Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Tatizo lako Alinda unataka wote tufikiri unavyotaka.Kwenye hili, mie nimesoma na nimeona wewe mwenyewe umesema ni baadhi ya watu na ni hisia tu, ndio maana nikasema tukibase kwenye hizo hisia mjadala hautafika mwisho.

Hapana hapo umenisingizia natambua kuwa binadamu tumetofautina, natambua kuwa binadamu tunauelewa tofauti na natambua kuwa ili kuwe na mjadala lazima kuwe na pande zinazokidhana. Hivyo basi siwezi kukutaka wewe uwaze ninachowaza. Kma kuna sehemu umenisoma na kunielewa hivyo basi utanisamehe kwani haikuwa kusudio langu.

Natambua uwepo wa hisia hizo na mie binafsi siziamini, lakini kwa kuwa mjadala uliopo hapa ni juu ya ACT basi tungebase kwenye waliyosema wao ACT, lakini tukienda kwenye hisia za wengine hatutawatendea haki.Hisia hizi zipo na zitaendelea kuwepo kwa sababu hatuaminiani kwa dini,hatuaminiani kwa makabila, na hatuaminiani kwa maeneo tunayotoka.Tuna jamii inayohisiana tu wakati wote.

Muhimu tu tulichukulie hili positively kama kiashiria cha kazi ya kufanya zaidi kujenga umoja wetu, wenye jamii moja,ya watu wamoja,ndio msingi pekee wa kuepukana na hisia hizi.

Sasa kama unatambua kuwa kuna watu wanahisia kuwa mikoa fulani hawapati "stahiki" zao na hizo stahiki zao zinapelekwa katika mikoa fulani (na ili hata humu ktk ili jukwaa la great thinker limejitokeza sana ) Je si wajibu wangu mimi na wewe kuwaelewesha kuwa si kweli kwamba kuna baadhi ya mikoa wanapata stahiki kubwa/wasiostahili bali ni mfumo wetu, ni viongozi wetu kutopenda kuwajenge wananchi wao katika fkra za kujiletea maendeleo wao wenyewe bali katika fikra tegemenzi? au Serikali kutoa elimu iliyobora ambayo kila mhitimu anaweza kujitegemea? Tuchukulia mfn wa Nassary anavyoshirikiana na wananchi wake katika swala zima la kujiletea maendeleo.

Na inapotokea wanasiasa akachochea hizo "hisia" si ni wajibu wangu mimi na wewe kupiga "stop" (huyu wanasiasa tumfanye awe Lema maana nikisema Zitto macho yako yanapofuka)

Na hiki ndicho tunachokifanya. Na ndio maana nilikuuliza maswali hapo juu kutaka kukuonyesha kuwa kosa si la watu wa Arusha au Kili kosa ni la serikali ya ccm, kosa ni la viongozi wetu wanaotumia pesa za maendeleo katika mikoa husika kwa mahitaji yao binafsi, kosa ni la serikali kutowapa watu elimu ili waweze kudai haki zao. Na ni wajibu wetu kupongeza mikoa ambayo pamoja na huu mfumo mbovu lakini bado kwa jitihada zao wenyewe wameweza kupiga hatua kwenda mbele.
 
kuwaelewesha kuwa si kweli kwamba kuna baadhi ya mikoa wanapata stahiki kubwa/wasiostahili bali ni mfumo wetu, ni viongozi wetu kutopenda kuwajenge wananchi wao katika fkra za kujiletea maendeleo wao wenyewe bali katika fikra tegemenzi? au Serikali kutoa elimu uliyobora ambayo kila mhitimu anaweza kujitegemea?

  • Sasa kama unatambua kuwa kuna watu wanahisia kuwa mikoa fulani hawapati "stahiki" zao na hizo stahiki zao zinapelekwa katika mikoa fulani (na ili hata humu ktk ili jukwaa la great thinker limejitokeza sana t) Je si wajibu wangu mimi na wewe kuwaelewesha kuwa si kweli kwamba kuna baadhi ya mikoa wanapata stahiki kubwa/wasiostahili bali ni mfumo wetu, ni viongozi wetu kutopenda kuwajenge wananchi wao katika fkra za kujiletea maendeleo wao wenyewe bali katika fikra tegemenzi? au Serikali kutoa elimu uliyobora ambayo kila mhitimu anaweza kujitegemea?​
Maendeleo na uchumi ni jukumu mtambuka, serikali ina sehemu yake kwenye uchumi na maendeleo, na kuufanya uchumi huo uguze maisha ya watu, kuunganisha shughuli za kiuchumi na shughuli za watu wa maeneo husika, kuna jukumu la uwezeshaji katika nyanja tofauti n.k.

Kuhusu kuubadili mfumo, unachosema hakina tofauti na alichosema Zitto, alisema tuufumue huu mfumo maana haiwezekani sehemu yenye potential kama ile ya Shinyanga ikae kwenye lindi la umaskini.

Haihitaji kuwa mchumi kujua kuwa kama mkoa A una mchango mkubwa wa pato la taifa maana yake una uchumi wa jumla mkubwa, na kama mkoa B wenye mchango mdogo maana yake una uchumi wa jumla mdogo kuliko mkoa A. Sasa kama mkoa wenye uchumi mdogo una maendeleo ya watu makubwa kuliko mkoa wenye uchumi mkubwa maana yake kuna kuna potential ya mkoa A pia kuwa na maendeleo makubwa.Simple!

Maana yake huo uchumi wa A hauna uhusiano na mwananchi wa kawaida, ndio maana akaongeza kuwa miongoni mwa sababu ni kuwa Shinyanga wanategemea dhahabu ambayo haihusiani na mwananchi wa Shinyanga.Ndio maana kama nawe unavyokiri lazima tuboreshe mfumo wetu wa kiuchumi ili huu uchumi umguse pia mwananchi wa kawaida. Hili ni jambo la kimfumo kuliko tulikolipeleka kwa hisia zetu hizi.Hatukuwaza hivi kwa sababu tu ya hisia zetu binafsi kama nilivyosema mwanzo.

Na napotokea wanasiasa akachochea hizo "hisia" si ni wajibu wangu mimi na wewe kumpiga "stop" (huyu wanasiasa tumfanye awe Lema maana nikisema Zitto macho yako yanapofuka)
Na hiki ndicho tunachokifanya. Na ndio maana nilikuuliza maswali hapo juu kutaka kukuonyesha kuwa kosa si la watu wa Arusha au Kili kosa ni la serikali ya ccm, kosa ni la viongozi wetu wanaotumia pesa za maendeleo katika mikoa husika kwa mahitaji yao binafsi, kosa ni la serikali kutowapa watu elimu ili waweze kudai haki zao. Na ni wajibu wetu kupongeza mikoa ambayo pamoja na huu mfumo mbovu lakini bado kwa jitihada zao wenyewe wameweza kupiga hatua kwenda mbele.
viongozi wetu kutopenda kuwajenge wananchi wao katika fkra za kujiletea maendeleo wao wenyewe bali katika fikra tegemenzi? kosa ni la serikali kutowapa watu elimu ili waweze kudai haki zao. Na ni wajibu wetu kupongeza mikoa ambayo pamoja na huu mfumo mbovu lakini bado kwa jitihada zao wenyewe wameweza kupiga hatua kwenda mbele.

Hakuna mwanasiasa yoyote aliyesema wananchi wa mkoa fulani wana shida kwa sababu ya mkoa mwingine na hakuna yoyote aliyesema kuna mikoa inapendelewa.

Pia epuka hizi lugha,hakuna mkoa wowote ambayo wananchi wake ni wavivu na ambao wananchi wake wana fikra tegemezi, wala hakuna mkoa wowote ambao wananchi wake ni wajuzi na mahiri kudai haki kuliko mkoa mwingine. Hivi ni baadhi ya vitu ambavyo thread hii imefanikiwa sana na kuishia kukera watu na kujenga chuki ambazo zinaongeza hisia za kuvunja utaifa wetu, kumbuka hakuna mtu atafurahi kusoma hapa kuwa kwao ni wavivu na wenye fikra tegemezi kwa sababu tu hawatoki Arusha au Kilimanjaro.Tuangalie hizi lugha. Kote Tanzania wananchi wanajitafutia maendelo yao binafsi, lakini kuna changamoto mbalimbali na changamoto hizi wakati mwingine ni tofauti kutoka sehemu moja na nyingine, ndio maana solutions zake sio lazima ziwe universal.

Mfano, kijana aliyeishia darasa la 7 arusha au kilimanjaro bado utalii unaweza kumgusa lakini kijana wa darasa la 7 aliye pembezoni mwa katavi nation park hawezi kuguswa kabisa na utalii, mazingira lakini pia priority za serikali kwenye kujenga miundo mbinu ya kuvutia watalii n.k.Hii inaweza kuleta tofauti ya maisha ya vijana hao wawili.

Huu ni mfano tu, kuna maeneo mengi ambayo yanaweza kuboreshwa kuchochea maendeleo pande zote za Tanzania.Kila eneo la Tanzania lina kitu ambacho kinaweza kikashushwa kuwagusa watu.
 
Kapwela;13135996]Maendeleo na uchumi ni jukumu mtambuka, serikali ina sehemu yake kwenye uchumi na maendeleo, na kuufanya uchumi huo uguze maisha ya watu, kuunganisha shughuli za kiuchumi na shughuli za watu wa maeneo husika, kuna jukumu la uwezeshaji katika nyanja tofauti n.k.
Mkuu. nadhani ungepaswa kutupongeza kwanza kabla ya kulaumu. UKisoma mwanzo kabisa wa hoja hii, utaona tulivyoongelea dhana ya maendeleo kwa ujumla wake tukionyesha vichocheo vinavyoleta tofauti baina ya eneo moja na jingine.

