Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Alinda,

Unatuambia kuwa Zitto alibadilisha baada ya kuona anaandamwa na watu. Je wewe ulichotuwekea ni kile alichoandika kabla hajabadilisha au ulichukua baadhwi ya Para na kuacha baadhwi?



Kwa andiko la ZZK aliloliweka kapwela hapa barazani ni SAFI kabisa halina mushkeri wala tatizo lolote kwa mtu yoyote mahiri na mchumi anayefatilia na kujua uchumi wa Tanzania. Lakin sivyo ulivyoliweka wewe lilikuwa ma mashakir na mushker kibaaao kiasi cha kupunguza weledi wa ZZK katika mambo ya uchumi ambao ndio taaluma yake.

Kama ulichukua baadhwi ya para na kuacha nyingine katika maandiko ya ZZK hilo ni kosa kubwa sana na inakupasa
uombe jukwa radhwi na kumuomba ZZK radhwi kwa kumlisha na kumzulia maneno. Lakin kama aliliweka kama ulivyoripoti wewe basi tuwekee kama alivyofanya kapwela ili tuone ukweli na urongo upo wapi?



Barubaru kama nia ilikuwa ni kujua kama hilo andishi nililiona/lilisoma kule facebook hilo nimejibu.

Kama nia yako ni kuzunguka zunga nani kasema lini na wapi, nasikitika kukuwambia kuwa huo muda sina. pole sana kwa hilo.. Nilikujibu kwa kuungwana tu maana nilikifiri unataka kujua ukweli.. Sasa kama unaukubali au unaukataa hilo siwezi kukulazimisha na siko hapa kumlazimisha mtu akubaliane na mimi..
Pole sana.

Na kama bandiko aliloliweka hapa Kapwela kwako wewe ni safi tena sana. hiyo imaanishi hata kwetu sisi ni safi tena sana

Je ni kweli maendeleo ya mikoa husika yanatazamwa kwa kuangalia uchangiaji katika pato la taifa? (bandiko Kapwela ndo kigezo alichotumia kwa hili swali)..

Na kama sivvyo hebu fafanua hii sentensi alikuwa anamaanisha nini hapa.

Mikoa yenye Maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7"

 
Mkandara.

Naona umefanya very good Summary. Ahsantum.

Ila palipo niacha HOI hilo hitimisho lako ambalo umeweka bayana bila kificha chochote.

Mimi siku zote nasema yale yaliyofichwa miaka nenda rudi kwa joho la ujamaa ya kugawana umasikini ndio sasa inadhwihiri.

Kabla ya Uhuru yaani wakt wa mkoloni huko Tgk mikoa kama Tanga, Morogoro na Tabora iling'ara sana na ilikuwa na uchumi wa juu sana kuliko Kilimanjaro, Arusha na hata Mwanza leo hii imerudi nyumba kibisaaaaa mpaka inatia huruma. Mimi kama mchumi nikijaribu kujiuliza wamekosea wapi mpaka kila siku hali za mikoa hii inazidi kuwa Duni na kuangalia hio mikoa inayopanda kiuchumi inafanya nini sioni zaidi ya kila mwanasiasa kukumbuka kwao.

Mimi nikiwa wizara ya fedhwa Muungano katika kitengo cha bajeti nilikuwa naoma mashinikizo ya kisiasaa katika kugawana keki ya Taifa. Sisemi mengi lakin kma Mtamuuliza Mz Cleopa Msuya au Mz wangu Edwin Mtei atafafanua mengi sana na wana uwezo mkubwa sana kuizungumzia hiyo keki yenu.

Poleni sana.


Tuko hapa kujadiliana, sasa unataka sisi tumpate wapi Cleopa na Mtei ili watueleze ugawaji wa keki ya taifa? WEwe uliyekuwepo na uliona basi twambie ulichoona.
 
Tuko hapa kujadiliana, sasa unataka sisi tumpate wapi Cleopa na Mtei ili watueleze ugawaji wa keki ya taifa? WEwe uliyekuwepo na uliona basi twambie ulichoona.

Alinda.

Nisome taratibu bila jazba wala ushabiki utanielewa kwani ukitanguliza hayo basi asilan na abadan huwezi kunielewa.

