e-GA inahujumiwa

e-GA inahujumiwa

Wanatengeza mfumo ambao upo tayari. Mfumo huo upo, kazi ya NMB kutengeneza mfumo huo ya nini tena? Mtoa mada anahoja.
Thank you

Hoja ni uhitaji wa mfumo au la

Alipoingiza hujuma ikaleta bias
 
Yaani NMB wanasema wenyewe kabisa ,wameruhusiwa na Nape kuunda ESB
kwanza Serikalini kuna ESB tayari ipo e-GA
BOT kwa mifumo ya fedha ana TIPS(Tanzania instant payment system) ipo na inafanya kazi ,banks na mobile monye wanapitia hapo
sasa unataka kutengeneza exchange system nyingine ya kazi gani?



View attachment 2885201
Ni ufisadi tu mkuu hakuna jingine. Huyu mama wanamuona kama ndizi tu mbele ya ngedere.
 
Mleta mada amepotosha kwa makusudi. Ni mjinga fulani anaye nufaika na ubabaishaji wa eGA. Hawa machawa wa eGA ni wanafiki, waoga ambao wanataka kila kitu kifanywe na eGA wakati hawana uwezo. Wanajificha kwenye mgongo wa sheria badala ya kufanya kazi kitaalamu. Tafuteni msingi wa hiyo MoU mjue nini kinataka kufanyika.

Na nyie wana JF msiwe mna support vitu msivyo vijua. Tafuta information kwanza kabla ya kulaumu.
Mkuu unaweza kutuwekea hapa hiyo MoU?
 
Miezi takribani sita imepita niliandika juu ya njama za viongozi waandamizi wa serikali kuihujumu mamlaka ya serikal mtandao(e-GA). Mipango ya e-GA kuzuiwa kufanya majukumu ya uundaji wa mifumo ya serikali ili waandamizi watafute kampuni binafsi kufanya hayo imeanza kufanikiwa.

Leo Wizara ya TEHAMA imeingia makubaliano na NMB ili NMB iwe inalipwa na serikali kutengeneza mifumo ya TEHAMA ya serikali.

Kwa mujibu wa MOU iliyo sainiwa leo , NMB atatoa wataalamu wa TEHAMA(Software developers) kutengeneza mfumo utakao replace NIDA na RITA ,kama mnavyofahamu ,serikali inakuja na jamii number ,namba ambayo mtoto akizaliwa atakuwa nayo na atakua nayo ,initiative nzuri sana lakiniiiii, kulikua na ulazima gani wa mradi nyeti kama huu kupewa taasisi binafsi? wafanyakazi wa NMB wana proper vetting kuanza kushika mifumo ya siri namna hii?

Achana na jamii bima, ESB ambayo tayari ipo e-GA na inafanya kazi, Wizara ya TEHAMA imeamuru NMB kupewa tender kupitia MOU hio wao ndio watengeneze ESB ya serikali, yaani mawasiliano ya mifumo yote ya serikali ananyang'anywa e-GA na anapewa NMB why?

Hivi nchi hii tuna mawaziri wanaofikiria kweli? Haya ndio mambo ya waziri alikuja na kufuta physics akasema iwe physics with chemistry, waziri huyo wa zamani alifuta masomo ya biashara na kilimo pia kabla ya serikali ku reverse maamuzi hayo, lakini kama mnakumbuka kuna watanzania walifutiwa masomo hayo.

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa maslahi ya nani?

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa kumkomoa

Miezi takribani sita imepita niliandika juu ya njama za viongozi waandamizi wa serikali kuihujumu mamlaka ya serikal mtandao(e-GA). Mipango ya e-GA kuzuiwa kufanya majukumu ya uundaji wa mifumo ya serikali ili waandamizi watafute kampuni binafsi kufanya hayo imeanza kufanikiwa.

Leo Wizara ya TEHAMA imeingia makubaliano na NMB ili NMB iwe inalipwa na serikali kutengeneza mifumo ya TEHAMA ya serikali.

Kwa mujibu wa MOU iliyo sainiwa leo , NMB atatoa wataalamu wa TEHAMA(Software developers) kutengeneza mfumo utakao replace NIDA na RITA ,kama mnavyofahamu ,serikali inakuja na jamii number ,namba ambayo mtoto akizaliwa atakuwa nayo na atakua nayo ,initiative nzuri sana lakiniiiii, kulikua na ulazima gani wa mradi nyeti kama huu kupewa taasisi binafsi? wafanyakazi wa NMB wana proper vetting kuanza kushika mifumo ya siri namna hii?

