Naenda kwenye hoja zako Mwalimu wangu!
1.Poll zilitengenezwa na MSM...na wafuatiliaji wa mambo kuficha ukweli huu MSM hasa cnn.com walikuwa wanaficha picha za rally za 'mama'. Inasemekana wala alikuwa hajazi umati. Pia Democrats walikuwa wanaogopesha watu kuhudhuria kampeini za Trump (wala siyo za Republican maana walimsusia) kwa kuleta vurugu. Ushahidi upo.
2. wapiga kura wapya?Mkuu ebu fafanua.
3.No, mtu wa kuamini kwenye miracle hawezi kutamka kuwa wewe mwenyekiti wa chama endelea na kampeini nyingine mimi niachie kampeni ya Urais (Baada ya mwenyekiti wa Rep kususa); mtegemea miracle hawezi kutamka kuwa sitakubali matokeo kama sitashinda tena nchi yenyewe US. yule ni mfanyabiashara mzoefu, alishapiga hesabu zake vizuri alijua bila rigging anashinda na imekuwa (exposure ya rigging techniques za system za US kwa msaada wa WikiLeaks zimesaidia kuzuia wizi wa kura, kura zililindwa kwa namna hiyo; establishment, soros, wall Street elites et.al they were caught unprepared)
4.'Mama' asingepoteza majimbo ambayo alikuwa anajinasibu kuchukua mfano Penn ,nadhani convention yao ilifanyika huko. 'Mama' alikuwa hatakiwi
5.weka takwimu.
6.Wachambuzi wengi walikuwa 'paid ' for the job Kuhakikisha poll zinapata justification
====
Haya ni maoni yangu ,Nitaendelea kupitia post nyingine
..lakini Hillary amepata KURA NYINGI/POPULAR VOTES zaidi ya Trump.
..ukifuata mfumo wa uchaguzi wa Tz Hillary angekuwa mshindi.
..Sasa hii hoja kwamba Hillary alikuwa
"hatakiwi" mimi sikubaliani nayo.
..Trump alielekea kushindwa, lakini akaibuka ( closed the gap) baada ya FBI kuibua upya suala la e-mails.
..Inawezekana Hillary aliathirika na suala hilo kuliko ambavyo polls
ziliweza kuonyesha.