'ang'ania mfumo huo bila kutekeleza conditions za wananchi, CCM ingekufa mapema zaidi. Mwalimu aliona hilo, hivyo akashauri busara itumike.

Tangia kurudi kwa mfumo wa vyama vingi, CCM imeshindwa kutekeleza mambo mengi sana kwa wananchi, na kufikia hatua kwamba wananchi wengi hivi sasa wamekuwa wakililia sana kuiangusha CCM, hasa ikizingatiwa kwamba kuimarika kwa upinzani (hasa Chadema) kumewapa matumaini mapya. Wakati Chadema ipo katika peak ya mafanikio kuelekea safari hiyo, anatokea kiongozi mmoja wa chadema "zitto" na kuanza kuvuruga mafanikio hayo. Mara kutoa kauli hii, mara kutoshiriki harakati zile, mifano hai ipo wazi mingi sana. Baada ya kushindwa njam zake ndani ya Chadema, amehamia ACT, chama ambacho wenzake waliotangulia walishaweka wazi tena kwa maandishi kwenye gazeti la Raia Mwema kwamba – kunahitajika chama kipya cha upinzani kwenda kupambana na Chadema. Sio na CCM, CUF, NCCR, au vyama vingine, bali CHADEMA.

Katika hali kama hiyo, wananchi wakikutana na wapinzani wa upinzani, wapinzani wanaoifanyia kazi CCM, tena kwa kauli zao wenyewe, kwa maandishi yao wenyewe, kwa vitendo, wananchi hawa wanakatishwa sana tamaa kwani viongozi wa aina ya zitto wanawacheleweshea mageuzi waliyoyatafuta kwa muda mrefu sana, harakati ambazo zimepelekea wengi kupoteza kazi zai, maisha yao, viungo vyao, mali zao, n.k.

Tumalizie kwa kuchambua baadhi ya hoja za Zitto MPYA wa ‘ACT':

1. Siku ya uzinduzi wa ACT – Wazalendo, Zitto alisema kwamba amejiunga na ACT kwa kuwa chama hicho kinaendana na kitu ambacho amekuwa anakipigania kwa miaka yake yote ya kisiasa. Kitu hicho ni "maslahi ya taifa". Mkandara, Ritz, et al, je ni maslahi yepi hayo ambayo Chadema haikuyapigania?

2. Zitto akazidi kusema kwamba ACT ni chama pekee ambacho kinakubaliana na itikadi na falsafa ya Ujamaa na Kujitegemea na kwamba chama hicho kimeamua kurudisha Azimio la Arusha, azimio ambalo liliasisiwa na Mwalimu Nyerere.

· Je, itikadi ya Ujamaa ipo kwenye rasimu mpya (tume ya warioba) ya katiba?
· Au ACT imepanga kuja na amendments za katika ikitwaa madaraka?
· Wananchi gani wamesema wanataka kuendelea na ujamaa kama itikadi? Kwa utafiti upi?
· Je, sio sahihi kusema kwamba ACT inaiga ujamaa wa CCM ili iwe rahisi kwa vigogo wa CCM kuhamia ACT bila kuonekana wasaliti wa itikadi ya chama cha mapinduzi? Kumbuka, Ujamaa na mfumo wa muungano wa serikali mbili ndio nguzo kuu za kufanya mwanachama wa ccm aonekane kwamba ni mwaminifu kwa chama cha mapinduzi,

3. Zitto akaendelea kusema kwamba amejiunga na ACT kwa vile ni chama pekee ambacho kinaamini katika uadilifu, chama ambacho pia kimeweka wazi miiko ya maadili ya uongozi na pia kuhakikisha kwamba viongozi wote wa ACT wanakubaliana na hayo na wamesaini juu ya hayo.
· Je kwake yeye, maadili ni nini, kutangaza hadharani mali ulizokuwa nazo? Je hiyo inatosha? Vipi kuhusu kujibu tuhuma za kupokea rushwa, hiyo sio sehemu ya maadili? Zitto hajajibu tuhuma lukuki dhidi yake.

4. Zitto akazidi kusema kwamba kwenye ACT, hakujengwi mtu, badala yake kinajengwa chama. Kinachounganisha wanachama wote wa ACT ni vitu vikuu viwili – undugu wao na uzalendo wao.
· Supreme leadership structure inalenga kujenga nini kama sio mtu?
· Kama nguzo kuu za ACT ni ungudu na uzalendo, kwanini Zitto anaenda kinyume na misingi hiyo kwa kuanza kuwagawanya wananchi kwa njia ya ukabila na sehemu walipotoka, hasa Kilimanjaro na Arusha?