Achana na jamii bima, ESB ambayo tayari ipo e-GA na inafanya kazi, Wizara ya TEHAMA imeamuru NMB kupewa tender kupitia MOU hio wao ndio watengeneze ESB ya serikali, yaani mawasiliano ya mifumo yote ya serikali ananyang'anywa e-GA na anapewa NMB why?

Hivi nchi hii tuna mawaziri wanaofikiria kweli? Haya ndio mambo ya waziri alikuja na kufuta physics akasema iwe physics with chemistry, waziri huyo wa zamani alifuta masomo ya biashara na kilimo pia kabla ya serikali ku reverse maamuzi hayo, lakini kama mnakumbuka kuna watanzania walifutiwa masomo hayo.

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa maslahi ya nani?

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa kumkomoa nani?



View attachment 2883959
eGa wako vizuri sana zaidi ya Sana, tunatumia Software zao kama ERMS, GMS, GISP, na MAJIIS. eGA moja la shirika Bora Sana la Kitehama Tanzania na Afrika Masharikii. Kama kuna mtu alishawahi tumia mfumo wa MAJIIS na ERMS atanielewa nini na maanisha.
 
Unajua unacho kiongea Bro? Sometimes bora kukaa,kimya mfumo unaopitisha matilion ya shillingi ufananishe na mfumo wa final Yr project ya mwanafunzi wa chuo......?

Halafu sio GEPS ni GEPG.
Final year project iliganishwe na GEPG, haki ya Mungu wabongo tunadharau sana. eGA moja ya taasisi bora Tanzania na Afrika Mashariki. MAJIIS na ERMS mifumo bora Afrika Masharikii.
 
hawana uzoefu wowote kwa kutengeneza software kama vijana wa E-GA
Acha uongo, CAG kasema e-Ga hawajawahi test mifumo yao kupima usalama dhidi ya udukuzi ndio uwalinganishe na IT wa mabenki? Get serious
 
eGa wako vizuri sana zaidi ya Sana, tunatumia Software zao kama ERMS, GMS, GISP, na MAJIIS. eGA moja la shirika Bora Sana la Kitehama Tanzania na Afrika Masharikii. Kama kuna mtu alishawahi tumia mfumo wa MAJIIS na ERMS atanielewa nini na maanisha.
Duh kumbe unajua kuliko CAG? Mbona amesema e-Ga is trash
Screenshot_20240127_192001_Chrome.jpg
 
umesema ukweli mtupu ,tusipowaamini vijana wetu tukawa tunaendekeza 10% tunaua innovation ya vijana wetu,leo hii mtu anadiriki kubeza mifumo kama ya GEPG kweli?

unaijua ERMS?
huenda unasema hayo kwa kua huna uzoefu wa mifumo ya serikalini
mfumo wa ERMS umetengenezwa na e-GA 100% ambao ni ERP pure.
Procurement system imetengenezwa na e-GA , single window ya bandari imetengenezwa na e-GA etc na etc.
Leo kuna watu huko TRA wamefanya kama hawa wizara ya TEHAMA.
TRA wameleta wakorea kufanya mfumo ambao upo tayari ,yaani nchi hii watu wanagawana keki bila aibu .
wakishagawana wanawatuma ninyi kuja kujamba huku
ERMS na MAJIIS ni kiboko, shida sisi wabongo tunadharau vya kwetu. MAJIIS Ni mfumo Bora wa Bili za maji Tanzania. Mamlaka zote za maji zinatumia huo mfumo wa Majiis. Tatizo watu wanabisha sababu hawajawahi kutumia hii mifumo. Naweza sema EGA ni Taasisi ya Tehama Bora Africa
 
Nataka @zitto junior na wenzako mniambie ,wazee wenu walipoamua kula 10% na kuamua kuipa NMB tender ya kutengeneza mifumo ya ESB na jamii bima , waliongea na e-GA lini kuhakiki juu ya existence ya mifumo?
sheria inasema kwa taasisi ya serikali sio binafsi , inayotaka kutengeneza mfumo yenyewe bila kuihusisha e-GA , lazima ifuate sheria iliyo hapo chini , ihakikisha hakuna mfumo serikalini unaofanya hio kazi ili kuepusha duplication, leo ESB ipo lakini waziri na watu wake wamekuala 10% wamewapa NMB tender
Sio kweli, mbona NMB na e-Ga wana partnership kitambo tu na wamefanya miradi kadhaa pamoja. In fact ni hao e-Ga ndio walitangaza nia ya kufanya kazi na NMB
e-GA | Habari.
Pili NMB anatengeneza jamii number system kama nani?
Kama partner wa e-Ga na pia kampuni yenye uzoefu kuhandle miamala ya kielectronic kwa zaidi ya wateja milion 2 nchi nzima, pia wana data center ya kisasa yenye wabobezi wa machine learning n.k. na kuna ubaya gani kampuni ambayo serikali ni one of the two major shareholders ikipewa tender? Je wangepewa kampuni binafsi kama Vodacom si ndio mngelaani kabisa.
 
