Nimeandika ameshinda blue statesMkuu Nguruvi3 ningeomba na HCL majimbo anayoshinda uwe unaandika kama ni Blue state,kama unavyoandika red state,majimbo anayoshinda Trump.
Sawa akhsante sana endelea kutuletea tarifa.Nimeandika ameshinda blue states
Tunasubiri matokeo ya battleground state na hayo tutawaletea