5. Zitto akaambia wananchi pia kwamba kati ya mafanikio yake akiwa mbunge, amefanikiwa kuiangusha serikali ya CCM mara nyingi, huku akitaja suala la buzwagi, escrow n.k.
· Kama anamzungumzia Waziri Karamagi, huyu aliondolewa na kashfa ya Buzwagi au Richmond?
· Hoja ya buzwagi iliibuliwa na nani kati yake na gazeti la -----------?
· Sakata la escrow, kati yake na Kafulila, nani ndiye mwasisi wa hoja hii? Kwanini mwishoni aliamua kujiunga na upande wa hoja wa Chenge, ambae alikuwa ni mtuhumiwa?

Kwa kweli, katika hoja zote za Zitto, hakuna hata moja hapo juu ambayo ina ukweli. Vinginevyo, Ritz, Mkandara, adhurusi, tuelimisheni, pengine hatuna ufahamu.

Vinginevyo, tunachosikia kutoka kwenu sana sana ni hoja ‘redundant' kwamba Zitto ameonewa, na amehamia ACT kwa sababu amefukuzwa Chadema, hivyo ameenda ACT kusimamia na kupigania maslahi ya taifa.

Ndugu zangu, tukubaliane katika ukweli ufuatao:

· Zitto amejiunga ACT baada ya dhamira yake na wenzake ya usaliti dhidi ya Chadema, kugundulika.
· Zitto amejiunga na ACT kutokana na tuhuma dhidi yake juu ya kuhujumu Chadema kwa kushirikiana na Chama Cha Mapinduzi.
· Zitto alishtukiwa mapema kwamba alikuwa anatumika kukivuruga chadema. Kwahiyo, kilichomvua uanachama Zitto ni kanuni, taratibu, na katiba ya chadema. Haya ya Kanuni, taratibu, katiba, yote zitto alikuwa anayajua vyema. Na hata siku anaenda mahakamani kuweka pingamizi, alikuwa anajua hatima ya mwanachama kutafuta suluhu mahakamani ni nini, kwamba bila ya kujalisha kama angeshinda au angeshindwa kesi, uanachama wake ulikuwa umefika kikomo.

Maswali kwenu:
· Iwapo Zitto asingefukuzwa Chadema, JE angeondoka na kwenda ACT?0
· Iwapo itikadi na falsafa ya chadema kwake ilikuwa ni tatizo, kwanini aliendelea kutafuta haki mahakamani, haki ndani ya chama ambacho itikadi na falsafa zake haziendani na ndoto yake?
 
Last edited by a moderator:
...Maswali kwenu:
· Iwapo Zitto asingefukuzwa Chadema, JE angeondoka na kwenda ACT?
· Iwapo itikadi na falsafa ya chadema kwake ilikuwa ni tatizo, kwanini aliendelea kutafuta haki mahakamani, haki ndani ya chama ambacho itikadi na falsafa zake haziendani na ndoto yake?
Mchambuzi sina haja ya kurudia yote uliyosema kwa sababu yako wazi kwa kila mtu huru anayeangalia mambo kwa macho yote mawili ila niongezee tu kidogo kuhusu hii ya Zitto kwenda mahakamani.

Lengo la Zitto toka awali ilikuwa ni moja tu nalo ni kuisambaratisha Chadema, chama pekee kilichotokea kuhatarisha maslahi ya mafisadi ndani ya chama tawala, CCM, waliokiteka. Zitto angeweza kujiondoa Chadema mapema sana baada ya kuona itikadi na falsafa zake ni tatizo na haziendani na ndoto yake. Kwa muda wote Zitto alipokuwa ndani ya Chadema, mgogoro wa kimawazo haukuweza kumpa nafasi ya kuupa ushirikiano uongozi wa Chadema kama ilivyotakiwa.

Chama tawala, CCM, waliweza kugundua toka mapema sana kwamba ndani ya Chadema kuna weakest link kupitia kijana huyo ambaye kiukweli alionesha kipaji cha kujieleza. Kupitia sakata la Buzwagi, CCM iliweza kutumia kipaji chake kumnasa Zitto na baada ya hapo matamko yote aliyokuwa akiyatoa, yalikuwa ni kama vile anaongea kupitia mnong'onezi (prompter) mambo yaliyofurahisha pande zote, akiuma na kupuliza bila kuacha madhara kwa Chadema au chama tawala.

Hali iliendelea hivyo hadi akajenga fikra kichwani kwamba yeye ni zaidi ya Chadema na kuuona uongozi kama unampotezea muda kutimiza ndoto yake kama aliyoaminishwa na CCM. Zitto angeweza kujiondoa Chadema muda mrefu tu lakini hakuwa na uhuru huo, chama tawala bado kilimhitaji katika kufanikisha malengo yao akiwa Chadema. Alitakiwa aondoke muda muafaka ukiwadia Chadema ikiwa imedhoofika kutokana na mgogoro uliopangwa kuukumba.