KUmbe tulikuwa sahihi na wale waliotusoma au kupitia mabandiko ya nyuma watakubaliana, tunaposemawarudi kusoma we mean it.
Kuhusu kuubadili mfumo, unachosema hakina tofauti na alichosema Zitto, alisema tuufumue huu mfumo maana haiwezekani sehemu yenye potential kama ile ya Shinyanga ikae kwenye lindi la umaskini.
Hapana, alisema haiwezekani mkoa namba Z katika uchangiaji uwe namba Z katika maendeleo(Shinyanga).

Hilo la potential ni jpya kwa wasomaji. Maneno mazito ndiyo yaliyozua swali, kuna uhusiano gani kati ya uchangiaji na maendeleo?
Na kwa mtazamo wa takwimu, mfano mzuri ulikuwa upi? Kuna mantiki gani ya random sampling ya mikoa abcd ambayo kiuhalisia haiangukii katika eneo lolote liwe uchangiaji au maendeleo katika kuleta maana ya talwi,u? Hapo ndipo hisia zilianza.

Ukichanganya na ukweli ni marudio ya mfano ule ule kwa njia nyingine, nadhani uliona hisia jukwaa la siasa.
Haihitaji kuwa mchumi kujua kuwa kama mkoa A una mchango mkubwa wa pato la taifa maana yake una uchumi wa jumla mkubwa, na kama mkoa B wenye mchango mdogo maana yake una uchumi wa jumla mdogo kuliko mkoa A. Sasa kama mkoa wenye uchumi mdogo una maendeleo ya watu makubwa kuliko mkoa wenye uchumi mkubwa maana yake kuna kuna potential ya mkoa A pia kuwa na maendeleo makubwa.Simple!
Yes, hoja inaweza kujengwa hivyo.

Kwa bahati mbaya haikujengwa hivyo. Unapokuwa na mikoa 21+ lazima sampling yako isiache maswali.

Kuna extremes unazoongelea, maendeleo na uchangiaji . Huwezi kuchukua mikoa ya kati ukaifanya sample, hapo utakuwa na biasness na prejudice.

Hata katika hilo lazima ueleze kwanini na kwa namba. Unaposema mikoa abc ina maendeleo ya juu, bila kuonyesha nafasi yao ukilinganisha na, wakati huo huo ukionyesha nafasi za uchangiaji wake ni deliberate move ya kutaka kupeleka ujumbe kwa njia za hisia.

Hilo kiongozi mkuu amefanikiwa na ndicho chanzo cha hisia kali kule jukwa la siasa na kwingineko.

Lakini pia utambue, watetezi wake wamesimama na kusema alichosema ni kweli, hakuna kosa na kuonyesha ukweli kwa njia zao.

Mkandara anasema, kuna mikoa imewezeshwa kufikia maendeleo. Huyu ni mtetezi namba moja anyejenga hisia hizo.

Anasema ipo mikoa ina umeme vijijini wakati mkoa x hauna maji.

Na yote hayo ni kutokana na mgawanyo wa rasilimali usiozingatia usawa.
Hawa ndio watetezi wake, kwanini ulaumu wanaojaribu kuonyesha si kweli?
Maana yake huo uchumi wa A hauna uhusiano na mwananchi wa kawaida, ndio maana akaongeza kuwa miongoni mwa sababu ni kuwa Shinyanga wanategemea dhahabu ambayo haihusiani na mwananchi wa Shinyanga.Ndio maana kama nawe unavyokiri lazima tuboreshe mfumo wetu wa kiuchumi ili huu uchumi umguse pia mwananchi wa kawaida. Hili ni jambo la kimfumo kuliko tulikolipeleka kwa hisia zetu hizi.Hatukuwaza hivi kwa sababu tu ya hisia zetu binafsi kama nilivyosema mwanzo.
Kumbuka aliweka takwimu kujenga hoja.

Shinyanga inachangia abcd kimaendeleo ni abcd, Kilimanjaro na Arusha ni namba ab kimaendeleo zipo juu.
Hivi unadhani wananchi ni wapuuzi wa kuelewa lugha?
Hakuna mwanasiasa yoyote aliyesema wananchi wa mkoa fulani wana shida kwa sababu ya mkoa mwingine na hakuna yoyote aliyesema kuna mikoa inapendelewa.
Takwimu zilikuwa na ulazima gani kulinganisha mikoa katika uchanguaji na maendeleo?

Ulitegemea nini kutokana na namba tena zikiwekwa nusu nusu na sehemu nyingine mikoa kuhukumiwa bila sababu.

Unaposema xz zipo juu kimaendeleo bila kuzipa nafasi, unaacha wazi hukumu kutoka kwa wasikilizaji.

Na hukumu hiyo tumeiona jukwaa la siasa jinsi vijana wanvyoparurana. Ni kwasababu kiongozi mkuu alilenga kufikisha ujumbe wake wa kisiasa wa kuungwa mkono kwa kutumia njia za kikanda. Kwa bahati mbaya hakuangalia madhara makubwa ya kauli zake

Ukisoma nyuzi hii bandiko la awali, tulimtahadharisha kwa nia njema kuwa kauli zake za sasa zitaangaliwa sana kwasababu amepoteza public trust na hana credibility mbele ya jamii.

Kauli zake ziwe za bahati mbaya au makusudi haziwezi kupuuzwa. Keshaondoa benefit of doubt na sasa anaishi katika mazingira halisi. Mzigo huo asilaumiwe mtu, aubebe mwenyewe
Pia epuka hizi lugha,hakuna mkoa wowote ambayo wananchi wake ni wavivu na ambao wananchi wake wana fikra tegemezi, wala hakuna mkoa wowote ambao wananchi wake ni wajuzi na mahiri kudai haki kuliko mkoa mwingine. Hivi ni baadhi ya vitu ambavyo thread hii imefanikiwa sana na kuishia kukera watu na kujenga chuki ambazo zinaongeza hisia za kuvunja utaifa wetu, kumbuka hakuna mtu atafurahi kusoma hapa kuwa kwao ni wavivu na wenye fikra tegemezi kwa sababu tu hawatoki Arusha au Kilimanjaro.Tuangalie hizi lugha. Kote Tanzania wananchi wanajitafutia maendelo yao binafsi, lakini kuna changamoto mbalimbali na changamoto hizi wakati mwingine ni tofauti kutoka sehemu moja na nyingine, ndio maana solutions zake sio lazima ziwe universal.
Lugha inayotumika ni kuonyesha kuwa jitihada zinaofanywa zikubalike na ziigwe. Je, kuna makosa wanakijiji wa Nronga kujiletea maendeleo?

Je kuna makosa wananchi kujiwezesha kulipia huduma za umeme vijijini?

Je, si kweli kuwa wapo wananchi wanahama makwao na ndio wanaolalamika mwakwao kuwa nyuma?

Je, si kweli kuwa kuna jamii zinazjitegemea zaidi kuliko kusubiri kufyeka barabara?

Kuna jamii zimechimba majabali milimani kupitisha barabara, kuna jamii haziwezi kufyeka nyasi kupata barabara.
Hii ni taboo kweli kusema ukweli. Kuna jamii shule zinafungwa kwa kukosa wanafunzi. Kuna jamii shule zimejaa watoto na madarasa ni machache! kuna kosa la kuonyesha ukweli huo!

Nini kinakera, kusema watu wapeleke watoto shule?Kipi bora kuwapongeza watoto wanaoachishwa shule?

Kama hatuwezi kusimama na kujifunza kwa njia za mifano bora yenye ukweli uwazi na kujenga, tutabaki na taboo hiyo, miaka mingine 10 waliotangulia hatuwaoni, tunarudi kulalama.
Mfano, kijana aliyeishia darasa la 7 arusha au kilimanjaro bado utalii unaweza kumgusa lakini kijana wa darasa la 7 aliye pembezoni mwa katavi nation park hawezi kuguswa kabisa na utalii, mazingira lakini pia priority za serikali kwenye kujenga miundo mbinu ya kuvutia watalii n.k.Hii inaweza kuleta tofauti ya maisha ya vijana hao wawili.
Tumeyasema haya miezi mingi katika nyuzi hii.

Tukaeleza kuwa umuhimu si kuona wivu kwanini fulani anaendelea kwa utalii.
Muhimu ni kuangalia pale penye tatizo panaweza kufanikiwa vipi?

Kwa mfano, huyo wa Kilimanjaro utalii utamsaidia na miundo mbinu ni muhimu kwa hilo.

Yule wa Katavi hahitaji utalii, anahitaji miundo mbinu ya kupeleka mahindi Kilimanjaro ili achukue pesa za utalii kwa njia hiyo.

Hapa wenzentu wanasema ' mikoa fulani imependelewa au kuwezeshwa''

Nadhani ungemwalika Mkandara afadidike na elimu yako badala ya kukinga kifua kwenye tope! kusafisha sahani chafu na maji ya uani
Huu ni mfano tu, kuna maeneo mengi ambayo yanaweza kuboreshwa kuchochea maendeleo pande zote za Tanzania.Kila eneo la Tanzania lina kitu ambacho kinaweza kikashushwa kuwagusa watu
Ndiyo maana tupo hapa kulaani na kukemea hizi siasa majitaka za kutupa vijinamba kwa wananchi kujenga hisia na chuki.