Hoja yangu hapo ya kujadili ilikuwa hii
" Kabla ya Uhuru yaani wakt wa mkoloni huko Tgk mikoa kama Tanga, Morogoro na Tabora iling'ara sana na ilikuwa na uchumi wa juu sana kuliko Kilimanjaro, Arusha na hata Mwanza leo hii imerudi nyumba kibisaaaaa mpaka inatia huruma. Mimi kama mchumi nikijaribu kujiuliza wamekosea wapi mpaka kila siku hali za mikoa hii inazidi kuwa Duni na kuangalia hio mikoa inayopanda kiuchumi inafanya nini sioni zaidi ya kila mwanasiasa kukumbuka kwao. "

Mzee wangu na bosi wangu Mtei atapita kufafanua na kuweka sawa tu kile kilichokuwepo. Suala kwanini wa mbele wanarudu nyuma kiuchumi na wanyuma wanakwenda mbele kiuchumi?

Punguza jazba.

Pole sana

 
Barubaru kama nia ilikuwa ni kujua kama hilo andishi nililiona/lilisoma kule facebook hilo nimejibu.

Kama nia yako ni kuzunguka zunga nani kasema lini na wapi, nasikitika kukuwambia kuwa huo muda sina. pole sana kwa hilo.. Nilikujibu kwa kuungwana tu maana nilikifiri unataka kujua ukweli.. Sasa kama unaukubali au unaukataa hilo siwezi kukulazimisha na siko hapa kumlazimisha mtu akubaliane na mimi..
Pole sana.

Na kama bandiko aliloliweka hapa Kapwela kwako wewe ni safi tena sana. hiyo imaanishi hata kwetu sisi ni safi tena sana

Je ni kweli maendeleo ya mikoa husika yanatazamwa kwa kuangalia uchangiaji katika pato la taifa? (bandiko Kapwela ndo kigezo alichotumia kwa hili swali)..

Na kama sivvyo hebu fafanua hii sentensi alikuwa anamaanisha nini hapa.

Mikoa yenye Maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7"


Alinda.

Mimi nakushauri tu na hilo ndilo nililokubainishi huko juu.

Kama mtu uliyekwenda skuli siku zote soma hotba/ maelezo yote kuanzia mwanzo mpaka mwisho kisha unakuja na masuala yako au comment zake. Wasomi hata siku moja huwezi kuuchukua mstari mmoja au miwili na kuanza kutoa masuala au comment zako.

Huo ni ushauri wangu kwako. Mimi nilisoma maelezo yote na kucomment na SIO mstari mmoja mmoja au nusu nusu au robo robo.

Pole sana

 
Alinda.

Nisome taratibu bila jazba wala ushabiki utanielewa kwani ukitanguliza hayo basi asilan na abadan huwezi kunielewa.

Hoja yangu hapo ya kujadili ilikuwa hii
" Kabla ya Uhuru yaani wakt wa mkoloni huko Tgk mikoa kama Tanga, Morogoro na Tabora iling'ara sana na ilikuwa na uchumi wa juu sana kuliko Kilimanjaro, Arusha na hata Mwanza leo hii imerudi nyumba kibisaaaaa mpaka inatia huruma. Mimi kama mchumi nikijaribu kujiuliza wamekosea wapi mpaka kila siku hali za mikoa hii inazidi kuwa Duni na kuangalia hio mikoa inayopanda kiuchumi inafanya nini sioni zaidi ya kila mwanasiasa kukumbuka kwao. "

Mzee wangu na bosi wangu Mtei atapita kufafanua na kuweka sawa tu kile kilichokuwepo. Suala kwanini wa mbele wanarudu nyuma kiuchumi na wanyuma wanakwenda mbele kiuchumi?

Punguza jazba.

Pole sana


Huo ni wasi wasi wako tu.. hakuna jazba wala nini. Nimekuuliza wewe uliyekuwepo na ukashuhudia mashinikizo katika kugawa keki ya Taifa utwambie ulichoshuhudia, sasa Cleop na Mtei sisi tutawatolea wapi? Wengine akina Cleopa tumewasoma katika vitabu vya siasa na kuwaona kwenye pichatu sasa unaponiambia nimtafute Cleopa au Mtei nimtolee wapi mtu kama mimi?

Wewe tueleze ulichoshuhudia ni nani alikuwa anatoa mashindikizo katika keki ya Taifa, na ni mikoa ipi iliyokuwa inapendelewa katika keki ya taifa na ni mikoa ipi iliyokuwa iliyokuwa inaachwa nyuma.

Wewe eleza unachokielewa, Sasa kama ni kuamini au kutoamini utakalo sema hilo ni juu yetu.

sina jazba acha hisia,,
pole sana
 
Alinda.

Mimi nakushauri tu na hilo ndilo nililokubainishi huko juu.