Juzi amesikika Zitto akidai Mahakama Kuu Tanzania kanda ya Dar es Salaam iliingiliwa baada ya kutupilia mbali kesi aliyokuwa ameifungua dhidi ya Chama Cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) ya kuhoji uhalali wa uanachama wake ndani ya chama hicho. Kwa maana nyingina ni kuwa Zitto alijua na aliamini ataibwaga Chadema mahakamani na swali linalofuatia ni je kama maamuzi yangekuwa tofauti, angeendelea kubaki Chadema? Kama kikulacho ki nguoni mwako?

Zitto kubaki Chadema kungekuwa na maana mbili...kuendeleza kufukuta kwa mgogoro ndani ya Chadema na kusogezwa mbele uzinduzi wa ACT ambao haungewezekana bila ya Zitto. Baada ya kuisambaratisha Chadema ndipo Zitto kwa mbwembwe angeitisha vyombo vya habari na kuitangazia dunia kujiondoa akiiacha Chadema vipande vipande. Kwamba mpango huo haukufanikiwa lilikuwa pigo si kwa Supreme Leader tu bali kwa chama tawala na utabiri wao.

Kama mada inavyosema Chama cha ACT - Mpini wa CCM kumaliza Upinzani hakuhitajili akili za ziada kuona ripple effect iwapo mpango huu ungefanikiwa. Kwanza swala la Katiba Mpya lingekuwa limezikwa na Katiba ya Chenge ingepita bila pingamizi. Pili UKAWA ingesambaratika kwani mgogogoro ambao ungeikumba Chadema ungetikisa hadi umoja huu na kuuacha nyang'anyang'a. Tatu mwezi wa kumi na moja CCM ingeunda tean serikali, Zitto akiwa ndani.
 
Mag3 #471 Hii hoja ya ukanda na udini, CCM wameidaka kutoka kwa supreme na washabiki wake kwa mtazamo mwingine

Tunakumbuka, kila lilipotokea timbwili Chadema, hoja kuu ilikuwa kutengwa kutokana na sababu za kikanda

Supreme alijua hoja inashkikiwa bango na CCM, hakuna kumbukumbu zikionyesha alisimama thabiti kupinga hilo
CCM wakaliona ni jambo jema, wakaiuchukua kama agenda

Hoja ya mikoa ya Mwanza na Shinyanga kuumizwa na kuteswa na mikoa ya Kilimanjaro imejengwa makusudi kabisa

Akitokea nyanda za juu kusini, hoja hiyo hakuwa nayo. Alipotua eneo la kanda ya ziwa, akijua kabisa ni eneo la mkakati wa kisiasa ambalo wananchi wake wanasimama imara, alitumbukiza hoja hiyo ili kuungwa mkono

Tatizo linalomkabili ni hoja hiyo kuwagawa Watanzania, bila kujali uwepo wao kila mahali.
Ni kutothamini michango ya wananchi pale walipo au wanapoishi. Ni kujenga matabaka kwa ukanda

Ninasubiri kumsikia atawaambia nini watu wa Kagera. Watu wa Kigoma keshawaambia ipo tofauti ya maendeleo na Kilimanjaro bila kuwaeleza kwanini. Ninasubiri kumsikia, atawaambia watu wa Kilimanjaro, Arusha na Manyara jambo gani ikiwa ameshawatwisha mzigo wa uporaji wa rasilimali za taifa. Na ninasubiri mkutano wa Manzese atasema nini

Mkakati wa kugawa kanda, ni mkakati wa kugawa nchi. Hili lisikubalike hata kidogo.

Hatuwezi kuanza na vyama vya Wahausa, Waibo kama Nigeria. Hatutaki North Vs South kama Nigeria.
Hatutaki Luo Vs Kikuyu kama Kenya. Tunataka Tanzanians Vs Tanzania kama Tanzania

Mchambuzi #472 Kumbu kumbu pia zinaonyesha Supreme leader akisema UKAWA walikosea kutoka nje ya bunge la katiba.

Hakusema akiwa na UKAWA, alisema pembeni. Akaendelea kuwaita wasaka tonge.

Leo tunaposikia anataka UKAWA, tunajiuliza hivi msimamo wake umebadilika lini na kwanini?

Ni dhahiri kutoka nje ya BML ilikuwa kujenga taswira ya kisiasa ''public image'' moyoni UKAWA haikuchukua maamuzi sahihi.