Kama kiongozi angekuwa mtu makini, angejitokeza na kuweka sawa kauli zake.

Kwa vile nia na kusudio lilikuwa kuamsha hisia na kujenga chuki, hilo halina kipaumbele kwake.

Tumelichukua ili kuileta jamii pamoja, kwa kusema kuwa matatizo ya wananchi yapo ndani ya miaka 50.

Hayajaletwa na mkoa fulani kuchangia kidogo na maendeleo zaidi au kinyume.

Tupo hapa kumaliza hisia zilizozuka jukwa la siasa zenye lengo la kugawa taifa. Nia hii ovu ipigwe vita kabisa

Tanzania ni yetu sote, si ya mtu wala watu. Tanzania yetu haina ibaguzi.
Tusipokaa mkao mzuri na kuwakemea , kuwakataa na kuwaonya hawa wanasiasa uchwara tutaishia pabaya

Mwanasiasa anayezusha hisia katika jamii na kukaa kimya, kamwe nia yake haikuwa nzuri.

Ni wakti watu wamshauri atoke na kukanusha, kufafanua, au kuweka sawa kauli.

Vinginevyo ataishi na hizi kauli kama mzigo mgongoni.

Yes wananachi wanaona na wana hisi nia ovu sana ya kuligawa taifa
 
Maendeleo na uchumi ni jukumu mtambuka, serikali ina sehemu yake kwenye uchumi na maendeleo, na kuufanya uchumi huo uguze maisha ya watu, kuunganisha shughuli za kiuchumi na shughuli za watu wa maeneo husika, kuna jukumu la uwezeshaji katika nyanja tofauti n.k.

Kuhusu kuubadili mfumo, unachosema hakina tofauti na alichosema Zitto, alisema tuufumue huu mfumo maana haiwezekani sehemu yenye potential kama ile ya Shinyanga ikae kwenye lindi la umaskini.

Haihitaji kuwa mchumi kujua kuwa kama mkoa A una mchango mkubwa wa pato la taifa maana yake una uchumi wa jumla mkubwa, na kama mkoa B wenye mchango mdogo maana yake una uchumi wa jumla mdogo kuliko mkoa A. Sasa kama mkoa wenye uchumi mdogo una maendeleo ya watu makubwa kuliko mkoa wenye uchumi mkubwa maana yake kuna kuna potential ya mkoa A pia kuwa na maendeleo makubwa.Simple!

Maana yake huo uchumi wa A hauna uhusiano na mwananchi wa kawaida, ndio maana akaongeza kuwa miongoni mwa sababu ni kuwa Shinyanga wanategemea dhahabu ambayo haihusiani na mwananchi wa Shinyanga.Ndio maana kama nawe unavyokiri lazima tuboreshe mfumo wetu wa kiuchumi ili huu uchumi umguse pia mwananchi wa kawaida. Hili ni jambo la kimfumo kuliko tulikolipeleka kwa hisia zetu hizi.Hatukuwaza hivi kwa sababu tu ya hisia zetu binafsi kama nilivyosema mwanzo.





Hakuna mwanasiasa yoyote aliyesema wananchi wa mkoa fulani wana shida kwa sababu ya mkoa mwingine na hakuna yoyote aliyesema kuna mikoa inapendelewa.

Pia epuka hizi lugha,hakuna mkoa wowote ambayo wananchi wake ni wavivu na ambao wananchi wake wana fikra tegemezi, wala hakuna mkoa wowote ambao wananchi wake ni wajuzi na mahiri kudai haki kuliko mkoa mwingine. Hivi ni baadhi ya vitu ambavyo thread hii imefanikiwa sana na kuishia kukera watu na kujenga chuki ambazo zinaongeza hisia za kuvunja utaifa wetu, kumbuka hakuna mtu atafurahi kusoma hapa kuwa kwao ni wavivu na wenye fikra tegemezi kwa sababu tu hawatoki Arusha au Kilimanjaro.Tuangalie hizi lugha. Kote Tanzania wananchi wanajitafutia maendelo yao binafsi, lakini kuna changamoto mbalimbali na changamoto hizi wakati mwingine ni tofauti kutoka sehemu moja na nyingine, ndio maana solutions zake sio lazima ziwe universal.

Mfano, kijana aliyeishia darasa la 7 arusha au kilimanjaro bado utalii unaweza kumgusa lakini kijana wa darasa la 7 aliye pembezoni mwa katavi nation park hawezi kuguswa kabisa na utalii, mazingira lakini pia priority za serikali kwenye kujenga miundo mbinu ya kuvutia watalii n.k.Hii inaweza kuleta tofauti ya maisha ya vijana hao wawili.

Huu ni mfano tu, kuna maeneo mengi ambayo yanaweza kuboreshwa kuchochea maendeleo pande zote za Tanzania.Kila eneo la Tanzania lina kitu ambacho kinaweza kikashushwa kuwagusa watu.


Tuweka kumbukumbu sawa hakuna niliposema wananchi wa eneo fulani ni wavivu.
Na hakuna niliposema wananchi wa eneo fulani wanafikra tegemezi..


Nilichosema ni kuwa viongozi wanawajengea wananchi fikra tegemezi.. Na nasema hivi kwanini? Kwa sababu kuna maeneo mengine mfn katika jimbo langu kuna watu bado wanategemea "wazungu" kuja kuwajengea vyoo vya shimo.. Jamani hivi kweli katika karne hii bado tunajengewa vyoo vya shimo? Hawa watu si kwamba hawawezi kujenga vyoo vyao bali ni kwa vile hawana watu/viongozi wa kuwahamasisha kufanya hivyo, Viongozi wamelala wanasubiri wafadhiri.

NAFAHAMU MCHANGO MKUBWA WA WANANCHI WA TAIFA LANGU, NAFAHAMU KUWA WANAFANYA KAZI USIKU NA MCHANA KUHAKIKISHA WANAJENGA TAIFA LAO NA HII HAIJALISHI MTU ANATOKA WAPI AU NI NANI BALI NI WOTE KWA UJUMLA:: HIVYO HATA SIKUMOJA SIWEZI KUBEZA HUU KWA TAIFA LANGU.
 
Mkuu. nadhani ungepaswa kutupongeza kwanza kabla ya kulaumu. UKisoma mwanzo kabisa wa hoja hii, utaona tulivyoongelea dhana ya maendeleo kwa ujumla wake tukionyesha vichocheo vinavyoleta tofauti baina ya eneo moja na jingine.

Tatizo hoja haina misingi ya kusimamia,hoja imejengwa kwenye hisia binafsi na kuishia kujenga upotoshaji.

Kumbe tulikuwa sahihi na wale waliotusoma au kupitia mabandiko ya nyuma watakubaliana, tunaposema warudi kusoma we mean it.

Tafadhari,tuheshimiane.

alisema haiwezekani mkoa namba Z katika uchangiaji uwe namba Z katika maendeleo(Shinyanga).

Na kwa mtazamo wa takwimu, mfano mzuri ulikuwa upi? Kuna mantiki gani ya random sampling ya mikoa abcd ambayo kiuhalisia haiangukii katika eneo lolote liwe uchangiaji au maendeleo katika kuleta maana ya talwi,u? Hapo ndipo hisia zilianza.

Kuna extremes unazoongelea, maendeleo na uchangiaji . Huwezi kuchukua mikoa ya kati ukaifanya sample, hapo utakuwa na biasness na prejudice.

Hata katika hilo lazima ueleze kwanini na kwa namba. Unaposema mikoa abc ina maendeleo ya juu, bila kuonyesha nafasi yao ukilinganisha na, wakati huo huo ukionyesha nafasi za uchangiaji wake ni deliberate move ya kutaka kupeleka ujumbe kwa njia za hisia.

Hilo sio kosa la mtoa Zitto,basi ni hisia binafsi zilizojengwa kwenye ukosefu wa umoja kati yetu, hisia ambazo zinatokana na ukosefu wa Utanzania ndani yetu.Na ndio maana nawaelewa ACT wanaposema miongoni mwa masuala ya kushughulika sasa ni hizi nyufa za UDINI NA UKABILA.Hizi ndizo zilizosababisha hisia hizo.

Mtu mwenye akili akijisikia homa hamezi dawa kichwakichwa, anaenda kupima ajue sababu ya ugonjwa huo, na hapa vivyovivyo, sababu sio Zitto kutaja majina ya mikoa bali tatizo ni sie tuliojaa ubaguzi.

Mfano, Lindi imetajwa watu wa Lindi siwaoni wakitetea Lindi yao, Mbeya imetajwa sijawaona watu wa Mbeya wakipanick na kutetea Mbeya yao, kwanini ni Kilimanjaro tu?tutibu ugonjwa.

Kama huamini matumizi ya takwimu hilo ni tatizo.Takwimu ni tool muhimu sana ya kujipima na kujitambua, mifano ni njia rahisi ya kuonyesha inawezekana kufikia lengo, na hakuna mkoa wowote wenye hati miliki ya jina lake, kutaja jina la mkoa wowote ni ruksa kwa yeyote.

Mkandara anasema,kuna mikoa imewezeshwa kufikia maendeleo. Huyu ni mtetezi namba moja anyejenga hisia hizo.

Anasema ipo mikoa ina umeme vijijini wakati mkoa x hauna maji.

