e-GA inahujumiwa

e-GA inahujumiwa

Hela inapigwaje? Maana mkataba ukitolewa si pesa inaingia NMB ambapo 40% ni hisa za serikali, bado 30% ni kodi ya Corporate sasa serikali inahujumiwaje au pesa zinapigwa vipi hapo?

Jenga hoja vizuri ueleweke
bado junior sana serikalini kijana na itanichukua miezi kukuelekeza.
 
Inakua upigaji kama kazi haiendani na bei mnayopewa ila eti kulipa kampuni ikuundie mfumo inageukaje ufisadi?

Kuna mentality za ujamaa zinatutesa sana kwamba kuiba kampuni binafsi kazi ni ufisadi? Hamhoji ufanisi, ubora n.k as if kazi wakipewa taasisi ya serikali basi hawatoiba? e-Ga huko mbona ufanisi upo chini sana hata CAG alisema.

Tuache mawazo ya kizamani uchumi wa sasa ni private sector driven.
kijana una uelewa mdogo sana wa mausala ya usalama wa nchi, majasusi wa kigeni hutafuta loope holes za kuingiza watu wao kwenye maeneo nyeti ya serikali , yaani nchi inafanya vetting kwenye taasisi kama e-GA ili isihujumiwe then kuna mtu mwenye akili za kutafuta pesa za kampeni ,anahongwa ili mifumo ambayo ina genesis ya uraia wa nchi itengenezwe NMB?
Kwamba NMB kesho wanaambiwa watengeneze mfumo wa NEC kumanage kura za nchi na wewe unakenua meno unachekelea tu?
mlikunywa maziwa ya punda utotoni nyie sio bure , mnaona jambo la kawaida ?
Waziri wa TEHAMA amesha kula pesa NMB amewapa tender ili apate pesa za kampeni za uchaguzi wake mwenyewe sasa nakuambia siku zenu zinahesabika huu ni ujinga na uzalendo wa kijuha
 
View attachment 2884753
Kumbe hata control hawana hao eGa!! very incompetent ila bado watu wanakosoa NMB kupewa kazi.

Ni sawa na sasa ambapo halmashauri zimeshindwa kutoa mikopo ile ya asilimia 10 ila siku NMB wakipewa hiyo kazi kusimamia mikopo utashangaa mapovu kibao.
Siasa za kuiua e-GA zimeanza muda na ndio maana hata hio audit report uliyo quote ilikua part of the big plan ,ili wanasiasa waje waseme e-GA hawana uwezo .
Kama kweli e-GA angekua hana uwezo lingetafutwa kampuni ambalo kazi yake ni kutengeneza software ,yaani NMB ambaye kazi yake mama ni kutunza pesa na kuuza pesa unampa kazi kubwa ya kutengeneza mifumo ya nchi ?
hivi una akili timamu kweli?
wazee wenu wakisha hongwa 10% wanachukua 0.005% wanawapa mje kuwatetea hapa ,rubish
 
Nataka zitto junior na wenzako mniambie ,wazee wenu walipoamua kula 10% na kuamua kuipa NMB tender ya kutengeneza mifumo ya ESB na jamii bima , waliongea na e-GA lini kuhakiki juu ya existence ya mifumo?
sheria inasema kwa taasisi ya serikali sio binafsi , inayotaka kutengeneza mfumo yenyewe bila kuihusisha e-GA , lazima ifuate sheria iliyo hapo chini , ihakikisha hakuna mfumo serikalini unaofanya hio kazi ili kuepusha duplication, leo ESB ipo lakini waziri na watu wake wamekuala 10% wamewapa NMB tender
Pili NMB anatengeneza jamii number system kama nani?
Mfumo ambao uhamiaji watautegemea kuverify uraia wa mtanzania tunawapa NMB? bullshit


e-GA1.png
 
Waziri wa TEHAMA mhe Nape amekanyaga mamlaka ya waziri mwenzake wa ofisi ya rasi Utumishi
Sheria na kanuni hizi hapa, nyie wengi wenu mnajua kusoma na kuandika , angalieni hizi sheria mnieleze wapi Waziri Nape anapata mamlaka ya kuipa NMB utengenezaji wa mifumo ya serikali?
sheria na kanuni zinakataa
 

Attachments

Yaani NMB wanasema wenyewe kabisa ,wameruhusiwa na Nape kuunda ESB
kwanza Serikalini kuna ESB tayari ipo e-GA
BOT kwa mifumo ya fedha ana TIPS(Tanzania instant payment system) ipo na inafanya kazi ,banks na mobile monye wanapitia hapo
sasa unataka kutengeneza exchange system nyingine ya kazi gani?



