e-GA inahujumiwa

e-GA inahujumiwa

Unajua kwa nini TTCL inachemka? Ila kama hujui ile Airtel nayo ilijengwa juu ya TTCL,sababu ni hizi hizi ten percent,leo mnawaona hawana maana.

Siasa ndio inazikwanisha taasisi nyingi za kiserikali. Sasa kama TTCL wabovu why Staff wao ni Lulu kwenye hizo taasisi binafsi? Wakati wao ni wabovu,tokea lini taasisi mbovu ikatoa mastaff wenye uwezo mkubwa.

Umesikia habari ya TTCL sababu ni taasisi ya uma una haki ya kupata taarifa.Hivi ushajiuliza why husikii ubovu wa NMB,CRDB.....? Ila sisi tuliopo tunaona tunajua tunavyo viona na ndio maana hatupendi taarifa nyeti za serikali ziwe chini ya hizi sekta binafsi,hasa zenye wafanyakazi wa nje. Ila tunajua wanyo pigwa na Ramsomware Attack kila kukicha, sababu kama wakitoa ripoti zao za audit,kesho asubuhi watu wanapanga foleni kutoa hela zao.

Bi Mkubwa simlaumu sasa namuombea wanao mzunguka wamshauri vizuri.
 
Siasa ndio inazikwanisha taasisi nyingi za kiserikali. Sasa kama TTCL wabovu why Staff wao ni Lulu kwenye hizo taasisi binafsi?
Siasa zipi? TTCL ipo incompetent hilo liko wazi. Hivi kampuni ina wateja active laki 1 katika industry ya watu Million 24+??

Huko hakuna KPIs, hamna mtu yuko under pressure maana mshahara uko pale pale akizalisha au asipozalisha.

Badilisheni mfumo wa kuendesha taasisi za serikali ikiwezekana wasiajiri mtu ila waweke performance based bonuses na commissions ndio utaona mabadiliko ila hii ya kwamba mtu aki underperform hana la kufanywa haliwezi kutufikisha popote.
 
Siasa zipi? TTCL ipo incompetent hilo liko wazi. Hivi kampuni ina wateja active laki 1 katika industry ya watu Million 24+??

Huko hakuna KPIs, hamna mtu yuko under pressure maana mshahara uko pale pale akizalisha au asipozalisha.

Badilisheni mfumo wa kuendesha taasisi za serikali ikiwezekana wasiajiri mtu ila waweke performance based bonuses na commissions ndio utaona mabadiliko ila hii ya kwamba mtu aki underperform hana la kufanywa haliwezi kutufikisha popote.
Ushajiuliza why,ipo incompetent?

Unazani TTCL hawapendi kuwa competent kama kampuni nyingine?
 
Huku kwenye tehama ni upigaji mupya mamifumo mengi yasipoangaliwa vyema yatabaki kuwa butu
 
Nyie bishaneni , wekeni ligi ila msisahau kupita hapa

 
Nyie bishaneni , wekeni ligi ila msisahau kupita hapa

Cha muhimu ifanye kazi 😂
 
Nyie bishaneni , wekeni ligi ila msisahau kupita hapa


Naona umeweka kura ya veto [emoji23][emoji23]
 
Duniani kote kuna vita za aina tatu.

1.Hizi za mitutu.
2.Za kiuchumi.
3.Cyber War.

Kwa dunia ya sasa ukitaka kushinda vita ya kwanza na ya pili, basi hii ya tatu uwe vizuri. Sababu ukiwa vizuri kwenye Cyber War ni rahisi kupata taarifa za adui yako na siku hizi Serikali zote duniani IT ndio inaendesha shughuli zao.

Duniani kote hamna Serikali inayo hifadhi mifumo yake yenye taarifa na critical data kwa mtu wasiye mjua,mazingira wasiyo yajua,mtu wasiye mfanyia vetting na vetting kwa watu wanao develop na kuihifahi hii mifumo huwa endelevu mara kwa mara, ili kujirizisha.

Huwezi linganisha siri za Serikali na taasisi binafsi, kwani serikali inabeba maslahi ya taifa lote ila taasisi binafsi ni wao kama wao. Ndio maana kuna baadhi ya serikali ukivujisha siri wapo tayari hata kuua ili taifa libaki salama.