Kutofautiana kimsimamo si jamba baya, kibaya ni pale alipokwenda 'solo' tena nje ya vikao na kuanza kuponda uamuzi ule ule uliomtoa nje. Hakuna tatizo ACT kuwa ukawa, tatizo ni kuwa supreme ameshajenga 'mistrust' yenye shaka zaidi kuliko uaminifu

Kuhusu kujiunga na ACT wasababu ina misingi ya maadili, hapa kuna hoja.

Misingi ya maadili haianzii katika vyama, inaanzia kwa mtu watu , vyama na kisha taifa.
Kulikuwa na maadili yapi kiuongozi kwa supreme akiwa Chadema?

1. Si supreme ndiye alikuwa mhusika mkuu wa kutukana viongozi wake kwa Waraka? Kuna maadili gani hapo
2. Sio huyu supreme aliyekuwa coordinator wa migogoro iliyoanzishwa na vijana? Maadili yapo wapi
3. Siyo huyu supreme, akiwa kiongozi alichagiza ukaguzi kwa kutumia PAC akijua amelenga chama chake? Wapi maadili
4. Siyo huyu supreme aliyekwenda mahakamani akijua ni mwanzilishi wa ACT kwa mujibu wake? Maadili yako wapi?
5. Kuwatupia mzigo wananchi wa Kilimanjaro na Arusha kwa 'uporaji' ni jambo la maadili hilo?

Kuhusu chama kujengwa na watu na si mtu, supreme leader anatambua katiba ilibadilishwa saa 24 kabla ya uchaguzi.

Nafasi ya supreme imetengenezwa mahususi kwa ajili yake. Ndivyo chama kinajengwa na watu hivyo?

Kuhusu kupigania masilahi ya taifa, supreme atueleze, ni taifa lipi analopigania ikiwa ameshaanza kuligawa kikanda tena kwa kauli nzito za 'ninyi ni masikini kwasababu wale wanawapora'' ni taifa gani analotaka kujenga mheshimiwa supreme
 
Zakumi,

I am not sure if you are being sarcastic or honest.

Mchambuzi;

I am just being honest. The financial resources, generated from coffee production, gave people of Kilimanjaro, Mbeya, and Kagera regions an edge. So you can't say education was a prerequisite for development in those three regions. Call me stupid, but that's an honest assessment.
 
Mchambuzi sina haja ya kurudia yote uliyosema kwa sababu yako wazi kwa kila mtu huru anayeangalia mambo kwa macho yote mawili ila niongezee tu kidogo kuhusu hii ya Zitto kwenda mahakamani.

Lengo la Zitto toka awali ilikuwa ni moja tu nalo ni kuisambaratisha Chadema, chama pekee kilichotokea kuhatarisha maslahi ya mafisadi ndani ya chama tawala, CCM, waliokiteka. Zitto angeweza kujiondoa Chadema mapema sana baada ya kuona itikadi na falsafa zake ni tatizo na haziendani na ndoto yake. Kwa muda wote Zitto alipokuwa ndani ya Chadema, mgogoro wa kimawazo haukuweza kumpa nafasi ya kuupa ushirikiano uongozi wa Chadema kama ilivyotakiwa.

Chama tawala, CCM, waliweza kugundua toka mapema sana kwamba ndani ya Chadema kuna weakest link kupitia kijana huyo ambaye kiukweli alionesha kipaji cha kujieleza. Kupitia sakata la Buzwagi, CCM iliweza kutumia kipaji chake kumnasa Zitto na baada ya hapo matamko yote aliyokuwa akiyatoa, yalikuwa ni kama vile anaongea kupitia mnong'onezi (prompter) mambo yaliyofurahisha pande zote, akiuma na kupuliza bila kuacha madhara kwa Chadema au chama tawala.

Hali iliendelea hivyo hadi akajenga fikra kichwani kwamba yeye ni zaidi ya Chadema na kuuona uongozi kama unampotezea muda kutimiza ndoto yake kama aliyoaminishwa na CCM. Zitto angeweza kujiondoa Chadema muda mrefu tu lakini hakuwa na uhuru huo, chama tawala bado kilimhitaji katika kufanikisha malengo yao akiwa Chadema. Alitakiwa aondoke muda muafaka ukiwadia Chadema ikiwa imedhoofika kutokana na mgogoro uliopangwa kuukumba.

Juzi amesikika Zitto akidai Mahakama Kuu Tanzania kanda ya Dar es Salaam iliingiliwa baada ya kutupilia mbali kesi aliyokuwa ameifungua dhidi ya Chama Cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) ya kuhoji uhalali wa uanachama wake ndani ya chama hicho. Kwa maana nyingina ni kuwa Zitto alijua na aliamini ataibwaga Chadema mahakamani na swali linalofuatia ni je kama maamuzi yangekuwa tofauti, angeendelea kubaki Chadema? Kama kikulacho ki nguoni mwako?

