Basi kuna watu wakiona hivi Wanaumia roho hatari, akija hapa anamaliza hasira zake kwa kuandika Nonsense.......
Mara watoto wa Diamond sio wake, ni upuuzi tu wa Waswahili Masikini, MTU aliyefanikiwa hawezi kupoteza muda wake kujadiri Upuuzi....
Hayo mapaja ya zari yanatia hamasa kupiga mechi kila saa
Well said MkuuStress za maisha zinawasumbua,watu wamejificha kwenye ID fake ila maisha halisi yamewatandika balaa wanaona kumtukana zari ndio nafuu yao.
Wanaume wazima wanamwonea wivu dai kisa kafanikiwa sana wakat hana hata elimu ya secondary,wadada wanawanamchukia zari kudaka wanaume wenye hela zao wakati wao wanaishia kutongozwa na kuchezewa na wanaume wenye hela za mawazo
Well said Mkuu
Masikini tu na watu Waliokata tamaa za Maisha ndo humsema Vibaya Diamond...
Hivi mtu aliyefanikiwa anapata wapi mda huo...
Hahahaha! Sizani kama atawekaKwa kweli....people wanapenda sana kufuatilia wenzao, aweke picha za watoto wake na ya kwake tuone na yeye tumchambue.....[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Upumbavu...
[emoji40] [emoji40]
HahahahahahTanzania kuna wachawi aisee.. Yani watu wanaloga hadharani
Hao watoto wote wanafanana na Diamond.Hawa watoto wote hawakufanana na diamond kabisa, japo hiyo sio sababu ya kuamini kuwa sio watoto wake.