Sio kweli, mbona NMB na e-Ga wana partnership kitambo tu na wamefanya miradi kadhaa pamoja. In fact ni hao e-Ga ndio walitangaza nia ya kufanya kazi na NMB
e-GA | Habari.
Kama partner wa e-Ga na pia kampuni yenye uzoefu kuhandle miamala ya kielectronic kwa zaidi ya wateja milion 2 nchi nzima, pia wana data center ya kisasa yenye wabobezi wa machine learning n.k. na kuna ubaya gani kampuni ambayo serikali ni one of the two major shareholders ikipewa tender? Je wangepewa kampuni binafsi kama Vodacom si ndio mngelaani kabisa.
Tuko very emotional bila analysis

Thanks for sharing
 
Hawa watu bado sana, halafu inaonekana huyu yeye hata hajui hio mifumo imetengenezwa vipi
Ni kweli wanasource ujingaujinga kwa vile ipo mtandaoni wanadhani basi inawezekana
Ndio maana Microsoft au Google wanashindwa kufungua ofisi hapa, sababu wakiambiwa gharama za AWS au Azure, watajifanya kuwa wao wataleta mfumo rahisi ndio wanaenda kuokoteza mitandaoni kama project ya chuo
Wanacomment kuhusu tasnia wasizozielewa.
Tena wanatumia open sourced kuna wengine wanatumia pirated kabisa.
 
Unajua unacho kiongea Bro? Sometimes bora kukaa,kimya mfumo unaopitisha matilion ya shillingi ufananishe na mfumo wa final Yr project ya mwanafunzi wa chuo......?

Halafu sio GEPS ni GEPG.
Kupitisha trillion sio ishu ishu ni are they secured. Mara ngapi umesikia pesa zimechepushwa na ni mara ngapi umesikia bank ya NMB wamepigwa hela?
 
Bora utengeneze mifumo ya kuunga unga kupitia watu wako ambao watakua kidogo kidogo,kuliko kutumia mifumo ya nje, kwani hujui usalama wa data zako.Makampuni mengi makubwa serikali zao zina backdoor kwenye hizo taasisi,so wakitaka kutindua wana tindua. Dunia hii ya sada information/data ni power,so huwezi kumpa mtu data zako akuhifazie ambaye,humjui,haujamfanyia vetting, wala ambaye hajala kiapo.

Wewe unafikiri hayo makampuni makubwa yalianza na kukimbia ghafla?Si walianza kwa kukaa,then wakasimama,wakatembea then wakakimbia. Wewe jiulize kwa nini Kompyuta ya kwanza ilikuwa kama kabati,je walishwa kutengeneza kama hizi tulizo nazo sasa?

Hivi unazania huko Kenya kwenye hayo makampuni makubwa ya IT,ambao wamefungua ofisi, unazani serikali imehost au kuiweka hiyo mifumo yao kwenye platforms zao? Ukiiona serikali imehost service kwenye hizo platforms, jua huo mfumo sio critical. Huwezi kuweka mfumo ambao ni critical kwenye clouds na hamna serikalini yoyote duniani inayofanya hivyo. Kenya wana taasisi yao kama eGa kwa ajili ya mifumo yao critical na watu wanayo itengeneza wamewafanyia vetting, wamewaapisha na still wanawafuatilia.

Msifanye masihala na taarifa nyeti za serikali.
Kutumia NMB ni kutumia mifumo ya nje?
Hiyo mifumo inayotengenezwa na wazawa kwanza inarun kwenye operating system za nje, inatengenezwa kwa programming language za nje? Hardware zake na storage zake ni za nje. Networking devices zote ni za nje.
 
bahati mbaya sana hujataka kuangalia e-GA wanachokifanya , wana produce best software na nina uhakika una image ya mifumo ya serikalini miaka 10 iliyopita huna experience latest ya mifumo ya serikali
Mkuu unaweza taja mfumo wao wowote ambao uko stable na hauna ushirikiano na private company?
 
Back
Top Bottom