Kama mtu uliyekwenda skuli siku zote soma hotba/ maelezo yote kuanzia mwanzo mpaka mwisho kisha unakuja na masuala yako au comment zake. Wasomi hata siku moja huwezi kuuchukua mstari mmoja au miwili na kuanza kutoa masuala au comment zako.

Huo ni ushauri wangu kwako. Mimi nilisoma maelezo yote na kucomment na SIO mstari mmoja mmoja au nusu nusu au robo robo.

Pole sana



Kwa hiyo hiki ulichojibu hapa ndilo jibu la swali langu?

Ninapouliza swali mtu msomi tena mchumi aliyebobea huko Oman nategemea kupata majibu sahihi. Ni masikitiko niulizapo swali kwa madhumuni ya kufahamu, kupata majibu ya kejeli.. Sasa swali langu ni nini tofauti kati ya msomi na hasiye msomi?
 
Kwa hiyo hiki ulichojibu hapa ndilo jibu la swali langu?

Ninapouliza swali mtu msomi tena mchumi aliyebobea huko Oman nategemea kupata majibu sahihi. Ni masikitiko niulizapo swali kwa madhumuni ya kufahamu, kupata majibu ya kejeli.. Sasa swali langu ni nini tofauti kati ya msomi na hasiye msomi?

Alinda.

Ndio maana nakwambia punguza Jazba na tulizana katika maandiko yako.

Hebu rudi nyuma tartiibu na kuangalia nini ulihitaji kutoka kwanu. Kifupi hukuuliza suala bali ulitaka ufafanuzi wa sentensi yako au nimekufahamu vibaya?


Angalia vizuri.



 
Huo ni wasi wasi wako tu.. hakuna jazba wala nini. Nimekuuliza wewe uliyekuwepo na ukashuhudia mashinikizo katika kugawa keki ya Taifa utwambie ulichoshuhudia, sasa Cleop na Mtei sisi tutawatolea wapi? Wengine akina Cleopa tumewasoma katika vitabu vya siasa na kuwaona kwenye pichatu sasa unaponiambia nimtafute Cleopa au Mtei nimtolee wapi mtu kama mimi?

Wewe tueleze ulichoshuhudia ni nani alikuwa anatoa mashindikizo katika keki ya Taifa, na ni mikoa ipi iliyokuwa inapendelewa katika keki ya taifa na ni mikoa ipi iliyokuwa iliyokuwa inaachwa nyuma.

Wewe eleza unachokielewa, Sasa kama ni kuamini au kutoamini utakalo sema hilo ni juu yetu.

sina jazba acha hisia,,
pole sana

Labda nikusaidie zaidi. Mzee Edwin Mtei yupo humu katika Jf kama member.

Lakin hoja muhimu kwa mtu aliyekwenda skuli hapo ni
Kabla ya Uhuru yaani wakt wa mkoloni huko Tgk mikoa kama Tanga, Morogoro na Tabora iling'ara sana na ilikuwa na uchumi wa juu sana kuliko Kilimanjaro, Arusha na hata Mwanza leo hii imerudi nyumba kibisaaaaa mpaka inatia huruma. Mimi kama mchumi nikijaribu kujiuliza wamekosea wapi mpaka kila siku hali za mikoa hii inazidi kuwa Duni na kuangalia hio mikoa inayopanda kiuchumi inafanya nini?

Kwa kujibu hilo utapata mengi sana ya kiuchumi na kujua wapi lilipo Tatizo mpaka leo mnafikia kutuhumiana .

Pole sana ahali yangu
 
Mchambuzi,Mkuu Pato la Taifa ni mzunguko mzima wa biashara kwa kila mkoa wakati Taxes ni makusanyo ya kodi za serikali. Chukulia wewe mshahara wako kwa mwezi ni Tsh Mil.3 hili ndilo pato lako na pengine kuna mkeo, na watoto wanafanya kazi ama vibarua au biashara na jumla yenu ndilo pato la nyuma yako lakini nyote mnalipa kodi asilimia 20 ya mapato yenu kwa serikali na inawezekana mmoja wenu halipi kutokana na shughuli anayoifanya pengine ni NGo ama ina msamaha..

Hivyo, makusanyo ya kodi sio tu inawezekana ila wapo watu wengi wenye kipato lakini hawalipi kodi mfano wenye nyumba za kupangisha na wapo waliosamehewa kodi na wengine hawalipi kabisa kama mawaziri na wabunge. Pia inawezekanauwepo uzembe ama mfumo mbaya wa kukusanya kodi hivyo fedha nyingi hazikusanywi na serikali ilhali Pato la Taifa ni jumla ya fedha zote zinazozungusha uchumi.