Kwani wewe haya huyajui Nguruvi?hujui kuwa kuna sehemu zenye umeme na zingine hazina?hujui kuna sehemu walichelewa sana kupata barabara na kwingine ndio kwanza imeanza sasa kupelekwa?naamini unajua pia.

Huwezi kuondoa mchango wa serikali kwenye maendeleo ya eneo lolote, miongoni wa vichocheo muhimu vya shughuli za maendeleo kuna mikoa ipo kwenye disadvantage position kwenye haya, ilichelewa kupata vichocheo hivi kuliko mingine, kuanzia kwenye historia na mpaka kwenye mipango ya serikali, kunaweza kuwepo na sababu nyingi ikiwepo sababu ya kuwa tusingeweza kupeleka mathalan miundombinu kote kwa wakati mmoja mmoja, hivyo kupanga ni kuchagua.Sio aibu kukiri hili na badala yake ni ishara ya kutambua hali halisi..

Lakini mtu anaweza pata picha mfano Nguruvi(mfano tu) akawa waziri na kuna miradi miwili ya barabara, mmoja wa Kilimanjaro na mwingine wa Kibondo, bila shaka Nguruvi ataweka kwenye bajeti mradi wa Kilimanjaro, element hizi pia zipo sehemu nyingi nchini.
Imekuwa kawaida kuwa watu wakiwa kwenye vitengo wanaangalia zaidi kwao kuliko nchi.Sasa kama sehemu ina watu wa kwao wengi inakuwa kwenye position nzuri zaidi kuliko mingine,haya yapo.Mambo ya aina hii hayafanywi na serikali moja kwa moja bali yanafanywa na mtu mmoja mmoja kwenye nafasi husika.

Nakumbuka bunge la bajeti la 2006 kama sijakosea, bajeti ya wizara ya ujenzi ilikataliwa bungeni kwa sababu ilijaa miradi ya barabara ya Kilimanjaro kwa waziri Mramba, kwa mtu yeyote anayeijua Tanzania hawezi kujifanya hujui kuwa element za aina hii zipo kwa watumishi wa serikali wa sehemu tofauti tofauti, yapo haya.

Kwa mfano, huyo wa Kilimanjaro utalii utamsaidia na miundo mbinu ni muhimu kwa hilo.

Yule wa Katavi hahitaji utalii, anahitaji miundo mbinu ya kupeleka mahindi Kilimanjaro ili achukue pesa za utalii kwa njia hiyo.

Hapa wenzentu wanasema ' mikoa fulani imependelewa au kuwezeshwa''

Hayajaletwa na mkoa fulani kuchangia kidogo na maendeleo zaidi au kinyume.

Na kwanin huyu wa katavi ili uchumi wa utalii umguse ni lazima tumlazimishe kwanza akauzie kwanza mazao yake Moshi?hili sio utalii tu lakini pia na mazao ya Katavi yamguse kijana yule wa Moshi!UBINAFSI WA HALI YA JUU!!

Alafu unasema watu wanataka kuligawa taifa?hivi mtu wa katavi akikusoma hapa unadhani atakuonaje?kama nilivyosema juu, hiki kipo sasa, tuna watendaji wengi wapo hivi, hawana maslahi ya nchi na watu wa nchi ata kidogo, wao wanaangalia kwao tu.

Bila shaka akina Nguruvi(kwa mfano huo) wakiwa viongozi wakuu wa serikali wataweka huo mpango wa kumlink mwanachi wa Katavi na utalii kwa kujenga soko kubwa la mazao Moshi,ambalo huyu wa katavi anapaswa apeleke kuuzia mazao yake hapo, kwani utalii ni hati miliki ya Kaskazini tu, hii kali.

Hilo kiongozi mkuu amefanikiwa na ndicho chanzo cha hisia kali kule jukwa la siasa na kwingineko.

Kwa sie wasomaji wa Biblia tunaambiwa, mtu husema yale yamjazayo moyo wake, usiogope atakavyo"hisi" mtu bali itumie fursa ya "kuhisi" kwake hivyo kujua "vile anavyofikiri", maana hawezi kuhisi nje ya anavyofikiri.Hivyo waliohisi hivyo wametupa tafsiri ya jinsi walivyo, jinsi wanavyofikiri ndani, na kwenye vyumba vya siri.Na kwa ujumla wake wanatupa picha ya mahusiano na umoja wa kijamii miaka 54 baada ya uhuru, tupambane na nyufa hizi.
 
Kapwela;13138817]

Hilo sio kosa la mtoa Zitto,basi ni hisia binafsi zilizojengwa kwenye ukosefu wa umoja kati yetu, hisia ambazo zinatokana na ukosefu wa Utanzania ndani yetu.Na ndio maana nawaelewa ACT wanaposema miongoni mwa masuala ya kushughulika sasa ni hizi nyufa za UDINI NA UKABILA.Hizi ndizo zilizosababisha hisia hizo.
Hawa wapuuzi hawana moral authority ya kushughulikia suala la kitaifa. Hawa si ndio walikaa uani na kuandika ule uozo wa Waraka uliojaa hisia za ukanda na ukabila.

Kama unataka tuurudishe hapa uone, sema.Waliondika waraka kama Form 4 wanaoandika project, hawana sifa, hawafai
Hawa wanaooongelea personality maliwato badala ya issue za taifa hawana sifa. Ukiusoma ule waraka ni shida! uelewa wa aina ya wasomi. Hawafai kutajwa masula ya kitaifa, washughulike tu na magenge kama magenge mengine tunayoyajua. Period.
Mfano, Lindi imetajwa watu wa Lindi siwaoni wakitetea Lindi yao, Mbeya imetajwa sijawaona watu wa Mbeya wakipanick na kutetea Mbeya yao, kwanini ni Kilimanjaro tu?tutibu ugonjwa.
Tumehojia imetajwa kwa nia njema au ovu. Mtu anaposema Kilimanjaro na Arusha zinachangia katika namba 9 na 7, kimaendeleo zipo juu. Maana ya maendeleo zipo juu ni nini na ilikusudia nini.

Suala si kutaja, ni nia aliyokuwa nayo dhidi ya mikoa hiyo miwili. Nyuma tumeonuyesha nia huenda ilikuwa kupigana vita na mahasimu wake. Na pia kuhakikisha kanda yenye idadi kubwa inamuunga mkono kwa kubomoa chama chake.

Nia hiyo ikaingia nyongo pale alipokwenda kusihambulia bila sababu kwasababu tu ya hasira. Huko nyuma alishawahi kushambulia mikoa hiyo. Mara ya pili ni makusudi si bahati mbaya. Tutaona mbele ya safari kama likuwa shihi au la ingawa ameanza kushambulia Iringa na Singida sijui kwa lipi tena

Kwa taarifa, mentor wake anasema '' ....anaacha kauli zenye ukakasi katika jamii'' nadhani unaweza kuona hata wanaomjua wana shaka na nia yake.
Kama huamini matumizi ya takwimu hilo ni tatizo.Takwimu ni tool muhimu sana ya kujipima na kujitambua, mifano ni njia rahisi ya kuonyesha inawezekana kufikia lengo, na hakuna mkoa wowote wenye hati miliki ya jina lake, kutaja jina la mkoa wowote ni ruksa kwa yeyote.
Takwimu zitumike katika kujenga taifa, zitumike kwa akili na si kuleta ''utusi na uhutu''

Hakuna shida akitaja mikoa hata usiku kucha akiwa uchi. Tusichotaka ni kuanza kupanda mbegu za kulivuruga taifa, kuligawa na kuchomeka uchonganishi. Hakuna mkoa unaoleta tatizo kwa mkoa mwingine.

Hakuna takwimu zinazo justify hata kwa bahati mbaya. Ni kauli za kipuuzi ambazo kuzipuuza zinaweza kuleta madhara nchini

Tunajenga taifa hatujengi mtu. Matatizo binafsi ya kisiasa siyo matatizo ya umma.

Tunajua alianza uchonganishi, fitna na mjungu akiwa na chama chake. Tulikaa kimya kwasababu hayatuhusu.

Mfano, kupeleka vijana kwenda kutandikwa chale ili kuleta fujo na kila vurugu. Hayo ni ya kisiasa tuliyaacha kwa wenyewe

Hili la kwenda kusimika mbegu za ukanda na ukabila ni kama mtu aliyeoonja nyama ya mtu.
Baada ya kufanikiwa kuvuruga chama chake, sasa anaeelekea kuvuruga taifa! Kamwe hatutakaa kimya!
Kwani wewe haya huyajui Nguruvi?hujui kuwa kuna sehemu zenye umeme na zingine hazina?hujui kuna sehemu walichelewa sana kupata barabara na kwingine mpaka sasa zimeanza kupelekwa?ajabu sana hii.

Huwezi kuondoa mchango wa serikali kwenye maendeleo ya eneo lolote, miongoni wa vichocheo muhimu vya shughuli za maendeleo, kuna mikoa ipo disadvantage, ilichelewa kwenye hilo kuliko mingine kuanzia kwenye historia na mpaka kwenye mipango ya serikali, kunaweza kuwepo na sababu nyingi ikiwepo sababu ya kuwa tusingeweza kupeleka mathalan miundombinu kote kwa wakati mmoja mmoja, hivyo kupanga ni kuchagua.
Rangi zenu zinajitokeza na mnaweka hisia zenu na za supreme leader wazi.
Wanajamvi anajua kwanini!teh teh
Sio aibu kukiri hili na badala yake ni ishara ya kusimama kwenye ukweli, ni ukweli kuwa kuna mikoa imepata vichocheo hivyo muhimu vya maendeleo mapema kuliko mikoa mingine
. Mkandara anasema kuna mikoa inatoa maji ardhini. Sijui ni upendeleo au.

