elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Du we utakuwa mgeni sana wa haya mambo,unaachwa unalia?unasononeka,Ukweli utabaki kuwa ukweli, wanaume akiachwa na mwanamke anaumia sana na adhari nikubwa comparing to wanawake bad thing ni wachache sana wanakubaligi kuwa hawako ok wengi wanaajitapaga am ok, am ok, I got new chick better than her bla bla...money is nothing kwenye hili nyie mnaojidai I got cash cjui na nini mifano iko kibao uku mitaani ila kwakuwa nyie ni celebrities angalieni the current mfano wa the late IVAN,NDIKUMANA
Ushauri wa bure yakikukuta usijifungue ndani na usipretend ur ok nakujichekesha kwa watu while unakufa taratibu speak it loud upate msaada wa kurelease iyo pain otherwise utasema umelogwa Chriss Mauki saidia vijana wako
Juma NatureHuyu ni nani?
Lover boyBarbara gani mkuu?
Kunya anye kuku akinya bata kaharishaAiseee hiii n kweli inauma kuachwa
Na mwanamke kudadek yan
Haya maumivu hata ya kutairiwa
Hayafui dafu kwenye kuachwa
Ndo nan huyoHuyu alisha pona?? Huyu nae aliachwa akawa anapost vitu visivyo eleweka huko tweter
ZamaradRuge ameachwa na nani??
ZamaradiRuge ameachwa na nani??
Me nlitahiriwa nkiwa mkubwaJamani kutahiriwa si huwa inafanyika mkiwa wachanga sana jamani?Huwa bado mna hiyo kumbukumbu ya maumivu yake?Au wewe ulitahiriwa ukiwa mkubwa unajitambua?
Moyo kupenda ndo shdani kweli..halafu kwani mtu akikuacha ndo mwisho wa dunia?
jifunze kumove on na kujiweka busy na life yako..utampata alie sahihi na utafurahia mahusiano tena.
we unaweweseka wee mwisho mnapata maradh ya moyo halafu unakufa ghafla ukiwa na afya yako njema.
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Uniambie ukirud
Miss u bby
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Huyu alisha pona?? Huyu nae aliachwa akawa anapost vitu visivyo eleweka huko tweter
[emoji813] [emoji813] [emoji813][emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
hahaha[emoji813] [emoji813] [emoji813]
Jamen roho yang ya pili
Nmekuja
upo wa kutoshaMhhh hiki kicheko
Mweee!! Kuna usalama
Kweli
Mhh nahis harufu yaupo wa kutosha