Kwa hiyo Tunapozungumzia Pato la Taifa ni jumla ya uzalishaji mzima wa mkoa na kodi ni fedha ambazo serikali imekusanya tokana na mapato ya mishahara ya watu, Corporate Tax, VAT, ushuru na kadhalika na sii jumla ya fedha zinazoendesha shughuli zote za kiuchumi. Sijui tumeelewana au bado una maswali mengine..
Mkandara,

Naomba nirudie tena kwamba - GDP ni thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa katika uchumi husika (taifa au mkoa), na thamani hii huzingatia bei ya sokoni (market price). Kwa mfano kama sekta ya uvuvi ilizalisha samaki milioni moja na kila samaki anauzwa shillingi kumi sokoni, basi sekta ya uvuvi mchango wake katika uzalishaji (GDP) ni 1,000,000 * 10 = 10,000,000, na hivyo hivyo kwenye sekta nyingine zote za uzalishaji wa bidhaa na huduma.

Sasa kwa kutumia common sense tena ndogo tu Mkandara, mapato ya serikali hutokana na kodi ambazo zinatozwa katika hizo shughuli za uzalishaji au mchakato mzima wa uzalishaji. Kwa maana nyingine, mapato ya nchi ni kodi na huvunwa kwa njia moja tu - kutoza kodi katika mchakato au shughuli za uzalishaji wa bidhaa na huduma. Serikali haipokei fedha in terms of GDP. Mapato ya mauzo ya bidhaa na huduma yanaenda kwa wazalishaji, sio serikali. Wazalishaji wanatozwa kodi na hayo kuwa mapato ya serikali kwa ajili ya kutoa huduma mbali mbali za kiuchumi na kijamii. Kama uzalishaji unazaa ajira, basi income taxes zitakuwa charged na serikali; kama uzalishaji utakuwa formalized kikampuni, basi corporate taxes zitakuwa charged; same applies to VAT, taxes on exports n.k.

Ebu review hoja yako hapo chini uone jinsi gani unachanganya mambo:

"Kwa hiyo Tunapozungumzia Pato la Taifa ni jumla ya uzalishaji mzima wa mkoa na kodi ni fedha ambazo serikali imekusanya tokana na mapato ya mishahara ya watu, Corporate Tax, VAT, ushuru na kadhalika na sii jumla ya fedha zinazoendesha shughuli zote za kiuchumi. Sijui tumeelewana au bado una maswali mengine."
 
Last edited by a moderator:
Barubaru kama nia ilikuwa ni kujua kama hilo andishi nililiona/lilisoma kule facebook hilo nimejibu.

Kama nia yako ni kuzunguka zunga nani kasema lini na wapi, nasikitika kukuwambia kuwa huo muda sina. pole sana kwa hilo.. Nilikujibu kwa kuungwana tu maana nilikifiri unataka kujua ukweli.. Sasa kama unaukubali au unaukataa hilo siwezi kukulazimisha na siko hapa kumlazimisha mtu akubaliane na mimi..
Pole sana.

Na kama bandiko aliloliweka hapa Kapwela kwako wewe ni safi tena sana. hiyo imaanishi hata kwetu sisi ni safi tena sana

Je ni kweli maendeleo ya mikoa husika yanatazamwa kwa kuangalia uchangiaji katika pato la taifa? (bandiko Kapwela ndo kigezo alichotumia kwa hili swali)..

Na kama sivvyo hebu fafanua hii sentensi alikuwa anamaanisha nini hapa.

Mikoa yenye Maendeleo zaidi ni Arusha, Kilimanjaro na Dar es Salaam. Hata hivyo Kilimanjaro ni ya 9 katika kuchangia Pato la Taifa na Arusha ni ya 7"


Alinda.

Ndio maana nakwambia punguza Jazba na tulizana katika maandiko yako.

Hebu rudi nyuma tartiibu na kuangalia nini ulihitaji kutoka kwanu. Kifupi hukuuliza suala bali ulitaka ufafanuzi wa sentensi yako au nimekufahamu vibaya?


Angalia vizuri.




Sasa kama hapo husipoona swali basi miwani inakuhusu..
 
Mkandara.

Naona umefanya very good Summary. Ahsantum.

Ila palipo niacha HOI hilo hitimisho lako ambalo umeweka bayana bila kificha chochote.