Lakini pia unasahau mchango wa wananchi wenyewe katika maendeleo.Tumeoyesha mifano. Hakuna upendeleo, na hiyo ndiyo hoja yeni mkiwa mumejificha. Kwa bahati mbaya hasira zainawatoa kama zilivyomtoa supreme leader. Wanatoka kwenye magamba taratibu, tunajua ni makada hawa. Wanakubali hata wanachojua ni too low pengine! teh teh
Lakini mtu anaweza pata picha mfano Nguruvi(mfano tu) akawa waziri na kuna miradi miwili ya barabara, mmoja wa Kilimanjaro na mwingine wa Kibondo, bila shaka Nguruvi ataweka kwenye bajeti mradi wa Kilimanjaro, element hizi pia zipo sehemu nyingi nchini.Imekuwa kawaida kuwa watu wakiwa kwenye vitengo wanaangalia zaidi kwao kuliko nchi.Sasa kama sehemu ina watu wa kwao wengi inakuwa kwenye position nzuri kuliko mingine,haya yapo.Mambo ya aina hii hayafanywi na serikali per see lakini yanafanywa na mtu mmoja mmoja
Picha inaanza kutoka, mnatetea taifa roho zenu zikiwa na mafundo. Mnatetea upuuzi wa wa kuligawa taifa. Ndio maana mpo kufanya spinning.

Huyo supreme alikuwepo Bungeni. Alisema jambo hilo kwa wazi? Sasa sijui kama mlisikia akisema vichochoroni au vipi, sina uhakika maana tabia ya kijana ni kufanya mambo nyuma ya pazia. Huenda ilikuwa ndani ya waraka mwingine, who knows
Nakumbuka bunge la bajeti la 2006 kama sijakosea, bajeti ya wizara ya ujenzi ilikataliwa bungeni kwa sababu zaidi ya 60% ya miradi ilikuwa mkoa wa Kilimanjaro, kwa mtu yeyote anayeijua Tanzania hawezi kujifanya hajui kuwa element za aina hii zipo kwa watumishi wa serikali wa sehemu tofauti tofauti, yapo haya
Yeaah! sasa watu wanafunguka wanatoa mafunda yao bila kumumnya. Hevu tufafabulie hao wa K'njaro waliwezaje?

Kumbuka Nyerere, Mkapa, Mwinyi na JK wala hawana ukaribu, sasa hawa watu walifanikiwaje kutenda hayo.Wana nguvu sana! ehe

Kama humuwezi kueleza basi mkae kimya wananchi wajue ninyi ACT na Supreme lengo lenu ni nini kwa taifa

Wananchi wanwasoma, na kumbuka kijana ana makando kando mengi sasa unapomtwisha mzigo humsaidii.
Na kwanin huyu wa katavi ili uchumi wa utalii umguse ni lazima tumlazimishe kwanza akauzie kwanza mazao yake Moshi?hili sio utalii tu lakini pia na mazao ya Katavi yamguse kijana yule wa Moshi!UBINAFSI WA HALI YA JUU!!

Alafu unasema watu wanataka kuligawa taifa?hivi mtu wa katavi akikusoma hapa unadhani atakuonaje?kama nilivyosema juu, hiki kipo sasa, tuna watendaji wengi wapo hivi, hawana maslahi ya nchi na watu wa nchi ata kidogo, wao wanaangalia kwao tu.

Bila shaka akina Nguruvi(kwa mfano huo) wakiwa viongozi wakuu wa serikali wataweka huo mpango wa kumlink mwanachi wa Katavi na utalii kwa kujenga soko kubwa la mazao Moshi,ambalo huyu wa katavi anapaswa apeleke kuuzia mazao yake hapo, kwani utalii ni hati miliki ya Kaskazini tu, hii kali.
Najua mnatafuta mahali pa spinning eti kuonyesha Nguruvi ni mbaya. Ninasema wanajamvi na wananchi wanatusoma kila siku na wanatufahamu nia na azma zetu.

Spimnning hazisaidii zaidi zitamuumiza kijana maana sisi tunasema naye , ninyi ni by the way

Kuhusu hoja, tumesema, kijana wa K'njaro anategemea utalii, miundo mbinu ni hitaji lake.
Kijana wa Katavi hategemei utalii, hitaji lake ni miundo mbinu ya kupeleka mahindi sokoni kule K'njaro ili achukue pesa ya utalii. Lakini pia anaweza kukaa na mahindi akatokea mwingine wa K'njaro na kuayapeleka kule. Hapo ni kwa disadvatage ya nani?

Hoja muhimu hapa ni miundo mbinu ili kutoa win win situation za pande zote mbili.

Rudi nyuma kasome dhana ya maendeleo, imejadiliwa na wanajamvi kwa njia nyingi na nzuri sana.
Ukishakuja bila prejudice ya kutaka kusafisha uchafu na maji ya mfereji wa maji taka itakusaidia.

Taifa kwanza, taifa mbele. Tanzania kwanza

Tusimame katika kutetea taifa na si watu wenye kutaka kuligawa na kulivuruga taifa. Tuwakaate, tuwasote vidole, tuwazoimee na tuwamaambie, hawatufai. Nchi kwanza

......
 
Hawa wapuuzi hawawezi na hawana moral authority ya kushughulikia suala lolote la kitaifa.

Chuki ni sumu na chuki huondoa maarifa!

Hawa si ndio walikaa uani na kuandika ule uozo wa Waraka uliojaa hisia za ukanda na ukabila.

Kama unataka tuurudishe hapa uone, sema.Waliondika waraka kama Form 4 wanaoandika project, hawana sifa, hawafai na hawatakiwi kuongelea suala la kitaifa. Hawa wanaooongelea personality maliwato badala ya issue za taifa hawana sifa.
Ukiusoma ule waraka ni shida! uelewa aina ya wasomi. Hawa hawafai kabisa kutajwa kwenye masula ya kitaifa, washughulike tu na magenge kama magenge mengine tunayoyajua. Period.

Waraka ule hauna tatizo lolote, ule ulikuwa waraka wa kisiasa, wa watu wenye lengo la kuondoa changamoto zilizokuwepo kwenye chama na hivyo kukipandisha chama kwenye level nyingine ya juu zaidi.Kufukuza watu kwa hofu ya kukushinda kwenye uchaguzi kisiasa ni ishara ya uoga na kutojiamini kisiasa.

Miongoni mwa matatizo yetu kama taifa ni kutopenda kujitathmini, vyama vya siasa ndio zaidi, na hii ndio inapelekea chama kinafika peak, kinaishiwa nguvu na kuanza kushuka chini. Kujitahmini kunazuia vitu kama hivyo.Kutoufanyia kazi waraka ule ni fursa iliyopotea kwa Chadema. Mungu atupe uhai, baada ya joto hili kuisha na hali halisi kuwa wazi, utatambua kuwa waraka ule ulisheheni vyema, waraka ule ulikuwa na tatizo moja tu, ulikuwa unahatarisha nafasi za watu, jambo ambalo halivumiliki kwenye siasa za kiafrika.Muda utaongea.Hatuna haja ya kuurudia sasa.

Mtu anaposema Kilimanajro na Arusha zinachangia katika namba 9 na 7, kimaendeleo zipo juu. Maana ya maendeleo zipo juu ni nini na ilikusudia nini.

Suala si kutaja. ni nia aliyokuwa nayo dhidi ya mikoa hiyo miwili. Nyuma tumeonuyesha nia huenda ilikuwa kupigana vita na mahasimu wake. Na pia kuhakikisha kanda yenye idadi kubwa inamuunga mkono kwa kubomoa chama chake.
Nia hiyo ikaingia nyongo pale alipokwenda kusihambulia bila sababu kwasababu tu ya hasira. Huko nyuma alishawahi kushambulia mikoa hiyo. Mara ya pili ni makusudi si bahati mbaya. Tutaona mbele ya safari kama likuwa shihi au la.
Kwa taarifa. Takwimu zitumike katika kujenga taifa, zitumike kwa akili na si kuleta ''utusi na uhutu''
Lakini pia unasahau mchango wa wananchi wenyewe katika maendeleo.Tumeoyesha mifano. Hevu tufafabulie hao wa K'njaro waliwezaje?, sasa hawa watu walifanikiwaje kutenda hayo.Wana nguvu sana! ehe

Hujaonyesha popote Zaidi ya hisia zako binafsi.

Kama nilivyokwishasema tena na tena, umejaa hofu, mtu asiye wa Kilimanjaro akitaja tu jina Kilimanjaro unashtuka, hisia zako zinakupeleka kule moyo wako ulipo, ondoa huo umiliki wa Kilimanjaro kwenye mawazo yako ya kila kinachojadiliwa ata kama ni cha kisera au mfumo.

Tatizo kwako ni moja tu, kutajwa jina Kilimanjaro, Zitto hakusema kuna mkoa unainyonya mikoa mingine, ni hisia zilizojengwa na hofu tu iliyotokana ubaguzi uliojivika mwenyewe, wa sisi aganist wao, kwako unaona kila kitu ni Kilimanjaro tu, siasa zote kwako ni Kilimanjaro, ata tukijadili issue za kitaifa unarudi Kilimanjaro tu, tunachoka Nguruvi.