Zitto kubaki Chadema kungekuwa na maana mbili...kuendeleza kufukuta kwa mgogoro ndani ya Chadema na kusogezwa mbele uzinduzi wa ACT ambao haungewezekana bila ya Zitto. Baada ya kuisambaratisha Chadema ndipo Zitto kwa mbwembwe angeitisha vyombo vya habari na kuitangazia dunia kujiondoa akiiacha Chadema vipande vipande. Kwamba mpango huo haukufanikiwa lilikuwa pigo si kwa Supreme Leader tu bali kwa chama tawala na utabiri wao.

Kama mada inavyosema Chama cha ACT - Mpini wa CCM kumaliza Upinzani hakuhitajili akili za ziada kuona ripple effect iwapo mpango huu ungefanikiwa. Kwanza swala la Katiba Mpya lingekuwa limezikwa na Katiba ya Chenge ingepita bila pingamizi. Pili UKAWA ingesambaratika kwani mgogogoro ambao ungeikumba Chadema ungetikisa hadi umoja huu na kuuacha nyang'anyang'a. Tatu mwezi wa kumi na moja CCM ingeunda tean serikali, Zitto akiwa ndani.
Msome John Mnyika kiduchu.


Msingi wa tisa ni wananchi kunufaika kutokana na matunda ya raslimali za eneo lao. Mfumo wa sasa ambapo raslimali zote zinamilikiwa na “Dar es salaam” kwa maana ya serikali kuu, unafanya wananchi wasinufaike na raslimali za maeneo yao kikamilifu. Mathalani kodi za madini, mbuga za wanyama nk sehemu kubwa inakuja serikali kuu na ama kugawanywa katika mfumo ambao haunufanishi maeneo husika ama kutumika katika matumizi ya anasa ya serikali kuu. Mathalani pamoja na kuchimba madini yenye thamani Geita ni moja ya wilaya maskini kabisa. Wanaofaidi madini ya Geita wako Dar es salaam. Serikali ya majimbo itakuwa na sehemu ya mamlaka ya ugawanyaji wa mapato yanayotoka katika eneo husika. Pamoja na kukusanya mapato ya pamoja ya serikali kuu. Hii ndio nguvu ya umma--------- ! Na hapa hoja ya ukabila isiingizwe kwa kuwa watanzania wa maeneo hayo ni watu wa makabila mbalimbali ambao ni wakazi wa maeneo husika.Hali iko hivyo vile vile kwa upande wa gesi asili, ndio maana kabla ya kufafanua kuhusu miradi iliyoanza hivi sasa, Rais na Waziri Muhongo waeleze mapato na manufaa ambayo wananchi wa maeneo husika na nchi kwa ujumla imepata kutoka gesi ilipoanza kuvunwa katika mikoa ya Kusini mwaka 2004 na hatua ambazo Serikali imechukua mpaka dhidi ya madai ya ufisadi wa baadhi ya viongozi katika mapato ya rasilimali hizo muhimu za taifa. Serikali ieleze imefikia wapi katika kurejesha kiasi cha dola milioni 20.1 (zaidi ya Bilioni 30)- zilizopunjwa kifisadi katika mauzo ya gesi asili huku miradi ya maendeleo katika maeneo ambayo gesi hiyo imetoka kama Songosongo na maeneo mengine nchini ikiwa na upungufu wa fedha.Kwa upande wangu hata baada ya maandamano na mkutano wa wananchi wa Mtwara walioufanya wa tarehe 27 Disemba 2012 na madai potofu ya Prof. Muhongo ya tarehe 29 Disemba 2012;- nitaendelea kutekeleza kusudio langu nililolieleza tarehe 26 Disemba 2012 la kutumia kifungu cha 10 cha Sheria ya ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge kutaka nakala ya mkataba wa mkopo wa masharti kiasi cha Dola za Marekani bilioni 1.225 (shilingi trilioni 1.86) kutoka China.Nitataka pia nakala za mikataba wa mradi wa miundombinu ya gesi asilia ambayo itahusisha ujenzi wa mitambo ya kusafishia gesi asilia katika mikoa ya Lindi na Mtwara na ujenzi wa bomba kuu la kusafirishia gesi asilia la inchi 36 kutoka Mtwara kupitia Lindi, Pwani hadi Dar es Salaam lenye umbali wa kilometa 532.Hii ni kwa sababu mpaka sasa Wizara ya Nishati na Madini haijatekeleza pendekezo nililowasilisha bungeni tarehe 27 Julai 2012 kwamba kutokana na unyeti wa mradi huo kwa mustakabali wa nchi na maisha ya wananchi wa sasa na baadaye Serikali ilipaswa kuwasilisha bungeni na kuweka wazi kwa umma mkataba wa mradi husika mwa manufaa ya wananchi wote.