Mimi kuna taasisi naijui private na taasisi kubwa sana 2019 na walipgwa na Ramsomware, walilipa hela ndefu na kuizima hii issues kimya kimya?

Au ushajiuliza kwa nini Cyber attack kwenye hizi taasisi za kifedha hazilipotiwi? na wanapigwa mara nyingi ila huwezi sikia ila sisi huku tunajua.
umeeleza vyema sana
 
Kifupi huo mradi wangepewa wafanyakazi wa serikali ngechukua miaka 30 kukamilika

Wafanyakazi wa serikali speed kwao ni kitu ambacho hakipo kwao Ingekuwa amri yangu ningeamuru Hadi serikali yote ibinafsishwe wako goigoi mambo kibao

Mtu aje hapa aseme ni ofisi Gani ya serikali Ina speed kwenye utendaji kazi ukilinganisha na sekta binafsi? Huo mradi ungefanywa na serikali vikao visivyoisha vingeanza,kukipana maposho kibao mara ohh semina kujifunza nchi waliofanya miposho kibao Kisha ohh study tour mradi tu mtu amalize ghorofa lake

Mleta mada fisadi mkubwa akitaka anawinda miposho tu

Sekta binafsi Siri ni biashara wanalinda ndio zinawapa kula ndio maana mifumo iliyojengwa na sekta binafsi sio rahisi kuchezea kama iliyojengwa na wafanyakazi wa ndani wa serikali
NMB Wana wafanyakazi wenye uzoefu wa kimataifa wa mifumo huwezi linganisha na Hao wa serikali

Pili mfumo ukiwa compromised wao waweza lipa fidia wakijenga wa serikali kukitokea shida mfanyakazi wa serikali aweza lipa fidia ya billions?
hii kasumba ilikua ya zamani ,mbona e-GA wanafanya kazi vizuri sana, mimi sielewi wanaoponda e-GA wanatumia mifano ipo , project zipi zimechelewa na zilitakiwa zitumie muda gani.
Nest ya procurement mfano mzuri sana ,bonge la project watoto wa kitanzania wa e-GA wametoa vizuri sana
 
Brother kaeni kimya vitu vingine ni kujipa aibu, Registrar sio creator wa mfumo

Hapo Registar ni msajili wa hiyo domain katika DNS zake, ili hiyo domain ambayo inamfumo ipatikane hewani.

Wewe unaweza ukawa Registar domain za mifumo ya taasisi mbali mbali binafsi na serikali na ukawa sio mtengenezaji wa huo mfumo.

Vitu vingine kama hamvijui kaeni kimya mnajidhalilisha. Halafu DNS ni basic ya IT yoyote anatakiwa kuijua.


Yaani daaaaahhhhh,halafu unakomaa kabisa kwa kitu husicho kijua na hicho ulicho kifanya hackers wanakitumia wanapo kusanya taarifa kabla ya kuattack.
kuna watu hawaelewi majukumu ya taasisi,wao wakiona kila jambo wanahisi ni jukumu la kila taasisi.
Hawana weledi waache
 
Home Work.
Hivi kitu gani kina tambulisha huo mfumo Registrar wake fulani, ila umekuwa hosted na mtu mwengine.


viko vitu vingi however sio lazima DNS records ziseme ni nani anahost, most modern apps znnakua na layer 2! kwa mfano for a normal platform its very risky kuexpose connection yako moja kwa moja kwa client so wanaogeza layer ingine most common ones ni kama CLOUDFLARE so ukiiangalia records zake utaona cloudflare but hio app haiko hosted apo

but overalll nshakwambia NECTA wanatumia EGA because i have been there, although sjawahi work na necta but i have seen it na mifumo yote ya serikali ipo pale!

View attachment 2887243

huu ni mfano tu wa project tuliofanya ya serikali ambayo iko hosted EGA, so usijifanye unaelezea sana kama unaijua EGA vizuri
sasa kutumia email watu wa e-GA ndiyo imekua na wewe mtu wa mfumo?
utakua unavyeti fake wewe jamaa
 
Unajua kwa nini TTCL inachemka? Ila kama hujui ile Airtel nayo ilijengwa juu ya TTCL,sababu ni hizi hizi ten percent,leo mnawaona hawana maana.

Siasa ndio inazikwanisha taasisi nyingi za kiserikali. Sasa kama TTCL wabovu why Staff wao ni Lulu kwenye hizo taasisi binafsi? Wakati wao ni wabovu,tokea lini taasisi mbovu ikatoa mastaff wenye uwezo mkubwa.

