e-GA inahujumiwa

e-GA inahujumiwa

Hawa watu bado sana, halafu inaonekana huyu yeye hata hajui hio mifumo imetengenezwa vipi
Ni kweli wanasource ujingaujinga kwa vile ipo mtandaoni wanadhani basi inawezekana
Ndio maana Microsoft au Google wanashindwa kufungua ofisi hapa, sababu wakiambiwa gharama za AWS au Azure, watajifanya kuwa wao wataleta mfumo rahisi ndio wanaenda kuokoteza mitandaoni kama project ya chuo
Ukipewa ajira unaanza kuruka ruka, unaongea kwasababu haupo ndani ya mfumo wa ajira. Mapungufu ya hii serikali yetu ni budget ndogo, 10%. Watendaji au Wafanyakazi wapo vizuri sana tena sana kuliko nyie wapiga zumari wa mitandaoni.
 
Hii ni single source tender, ili bidi iwe international competitive tender na iwe hadi 5 stage tender. Hapo wana deal na taarifa nyeti.

Ingekuwa international competitive tender NMB asingeweza kushinda hata hivyo NMB ana deal na pesa sasa kama anadeal pia na technology basi watuwekee hadharani business license tuione pia [emoji16]. Maana all current registered business tunazijua, kuna mafile na mafile yapo stored somewhere huko.
Hapa umeeleweka mkuu. Basi,wanaojua kuchakachua wamefanya yao.
 
Yule mama Wakudadavua X-Chadema jamani yupo atakuwa na watoto wangapi Sasa X-Nàibu Waziri
Duu kuwa uyaone Dunia Duara
 
Hujui unachokiongea?
yaani kisa ni NMB msign kuipa billions of money kutengeneza mifumo ambayo tayari ipo serikalini?
ESB ipo up and running pale e-GA ,unataka kutengeneza nyingine ili ugundue nini?
watu wanapiga hela mnaendekeza unazi
Serikali na Bank nani anafanya vetting ya kutisha?

Umewahi fanya kazi Bank?

Unazijua Internal control za mabenki?

Mkuu tumia akili ,Hivi hayo mabilioni ya fedha za serikali si yanakaa NMB na CRDB unadhani wana mifumo dhaifu?
 
Kwani,kama ni open tender, na NMB ina watu wanaoweza kufanya hiyo kazi, tatizo lipo wapi?
Kama unadai issue ya taarifa nyeti, nani hawezi kuzifikia kama ni successful bidder(aliyeshinda tender)! Au unadhani kila developper anaweza kufanya hiyo kazi?
Tatizo NMB si taasisi ya teknolojia iliyo rasmi kwa mkataba waliosaini. Leseni yao ni kuuza fedha.

Huwezi kusema kwa kuwa huyu ni daktari akapasue moyo. Kuna madaktari wengine ni wa vinywa tu. Atatuua.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Wewe kichwa maji sana 40% ndio inakufanya uamini NMB apewe hiyo kazi?

-Wafanyakazi wa NMB wanalipwa na kuajiriwa na nani? What's the vetting process?
-sera ya usiri katika kazi NMB ipoje
-NMB ni taasisi ya kifedha, inawezekana vipi wapewe kazi ya mifumo ya kielectronic wakati business line yao ni kudeal na fedha na sio technology.
-Kumbuka mwenye hisa kubwa ndiye muamuzi mkuu, sasa serikali itaweza kusema nini kuhusu mambo yakienda tofauti?

Moja, tunaitaka NMB na SERIKALI watuwekee business license kwamba NMB pia wana deal na kuendesha biashara au huduma za kiteknilojia

Pili, mfumo wa ega unahusisha malipo na huduma mbalimbali kwa serikali, hivyo serikali ituhakikishie kuwa hakuna taarifa au malipo yatakayochepushwa kwenda NMB.

Tatu, sasa ni wakati wa ofisi ya CAG watumishi wake wachaguliwe hasa Chief officer asiteuliwe na rais ili awe huru kupitia na kukagua taasisi mbalimbali.

NB. Kuna mfumo wa malipo serikalini GePG hasa upande wa manunuzi ya umeme kuna wizi wa uchepushaji fedha za manunuzi ya umeme unafanyika huko, yaan ni kufuru huko hatari.
Aiseee, ndo zinachepushwaje hizo hela za manunuzi ya umeme?
 
Sasa mnataka mtengeneze mifumo ya fedha kwa kutumia open source application ambazo usalama wake ni tia maji,
Mnadhani kwa vile unajua kutengeneza basi, kila kitu kinawezekana kama vile ulivyofanya project yako ya chuo
NMB ni taasisi binafsi je usalama wa serkali mtandao unalindwa kwa namna gani? Issue si ujuzi kama hakuna wataalam serkali si ikasomeshe watu wa ndani?. NMB anapokuja unadhani wataalam ni hawa akina Mwaipopo? Ni watu wa nje ambao ndio watatengeneza hiyo mifumo kupitia tenda ya serkali na taasisi hiyo. Ovyo kabisa
 
Wanahisa wengine wakiwemo watu binafsi na makampuni/mashirik yao.... 🤔
Sioni shida

Core business ya eGA siyo development ya mifumo

Yeye ni regulator

What we need ni strong regulation and protection ha mifumo inayotengenezwa
 
Sioni shida

Core business ya eGA siyo development ya mifumo

Yeye ni regulator

What we need ni strong regulation and protection ha mifumo inayotengenezwa
Nilikuwa namtaarifu Ivan Stepanov #11 aliyehoji 60% inamilikiwa na nani kama Serikali ina 40%.
Otherwise, wataalamu wa IT serikalini ni shida. Ndio maana mifumo yote ya Serikali iliyowahi kubuniwa na iliyopo haifanyi kazi kwa viwango....
Angalau mabenki kwenye IT yanajitahidi Lakini haiwezi kuhalalisha NMB kufanya kazi zisizowahusu. Single source hii haiwezi kuwa tofauti na ile ya ujenzi wa reli ya SGR.
 