1706389799586.png
 
Haya angalieni hapa Nape anawapa NMB watengeneze mfumo utakao kua unatoa namba kama za NIDA na passport number bila kusahau leseni namba.
Yaani mfumo wa ku generate passport namba za uhamiaji tunampa NMB?
maana yake wanaweza kutengeneza hata passport maana namba wana generate wao,
Ni waziri asiye fikiria vyema pekee ndiye mwenye kuweza kukanyaga sheria na kanuni za kuanzishwa e-GA na kuweka 10% mfukoni na kuuza taarifa za taifa zima kwa taasisi binafsi.
stupid , very stupid ,sijawahi ona.
Ndio maana mkuu wa majeshi alisema kuna wahamiaji wana nafasi za uteule ,kama mtu sio mkimbizi au spy wa taifa la kigeni utafanyaje maamuzi ya hovyo namna hii


1706389972377.png
 
Miezi takribani sita imepita niliandika juu ya njama za viongozi waandamizi wa serikali kuihujumu mamlaka ya serikal mtandao(e-GA). Mipango ya e-GA kuzuiwa kufanya majukumu ya uundaji wa mifumo ya serikali ili waandamizi watafute kampuni binafsi kufanya hayo imeanza kufanikiwa.

Leo Wizara ya TEHAMA imeingia makubaliano na NMB ili NMB iwe inalipwa na serikali kutengeneza mifumo ya TEHAMA ya serikali.

Kwa mujibu wa MOU iliyo sainiwa leo , NMB atatoa wataalamu wa TEHAMA(Software developers) kutengeneza mfumo utakao replace NIDA na RITA ,kama mnavyofahamu ,serikali inakuja na jamii number ,namba ambayo mtoto akizaliwa atakuwa nayo na atakua nayo ,initiative nzuri sana lakiniiiii, kulikua na ulazima gani wa mradi nyeti kama huu kupewa taasisi binafsi? wafanyakazi wa NMB wana proper vetting kuanza kushika mifumo ya siri namna hii?

Achana na jamii bima, ESB ambayo tayari ipo e-GA na inafanya kazi, Wizara ya TEHAMA imeamuru NMB kupewa tender kupitia MOU hio wao ndio watengeneze ESB ya serikali, yaani mawasiliano ya mifumo yote ya serikali ananyang'anywa e-GA na anapewa NMB why?

Hivi nchi hii tuna mawaziri wanaofikiria kweli? Haya ndio mambo ya waziri alikuja na kufuta physics akasema iwe physics with chemistry, waziri huyo wa zamani alifuta masomo ya biashara na kilimo pia kabla ya serikali ku reverse maamuzi hayo, lakini kama mnakumbuka kuna watanzania walifutiwa masomo hayo.

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa maslahi ya nani?

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa kumkomoa nani?



View attachment 2883959
Tuendelee kumshangilia mama kuwa anaupiga kwa weledi....

Naam mpaka anamaliza muda wake madarakani tutakuwa na damage kubwa ambayo itatulazimu kukaa chini tujipange upya kisha atatokea wa kuharibu tena.... Serikali hasa mifumo inafurahia hii hali kwa sababu ni wanufaika pia
 
Wabongo tupunguze ujuaji, kwamba NMB ihujumu serikali!! wakati serikali inamiliki 40% ya benki hiyo?
Ukitaka tusiwe wajuaji anza wewe kupunguza ujuaji...
Tangu lini serikali inamiliki hisa 40% za NMB?

punguza ujuaji
 
Yaani NMB wanasema wenyewe kabisa ,wameruhusiwa na Nape kuunda ESB
kwanza Serikalini kuna ESB tayari ipo e-GA
BOT kwa mifumo ya fedha ana TIPS(Tanzania instant payment system) ipo na inafanya kazi ,banks na mobile monye wanapitia hapo
sasa unataka kutengeneza exchange system nyingine ya kazi gani?



View attachment 2885201
Nape nafikiri siku zake hapo Wizarani ziko mwishoni. Mwambieni kuwa hata TZ hakuna Benki hata moja yenye software programmers wazuri na uzoefu zaidi ya E-GA kwanza Benki zote hapa nchini zinatumia Core Banking System zilizotengenezwa nje ya nchi hivyo hawana uzoefu wowote kwa kutengeneza software kama vijana wa E-GA kuwapa NMB kazi hiyo ni sawa na kuwapa watu wa nje ya nchi kutengeneza software hizo. Hivi ni lini tutawawezesha vijana wetu waweze kuwa wabunifu katika nchi yetu kama tutakuwa na akili za kina Nape!!?
 
Tuendelee kumshangilia mama kuwa anaupiga kwa weledi....

