DW wameelezea sababu za wamasai kufukuzwa Ngorongoro, ni ili wapewe Wawekezaji wafanye utalii wa kitajiri. Wamo Wachina

DW wameelezea sababu za wamasai kufukuzwa Ngorongoro, ni ili wapewe Wawekezaji wafanye utalii wa kitajiri. Wamo Wachina

Kwa hiyo wakisema hao kwa sababu ni wazungu ndio umeacha kufikiria kwa kichwa chako?
Kuna uongo gani hapo?kwani hatukusikia juu ya vurugu zilizokuwa zinajiri loliondo kwa watu wanaoleta ubishi kuhama?hizi njaa na ubinafsi vitawafikisha pabaya kisa unakula na kusaza unajitoa ufahamu kabisa
 
Hili suala la Ngorongoro linafanywa kisiasa sana.
Hivi kati ya mtu kujengewa nyumba alafu anapewa hatimiliki ya kiwanja chake na kuishi porini kama mnyama kipi bora?

Hivi vyombo vya kimataifa navyo vina ajenda za hovyo tu!
Shida sio kupewa nyumba.Shida nani anakuja kukaa alipotolewa masai na atafanya Nini.
Uwe Unawaza kidogo.
 
Wamasai hawaathiri makazi ya wanyama Ndio maana wakenya wanatupiga bao katika utalii. Kuna utofauti gani wa Krüger South Afrika
na Serengeti ? KRÜGER ndio mbuga kubwa afrika lakini watalii wanakuja huku ili kujionea binadamu anavyoishi in harmony na wanyama. Utalii ni engaging activities na sio tu kuangalia wanyama. Kuwafukuza Wamasai kutatufananisha na mbuga nyingi Afrika soko letu litakuwa dogo. Ila siwalaumu viongozi kwa sababu serikali zetu zinafikiria kuchota na kusepa atakayekuja muhula ujao atapambana na msala.
MASAI HAWATAONDOLEWA WOTE, KINACHOFANYIKA NI KUPUNGUZA IDADI YAO, ILI HALI IWE PROPOTIONALY.
 
Wamasai hawaathiri makazi ya wanyama Ndio maana wakenya wanatupiga bao katika utalii. Kuna utofauti gani wa Krüger South Afrika
na Serengeti ? KRÜGER ndio mbuga kubwa afrika lakini watalii wanakuja huku ili kujionea binadamu anavyoishi in harmony na wanyama. Utalii ni engaging activities na sio tu kuangalia wanyama. Kuwafukuza Wamasai kutatufananisha na mbuga nyingi Afrika soko letu litakuwa dogo. Ila siwalaumu viongozi kwa sababu serikali zetu zinafikiria kuchota na kusepa atakayekuja muhula ujao atapambana na msala.
Hawa wajinga hawawezi kukuelewa
 
Hili suala la Ngorongoro linafanywa kisiasa sana.
Hivi kati ya mtu kujengewa nyumba alafu anapewa hatimiliki ya kiwanja chake na kuishi porini kama mnyama kipi bora?

Hivi vyombo vya kimataifa navyo vina ajenda za hovyo tu!
Naona uko OP ipi dhamira ya watu kuondolewa? Ni kujengewa nyumba? Acha ujinga . Makazi ya tandale mbona hayaboreshwi? Au hifadhini tu?
 
Hili suala la Ngorongoro linafanywa kisiasa sana.
Hivi kati ya mtu kujengewa nyumba alafu anapewa hatimiliki ya kiwanja chake na kuishi porini kama mnyama kipi bora?

Hivi vyombo vya kimataifa navyo vina ajenda za hovyo tu!
Moja ya agenda ni kumfanya mbongo abaki alivyo ili kuvutia" utalii wa kumwona mbongo"..mimi sihami hii nchi..ni stressfree.
 
Nimekutana na chapisho la DW kuhusu kuhamisha wamasai Ngorongoro ambapo Serikali ya Samia inasema ni kwa ajili ya uhifadhi ila ukweli ni kwa ajili ya kuwapatia wawekezajia ambapo tiyali eneo moja wapo walipo furushwa wamsai wamepewa Wachina na eneo jingine ni Waarabu na kuna pia mpango wa kuwaondoa wamasai zaidi katika vijiji 100.