Sasa huyo GEPS unauona ni mfumo wa maana sana? Unahitaji exposure sana.
Mfumo kama 3 year project ya watoto wa chuo
Unajua unacho kiongea Bro? Sometimes bora kukaa,kimya mfumo unaopitisha matilion ya shillingi ufananishe na mfumo wa final Yr project ya mwanafunzi wa chuo......?

Halafu sio GEPS ni GEPG.
 
Miezi takribani sita imepita niliandika juu ya njama za viongozi waandamizi wa serikali kuihujumu mamlaka ya serikal mtandao(e-GA). Mipango ya e-GA kuzuiwa kufanya majukumu ya uundaji wa mifumo ya serikali ili waandamizi watafute kampuni binafsi kufanya hayo imeanza kufanikiwa.

Leo Wizara ya TEHAMA imeingia makubaliano na NMB ili NMB iwe inalipwa na serikali kutengeneza mifumo ya TEHAMA ya serikali.

Kwa mujibu wa MOU iliyo sainiwa leo , NMB atatoa wataalamu wa TEHAMA(Software developers) kutengeneza mfumo utakao replace NIDA na RITA ,kama mnavyofahamu ,serikali inakuja na jamii number ,namba ambayo mtoto akizaliwa atakuwa nayo na atakua nayo ,initiative nzuri sana lakiniiiii, kulikua na ulazima gani wa mradi nyeti kama huu kupewa taasisi binafsi? wafanyakazi wa NMB wana proper vetting kuanza kushika mifumo ya siri namna hii?

Achana na jamii bima, ESB ambayo tayari ipo e-GA na inafanya kazi, Wizara ya TEHAMA imeamuru NMB kupewa tender kupitia MOU hio wao ndio watengeneze ESB ya serikali, yaani mawasiliano ya mifumo yote ya serikali ananyang'anywa e-GA na anapewa NMB why?

Hivi nchi hii tuna mawaziri wanaofikiria kweli? Haya ndio mambo ya waziri alikuja na kufuta physics akasema iwe physics with chemistry, waziri huyo wa zamani alifuta masomo ya biashara na kilimo pia kabla ya serikali ku reverse maamuzi hayo, lakini kama mnakumbuka kuna watanzania walifutiwa masomo hayo.

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa maslahi ya nani?

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa kumkomoa nani?



View attachment 2883959
Share holders wa NMB ni nani? Je Serikali haipo? na kama ipo huu uzi ni void!! Futa fasta kulinda heshima yako.
 
Hawa watu bado sana, halafu inaonekana huyu yeye hata hajui hio mifumo imetengenezwa vipi
Ni kweli wanasource ujingaujinga kwa vile ipo mtandaoni wanadhani basi inawezekana
Ndio maana Microsoft au Google wanashindwa kufungua ofisi hapa, sababu wakiambiwa gharama za AWS au Azure, watajifanya kuwa wao wataleta mfumo rahisi ndio wanaenda kuokoteza mitandaoni kama project ya chuo
Bora utengeneze mifumo ya kuunga unga kupitia watu wako ambao watakua kidogo kidogo,kuliko kutumia mifumo ya nje, kwani hujui usalama wa data zako.Makampuni mengi makubwa serikali zao zina backdoor kwenye hizo taasisi,so wakitaka kutindua wana tindua. Dunia hii ya sada information/data ni power,so huwezi kumpa mtu data zako akuhifazie ambaye,humjui,haujamfanyia vetting, wala ambaye hajala kiapo.

Wewe unafikiri hayo makampuni makubwa yalianza na kukimbia ghafla?Si walianza kwa kukaa,then wakasimama,wakatembea then wakakimbia. Wewe jiulize kwa nini Kompyuta ya kwanza ilikuwa kama kabati,je walishwa kutengeneza kama hizi tulizo nazo sasa?

Hivi unazania huko Kenya kwenye hayo makampuni makubwa ya IT,ambao wamefungua ofisi, unazani serikali imehost au kuiweka hiyo mifumo yao kwenye platforms zao? Ukiiona serikali imehost service kwenye hizo platforms, jua huo mfumo sio critical. Huwezi kuweka mfumo ambao ni critical kwenye clouds na hamna serikalini yoyote duniani inayofanya hivyo. Kenya wana taasisi yao kama eGa kwa ajili ya mifumo yao critical na watu wanayo itengeneza wamewafanyia vetting, wamewaapisha na still wanawafuatilia.

Msifanye masihala na taarifa nyeti za serikali.
 
Back
Top Bottom