xio kwamba wote waliopata dv iv but n zile iv za mwixho
Bora idara ya elimu nayo ipewe heshima....
Ukiandika vizuri utapungukiwa nini??? Hayo mambo peleka huko fb.
Ukiandika vizuri utapungukiwa nini??? Hayo mambo peleka huko fb.
xio kwamba wote waliopata dv iv but n zile iv za mwixho
Bora idara ya elimu nayo ipewe heshima....
Bro u2mish wa ma vp hutak?
umeshatoka zamani tu mwaka huu
NI kwamba Vyuo vya Ualimu watapokea madaraja (waliofaulu kwa Div) kuanzia Div -1 hadi 3 yapoint 34 Lakii hao wenye kuanzia 32,33, na 34 wakiwa Chuoni ni lazima wafanye Mtihani wa Kidato cha IV kwa masomo aliyofeli na akifeli tena hataingia mwaka wa pili wa Kozi hiyo ya Ualimu
Wacha nisubiri tamko la serikali,maana mi hata sinaga ndugu wa necta wa kunipasha habari kama nyie mnavyopewa na ndugu zenu wa brn.
nifafanulie Mkuupoint 34 ni IV mdau