Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #461
Hapa ndipo wenzetu wanatuzidi katika uzalendo na kuangalia nchi yaoUchunguzi kwa sasa umejikita zaidi katika mambo matatu yanayomhusu Donald Trump...
- Collusion with Russia
- Obstruction of Justice
- Financial dealings (crimes)
Swali la kwanza lilikuwa, je, kulikuwa na meddling katika uchaguzi?
Jibu likawa ndiyo kwa mujibu wa Intel community na Congress kukubaliana na analysis ya IC
Swali la pili, je, meddling iliathiri uchaguzi wa 2016
Jibu: Hakuna kura iliyoathirika kutokana na meddling. Kulikuwa na majaribio katika state 21 lakini hazikufanikiwa wala kubadili matokeo. Kulikuwa na misleading info kutoka Russia
Swali la tatu, je, misleading info ziliathiri upigaji kura au mtazamo wa wapiga kura
Jibu: Hakuna ushahidi so far na utafiti unaendelea
Swali la nne, je, meddling ilifanywa kwa majaribio au ilikusudiwa?
Jibu: Ililenga katika 'kumtaka' mtu mmoja kwa gharama ya mwingine
Swali la tano, je,meddling ilifanywa na Russia pekee au kulikuwa na watu wa ndani?
Jibu: Kuna watu wa ndani ya kampeni ya Trump walikuwa na contact na Russia
Kuwa na contact pekee si kosa, kuna contact za kibiashara na deal nyingine halali
Swali la sita, je, contact hizo zilihusiana na uchaguzi kama usaidizi? (Collusion)
Jibu: Uchunguzi unaendelea wa Mueller na kamati za seneti na House
Swali la saba, je, kuhusu contact(swali la tano) kulikuwa na financial deal za kawaida au kulikuwa na financial deals zenye uhusiano na mambo ya election au quid pro quo?
Jibu: Uchunguzi unaendelea kubaini hayo
Swali la nane, je, habari zinazopatikana katika media zina ukweli na kama upo au hakuna kwanini watuhumiwa wanaficha habari au wanatoa habari za kupotosha?
Jibu: Uchunguzi unaendelea ili kubaini kama kuna obstruction of justice imefanyika na kwanini au kama hakuna kitu kama hicho