John Mnyika.


Hapa Mnyika anataka kutuambia matatizo ya Mkoa wa Geita yanasababishwa na Mkoa wa Dar es Salaam.
 
Last edited by a moderator:
Wanaukumbi.


Kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania(BOT),Dsm ndio mkoa unaoongoza kwa kuchangia pato la taifa.-1. Dar-es-salaam(GDP-7.5 trilion)2. Mwanza(GDP-4.09 trilion)3. Mbeya(GDP-3.2 trilion)4. Shinyanga5. Iringa6. Morogoro7. Arusha(GDP-2.1 triliom)8. Tanga(GDP-2.09 trillion)9. Kilimanjaro(GDP-2.03 trillion)http://www.thecitizen.co.tz/News/Rev...z/-/index.htmlCha kushangaza ni kuwa mkoa wa Lindi ambao umezungukwa na gesi yenye ujazo wa mabilioni ndio mkoa wa pili kwa umaskini baada ya mkoa wa Pwani.Lakini swali ni je,kwanini arusha haipo hata katika top 3 ya mikoa tajiri yenye kuchangia pato la taifa? Inaonekana makampuni mengi ya utalii yanamilikiwa na wageni au mengi yanatokea katika mkoa wa Dsm.


IN SUMMARYA legislator criticised the Bank of Tanzania report saying it missed key indicators in reaching its conclusionThe recent data by the BoT indicates that Dar es Salaam is the richest region with a total income of Sh7.5 trillion, followed by Mwanza (Sh4.09 trillion) and Mbeya (Sh3.2 trillion)Dar es Salaam.-A firm agro-based economy seems to have done Mbeya Region wonders as shown by the latest Bank of Tanzania’s report on regional total net worth beating Arusha whose economy runs on mining and tourism.The recent data by the BoT indicates that Dar es Salaam is the richest region with a total income of Sh7.5 trillion, followed by Mwanza (Sh4.09 trillion) and Mbeya (Sh3.2 trillion). But, with all tourist attractions, Arusha ranks number seven on the economic ladder of the country behind Mbeya, Shinyanga, Iringa and Morogoro regions. Lindi Region still lags behind as it holds second position among the poorest regions after Coast Region, even though it produces natural gas for power generation.Stakeholders who spoke to-The Citizenyesterday, said Mbeya Region was in control of income from both within and outside its market which is powered by its agricultural produce, thus enhancing money circulation in the region.This is contrary to the Arusha situation, which sees a big part of its earnings from tourism and mining being taken outside its boundaries.-University of Dar es Salaam (UDSM) senior economics lecturer, Prof Amon Mbele, said Mbeya’s agro-economy captures almost the entire country’s market. “The tourism industry is largely dominated by foreign-based firms, so part of the income remains in their mother countries. The same logic works for large mining firms,” said Prof Mbele.He advised that the country should not abandon agriculture for gas, because it is still the former that would provide the basis for growth.-Mr Zitto Kabwe, Kigoma North MP (Chadema), who is also an economist, said Mbeya has the potential to overtake even Mwanza because of its emerging mining sector, which includes gold and coal mining at Lupa and Kiwira, respectively.Lindi lags behind because of lack of economic activities, generally. Natural gas was an enclave sector and even if it started, still it would not benefit the local people, Mr Kabwe argued. “It is shocking for Arusha to fall to seventh place. But Mbeya’s agriculture has given it a firm ground on which to pin itself,” he said. Above all, Arusha largely remains a service region, tanzanite comes from Manyara Region whereas almost all manufacturing factories were sold while no new ones have been established.Legislator for Arumeru East, Mr Joshua Nassari (Chadema) and his Karatu counterpart, Rev Israel Natse (Chadema), blamed the situation on uncontrolled income flow to neighbouring Kenya for products produced in Arusha. “There is no formal market for various products in Arusha, hence revenues go unrecorded; for instance, flowers are transported to Kenya where they are processed and branded as Kenyan products,”Mr Nassari said.Speaking on Mbeya’s success, Special Seats MP from the region, Ms Naomi Kaihula (Chadema), said it was obvious for the region to have a big total income because its agriculture is commercialised, thus enabling the region to earn more. “Agriculture has transformed incomes of many households in Mbeya Region, all because of commercialising farming,” she asserted.However, Lindi regional commissioner Thomas Sowani, said the region remained poor because its natural gas was being taken away to other regions.“The gas obtained here benefits industries based in other regions,” he lamented.
source;citizen
 
Wanaukumbi.

Kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania(BOT),Dsm ndio mkoa unaoongoza kwa kuchangia pato la taifa.-1. Dar-es-salaam(GDP-7.5 trilion)2. Mwanza(GDP-4.09 trilion)3. Mbeya(GDP-3.2 trilion)4. Shinyanga5. Iringa6. Morogoro7. Arusha(GDP-2.1 triliom)8. Tanga(GDP-2.09 trillion)9. Kilimanjaro(GDP-2.03 trillion)http://www.thecitizen.co.tz/News/Rev...z/-/index.htmlCha kushangaza ni kuwa mkoa wa Lindi ambao umezungukwa na gesi yenye ujazo wa mabilioni ndio mkoa wa pili kwa umaskini baada ya mkoa wa Pwani.Lakini swali ni je,kwanini arusha haipo hata katika top 3 ya mikoa tajiri yenye kuchangia pato la taifa? Inaonekana makampuni mengi ya utalii yanamilikiwa na wageni au mengi yanatokea katika mkoa wa Dsm.
Ritz, sina hakika kama unafuatilia mada iliyoletwa mezani na kwa nini Zitto tunamlaumu kwa hujuma zake dhidi ya upinzani. Kama angeelekeza lawama zake kunakohusika, mipango ya hovyo ya serikali ya CCM, hatungelalamika kwamba anatumiwa lakini anapofika Shinyanga na kuwaaminisha kuwa matatizo yao yanasababishwa siyo na serikali bali Mikoa mingine, anatuacha hoi. Kwa nini ataje kanda ya Kaskazini bila kuitaja Serikali Kuu ambayo kila siku ndio inahubiri na kujivuna kutekeleza sera za CCM ambazo hasa ndizo kiini cha tatizo na ndizo zimetufikisha hapa tulipo?

Ukimsoma Mnyika, moja kwa moja shutuma zake anazielekeza kwa sera mbovu za CCM zinazotekelezwa na Serikali Kuu na hapo ndipo ninapotofautiana na wewe. Zitto hakutaja kanda ya Kaskazini kwa bahati mbaya bali kwa lengo lile lile la kupandikiza sumu ya kubaguana baina ya wananchi na wananchi. Mkazi wa Shinyanga akitoka kwenye mkutano wa ACT anaamini kabisa kwamba kama si kanda ya Kaskazini, wangeweza kuwa na maendeleo zaidi. Kwa vyovyote vile hapa ni wazi kakosa busara kama isemavyo methali, shimo la ulimi mkono haufutiki...sumu ya neno ni neno.
 
Last edited by a moderator:
Ritz, sina hakika kama unafuatilia mada iliyoletwa mezani na kwa nini Zitto tunamlaumu kwa hujuma zake dhidi ya upinzani. Kama angeelekeza lawama zake kunakohusika, mipango ya hovyo ya serikali ya CCM, hatungelalamika kwamba anatumiwa lakini anapofika Shinyanga na kuwaaminisha kuwa matatizo yao yanasababishwa siyo na serikali bali Mikoa mingine, anatuacha hoi. Kwa nini ataje kanda ya Kaskazini bila kuitaja Serikali Kuu ambayo kila siku ndio inahubiri na kujivuna kutekeleza sera za CCM ambazo hasa ndizo kiini cha tatizo na ndizo zimetufikisha hapa tulipo?

Ukimsoma Mnyika, moja kwa moja shutuma zake anazielekeza kwa sera mbovu za CCM zinazotekelezwa na Serikali Kuu na hapo ndipo ninapotofautiana na wewe. Zitto hakutaja kanda ya Kaskazini kwa bahati mbaya bali kwa lengo lile lile la kupandikiza sumu ya kubaguana baina ya wananchi na wananchi. Mkazi wa Shinyanga akitoka kwenye mkutano wa ACT anaamini kabisa kwamba kama si kanda ya Kaskazini, wangeweza kuwa na maendeleo zaidi. Kwa vyovyote vile hapa ni wazi kakosa busara kama isemavyo methali, shimo la ulimi mkono haufutiki...sumu ya neno ni neno.

Zitto.

