E.P.L inazidi kuabika

E.P.L inazidi kuabika

Umetumia kigezo gani kusema man city ndio yenye matumaini?,maana kwenye takwimu Liverpool uefa ndio bora kuliko man city .halafu swala la kuingiza timu timu nyingi hatua hiyo si hoja,subiri timu za spain wachukue kombe ndio upige kelele,nimekuzarau na nimekuona ujui mpira eti labda upinzani kidogo unaweza kutoka kwa bayen,umesahau huyo coacher wa bayen ndio ndio aliwafunga barcelona jumla ya goli 7-1 home/away Baada ya hapo alienda kuchukua kombe la uefa,Baada ya hapo tena akaachakufundisha soka 2013//2014,sasa katikati ya msimu huu bayen wamemuomba aruditena kuifundisha timu kwa muda mpaka pale watakapo pata kocha ,baada ya kuchukua timu huyo kocha hivyo vipigo alivyovitoa ni vya ujazo.

Takwimu gani mkuu, Man city ya mwaka huu ni Man city bora zaidi kuwahi kutokea hiko ndio kigezo changu.

Liverpool na Man city ni kama mbingu na ardhi japokuwa zinatokea ligi moja
 
Takwimu gani mkuu, Man city ya mwaka huu ni Man city bora zaidi kuwahi kutokea hiko ndio kigezo changu.

Liverpool na Man city ni kama mbingu na ardhi japokuwa zinatokea ligi moja

Liverpool kafungwa mechi ngapi ? Na man city kapoteza mechi ngapi?

Liverpool ana goli ngapi na man city anagoli ngapi nazungumzia uefa mkuu.

Takwimu zingine zilete wewe za city kumzidi Liverpool kwenye ligi ya uefa.angalia performance ya timu kwenye ligi ya uefa na sio ligi aliyotoka,kama ndio hivyo Liverpool asingechukua uefa 2005,maana alikuwa namba4.

Epl city anaonekana kashindikana lakini uefa anadungwa na basel tena nyumbani.

Usichanganye epl na uefa mkuu.
 
Liverpool kafungwa mechi ngapi ? Na man city kapoteza mechi ngapi?

Liverpool ana goli ngapi na man city anagoli ngapi nazungumzia uefa mkuu.

Takwimu zingine zilete wewe za city kumzidi Liverpool kwenye ligi ya uefa.angalia performance ya timu kwenye ligi ya uefa na sio ligi aliyotoka,kama ndio hivyo Liverpool asingechukua uefa 2005,maana alikuwa namba4.

Epl city anaonekana kashindikana lakini uefa anadungwa na basel tena nyumbani.
amepigwa na basel akiwa ameshafuzu hana cha kupoteza, alishamaliza kazi ugenini wakaanza watu ambao sio regular starters..

liverpool kipimo chenu ni kukutana na A list teams sio mliokutana nao, ngoja tuone mtapangiwa watu gani
 
HAHAAAA HIYO AYA YA MWISHO IMENIKOSHA MNOOO
KWELI UMEWAAGA NA WASIYE MPENDA MKUU
 
Kiufupi, linapokuja suala la UCL, timu za EPL wanakuwa ni SPECIALISTS IN FAILURE. Hata kipindi wakiwa vizuri, bado hawakuchukua kombe mfululizo kama alivyosema mleta mada. Kwa ufupi katika historia.
Fainali za UCL
2005 - Liverpool(bingwa) vs Ac Milan
2006 - Barcelona(bingwa) vs Arsenal
2007 - Ac Milan(bingwa) vs Liverpool
2008 - Manchester United(bingwa) vs Chelsea
2009 - Barcelona(bingwa) vs Manchester United
2011 - Barcelona(bingwa) vs Manchester United
2012 - Chelsea(bingwa) vs Bayern Munchen
Katika miaka saba waliyoingia fainali kuanzia mwaka 2005-2017, waliishia kubeba mara tatu tu, mara nne walipoteza.
 
Kwa hatua inayofuata Barcelona na Real Madrid wanaweza kuondolewa kwenye mashindano Aidha Bayern au Juventus kwa kipindi cha takribani misimu miwili waliondoshwa na hizo timu kama Juventus ilishawaondoa wote hao wawili Real Madrid msimu wa 2015/16 na Barcelona 2016/17
Kwani msimu wa 2015/16, bingwa si alikuwa Real Madrid? Alichukuaje ubingwa kama aliondoshwa mashindanoni na Juventus?
 
Ligi kuu ya Uingereza ni ligi ngumu kabisa duniani chakushangaza haina ubora. Hakuna ligi ngumu duniani kama ya Uingereza ikifuatiwa na vpl.

Ugumu wake umeifanya vyombo vya habari vimeipaisha ndio maana kila mpenda soka anaifahamu lakini hakuna cha maana pale. Waingereza bhana we acha tu wanapenda vya kwao balaa.
Wewe hufuatilii mpira. Ligi ngumu Duniani ni ligi ya Brazil. Kule hakunaga timu kubwa ya kudumu.
 
Yaani mnachokiongelea ni sawa na timu za yanga na simba zinavyopewa promo na magazeti yetu huku zikibeba sifa ya kupambana na timu zaifu na maskini kama Njombe mji....ila wakitoka tu nje ya bongo si lolote si chochote
 
Back
Top Bottom