Na kadri unavyoendelea kuonyesha ubaguzi huu ndivyo unavyotia watu mashaka zaidi, kwanin ujae ueneo wako kwa kiwango hiki?hapa hakuna msingi wa hoja bali msingi wa ukabila, mbona hakulalamikiwi kutaja jina la mkoa wa Lindi?mbona hatusikii kulalamikiwa kwa kutajwa jina la Mbeya?kwanin iwe kutajwa Kilimanjaro tu ndio kosa?

Kusema kuna tatizo la kimaendeleo Shinyanga linalohitaji suluhisho inakuwaje nongwa?

Kusema kuna tatizo la kimaendeleo Tabora linahitaji suluhisho inakuwaje nongwa?

Kwani umaskini wao haupaswi kuwa concern ya taifa mpaka Nguruvi akasirike?kwani Shinyanga na Tabora sio Tanzania?nongwa inatoka wapi mpaka iwe kama ni kosa kubwa kuchukizwa na umaskini wa mikoa hiyo mpaka ifanywe issue ya badala kujadili umaskini Nguruvi anataka miezi miwili sasa kwenye jukwaa la Great thinkers eti tujadili kwanin umeutaja mkoa wangu?ebo!

Sasa kama wewe unachukia kwa kutajwa jina tu la mkoa wako kwenye mfano ebu fikiria watu wa Shinyanga na watu wa Tabora wakiwasoma hapa haya unadhani wanajisikiaje?kwani wao ni raia daraja la pili?kwani wao hawastahili bali kuna wanaostahili kuliko wao?Kwamba matatizo yao iwe ya maji,umeme au barabara ni uzembe wao wenyewe?

Hili ndilo tatizo la kujadili siasa bila kuzijua jamii unazoziongelea,kuongea siasa bila kuijua nchi unayoizungumzia.Out of touch.

Tafadhari sana, chezeeni siasa kwenye mambo mengine yoyote lakini sio kwenye mambo sensitive kama haya.

Hakuna takwimu zinazo justify hata kwa bahati mbaya. Ni kauli za kipuuzi ambazo kuzipuuza, unasahau mchango wa wananchi wenyewe katika maendeleo.Tumeoyesha mifano. Hakuna upendeleo, na hiyo ndiyo hoja yeni mkiwa mumejificha. Kwa bahati mbaya hasira zainawatoa kama zilivyomtoa supreme leader. Wanatoka kwenye magamba taratibu, tunajua ni makada hawa. Wanakubali hata wanachojua ni too low pengine! teh teh Picha inaanza kutoka, mnatetea taifa roho zenu zikiwa na mafundo. Mnatetea upuuzi wa wa kuligawa taifa. Ndio maana mpo kufanya spinning.
Hevu tufafabulie hao wa K'njaro waliwezaje?, sasa hawa watu walifanikiwaje kutenda hayo.Wana nguvu sana! ehe

Najua mnatafuta mahali pa spinning eti kuonyesha Nguruvi ni mbaya. Ninasema wanajamvi na wananchi wanatusoma kila siku na wanatufahamu nia na azma

Unarudi kulekule hisia hisia porojo!

Lakini naelewa unavyojihisi, maandishi yako yanaonyesha wazi nia na azma yako, kutetea taifa lako la kufikirika, Kilimanjaro, Arusha naona umeishaanza kuitosa nayo taratibu.Ni maneno yako ya kibaguzi uliyoyaandika mwenyewe ndiyo yanayoonyesha vile unavyowaza, kwako nchi ni Kilimanjaro, kila kitu kwako Kilimanjaro,kila hoja wewe Kilimanjaro, kwanin kataja kilimanjaro?please.

Sasa naanza kupata picha kwanini unasema Zitto kwa kugombea uenyekiti Chadema alionyesha chuki na mkoa wa kilimanjaro, kwako Zitto kutaka kugombea Uenyekiti na Mbowe tayari kwako alikuwa kafanya kosa lisilosameheka, kwako aliwavunjia heshima watu wa Kilimanjaro, nani kasema kugombea nafasi na Mbowe ni kuwa na chuki na mkoa wa Kilimanjaro? nani kasema kupingana na Mbowe maana yake kupingana na mkoa wa Kilimanjaro?sitashangaa ata upo Chadema kwa sababu hiyo kama haya mawazo yako ya ukabila wa kiwango hiki ndio mawazo ya Mbowe na Mtei pia basi ni hatari kubwa.

Ushauri wangu kwako una heshima kubwa sana, linda heshima yako.Hiyo hisia zako za kibaguzi kama huwezi kuziondoa basi baki nayo moyoni mwako, usituchafulie taifa kwa ubaguzi huo.Huu ukabila wako hauna nafasi kwenye nchi hii ya Mwalimu Nyerere miaka 54 baada ya uhuru.

Kuhusu hoja, tumesema, kijana wa K'njaro anategemea utalii, miundo mbinu ni hitaji lake.
Kijana wa Katavi hategemei utalii, hitaji lake ni miundo mbinu ya kupeleka mahindi sokoni kule K'njaro ili achukue pesa ya utalii. Lakini pia anaweza kukaa na mahindi akatokea mwingine wa K'njaro na kuayapeleka kule.


Hoja muhimu hapa ni miundo mbinu ili kutoa win win situation za pande zote mbili.

Hatimaye ubaguzi wako na ubinafsi wako sasa upo wazi kabisa.

Kwamba hakuna kuwa na matunda ya utalii katika Tanzania bila mkoa wa kilimanjaro kunufaika, umeita win-win situation, kuwa kama mtu aliye pembezoni mwa katavi Nationa Park anataka kunufaika na utalii basi alime tu mazao apeleke akauze mazao Moshi tu ili na Kilimanjari ndio pia iwe soko la mazao ya mkoa wa katavi.Ukiwa na watu wabinafsi wa ina hii katika taifa inachosha sana.Kama na Mbowe na Mtei ndio mawazo yao kama yako basi hilo ni tatizo kubwa.

................................................................................................................................................................................
Kwa mfano, huyo wa Kilimanjaro utalii utamsaidia na miundo mbinu ni muhimu kwa hilo.

Yule wa Katavi hahitaji utalii, anahitaji miundo mbinu ya kupeleka mahindi Kilimanjaro ili achukue pesa za utalii kwa njia hiyo.

Hapa wenzentu wanasema ' mikoa fulani imependelewa au kuwezeshwa''

Hayajaletwa na mkoa fulani kuchangia kidogo na maendeleo zaidi au kinyume.
Na kwanin huyu wa katavi ili uchumi wa utalii umguse ni lazima tumlazimishe kwanza akauzie kwanza mazao yake Moshi?hili sio utalii tu lakini pia na mazao ya Katavi yamguse kijana yule wa Moshi!UBINAFSI WA HALI YA JUU!!

Alafu unasema watu wanataka kuligawa taifa?hivi mtu wa katavi akikusoma hapa unadhani atakuonaje?kama nilivyosema juu, hiki kipo sasa, tuna watendaji wengi wapo hivi, hawana maslahi ya nchi na watu wa nchi ata kidogo, wao wanaangalia kwao tu.

Bila shaka akina Nguruvi(kwa mfano huo) wakiwa viongozi wakuu wa serikali wataweka huo mpango wa kumlink mwanachi wa Katavi na utalii kwa kujenga soko kubwa la mazao Moshi,ambalo huyu wa katavi anapaswa apeleke kuuzia mazao yake hapo, kwani utalii ni hati miliki ya Kaskazini tu, hii kali.

 
Swali kwa ndugu Nguruv. JE REFERENCE YA TUHUMA ZAKO NI KWA SPEECH YA ZZK KULE SHINYANGA NA MWANZA AU NI BANDIKO LAKE LA FACEBOOK?

Sidhani swali rahisi kama hili linahitaji ngonjera nyiiiingi!
 
Swali kwa ndugu Nguruv. JE REFERENCE YA TUHUMA ZAKO NI KWA SPEECH YA ZZK KULE SHINYANGA NA MWANZA AU NI BANDIKO LAKE LA FACEBOOK?

Sidhani swali rahisi kama hili linahitaji ngonjera nyiiiingi!
Unajua kuna wakati unafanya jukwaa linapoteza heshima.Tumeshuri urudi kusoma, umerudi na kuona ukweli. Sasa unatafuta spinning.

Kwa mfano, hoja ya utalii umeileta kama mfano, tayari unageuza kama ukweli ili tu kutuondoa katika mjadala.

Hata mantiki unabadili ili kukidhi haja yako. Historia zetu wengine hazihitaji utetezi. Endelea , tukicheka kwa kwa kwa!


Ndivyo hoja za reference zilivyo. Iwe kasema popote, jambo la kujiuliza kasema au hakusema?
Bado maneno yake yana hatari na tuna m-hold accountable kwayo.period!


Humuwezi kumsafisha supreme leader kwa hoja dhaifu nadhalili kama hizi.

Kule jukwaa la siasa hoja ilipoanzia wengi wamejadili tena kwa hasira na matusi.

Mnachokifanya sasa si kujibu hoja bali kutafuta spinning kwa Nguruvi,tehe tehe


Kitu mnachosahau, maneno aliyesema, yamesikika na mnasaidia umma kuelewa zaidi.
Nasi tupo hapa kwa ajili hiyo hiyo, na hakika umma unamwelewa.
Si yule unayemjua, leo anakumbana na hukumu ya umma hadharani


Hajarudia kauli zake wala takwimu, na kila anapokwenda hupima maji kwanza.
Kwingine sidhani kama ana mpango. Haya yote
ni kutokana na tabia ya ulaghai iliyopewa benefit of doubt kwa muda mrefu.