Mwanzo walipotufukuza walituambia tukatafute vyama vingine hilo likafanyika, tulipopata vyama vya kufanyia siasa wakasema vipo kwa ajili ya kugawa upinzani tukasema tupo tayari kuunganisha nguvu ya pamoja kwa ajili ya kuiondoa CCM…wenzetu pia hili hawalitaki sasa ni wajibu wenu kutambua watu gani hawataki kuiondoa CCM,"-alisema Zitto.-Alisema wao (ACT) wana nia ya dhati lakini wenzao wanaweka ugomvi binafsi mbele ya masilahi ya taifa.-"Sisi ACT Wazalendo bado tupo tayari kushirikiana kwa mujibu wa misingi. Shabaha yetu ni moja tu, kubomoa mfumo wa uchumi wa kinyonyaji na ufisadi ili kujenga uchumi shirikishi wa wananchi,"-alisema na kuongeza:-"Sikufundishwa kugombana na watu barabarani au kusema ovyo mitaani, kufanya hivi hakuna tofauti na kumsema mke au mume mlioachana…mmoja kwa kukosa busara na kwa kuwa aliachana na yule mke anaamua kwenda vijiweni na kutoa siri za mzazi mwenzie, hili kwetu hapana.-"Tunakuja na jahazi jipya ambalo ndugu zangu wa Mwanza nimekuja kuwakabidhi, kubwa tunataka kulirudisha taifa katika misingi yake ya ujamaa na kujitegemea, tunahitaji ujamaa wa demokrasia,"-alisema Zitto.
 
Last edited by a moderator:
Ritz, sina hakika kama unafuatilia mada iliyoletwa mezani na kwa nini Zitto tunamlaumu kwa hujuma zake dhidi ya upinzani. Kama angeelekeza lawama zake kunakohusika, mipango ya hovyo ya serikali ya CCM, hatungelalamika kwamba anatumiwa lakini anapofika Shinyanga na kuwaaminisha kuwa matatizo yao yanasababishwa siyo na serikali bali Mikoa mingine, anatuacha hoi. Kwa nini ataje kanda ya Kaskazini bila kuitaja Serikali Kuu ambayo kila siku ndio inahubiri na kujivuna kutekeleza sera za CCM ambazo hasa ndizo kiini cha tatizo na ndizo zimetufikisha hapa tulipo?

Ukimsoma Mnyika, moja kwa moja shutuma zake anazielekeza kwa sera mbovu za CCM zinazotekelezwa na Serikali Kuu na hapo ndipo ninapotofautiana na wewe. Zitto hakutaja kanda ya Kaskazini kwa bahati mbaya bali kwa lengo lile lile la kupandikiza sumu ya kubaguana baina ya wananchi na wananchi. Mkazi wa Shinyanga akitoka kwenye mkutano wa ACT anaamini kabisa kwamba kama si kanda ya Kaskazini, wangeweza kuwa na maendeleo zaidi. Kwa vyovyote vile hapa ni wazi kakosa busara kama isemavyo methali, shimo la ulimi mkono haufutiki...sumu ya neno ni neno.
Mkuu Mag3, kwani unadhani Ritz hatambui hilo! anachokifanya ni spinning tu katika kuhakikisha ima ana 'adulterate' hoja nzito zinazomkabili supreme au anabadili mwelekeo. Tunamsoma tu

Ukisoma hoja ya Mnyika, hakuna mahali amaesema matatizo ya Geita yanaletwa na Dar es Salaam.
Ni maneno ametunga tu, hayapo katika maneno ya Mnyika.

Pili, mtu akisema pesa zote zinakwenda Dar, haina maana mkoa wa Dar. Ina maana makao makuu.

Ritz anataka kutuaminisha kuwa gazeti liandika ' Dar rejects EAC common market' ina maana Dar es salaam kama mkoa na si Tanzania !!!

Kinyume chake, sisi tuna kauli za supreme kutoka kinywani. Ni pale aliposema matatizo ya Shinyanga na Mwanza yanaletwa na Arusha na Kilimanjaro. Ukizingatia kauli zake za nyuma kuwa Kigoma na Kilimanjaro hazina uwiano wa maendeleo, tifu lna viongozi, na jinsi alivyoshutumu mgao kwa wanaochangia kidogo na kupata zaidi, wanaochangia zaidi kupata kidogo, haihitaji fikra kubaini kuwa Supreme leader alilenga kutengeneza kanda. Hoja hii ilikuwepo moyoni

Hilo ndilo lengo lake haswa, kwamba aungwe mkono sehemu fulani.

Well, kwa hii Tanzania iliyo na mchanganyiko na maingiliano sijui kama ulikuwa mkakati mzuri.

Tunachokilaani zaidi ni kuanza kutumbukiza sumu za ukanda.

Hili tutalikemea kwa nguvu zote

Supreme anapaswa kuelewa dhambi ya ukabila na ukanda kuliko mtu mwingine.

Ameyaona kwa macho pale Kigoma anakotoka. Kilomita chache sumu hiyo imevuruga mataifa mawili.

Leo aisogeze nchini tukae kimya!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom