King Suleiman
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 496
- 328
GOP TURMOIL
BEN CARSON NAYE ALAANI
Democrats na Hillary Clinton wamekaa pembeni makusudi wakiacha GOP wajikaange kwa mafuata yao
Katika hali isiyotarajiwa, mgombea wa zamani Dr Ben Carson ambaye ni mtiifu kwa Trump amelaani tukio
Kinachozua tafrani katika sakata hili ni jinsi linavyohusishwa na Republican.
Tangu video itoke, wapiga debe wakiwemo wa GOP wamezungumzia umuhimu wa GOP kujtakasa na sakata
Ukubwa wake ni pale ulipogusa wanawake kwa ujumla wake. Inaonekana mgombea wa Republican ambaye ametiliwa shaka mara nyingi kuhusu maadili yake sasa anabeba message inayowaumiza Republican
GOP wanachokifanya ni kujitenga na kauli za Trump ili zisiwe za chama kwa ujumla
Athari zake zinaweza kwenda mbali hadi uchaguzi wa maseneta na wabunge
Kama Trump atalihusisha na Clinton hilo litakuwa kosa.
Bill Clinton hagombei Urasi, na Hillary ni victim wa mauza uza ya Bill.
Hivyo atapata sympathy ya wanawake kuliko ku balance, kama Trump anavyodhani
Lakini pia litaibua mjadala mpana wa video ya leo na kuleta uharibifu mkubwa katika mjadala wa kesho kwa upande wa Trump
Tunafuatilia kwa ukaribu hali ilivyo
Mkuu Nguruvi3, asante kwa uchambuzi makini mnaoendelea kutujuza pia shule tunaipata,
Ila nimeshangaa sana Daktari bingwa Ben Carson ni mpiga debe wake mkubwa sana Trump na hata hili swala la video bado kamtetea kwa nguvu pamoja na kulaani, yeye anaamini video imetoka kufunika emails za Clinton. Na kaenda mbali zaidi kwa kusema Trump ana wafuasi waaminifu huku Clinton ana wafuasi waiso waaminifu na kwamba uchaguzi huu Trump atashinda. Nimesoma kwenye ukurasa wake wa Facebook nimeshangaa sana.
1 hr ·
Facebook Mentions
·
The recent disclosure of lewd conversations Donald Trump had over a decade ago has caused some disillusionment among GOP stalwarts and conservative voters. In no way do I condone Trumps behavior - in fact I condemn any form of disrespect towards women. We should always honor and respect the dignity of our mothers, sisters and daughters. Even though the incident happened ten years ago, well before Trump entered the political arena, this behavior is unacceptable, especially by someone who aspires to higher office. Trump did the right thing in immediately and unequivocally apologizing.
I feel fairly certain that the progressives have had knowledge of this conversation for a long time and dropped it at this point in time in an effort too obscure the release of damaging information about Hillary Clinton and her desire for open borders. I believe that they have more material that they will release periodically up until the election to keep a negative focus on Donald Trump. They do not want to discuss the vital issues that are destroying our nation and the future of our children, because they do not have logical solutions and offer more of the same that has gotten us into this precarious situation.
Those of us who do not want to see America fundamentally devolve into something worse must be wise enough to recognize the scheme that is being played out here. We must demand not only that the issues be discussed but also that we make our decisions based on issues and not on personalities or decade old statements and behavior by Hillary Clinton or Donald Trump. The political elites and their loyal media are desperate because they are seeing the large enthusiastic crowds for Donald Trump and the meager crowds for Hillary Clinton, and they know that there will be a huge enthusiasm gap on election day.
The question is; will the political elites of both parties succeed in continuing there reign of fiscal irresponsibility and military weakness or will the people understand what is going on and will they be wise enough to thwart those efforts?