Sasa ni suala la credibility na public trust iliyo chini sana. Nani anajua kasema nini leo?

Badala ya kupoteza muda kwa spinning, mngetumia nafasi hii kuponya taifa kwa kauli za supreme, kuwaleta watu pamoja na kuushawishi umma ,supreme ni mwanadamu.

Baada ya hapo mrudi mkamwambie akishauriwa kama tulivyowahi kumshauri asikilize.


Ajitokeze na kuondoa wingu linalotanda juu yake. Ima aombe radhi, au atoe ufafanuzi.
Hizo ndizo busara. Kinyume chake, hili ataambatana nalo katika maisha ya kisiasa kwa gharama .


Mtu akisoma hoja zenu, hakawii kubaini mumeishiwa. Sasa dodoki linapochafuka sijui inakuwaje. Mnaua ninyi

Na mwisho, tafadhali sana usizungumzie Waraka! Tuta uleta hapa kwa gharama za genge zima.
Usitoneshe vidonda! Usijaribu ! mzigo alobeba unatosha! acha, usijaribu tena!

Otherwise tuendelee na mnakasha mkijua tunaonge naye na umma si ninyi.
Unafahamu conduit?
 
Unajua kuna wakati unafanya jukwaa linapoteza heshima.Tumeshuri urudi kusoma, umerudi na kuona ukweli. Sasa unatafuta spinning.

Kwa mfano, hoja ya utalii umeileta kama mfano, tayari unageuza kama ukweli ili tu kutuondoa katika mjadala.

Hata mantiki unabadiliili kukidhi haja yako. Historia zetu wengine hazihitaji utetezi. Endelea , tukicheka kwa kwa kwa!


Ndivyo hoja za reference zilivyo. Iwe kasema popote, jambo lakujiuliza kasema au hakusema?
Bado maneno yake yana hatari na tuna m-holdaccountable kwayo.period!


Humuwezi kumsafisha supreme leader kwa hoja dhaifu nadhalili kama hizi.

Kule jukwaa la siasahoja ilipoanzia wengi wamejadili tena kwa hasira na matusi.

Mnachokifanyani kutafuta spinning kwa Nguruvi,tehe tehe


Kitu mnachosahau, maneno aliyesema, yamesikika na mnasaidia umma kuelewa zaidi.
Nasi tupo hapa kwa ajili hiyo hiyo, na hakika umma unamwelewa.
Si yule unayemjua, leo anakumbana na hukumu ya umma hadharani


Hajarudia kauli zake wala takwimu, na kila anapokwenda hupima maji kwanza.
Kwingine sidhani kama ana mpango. Haya yote
ni kutokana na tabia ya ulaghai iliyopewa benefit of doubt kwa muda mrefu.


Sasa ni suala la credibility na public trust iliyo chini sana. Nani anajua kasema nini leo?

Badala ya kupoteza muda kwa spinning, mngetumia nafasi hii kuponya taifa kwa kauli za supreme, kuwaleta watu pamoja na kuushawishi umma ,supreme ni mwanadamu.

Baada ya hapo mrudi mkamwambie akishauriwa kama tulivyowahi kumshauri asikilize.


Ajitokeze na kuondoa wingu linalotanda juu yake. Ima aombe radhi, au atoe ufafanuzi.
Hizo ndizo busara. Kinyume chake, hili ataambatana nalo katika maisha ya kisiasa kwa gharama .


Mtu akisoma hoja zenu, hakawii kubaini mumeishiwa. Sasadodoki linapochafuka sijui inakuwaje. Manjua ninyi

Na mwisho, tafadhali sana usizungumzie Waraka! Tutauleta hapakwa gharama za genge zima.
Usitoneshe vidonda! Usijaribu ! mzigo alobeba unatosha! acha, usijaribu tena!

Otherwise tuendelee na mnakasha mkijua tunaonge naye na umma si ninyi.
Unafahamu conduit?

Nguruvi3.

Punguza jazba na munkar msome kwa uzuuuri muuliza suala kwani amelirahisisha sana na kupenda jibu fupi si maelezo mareeeefu. AMEULIZA HIVI

JE REFERENCE YA TUHUMA ZAKO NI KWA SPEECH YA ZZK KULE SHINYANGA NA MWANZA AU NI BANDIKO LAKE LA FACEBOOK?
 
Unajua kuna wakati unafanya jukwaa linapoteza heshima.Tumeshuri urudi kusoma, umerudi na kuona ukweli. Sasa unatafuta spinning.

Kwa mfano, hoja ya utalii umeileta kama mfano, tayari unageuza kama ukweli ili tu kutuondoa katika mjadala.

Hata mantiki unabadili ili kukidhi haja yako. Historia zetu wengine hazihitaji utetezi. Endelea , tukicheka kwa kwa kwa!


Ndivyo hoja za reference zilivyo. Iwe kasema popote, jambo la kujiuliza kasema au hakusema?
Bado maneno yake yana hatari na tuna m-hold accountable kwayo.period!


Humuwezi kumsafisha supreme leader kwa hoja dhaifu nadhalili kama hizi.

Kule jukwaa la siasa hoja ilipoanzia wengi wamejadili tena kwa hasira na matusi.

Mnachokifanya sasa si kujibu hoja bali kutafuta spinning kwa Nguruvi,tehe tehe


Kitu mnachosahau, maneno aliyesema, yamesikika na mnasaidia umma kuelewa zaidi.
Nasi tupo hapa kwa ajili hiyo hiyo, na hakika umma unamwelewa.
Si yule unayemjua, leo anakumbana na hukumu ya umma hadharani


Hajarudia kauli zake wala takwimu, na kila anapokwenda hupima maji kwanza.
Kwingine sidhani kama ana mpango. Haya yote
ni kutokana na tabia ya ulaghai iliyopewa benefit of doubt kwa muda mrefu.


Sasa ni suala la credibility na public trust iliyo chini sana. Nani anajua kasema nini leo?

Badala ya kupoteza muda kwa spinning, mngetumia nafasi hii kuponya taifa kwa kauli za supreme, kuwaleta watu pamoja na kuushawishi umma ,supreme ni mwanadamu.

Baada ya hapo mrudi mkamwambie akishauriwa kama tulivyowahi kumshauri asikilize.


Ajitokeze na kuondoa wingu linalotanda juu yake. Ima aombe radhi, au atoe ufafanuzi.
Hizo ndizo busara. Kinyume chake, hili ataambatana nalo katika maisha ya kisiasa kwa gharama .


Mtu akisoma hoja zenu, hakawii kubaini mumeishiwa. Sasa dodoki linapochafuka sijui inakuwaje. Mnaua ninyi

Na mwisho, tafadhali sana usizungumzie Waraka! Tuta uleta hapa kwa gharama za genge zima.
Usitoneshe vidonda! Usijaribu ! mzigo alobeba unatosha! acha, usijaribu tena!

Otherwise tuendelee na mnakasha mkijua tunaonge naye na umma si ninyi.
Unafahamu conduit?
Nguruvi3.

Jukwaa hili hata siku moja aliwezi kupoteza heshima kwa kuulizwa swali la msingi kama uliloulizwa.

Hamna sehemu yeyote uliyovunjiwa heshima na muuliza swali.

Swali la kiungwana sana umeulizwa tena kwa faida ya wanaukumbi.

Mjibu ili swali...

JE REFERENCE YA TUHUMA ZAKO NI KWA SPEECH YA ZZK KULE SHINYANGA NA MWANZA AU NI BANDIKO LAKE LA FACEBOOK?

Wewe umejenga hoja zako hamna mtu yeyote aliyekuambia unafanya Spinning inakuaje wewe kuulizwa swali la msingi useme anafanya spinning?
 
Last edited by a moderator:
Swali kwa ndugu Nguruv. JE REFERENCE YA TUHUMA ZAKO NI KWA SPEECH YA ZZK KULE SHINYANGA NA MWANZA AU NI BANDIKO LAKE LA FACEBOOK?

Sidhani swali rahisi kama hili linahitaji ngonjera nyiiiingi!

Nimekuomba ufafanuzi wa "Stahiki" lakini mpaka sasa hivi sijapata jibu.. husiwe mchoyo wa kutoa darasa.. Tupe darasa la Stahiki kubwa kwa mikoa inayochangia sana..
 
Nguruvi3.

Punguza jazba na munkar msome kwa uzuuuri muuliza suala kwani amelirahisisha sana na kupenda jibu fupi si maelezo mareeeefu. AMEULIZA HIVI

JE REFERENCE YA TUHUMA ZAKO NI KWA SPEECH YA ZZK KULE SHINYANGA NA MWANZA AU NI BANDIKO LAKE LA FACEBOOK?

Hili swali limeishajibiwa tena kwa ufasaha kati ya pg ya 30 mpk 45. Nafikiri tutakuwa hatutendi haki tunaporudia maswali yale yale ambayo yameishajibiwa katika pg za nyuma, ila mtu anaona uvivu wa kurudi nyuma na soma kilichoandikwa.