Umesikia habari ya TTCL sababu ni taasisi ya uma una haki ya kupata taarifa.Hivi ushajiuliza why husikii ubovu wa NMB,CRDB.....? Ila sisi tuliopo tunaona tunajua tunavyo viona na ndio maana hatupendi taarifa nyeti za serikali ziwe chini ya hizi sekta binafsi,hasa zenye wafanyakazi wa nje. Ila tunajua wanyo pigwa na Ramsomware Attack kila kukicha, sababu kama wakitoa ripoti zao za audit,kesho asubuhi watu wanapanga foleni kutoa hela zao.

Bi Mkubwa simlaumu sasa namuombea wanao mzunguka wamshauri vizuri.
wanasiasa wameifanya TTCL iwe kilema ,same mistake wanataka kufanya kwa e-GA , wanataka e-GA iwe kama TTCL, isiweze kufanya kazi kabisa
 
sasa kutumia email watu wa e-GA ndiyo imekua na wewe mtu wa mfumo?
utakua unavyeti fake wewe jamaa

kama unataka ukwel wa hio taasisi basi ukweli ni kwamba ni ya kufunga haina umuhimu! ila kama mnataka kubishana basi endeleeni
 
Siasa zipi? TTCL ipo incompetent hilo liko wazi. Hivi kampuni ina wateja active laki 1 katika industry ya watu Million 24+??

Huko hakuna KPIs, hamna mtu yuko under pressure maana mshahara uko pale pale akizalisha au asipozalisha.

Badilisheni mfumo wa kuendesha taasisi za serikali ikiwezekana wasiajiri mtu ila waweke performance based bonuses na commissions ndio utaona mabadiliko ila hii ya kwamba mtu aki underperform hana la kufanywa haliwezi kutufikisha popote.
TTCL imeangushwa kwa siasa ,kama mnazozijenga kwa e-GA ,non tech people wanaingilia tech issues , wanalazimisha kampuni isiyo na uwezo wa kutengeneza mifumo ,kampuni ambayo kazi yake banking mnaipa kutengeneza mifumo ,matokeo yake ni hayo,mnaua taasisi za umma ili muinue taasisi binafsi na mpige hela .
Mnaaibisha sana ,na nyie ndio mnafanya serikalin kuonekane watu zero brain
Si mngetafuta hata kampuni yeyote ya kutengeneza software ili ijulikane kabisa mnataka e-GA asitengeneze mifumo.
Yaani unaona sawa kabisa bank kupewa tender ya kutengeneza software?
Rushwa hupofusha
 
TTCL imeangushwa kwa siasa ,kama mnazozijenga kwa e-GA ,non tech people wanaingilia tech issues , wanalazimisha kampuni isiyo na uwezo wa kutengeneza mifumo ,kampuni ambayo kazi yake banking mnaipa kutengeneza mifumo ,matokeo yake ni hayo,mnaua taasisi za umma ili muinue taasisi binafsi na mpige hela .
Mnaaibisha sana ,na nyie ndio mnafanya serikalin kuonekane watu zero brain
Si mngetafuta hata kampuni yeyote ya kutengeneza software ili ijulikane kabisa mnataka e-GA asitengeneze mifumo.
Yaani unaona sawa kabisa bank kupewa tender ya kutengeneza software?
Rushwa hupofusha

ni sawa kabisa yaaani na ndo inavotakiwa, ufanisi wa kazi ni muhimu zaidi ya jina lako! unaweza ukawa na jina kubwa ila katika kazi mbovu, kabla ya private companies kuanza NASA walikua wanatengenezewa rocket na russia, uliskia malalamiko?

- tanzania anauziwa simu na wachina na wamarekani umeskia malalamiko?
ukweli ni kwamba EGA ni taasisi ya hovyo kuwahi kutokea na inatakiwa kuondolewa ndo maaana mpaka leo hawana hata tuzo ya ufanisi yaani ata ilioandaliwa na mtu binafsi hakuna

ila kwakua mna asilimia zenu pale ndo mtulie sasa washapewa NMB, na ikiwezekana president aifunge tu maaana mpaka leo matokeo ya form 4 yakitoka huduma inazima ama ajira zikitangazwa 😂
 
Back
Top Bottom