lonewolf ranger
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 476
- 149
dah ile mission kiboko yao!!! mimi ilinizingua hadi nikaisusa game kama wiki hivi badae nilimaliza
hii game unaitaji uumize kichwa aisee!yaani unadeal na main target tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah ile mission kiboko yao!!! mimi ilinizingua hadi nikaisusa game kama wiki hivi badae nilimaliza
ugumu ndo kipimo cha kujua ila kuna ile IGI nayo tamu ile mkuu ila mission zake ndo nouma kweli yani
ile nimepiga yote ila mission ya ku cross romanian border ni kali... umewahi kucheza IGI 2??
hapana mkuu ikoje hiyo?
hii game unaitaji uumize kichwa aisee!yaani unadeal na main target tu!
ile nimepiga yote ila mission ya ku cross romanian border ni kali... umewahi kucheza IGI 2??
sorry namaanisha IGI 1 ina story tofauti kidogo hapa unatafuta nuclear bomb.. main character yupo tofauti na david jones wa IGI 2
ka unanshawishi vile mkuu nitaijaribu!ila kuna hii ya assassin creeds natamani sana nije kuicheza!
Wewe cheza tu pakikushinda mahali niambie nakuelekeza tu
Game ni ndefu ila anazunguka tu
pale mwanzo kabisa ya ya pili anapigana na lile dubwasha kubwa la chuma kisha ataliua ila mkono unamuangukia anaishiwa nguvu halafu cretus (kama sijakosea jina) Yule anayeshuka kama ndege (bird) anamuua halafu atafufuliwa ila kiuhalisia anatakiwa akiwahi kivuli chake kisiuliwe hivyo anafika pale anaungana na kivuli chake anaanza kupigana na baba yake ila mkewe ataingilia kati ile anataka kumchoma panga mkewe anajichomeka yeye dingi anasepa part two inaishia hapo ila huko njiani mpaka umkute ni shida
niko na dogo mmoja hapa tunacheza FIFA14 aisee dogo anajua mpaka raha yaan
FIFA ngumu siiwezi labda level sem-prof
mkuu mbona FIFA nyepesi au ndo umezoea PES
ugumu ndo kipimo cha kujua ila kuna ile IGI nayo tamu ile mkuu ila mission zake ndo nouma kweli yani
ile nimepiga yote ila mission ya ku cross romanian border ni kali... umewahi kucheza IGI 2??
igi project nimeicheza Mkuu mpk level ya 7...HV IPO ya kwenye phone?
mi naona KOnami walikuwa pioneers zaidi tangu enzi zile za Nintendo pads
ila Ea wamekuja advanced graphically.habari ya uhalisia
ni ngumuu sana wadau mkumbuke hizi game sio 3D animation movies..
But Kudos to all of them..at least walifanya maisha yawe na fun zaidi kwa watu tusiokuwa
outdoor sports oriented..
mkuu unaipat ile FIFA 2002 ile nimecheza mpaka kero yaani ila kweli EA wako njema