E mbasha, Ruge, Barnaba, Idris, Nuhu Mziwanda, mnahitaji kumuona psychologist acheni ukijifanya mko ok

Jamani kutahiriwa si huwa inafanyika mkiwa wachanga sana jamani?Huwa bado mna hiyo kumbukumbu ya maumivu yake?Au wewe ulitahiriwa ukiwa mkubwa unajitambua?
Hapana,wapo wanaofanyiwa wakiwa wakubwa kabisa na wengine WABABA
 
Nimelike post yako ila unaharibu kiswahili.
Inawezekana lahaja ya kwenu imezidi unga. kiwahili hakina 1. wanakubaligi-- instead HUWA WANAKUBALI. 2. wanajitapaga= huwa wanajitapa
Sio kiwahili ni KISWAHILI
 
kula[emoji109] mkuu...Naona Maumivu yake anayaka kuhamishia kwa wengine.
 
Nliachwa na mke wangu miaka 15 ishapita lakin bado nadunda bila hata kuwaona hao psychologists na namuona nasafa na mitaa
 
Fine,mtazamo wako tu....lkn kwa mm kuwa maskini ktk kizazi hiki ni maumivu makubwa sana kushinda yale ya kuachwa kwa sababu kupata mwanamke ktk kizazi hiki ni rahisi mara mia zaidi kuliko kuipata elfu kumi ..
 
wanaume wengi wa siku hizi wanajilegeza kama nini, unakuta mtu analia kisa eti kaachwa! nimedate wanawake wanajaa almost bahewa 3 za Treni ya kwenda bara na hawo wote tuliachana. je ningekuwa cry baby ingekuwaje? wazazi nao wa siku hizi hawawafundishi watoto wao wakiume jinsi ya kuwa Ngangari na kuhimili mikikimikiki ya Mahusiano.
 
Le Mutuz hamjamtaja nae ameathirika kisaikolojia aliachwa majuu huko hana hamu mpaka leo yko ni chiz kabisa ...
..Humbled U know
 
Jamani kutahiriwa si huwa inafanyika mkiwa wachanga sana jamani?Huwa bado mna hiyo kumbukumbu ya maumivu yake?Au wewe ulitahiriwa ukiwa mkubwa unajitambua?
Kuacha sehemu ambazo kuathiri Ni mila, wengi jitahidi kwa jitihada zao wenyewe hasa wakiwa shuleni.
 
Kuachwa kwa kweli kunauma sana hasa kwa wale ambao shuleni alikuwa busy kusomaaa tu. Km walau ulibambia kuanzia std iv-vii, secondari na chuo, akamwagana na mademu wote Hao, leo hii Mpenzi akisepa unarejea demu mkali aliyekupiga chini kitambo, unajiliwaza, unapotezea,
Tatizo kwa mke/mume Ni kwamba kuoana na kuishi pamoja ni zaidi ya ngono, yale mazoea huleta shida sana ikitokea mnashindwana. Dawa Ni kuwa na kamchepuko kakuliwaze.
 
Jamani kutahiriwa si huwa inafanyika mkiwa wachanga sana jamani?Huwa bado mna hiyo kumbukumbu ya maumivu yake?Au wewe ulitahiriwa ukiwa mkubwa unajitambua?
Miaka hii ndo wanatahiri vichanga sio enzi zetu tena kavukavu hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…