Naam mpaka anamaliza muda wake madarakani tutakuwa na damage kubwa ambayo itatulazimu kukaa chini tujipange upya kisha atatokea wa kuharibu tena.... Serikali hasa mifumo inafurahia hii hali kwa sababu ni wanufaika pia
Damage wanamfanyia hawa akina Nape ,wanamgombanisha mama ,wanaingia mikataba ya honyo na NMB wanaiuza serikali kimya kimya ili mama Samia aonekane wa hovyo
 
Nape nafikiri siku zake hapo Wizarani ziko mwishoni. Mwambieni kuwa hata TZ hakuna Benki hata moja yenye software programmers wazuri na uzoefu zaidi ya E-GA kwanza Benki zote hapa nchini zinatumia Core Banking System zilizotengenezwa nje ya nchi hivyo hawana uzoefu wowote kwa kutengeneza software kama vijana wa E-GA kuwapa NMB kazi hiyo ni sawa na kuwapa watu wa nje ya nchi kutengeneza software hizo. Hivi ni lini tutawawezesha vijana wetu waweze kuwa wabunifu katika nchi yetu kama tutakuwa na akili za kina Nape!!?
Nape huenda ameshajua maisha yake ya uwaziri yako ukingoni ,ameamua kutafuna bila aibu
 
unaijua ERMS?
huenda unasema hayo kwa kua huna uzoefu wa mifumo ya serikalini
mfumo wa ERMS umetengenezwa na e-GA 100% ambao ni ERP pure.
Procurement system imetengenezwa na e-GA , single window ya bandari imetengenezwa na e-GA etc na etc.
Leo kuna watu huko TRA wamefanya kama hawa wizara ya TEHAMA.
TRA wameleta wakorea kufanya mfumo ambao upo tayari ,yaani nchi hii watu wanagawana keki bila aibu .
wakishagawana wanawatuma ninyi kuja kujamba huku
Mkuu unahangaika na chawa hawajui IT wala National Security at all hivyo unapoteza muda wako tu lakini najua system za Nida na Immigration haziwezi kuwa generated na system za Benki at all.
 
Damage wanamfanyia hawa akina Nape ,wanamgombanisha mama ,wanaingia mikataba ya honyo na NMB wanaiuza serikali kimya kimya ili mama Samia aonekane wa hovyo
Kwani kina Nape wamejiteua nafasi hizo?
Kwani kila afanyacho mteuliwa hakifiki mezani kwa sponsor?

Hapo tatizo ni kwa nini hatua hazichukuliwi?
Hizi huruma za kusema anahujumiwa ni yale yale ya kushindwa kutambua wajibu na dhima ya uongozi. Anayejihujumu huwa hajali matokeo ya hulka zake
 
mwanahisa tokea lini akapewa code,configuration mimi na zungumzia wafanyakazi wa nje wanaofanya kazi NMB, wenye access na mifumo na network ya NMB ambao wanafanya kazi kwa mikataba (Technical Part)......
Kampuni zote ambazo serikali ana maslahi nazo au hisa nyingi basi lazima technical part awe na watu hawa kutoka Financial Intelligence Unit/FCC hata pale Vodacom wapo kibao tu na wanawekwa kwa directive kutoka TCRA, BOT etc depending na sekta. Hata ExxonMobil tu ilikua inaweka wafanyakazi kutoka CIA na huo ni mtindo dunia nzima hata huko Gazprom au CCC ni same.
Hivi source kuu ya Cybersecurity attack unazijua ?
Unajua sikuelewi, umesema NMB tutauza siri za nchi ilihali e-Ga ndio hawajawahi kuzifanyia "vulnerability risk assesment ama Penetrational tests" mifumo yake who is more prone to cybersecurity attacks kati ya hao wawili?
Vitu vingine ukikaa kimya hupungukiwi kitu, ila duniani halipo taifa linalo wapa watu wasio waamini mifumo yao na network yao halipo taifa
Hauna exposure, mbona US inatumia Microsoft kupitia Azure system..... inatunza data zao kwa cloud technology ingawa ni kampuni binafsi iliyojaa wageni
CIA,FBI, MOSSAD nk washapigwa, pamoja wamewaajili watu wanao wajua na walio wafanyia vetting.
Kumbe hata kampuni ya serikali inakuq attacked? If that's the case why tena mnapinga isifanywe kazi na private sector if at all huko serikalini hizo ransomware attacks zipo pia?
 
Rushwa hupofusha ,unaanza kuuliza kazi za e-GA leo?
unaona ni sawa namna mifumo ya serikali yenye siri za nchi kuanza kugawiwa kwa sekta binafsi tena bank ,bora ingekua kampuni ambayo kazi yake ni kutengeneza mifumo na sio bank ambao kazi yao ya msingi sio utengenezaji wa mifumo.
Ujue ninaposoma namna unavyo justfy NMB kupewa tender napata hasira sana,rushwa hupofusha
Leo NMB kesho CRDB akipewa reliability ya usiri inaishia wapi?
watu mna comment kama mmekatwa vichwa
Mbona US inatumia Microsoft iliyojaa workforce from around the globe including Chinese!!?
 
Back
Top Bottom