Niliwahi sema hapa na narudia tena Longido, Simanjiro zinangoja uchaguzi uishe wakabidhiwe waarabu. Muda ukifika nitakuja niapandishe hizi post zangu.

Kule KIA tiyali wamepewa waarabu wa Oman kwa miaka 99. Longido pia anapewa Mwarabu, na Simanjiro pia kuna mvutano kati ya Warabu na Wazungu ila Warabu wanaelekea watapewa Simanjiro.

Kuna fund pia zimezuiwa

Tusichoshane.
---
Life is becoming ever more difficult for Tanzania's ethnic Maasai, as a representative for the group's women told DW. She did not want her name to appear in print over concerns for her safety. Numerous representatives of the ethnic herding people have been arrested over the past several years whenever they have criticized the policies of the Tanzanian government.

"Two pregnant women recently died," said the representative. She reported that there had been heavy rain and roads were impassable. "Nearly every week there is a pregnant woman dying in the Ngorongoro Conservation Area and in Loliondo," she said. Other DW sources have confirmed the statement. The Maasai say the government of Tanzania is to blame.

Medical flights that used to transport patients to hospital emergency rooms were shut down by the government a couple of years ago, for instance, purportedly over licensing problems. Still, there are suggestions that this is simply part of a larger plan to shutter all health and education services in areas populated by the Maasai in order to get them to leave the savannah in northern Tanzania for good.

A government spokesperson abruptly ended an interview with DW when confronted with the growing health services problem.

Expanding nature preserves but at what price?
President Samia Suluhu Hassan has big plans. She intends to expand the amount of Tanzanian lands under conservation protection from 30% to 50% of the country's total territory.

Yet her plan for Tanzania is having devastating consequences. Conservation laws stipulate that no people can inhabit such areas, nor can houses, schools or hospitals be built upon them. There is one exception though — for tourism infrastructure. Existing government infrastructure currently occupying the area will simply be allowed to crumble said Joseph Oleshangay, a Maasai chief in Ngorongoro and a lawyer who has represented the Maasai people in numerous legal battles.

"On April 12, 2021, the government issued a public statement declaring its intention to demolish nine government schools, six healthcare centers, nine villages and four churches," stated the complaint filed by Oleshangay. it was successful: A court ordered the government to halt its plans. But it was to no avail, said the lawyer. "Meanwhile, we have healthcare stations without a single paracetamol for any of our children," he said.

Other sources in the area confirmed the statement, but they, too, prefer to remain anonymous.

Luxury tourism displacing cattle herders
By expanding its preserved lands, Tanzania hopes to attract billions in foreign investment as well as more tourists. Last year, more than a million people visited Tanzania's protected nature parks.

China, for instance, invested more than $9 million (€8.3 million) in a geopark in the Ngorongoro Conservation Area, named after the Ngorongoro Crater. The area was fenced in to protect tourist camps, luxury hotels and picnic areas with panoramic viewing platforms. The Maasai, whose ancestors used to live on the land, are now denied entry.

The United Arab Emirates (UAE) have also invested more than $7 billion in Tanzania. Among their investments, a hunting ground in Loliondo. Luxury lodges and an airstrip for private planes are being built to welcome wealthy sheiks flying in to hunt big game. This area, too, is being fenced in, even though it is a traditional grazing area for Maasai cattle herds during the dry season.

Tanzania's parliament is currently debating another proposal, which DW has seen, for the creation of still more protected areas.

The plan will require the removal of at least 100 further Maasai villages. That would mean a total of more than 300,000 people would be displaced say non-governmental organizations (NGO) and the affected. "If the plans are carried out, the Maasai will lose 80-90% of their traditional lands," according to Roman Herre of the German NGO FIAN, which supports the rights of the Maasai. "This would essentially amount to the total destruction of their way of life."

A new settlement far from home
In order to make way for major investors, Tanzania's government has established a settlement for the Maasai further east, in Msomera, which is located in the Handeni district. The settlement, some 600 kilometers (373 miles) from where the Maasai currently live, will feature block houses for the semi-nomadic people to dwell.

Wilson Sakulo, the commissioner responsible for the project, emphasizes that the Maasai are "voluntarily" leaving their current homelands and says it is important that they not be dissuaded by "all of the misinformation" surrounding the program.