Mimi siku zote nasema yale yaliyofichwa miaka nenda rudi kwa joho la ujamaa ya kugawana umasikini ndio sasa inadhwihiri.

Kabla ya Uhuru yaani wakt wa mkoloni huko Tgk mikoa kama Tanga, Morogoro na Tabora iling'ara sana na ilikuwa na uchumi wa juu sana kuliko Kilimanjaro, Arusha na hata Mwanza leo hii imerudi nyumba kibisaaaaa mpaka inatia huruma. Mimi kama mchumi nikijaribu kujiuliza wamekosea wapi mpaka kila siku hali za mikoa hii inazidi kuwa Duni na kuangalia hio mikoa inayopanda kiuchumi inafanya nini sioni zaidi ya kila mwanasiasa kukumbuka kwao.

Mimi nikiwa wizara ya fedhwa Muungano katika kitengo cha bajeti nilikuwa naoma mashinikizo ya kisiasaa katika kugawana keki ya Taifa. Sisemi mengi lakin kma Mtamuuliza Mz Cleopa Msuya au Mz wangu Edwin Mtei atafafanua mengi sana na wana uwezo mkubwa sana kuizungumzia hiyo keki yenu.

Poleni sana.


Hili ndilo swali langu:Wewe tueleze ulichoshuhudia ni nani alikuwa anatoa mashindikizo katika keki ya Taifa, na ni mikoa ipi iliyokuwa inapendelewa katika keki ya taifa na ni mikoa ipi iliyokuwa iliyokuwa inaachwa nyuma.

Kama huna majibu ni bora ufute hiyo kauli, maana unapoleta hisia bila fact ni hatari kwa taifa letu..
 
Mchambuzi.

Majibu yako haya hapa juu ni majibu mujarabu kutoka.


Tanzania Human Development Report 2014. Taarifa imesheheni kwa kweli.

Huu utafiti ni wa kisomi siyo porojo.

Majibu kwa hoja zangu zipi? ziweke hapa hoja zangu unazo maanisha, huku ukionyesha jinsi gani zinajibiwa na huo utafiti wa kisomi, hoja kwa hoja.
 
Mkandara,

Naomba nirudie tena kwamba - GDP ni thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa katika uchumi husika (taifa au mkoa), na thamani hii huzingatia bei ya sokoni (market price). Kwa mfano kama sekta ya uvuvi ilizalisha samaki milioni moja na kila samaki anauzwa shillingi kumi sokoni, basi sekta ya uvuvi mchango wake katika uzalishaji (GDP) ni 1,000,000 * 10 = 10,000,000, na hivyo hivyo kwenye sekta nyingine zote za uzalishaji wa bidhaa na huduma.

Sasa kwa kutumia common sense tena ndogo tu Mkandara, mapato ya serikali hutokana na kodi ambazo zinatozwa katika hizo shughuli za uzalishaji au mchakato mzima wa uzalishaji. Kwa maana nyingine, mapato ya nchi ni kodi na huvunwa kwa njia moja tu - kutoza kodi katika mchakato au shughuli za uzalishaji wa bidhaa na huduma. Serikali haipokei fedha in terms of GDP. Mapato ya mauzo ya bidhaa na huduma yanaenda kwa wazalishaji, sio serikali. Wazalishaji wanatozwa kodi na hayo kuwa mapato ya serikali kwa ajili ya kutoa huduma mbali mbali za kiuchumi na kijamii. Kama uzalishaji unazaa ajira, basi income taxes zitakuwa charged na serikali; kama uzalishaji utakuwa formalized kikampuni, basi corporate taxes zitakuwa charged; same applies to VAT, taxes on exports n.k.

Ebu review hoja yako hapo chini uone jinsi gani unachanganya mambo:

"Kwa hiyo Tunapozungumzia Pato la Taifa ni jumla ya uzalishaji mzima wa mkoa na kodi ni fedha ambazo serikali imekusanya tokana na mapato ya mishahara ya watu, Corporate Tax, VAT, ushuru na kadhalika na sii jumla ya fedha zinazoendesha shughuli zote za kiuchumi. Sijui tumeelewana au bado una maswali mengine."

Mchambuzi.

