E mbasha, Ruge, Barnaba, Idris, Nuhu Mziwanda, mnahitaji kumuona psychologist acheni ukijifanya mko ok

Aiseee hiii n kweli inauma kuachwa
Na mwanamke kudadek yan
Haya maumivu hata ya kutairiwa
Hayafui dafu kwenye kuachwa
kutahiriwa kuna maumivu yoyote?? maana kwetu hatutumii ganzi na hakuna kulia ukilia unakosa mke
 
Aiseee hiii n kweli inauma kuachwa
Na mwanamke kudadek yan
Haya maumivu hata ya kutairiwa
Hayafui dafu kwenye kuachwa
kutahiriwa kuna maumivu yoyote?? maana kwetu hatutumii ganzi na hakuna kulia ukilia unakosa mke
 
Aiseee hiii n kweli inauma kuachwa
Na mwanamke kudadek yan
Haya maumivu hata ya kutairiwa
Hayafui dafu kwenye kuachwa
kutahiriwa kuna maumivu yoyote?? maana kwetu hatutumii ganzi na hakuna kulia ukilia unakosa mke
 
Inamaana wewe ndo unaona pain zaidi yao mkuu.?
 
Jamani kutahiriwa si huwa inafanyika mkiwa wachanga sana jamani?Huwa bado mna hiyo kumbukumbu ya maumivu yake?Au wewe ulitahiriwa ukiwa mkubwa unajitambua?
Mimi nimekatwa nikiwa grade sex, asikwambie mtu aisei..! Ila nashukru waliniepusha na kibamia..[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 

Uko sahihi kabisa kuongea kunasaidia sana kupunguza maumivu,maumivu ya Mapenzi ni makali mno,ukikaa kimya unateketea huku wajiona ilhali mwenzio anafurahia maisha!
 
Kwanza unamsababishia kibamia..!
 
Kweli tupu..................acha kabisa hiyo kitu ufikirie jamaa mwingine anaitafuna! "Inaniuma sana nikifikiria huwanga ninalia".... Nature vs Sinta

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani kutahiriwa si huwa inafanyika mkiwa wachanga sana jamani?Huwa bado mna hiyo kumbukumbu ya maumivu yake?Au wewe ulitahiriwa ukiwa mkubwa unajitambua?
Nilitahiriwa nikiwa mdogo sana tena kwa ganzi,lakn ilipoisha nguv maumiv yake hayaelezeki kwa maandishi wala kwa maneno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…