Duuh hata Kilimanjaro watoto wazuri wapo

Duuh hata Kilimanjaro watoto wazuri wapo

kuna watoto wazuri saana dar watasubirii miaka 100 shikamoooo moshiiii sitamani kurudi tena daslaam
Mwanaume wa Dar ktk ubora wako..

Hao huwawezi... wamezoea kula "pingi" za uhakika kwa wanaume zao wa mikoani.
 
habari wana JF

Nimekuja kilimanjaro kikazi kwa mda wa miezi 6 nitakua moshi mjini hapa sasa nina kama week 3 hivi tokea nimekuja daah yaani kuna watoto wazuri balaa yaani mtoto ukimwona tuu unadata umbo limekaa poa saana wana rangi ya mtume from dubai yaani nadata

Now kila weekend natembelea maeneno ya majengo moshi na sokoni mbuyuni na maeneo ya chuo cha ushirika kuna visuu hatarii shikamoo Kilimanjaroo yaani ni wazurii hatari kuna ambaye nimempata hapa yaani daah kila nikimuangalia nafurahi sichoki kumtazama yaani kapooole kazuuri ana rangi ya mtumee jamani daaah kametulia aisee karibuni moshi jamani kuna watoto wazuri saana dar watasubirii miaka 100 shikamoooo moshiiii sitamani kurudi tena daslaam
Nawasilisha .

Mbna km unafny promo ya mkoa
 
habari wana JF

Nimekuja kilimanjaro kikazi kwa mda wa miezi 6 nitakua moshi mjini hapa sasa nina kama week 3 hivi tokea nimekuja daah yaani kuna watoto wazuri balaa yaani mtoto ukimwona tuu unadata umbo limekaa poa saana wana rangi ya mtume from dubai yaani nadata

Now kila weekend natembelea maeneno ya majengo moshi na sokoni mbuyuni na maeneo ya chuo cha ushirika kuna visuu hatarii shikamoo Kilimanjaroo yaani ni wazurii hatari kuna ambaye nimempata hapa yaani daah kila nikimuangalia nafurahi sichoki kumtazama yaani kapooole kazuuri ana rangi ya mtumee jamani daaah kametulia aisee karibuni moshi jamani kuna watoto wazuri saana dar watasubirii miaka 100 shikamoooo moshiiii sitamani kurudi tena daslaam
Nawasilisha .
Mkuu kuandika kote huku umeweka nukta moja tu?....hata mkato hakuna?

Dah! umetisha sana,.....endelea kuwaza ngono tu.
 
Umefuata kazi au watoto wazuri,Kuwa makini mkuu watoto wazuri wapo tu na kila siku wanazaliwa..... fuata kilichokuleta hapa Moshi.
 
Ndio wale madomo zege na sidhani kama umempata wewe piga nyeto KLM maji ya kutosha bafuni ukimaliza usisahau kusafisha bafu zetu
 
Nakuunga mkono mkuu, mi nawaonaga nikitoka kanisani, ni shida
 
Back
Top Bottom