Jumla ya Pato la Taifa-(Gross Domestic Product - GDP) ni kipimo cha jumla ya pato la utajiri ambalo linapatikana nchini katika muda maalum. Kwa maneno mengine Pato la Taifa ni tathmini ya bidhaa zote na huduma ambazo zinaundwa na zinabadilishwa kwa fedha. Kama jumla ya thamani ya bidhaa na huduma mwaka huu ni asilimia 1% zaidi kuliko ya mwaka jana basi ukuaji wa pato la utajiri ni asilimia 1%. Lakini jumla ya pato la taifa (GDP) huacha kazi zingine za thamani ambazo zingeweza kujumuishwa – kwa mfano, uendeshaji wa kaya na familia kwa kupata nishati rahisi na maji, na pia watu kujenga nyumba zao kwa kutumia vifaa vya asilia na ustawishaji wa vyakula kwa ajili ya matumizi yao.Jumla ya Pato la Taifa-(GNP) ni sawa na jumla ya pato la taifa lakini unaongezea biashara ya ndani na biashara ya nje.
 
Last edited by a moderator:
Majibu kwa hoja zangu zipi? ziweke hapa hoja zangu unazo maanisha, huku ukionyesha jinsi gani zinajibiwa na huo utafiti wa kisomi, hoja kwa hoja.

Mchambuzi.


Njia za mapato ya serikali ni zipi?
 
Last edited by a moderator:
Mchambuzi.

Jumla ya Pato la Taifa-(Gross Domestic Product - GDP) ni kipimo cha jumla ya pato la utajiri ambalo linapatikana nchini katika muda maalum.
sio kweli. hakuna suala la pato la utajiri katika GDP. kafanye utafiti vizuri kubaina maana ya dhana hii, vinginevyo nimeshajadili sana hili.

Kwa maneno mengine Pato la Taifa ni tathmini ya bidhaa zote na huduma ambazo zinaundwa na zinabadilishwa kwa fedha.
Tupo sawa, as long as unaposema neno "zinaundwa" maana yahko ni kwamba kuna INPUT (resources) => PROCESS=> OUTPUT (products/services)...

Kama jumla ya thamani ya bidhaa na huduma mwaka huu ni asilimia 1% zaidi kuliko ya mwaka jana basi ukuaji wa pato la utajiri ni asilimia 1%.
Pato la utajiri kwa maana gani? Pia usichanganye GDP na Economic Growth. Hivi ni vitu viwili tofauti ingawa mzazi ni mmoja.

Lakini jumla ya pato la taifa (GDP) huacha kazi zingine za thamani ambazo zingeweza kujumuishwa – kwa mfano, uendeshaji wa kaya na familia kwa kupata nishati rahisi na maji, na pia watu kujenga nyumba zao kwa kutumia vifaa vya asilia na ustawishaji wa vyakula kwa ajili ya matumizi yao.Jumla ya Pato la Taifa-(GNP) ni sawa na jumla ya pato la taifa lakini unaongezea biashara ya ndani na biashara ya nje.

Asante. Umekubali kwamba GDP kama kigezo cha economic well being kina mapungufu mengi, hivyo haifai kwa Zitto kuchukulia GDP Indicator as Panacea. Kwa maana hii, umekubali kwamba zitto's approach is flawed, ni upotoshaji na uchochezi usio na maslahi kwa taifa. Nilimueleza Zakumi juu ya mapungufu ya GDP as an indicator, akakataa, nadhani atakusoma pia.

Maswali kwako:

1. Role ya serikali katika muktadha uliowasilisha hapo juu ni nini?
2. Nani ni wa kuwajibika iwapo GDP ya mkoa mmoja ni ndogo kuliko GDP ya mkoa mwingine?
3. Nani ni wa kuwajibika iwapo takwimu za GDP ya mkoa husika haziwi na mashiko kwa maisha ya wananchi walio wengi katika mkoa husika?
4. Njia ipi ni sahihi kwa wananchi wa mkoa husika kufaidika na GDP katika muktadha wao wa uzalishaji?
5. Mapato ya moja kwa moja kutoka katika uzalishaji wa bidhaa na huduma yanakwenda wapi? Unaweza kutufanyia mchanganuo?
 
Last edited by a moderator:
Mkandara,

Naomba nirudie tena kwamba - GDP ni thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa katika uchumi husika (taifa au mkoa), na thamani hii huzingatia bei ya sokoni (market price). Kwa mfano kama sekta ya uvuvi ilizalisha samaki milioni moja na kila samaki anauzwa shillingi kumi sokoni, basi sekta ya uvuvi mchango wake katika uzalishaji (GDP) ni 1,000,000 * 10 = 10,000,000, na hivyo hivyo kwenye sekta nyingine zote za uzalishaji wa bidhaa na huduma.