Pia kinachobishania si hotuba ya Tabora au ya RFA au Facebook. tunachotaka kusikia kutoka upande wa pili ni ufafanuzi wa haya maneno."Dar inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa
-16.9% Dar
-9.2% Mwanza kabla haijagawanya
-7.3%. Mbeya
-6%. Shinyanga
-5.3% Iringa
Hata hivyo Shinyanga ni moja ya mikoa yenye Umaskini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia pato la Taifa, mikoa yenye Maendeleo Zaidi ni Arusha,Kilimanjaro na Dar es salaam.Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7 kuchangia Pato la Taifa.

Na ndo tunauliza je uchangiaji katika pato la taifa unahusikaje moja kwa moja na maendeleo ya mikoa husika? maana hapa yeye ametumia kigeuzo cha uchangangiaji wa pato la taifa na maendeleo ya sehemu husika.

Na katika kumbukumbu zangu katika darasa ulilotoa umesema tena very clear kuna "uchangiaji wa pato la taifa hausiki na maendeleo ya sehemu husika.

Sasa hili kama Zitto kalisema Facebook au Jf au Shinyanga hiyo si hoja, maana kusema Facebook au JF au Tabora au shinyanga hakubadilishi kitu chochote.
 
Hili swali limeishajibiwa tena kwa ufasaha kati ya pg ya 30 mpk 45. Nafikiri tutakuwa hatutendi haki tunaporudia maswali yale yale ambayo yameishajibiwa katika pg za nyuma, ila mtu anaona uvivu wa kurudi nyuma na soma kilichoandikwa.

Pia kinachobishania si hotuba ya Tabora au ya RFA au Facebook. tunachotaka kusikia kutoka upande wa pili ni ufafanuzi wa haya maneno."Dar inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa
-16.9% Dar
-9.2% Mwanza kabla haijagawanya
-7.3%. Mbeya
-6%. Shinyanga
-5.3% Iringa
Hata hivyo Shinyanga ni moja ya mikoa yenye Umaskini wa kutupwa licha ya kuwa namba 4 katika kuchangia pato la Taifa, mikoa yenye Maendeleo Zaidi ni Arusha,Kilimanjaro na Dar es salaam.Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7 kuchangia Pato la Taifa.

Na ndo tunauliza je uchangiaji katika pato la taifa unahusikaje moja kwa moja na maendeleo ya mikoa husika? maana hapa yeye ametumia kigeuzo cha uchangangiaji wa pato la taifa na maendeleo ya sehemu husika.

Na katika kumbukumbu zangu katika darasa ulilotoa umesema tena very clear kuna "uchangiaji wa pato la taifa hausiki na maendeleo ya sehemu husika.

Sasa hili kama Zitto kalisema Facebook au Jf au Shinyanga hiyo si hoja, maana kusema Facebook au JF au Tabora au shinyanga hakubadilishi kitu chochote.

Wewe huoni umuhimu wa swali langu mimi ninayeuliza ninaona kuna umuhimu wa kujibiwa na bwana Nguruv. Nasubiri Jibu langu kutoka kwake!
 
Wewe huoni umuhimu wa swali langu mimi ninayeuliza ninaona kuna umuhimu wa kujibiwa na bwana Nguruv. Nasubiri Jibu langu kutoka kwake!

Hilo ni swali langu halina husiano wa moja kwa moja na swali lako kwa Nguruvi3. Wakati unasubiri jibu lako hebu dadavua Stahiki.. Kama umeshindwa sema tu..Maana hakuna anayeelewa kila kitu.Tuko hapa kujifunza..
 
Kapwela, ngoja niudhi jamvi kwa kurudi nyuma. Kwa kuanzia msome Mkandara halafuumuulize source hizo amezileta kwa hoja gani?
Hapana sio kosa la Zitto ni kosa la sisi kuelewa, yaani tunarukia mambo pasipo kuyaelewa wala kupima kwanza.

Sasa tazama basi wakati Zitto alizungumzia HDI kutokana na pato la Taifa sisi tukaenda moja kwa moja ktk Revenues na GDP wakati ni mchanganuo tofauti kabisa. Kwa kutazama mchango wa Shinyanga katika Pato la Taifa (National Income) Zitto kaweza kutupa data zinazoonyesha Shinyanga wapo chini wakati wanachangia zaidi, hivyo ni msukumo kwa wananchi kuelewa haja ya kufumua mfumo uliopo na kuweka mfumo ulokuwa bora zaidi.

Pengine swali la kumuuliza Zitto, katika muundo wa ACT na Ujamaa, serikali yake ingeweza vipi kuhakikisha Shinyanga wanafaidika zaidi kwa mchango wao maana kumbukeni nchi zote za Magharibi majimbo yalochangia zaidi hufaidika zaidi na mchango wao, na majimbo mengine huwezeshwa zaidi ili nao wachangie zaidi ktk miradi inayoongeza Productivity na hivyo kukiuza pato la taifa.

Hakuna loser, ndio maana nikamwambia nguruvi ya kwamba ukiomba ongezeko la mshahara kutokana na uzalishaji wako haina maana unataka mtu mwingine apunguziwe mshahara kwa sababu tu umetaja jina lake kuwa na pato zaidi yako. Au ni kuzua uadui baina yenu hii akili ni ya Kibongo tu siku zote tunaogopana. Lakini ni lazima mtu utumie kigezo baina yako na wafanyakazi wengine na ndivyo madai ya wanawake kuhusu mishahara sawa na wanaume haina maana kuwa mshahara wa wanaume utakatwe ili wanawake walipwe..Ni kutoelewa tu kwa watu.
Nakuja kukuonyesha mahali ambapo JokaKuu alikuita.
Namsifu sana Jokakuu kwasababualifahamu mbele ya safari kutakuwa na watu kama wewe watakaovuruga mjadala kwasababu tu pengine hawasomi, hawaelewi au watadandia treni bila kujua inakwenda au imetoka wapi
 
Last edited by a moderator:
[FONT=Verdana [B]Kapwela[/B] , ngoja tusimamishe mnakasha ili nawe utufikie.Umeomba reference, nami nitakupa. Kwanza jiridishe na bandiko #760 la mkuu@JokaKuu ( page 38) [/FONT]
Ukiona tabu tuulize.
Halafu mnauliza reference, hebu msome Barubaru umuulizealikuwa anajadili kitu gani hapa? Alikuwa anafanya reference ya mjadala natakwimu za nani? Na kwanini?
Siku zoteunapopata DATA ni vizuri kuzi analyse vizuri na kujiuliza kwanini awe wa kwanzana sio wa mwisho? ana kitu gani cha ziada kuliko wengine ? n.k
Sasa labda tujiulize kwanini Dar es Salaam inaongoza kwa makusanyo ya kodi zaTRA? Je wana kitu gani cha ziada kuliko mikoa mingine kiasi cha kuwezakuongoza?
Wanajamvi samahani tunarudi nyuma au tunalazimishwa kuchezamduara.

Kapwela ni Mtanzania mwenzetu. Hakuna kosa kubwa kama tutamwacha nyuma.


Ritz Adharusi Waberoya Subirini kidogo maana makabrasha yako yapo tayari. Mtatueleza reference mlizotupatia zimetoka wapi

Yote yataambatana na mjadala unaomhusu supreme ilitusiondoke katika mada









 
[FONT=Verdana [USER=278270]Kapwela[/USER] , ngoja tusimamishe mnakasha ili nawe utufikie.Umeomba reference, nami nitakupa. Kwanza jiridishe na bandiko #760 la mkuu@JokaKuu ( page 38) [/FONT]
Ukiona tabu tuulize.
Halafu mnauliza reference, hebu msome Barubaru umuulizealikuwa anajadili kitu gani hapa? Alikuwa anafanya reference ya mjadala natakwimu za nani? Na kwanini? Wanajamvi samahani tunarudi nyuma au tunalazimishwa kuchezamduara.

Kapwela ni Mtanzania mwenzetu. Hakuna kosa kubwa kama tutamwacha nyuma.


Ritz Adharusi Waberoya Subirini kidogo maana makabrasha yako yapo tayari. Mtatueleza reference mlizotupatia zmetoka wap








Nguruvi3.

Wala sisi hatuna haja ya wewe kurudi nyuma wanaukumbi wanaomba tu hotuba ya Zitto ambayo wewe unaitumia kama reference ni hayo tu.

Wanaukumbi wana hamu ya kumsoma Zitto anavyowafitinisha Watanzania na wanataka pia kuona wapi amesema matatizo ya Shinyanga yameletwa na Arusha na Kilimanjaro.

Fungua makabrasha uje na hiyo hotuba tupo pembeni hapa tumejimbanza tukisubiri hotuba.
 
Last edited by a moderator:



Kapwela kwavile nimzito wa kusoma mambo ya nyuma nakukumbusha rudi bandiko page 38 bandiko 760.
Hapo utagundua wapi uliachwa nyuma.

Na ujipime kama unalisaidia au kulikwaza jamvi . Na kwamba una moral authority ya kuuliza chochote.?











 
Nguruvi3.

Wala sisi hatuna haja ya wewe kurudi nyuma wanaukumbi wanaomba tu hotuba ya Zitto ambayo wewe unaitumia kama reference ni hayo tu.
Mchambuzi mmeomba data mmeletewa na Mkuu Adharusi kakuwekea na source kuwa Zitto alipozipata "Tanzania Human Development Report" bado hautaki unaita ulaghai.

Mkuu wakati mwingine jifunzeni kusoma vitu msivyovipenda.

Mbona data zako ulizoleta watu hawajasema ulaghai.
Mkuu umesahau umetupa reference mwenyewe?
 
Back
Top Bottom