IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Majanga..
Serikali imesema kuanzia mwaka huu wanafunzi wa kidato cha nne wanaopata daraja la nne hawataruhusiwa kusomea ualimu. Watakao ruhusiwa ni wale wa daraja la kwanza hadi la tatu.
Source: ITV.
Mimi kwa upande wangu nlisoma QT, na mtihani wa form four mwaka 2013 nilipata D 2, C 1 na E 4, hiyo ni division four points 40,
Chuo gani naweza kusoma wadau msaada tafadhali.
Serikali imesema kuanzia mwaka huu wanafunzi wa kidato cha nne wanaopata daraja la nne hawataruhusiwa kusomea ualimu. Watakao ruhusiwa ni wale wa daraja la kwanza hadi la tatu.
Source: ITV.
Mimi kwa upande wangu nlisoma QT, na mtihani wa form four mwaka 2013 nilipata D 2, C 1 na E 4, hiyo ni division four points 40,
Chuo gani naweza kusoma wadau msaada tafadhali.