Sasa kwa kutumia common sense tena ndogo tu Mkandara, mapato ya serikali hutokana na kodi ambazo zinatozwa katika hizo shughuli za uzalishaji au mchakato mzima wa uzalishaji. Kwa maana nyingine, mapato ya nchi ni kodi na huvunwa kwa njia moja tu - kutoza kodi katika mchakato au shughuli za uzalishaji wa bidhaa na huduma. Serikali haipokei fedha in terms of GDP. Mapato ya mauzo ya bidhaa na huduma yanaenda kwa wazalishaji, sio serikali. Wazalishaji wanatozwa kodi na hayo kuwa mapato ya serikali kwa ajili ya kutoa huduma mbali mbali za kiuchumi na kijamii. Kama uzalishaji unazaa ajira, basi income taxes zitakuwa charged na serikali; kama uzalishaji utakuwa formalized kikampuni, basi corporate taxes zitakuwa charged; same applies to VAT, taxes on exports n.k.

Ebu review hoja yako hapo chini uone jinsi gani unachanganya mambo:

"Kwa hiyo Tunapozungumzia Pato la Taifa ni jumla ya uzalishaji mzima wa mkoa na kodi ni fedha ambazo serikali imekusanya tokana na mapato ya mishahara ya watu, Corporate Tax, VAT, ushuru na kadhalika na sii jumla ya fedha zinazoendesha shughuli zote za kiuchumi. Sijui tumeelewana au bado una maswali mengine."
Mkuu unazunguka sana pasipo sababu kabisa kwani sioni tofauti ulichoandika na nilichosema miye isipokuwa tunapishana hapo juu nilipo highlight.. Nakataa na kusema - Mapato ya Nchi sio Kodi bali kodi inatoka katika jumla ya Mapato ya nchi, kodi ni mapato ya serikali. KODI sio PATO LA TAIFA ni pato la serikali toka fungu kubwa la thamani ya Uzalishaji.

Pato la taifa haijalishi kama fedha hizo zitakwenda nje kwa mashirika yalowekeza wala kuchagua nani alofaidika kwa sababu ingeweza kuwa upande wowote ufaidike. Kodi ni pato la serikali na serikali ni sehemu ya Taifa, wananchi ni sehemu ya Taifa, wawekezaji ni sehemu ya Taifa. Pato linatokana na value of goods and servise produced sio what the government collected kwa sababu hivi vitu vinazalishwa nchini na inategemea na policies zetu tunaweza faidika nazo ama tukazitumia vibaya.

Ndio maana nimekupa mfano mdogo sana wako wewe na familia yako nikasema kama nyote mnapokea msharaha hili ndio pato lenu na mtalilipia kodi kutoka jumla ya pato hilo hivyo kosi yenu ni sehemu ya pato zima mlopata kwa kipindi cha mwezi au mwaka. Maendeleo yenu hayatokani na kodi mlolipa serikalini bali jumla ya fedha zenu zitaendesha familia, kazi unayoifanya, ununuzi wa vitu mnavyohitaji nyumbani kuendesha biashara za watu wengine ambao wanawahitaji kama cunsumer,hivyo mzunguko mzima wa fedha hizi ndio unaopelekea maendeleo ya jamii. Haijalishi kama mshahara wako nusu yake utaenda kuhonga mama chanja kisha tuseme kuwa hilo sio pato lako kwa sababu nusu ya mshahara wako hauendi nyumbani. Hayo ni maamuzi yako wewe na ipango yako lakini jkwa ujumla fedha hizo zilikuwa zako.

Na serikali kutokana na kodi zenu itawajibika kutoa huduma zake na ndipo maana sisi wananchi huishinikiza serikali juu kodi zetu tulolipa imezifanyia nini. Kitaifa mchango wa sekta zote za uzalishaji na ujumla wake ndio Pato la Taifa sio kodi tunazolipa. Kwa maana nyingine Thamani ya bidhaa za uzalishaji kwa mkoa ndimo inatoka mshahara wako, kodi yako na kadhalika..
 
Mapato ya kodi kama vile VAT, income tax etc na mapato yasiyo ya kodi kama vile tozo kwa huduma za kupata pasi za kusafiria, visa n.k.
Jibu lako nimeona VAT, na income tax tu hizo etc na n.k

Mchumi mzima unashindwa kujua mapato ya serikali yanatokana na njia zipi.

Huu kweli ni msiba, hapa kama mwanafunzi unamkwamisha.
 
Jibu lako nimeona VAT, na income tax tu hizo etc na n.k

Mchumi mzima unashindwa kujua mapato ya serikali yanatokana na njia zipi.

