Imefikia wakati wanakosa cha kushangilia wanatafuta chochote kile cha kushangilia hata vya upuuzi Kuchaguliwa kwa Barba ni shangweHii nayo ni habari wafuasi wa simba ni wajinga Sana
Ngoja ije misukule ya GSM kina MINOCYCLINE and othersHii inaonesha jinsi gani kijana anaijua kazi yake vyema na anaaminika..sema nini ngoja waje wafuasi wa GSM..
Ona huyu msukule wa gsm!Hii nayo ni habari wafuasi wa simba ni wajinga Sana
Rage alishamaliza mzeeHii nayo ni habari wafuasi wa simba ni wajinga Sana
Hongera Inonga!View attachment 2365948
Beki wa Simba Sc Inonga Baka ameanza kwenye cha Congo kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Burkina Faso. Hii imenistua kidogo,maana kosi la Congo limeesheheni nyota
Ndo hao wanakupiga watakavyoWale wa Akudo wapo Kidimbwi sa hz 🤣🤣🤣
Harry Maguire kaanza huko mechi na ItalyView attachment 2365948
Beki wa Simba Sc Inonga Baka ameanza kwenye cha Congo kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Burkina Faso. Hii imenistua kidogo,maana kosi la Congo limeesheheni nyota
Asante mkuuHongera Inonga!
Samahani lakini, nilishatoa ufafanuzu kuhusu tofauti ya Congo na DRC. Hizi ni nchi mbili tofauti.
Inonga anacheza timu ya taifa ya Democratic Republic of Congo (DRC) na siyo nchi ya Congo
Hongera Inonga!
Samahani lakini, nilishatoa ufafanuzu kuhusu tofauti ya Congo na DRC. Hizi ni nchi mbili tofauti.
Inonga anacheza timu ya taifa ya Democratic Republic of Congo (DRC) na siyo nchi ya Congo
Wewe jamaa sikuwahi kujua kama ni punguani wa kiwango hiki. Unatupangia kusifia wachezaji wetu? Mzazi wako amezaa takataka gani hiiHii nayo ni habari wafuasi wa simba ni wajinga Sana
Kwangu mimi ni stori,inaweza isiwe kwako na kwa wengine. Hakuna wa kunipangia storiKuna vitu Okw boban sunzu unavifanya kama mtu ambaye anaanza kushabikia mpira leo.
Kwahiyo Inonga kuanza first team katika team ya Congo ndio story.?
Hajawa beki wa kwanza kuchomeshaKachomesha pia