The view of a rustic deck and pool overlooking what appear to be an empty grassland

Luxury tourist resorts have been encroaching on ancestral Maasai landsImage: watchtheworld/IMAGO
Hundreds of millions in funding frozen over human rights concerns

So far, numerous international partners have given support to Tanzania's protected areas expansion plans, including the German federal government in Berlin. For decades, Tanzania has been one of Germany's most important partners when it comes to nature conservation in Africa. In all, the German KfW Development Bank has invested nearly €30 million in Tanzanian conservation programs. A small portion of that, around €220,000, was frozen last year over concerns the Maasai could be displaced.

In April, the World Bank also suspended €150 million in tourism expansion funding to Tanzania over human rights concerns. And in June, the European Commission withdrew a project bid worth some €10 million.

Despite having reservations last year, the KfW committed another €9 million in German conservation investments in early 2024. The Development Bank clarified to DW that part of that money would go toward building a new healthcare station and schools in Maasai communities located near the protected area.

The nearby communities the bank was referring to are those into which Maasai not wanting to relocate to Msomera are being moved — meaning Berlin is indirectly financing the Tanzanian government's policy of displacing the Maasai in favor of luxury tourism and foreign investment.

This article was originally written in German.
Sasa kwani Kuna shida gani? Wamasai wanahamishwa na hawafukiswi.

Matajiri wanaleta pesa na wanatunza mazingira,Kuna tatizo kwani?
 
Nimekutana na chapisho la DW kuhusu kuhamisha wamasai Ngorongoro ambapo Serikali ya Samia inasema ni kwa ajili ya uhifadhi ila ukweli ni kwa ajili ya kuwapatia wawekezajia ambapo tiyali eneo moja wapo walipo furushwa wamsai wamepewa Wachina na eneo jingine ni Waarabu na kuna pia mpango wa kuwaondoa wamasai zaidi katika vijiji 100.
Da! Tumefikia hapa kweli?
Awamu hii mbona ukatili unazidi kutamalaki!
Wa Tanzania tusiposimama pamoja kupinga unyama huu kesho ni sisi!
 
Ujinga wenu nyinyi baadhi ya wasomi wa humu mmekuwa walaji wakubwa wa Western propaganda on Africa. Kika taarifa inayotolewa na media za Magharibi munaziamini ni za kweli na zinawatetea waafrika. Huu no ukoloni mamboleo wa dhahiri shahiri.
Kwa taarifa yenu wamagharibi wamewekeza Sana kwenye media, hadi kufikia kiwango Cha nyinyi kuwaamini Sana, ili wa push agenda zao za masilahi yao na sio masilahi yenu nyinyi weusi. Kila sehemu masilahi ya wamagharibi yanapohatarishwa, silaha ya kwanza huwa ni media. Wakitaka kugombanisha watu, silaha ya kwanza ni media. Rejea jinsi Kwame mkuruma alivyogombanishwa na raia wake miaka ya mwanzo tu ya Uhuru wa Ghana juu ya Bei ya kokoa. Rejea kadhia ya Gadafi pale Libya, rejea kadhia ya Bwawa la umeme la mwalimu Nyerere ni Hawa Hawa DW wakitaka kutia doa. Mifano ni mingi lakini tusiwape watu wengine majukumu yetu na mustakabi wetu eti tu kwasababu ni media za mataifa makubwa, uka weka much trust kwao. Hilio ni tatizo kubwa na limeharibu na linaendelea kuharibu mataifa mengi ya ulimwengu wa tatu. Mwisho wa yote sis Watanzania hatupotayari kwa propaganda hizo kuzimeza Kama zilivyo hata Kama wao ni wakubwa tunajua wapo hapo kulinda ugali wao. Labda watuvamie direct lakini sio kwa media propaganda. Kama mjerumani anataka kuwekeza huko aweke mpunga mnono na sio kuchukua bure Kama alivofanya kwa mababu zetu enzi za ukoloni.
Mjerumani hatutomwamini Tanzania mpaka atuombe msamaha kwa mauaji ya wazee wetu aliyoyafanya. Yeye amewaua wamama wajawazito na Waume na watoto wa Tanzania mamia kwa maelfu.
 
Wakati mwingine zipo tujue Kuna agenda ya kitaifa, lazima tuitazame na kuijadili kitaifa na sio kisiasa. Tunakosea Sana, kiongozi kwenye agenda ya kitaifa anaweza kukosea approach, lakini malengo yakawa mazuri lakini ukosoaji usiwekwe kwenye sura ya kisiasa. Alifanya Lisu kwenye sakata la makanikia juu ya mikataba ya ACACIA na serikali wakati mzee Magu anahangaika kuikwamua nchi kwenye minyororo Lisu anasimama hadharani na kutoa mapungufu ya approach za Magu, Jambo ambalo lilikuwa linakwamisha juhudi, hata kama kulikuwa na makosa Lisu hakukosa njia ya kumfikia Magufuli akamweleza mapungufu ya approach yake. Lakini Lisu aliona mapungufu Yale Kama fursa ya yeye kujitanua kisiasa. Sasa sisi wananchi wa Siku hizi hatupo hivo. Humu jamiiforum sio wote ni wanasiasa ila sisi wengine tupo humu kupata habari zenye agenda ya kitaifa, na fursa mbalimbali za kusogeza mbele maisha yetu. Sio umbea.
 
Ujinga wenu nyinyi baadhi ya wasomi wa humu mmekuwa walaji wakubwa wa Western propaganda on Africa. Kika taarifa inayotolewa na media za Magharibi munaziamini ni za kweli na zinawatetea waafrika. Huu no ukoloni mamboleo wa dhahiri shahiri.
Kwa taarifa yenu wamagharibi wamewekeza Sana kwenye media, hadi kufikia kiwango Cha nyinyi kuwaamini Sana, ili wa push agenda zao za masilahi yao na sio masilahi yenu nyinyi weusi. Kila sehemu masilahi ya wamagharibi yanapohatarishwa, silaha ya kwanza huwa ni media. Wakitaka kugombanisha watu, silaha ya kwanza ni media. Rejea jinsi Kwame mkuruma alivyogombanishwa na raia wake miaka ya mwanzo tu ya Uhuru wa Ghana juu ya Bei ya kokoa. Rejea kadhia ya Gadafi pale Libya, rejea kadhia ya Bwawa la umeme la mwalimu Nyerere ni Hawa Hawa DW wakitaka kutia doa. Mifano ni mingi lakini tusiwape watu wengine majukumu yetu na mustakabi wetu eti tu kwasababu ni media za mataifa makubwa, uka weka much trust kwao. Hilio ni tatizo kubwa na limeharibu na linaendelea kuharibu mataifa mengi ya ulimwengu wa tatu. Mwisho wa yote sis Watanzania hatupotayari kwa propaganda hizo kuzimeza Kama zilivyo hata Kama wao ni wakubwa tunajua wapo hapo kulinda ugali wao. Labda watuvamie direct lakini sio kwa media propaganda. Kama mjerumani anataka kuwekeza huko aweke mpunga mnono na sio kuchukua bure Kama alivofanya kwa mababu zetu enzi za ukoloni.
Mjerumani hatutomwamini Tanzania mpaka atuombe msamaha kwa mauaji ya wazee wetu aliyoyafanya. Yeye amewaua wamama wajawazito na Waume na watoto wa Tanzania mamia kwa maelfu.
Propaganda zinaonekana wazi wazi na ukweli unaonekana wazi wazi. Ni mchango gani Mwarabu na Mchina ametoa katika uhifadhi wa utalii hapa Tanzania ? Tuna chuo bora cha utalii Mwaka. Nani anakifadhili hicho chuo. Katika kurudisha idadi ya Faru mbugani huu miradi ulifadhiliwa na nani ? Huyu ni rais anachojali ni kuuza kila kitu maisha yaende. Msala anawaachia watakaokuja.

Kuhusu kuombwa msamaha na Ujerumani ni ujinga. Ma nigger hayaendelei Marekani kwa sababu wana fikra kwamba wanatakiwa kulipwa kwa ajili ya mateso ya mababu zao. Toka mwaka huu uanze wanavamia maduka na kuiba. Wakipewa food stamps wanatulia. Wanalalamika inabidi wapewe hela kila mwezi kulipiza mateso ya mababu zao.
 
Wasukuma wamehamishwa sana kupisha migodi,na mchango toka sekta ya madini ukakua,wamasai wapishe tupate hela, wamasai siyo spesho
Wasukuma wanaamishwa toka wilaya moja kwenda nyingine na si mkoa mmoja kwenda mwingine.
 
Back
Top Bottom