Huu kweli ni msiba, hapa kama mwanafunzi unamkwamisha.
Ritz,
Ni dhahiri kwamba hauwezi kupambana na hoja za kiuchumi. Utatafuta pa kupenya na ukikosa, utarudi kwenye matusi na harakati za kuhamisha goli. Ngoja nikupe shule kidogo. Serikali ina mapato kwa njia kuu mbili (mapato ya ndani ya taifa):

1. Mapato yatokanayo na kodi.
2. Mapato yasiyotokana na kodi.

*Tukianza na Mapato ya Kodi:
Haya ni pampoja na Corporate Income Tax, Personal Income Tax, Custom Duty, Excise Duty, Property Taxes, VAT na kodi nyinginezo za serikali kuu na serikali za mitaa.

*Tukija kwenye Mapato yasiyotokana na Kodi:
-Wizara ya mambo ya ndani kupitia uhamiaji na polisi (faini, ada za pasi za kusafiria etc).
-Wizara ya katiba (tozo na faini za mahakamani...).
-Wizara ya sayansi na tekinolojia (TCRA, Posta...).
-Wizara ya Viwanda na Biashara (Brela etc).
-Wizara ya uchukuzi (TCAA, TMA, TPA, ATC, TRL etc).
-Wizara ya Nishati (TPDC, EWURA etc).
-Ofisi ya Waziri Mkuu (Msajili wa vyama vya siasa etc).

Kote huku hakuna kodi inayokusanywa bali ada na tozo mbalimbali.

Mapato mengine huwa ni yale ya nje (Misaada + Mikopo) ambayo mjadala wake ni tofauti kabisa.

Nasubiri maswali yangu mengine niliyokuuliza awali.
 
Last edited by a moderator:
sio kweli. hakuna suala la pato la utajiri katika GDP. kafanye utafiti vizuri kubaina maana ya dhana hii, vinginevyo nimeshajadili sana hili.


Tupo sawa, as long as unaposema neno "zinaundwa" maana yahko ni kwamba kuna INPUT (resources) => PROCESS=> OUTPUT (products/services)...


Pato la utajiri kwa maana gani? Pia usichanganye GDP na Economic Growth. Hivi ni vitu viwili tofauti ingawa mzazi ni mmoja.



Asante. Umekubali kwamba GDP kama kigezo cha economic well being kina mapungufu mengi, hivyo haifai kwa Zitto kuchukulia GDP Indicator as Panacea. Kwa maana hii, umekubali kwamba zitto's approach is flawed, ni upotoshaji na uchochezi usio na maslahi kwa taifa. Nilimueleza Zakumi juu ya mapungufu ya GDP as an indicator, akakataa, nadhani atakusoma pia.

Maswali kwako:

1. Role ya serikali katika muktadha uliowasilisha hapo juu ni nini?
2. Nani ni wa kuwajibika iwapo GDP ya mkoa mmoja ni ndogo kuliko GDP ya mkoa mwingine?
3. Nani ni wa kuwajibika iwapo takwimu za GDP ya mkoa husika haziwi na mashiko kwa maisha ya wananchi walio wengi katika mkoa husika?
4. Njia ipi ni sahihi kwa wananchi wa mkoa husika kufaidika na GDP katika muktadha wao wa uzalishaji?
5. Mapato ya moja kwa moja kutoka katika uzalishaji wa bidhaa na huduma yanakwenda wapi? Unaweza kutufanyia mchanganuo?
Inawezekana wewe pia unachanganya vitu pia hapa.
Jumla ya Pato la Taifa-(GNP) ni sawa na jumla ya pato la taifa lakini unaongezea biashara ya ndani na biashara ya nje.Ukuaji Halisi-(Real Growth): Kwa vipengele vyote viwili jumla ya pato la utajiri (GDP) na ukuaji wa pato la utajiri (GNP), kama ukuaji ni asilimia 7% kwa mwaka, lakini mfumuko wa bei umekuwa asilimia 5% basi Ukuaji Halisi ungekuwa asilimia 2% tu kwa mwaka.

Majibu yako ni mfumo ndiyo unaotakiwa kuwajibika kama alivyosema Zitto.

Naona kwenye tafsiri halisi ya GDP hatuelewani labda nikuambie hivi.

Ni ongezeko la uzalishaji wa bidhaa za ndani ya nchi/ Gross Domestic Product (GDP) au ongezeko la bidhaa na huduma kutoka mwaka mmoja kwenda mwaka mwengine zinazotolewa na sekta mbalimbali ndani ya nchi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom