EAC leaders plotting to kill Raila Odinga — Oburu Oginga

EAC leaders plotting to kill Raila Odinga — Oburu Oginga

Kwa hili nasimama upande wa Rais wangu JK....

Kuna kampeni inaendelea EA kumchafua JK na ni vema wana usalama wetu wakalijua na kulifanyia kazi.
Rais wetu anaweza kuwa dhaifu but he is not that stupid.

Kwa hali ilivyo nchini na ukanda huu wa mashariki, tunahitaji rais mwenye haiba tofauti na JK. It doesnt matter anatoka CCM, CUF au CDM.

Nimechoka kupandwa kichwani na majirani zetu!!

Nduli alipigwa hivi hivi kwa uchokozi wa kipumbavu.......hii propaganda against JK inachefua

Mkuu mimi sikubaliani na wewe kabisa,hizi nchi hazina haja ya kuchafua jina la jk kwani muhura wake unamalizika si muda mrefu,mimi naamini sana kuhusu hii habari ya uchonganishi wa jk kwani ni yeye anaye haha pande zote za dunia akitaka kuisambaratisha EAC kwani hajakubali kushindwa,alifikiri akijitoa EA basi wataporomoka,badala yake jamaa wanasonga mbele tena kwa kasi,anachotaka nikutaka kuisambaratisha kenya na rwanda kwani kwake hao wamemshika pabaya,kwa mtindo huu mimi naona kikwete kachemka,sasa ushauli wangu ili hili sakata lije liishe itabidi rais yeyote ajae wa tanzania itabidi arudishe maelewano mazuri na hizi nchi ili na tanzania isibaki nyuma kimaendeleo,kwani ikiendelea kwa mtindo huu kwa muda murefu tanzania ndio wataathirika vibaya zaidi ya hizi nchi nyingine.
 
Mkuu mimi sikubaliani na wewe kabisa,hizi nchi hazina haja ya kuchafua jina la jk kwani muhura wake unamalizika si muda mrefu,mimi naamini sana kuhusu hii habari ya uchonganishi wa jk kwani ni yeye anaye haha pande zote za dunia akitaka kuisambaratisha EAC kwani hajakubali kushindwa,alifikiri akijitoa EA basi wataporomoka,badala yake jamaa wanasonga mbele tena kwa kasi,anachotaka nikutaka kuisambaratisha kenya na rwanda kwani kwake hao wamemshika pabaya,kwa mtindo huu mimi naona kikwete kachemka,sasa ushauli wangu ili hili sakata lije liishe itabidi rais yeyote ajae wa tanzania itabidi arudishe maelewano mazuri na hizi nchi ili na tanzania isibaki nyuma kimaendeleo,kwani ikiendelea kwa mtindo huu kwa muda murefu tanzania ndio wataathirika vibaya zaidi ya hizi nchi nyingine.
wewe mpuuzi kweli
 
REVEALED: WETANGULA/ KIKWETE behind RAILA ODINGA’s assassination claims.

Sunday May 11, 2014 - Tanzania President Jakaya Mrisho Kikwete and Bungoma Senator, Moses Wetangula, are individuals behind former Prime Minister, Raila Odinga’s assassination claims, The Kenya DAILY POST has finally established.

In an admission by a well placed source in ODM, Wetangula and Kikwete met at State House, Arusha on May 5th where they discussed regional security issues including the assassination claims of CORD leader, Raila Odinga.

Kikwete said Tanzania’s intel community has unearthed a conspiracy by three East African Presidents to assassinate former Prime Minister, Raila Odinga, when he returns from his two month official visit to the US.

Kikwete said the three East African Presidents led by President Uhuru Kenyatta hatched the idea during the East African Commission (EAC) meeting held at Safari Park Hotel in Nairobi, last month.

The source said Wetangula was very furious with the revelations but Kikwete calmed him down and advised him to keep quiet for a week so that the information can be made public by Raila’s elder brother, Dr Oburu Odinga.

“Kikwete has been having a lukewarm relationship with the three East African Presidents and this might be a wider plan of soiling their names,” one EAC top officials.

He also said Tanzania has the worst intelligence in the world and this might be a “cock and bull” story aimed at tarnishing the image of EAC leaders.


The Kenyan DAILY POST

Hizi chokochoko si ajabu zinatoka kwa huyu mwendawazimu kagame. Siku tukiamua kumshushia msala ndo atajua sisi ni wa Bongo kweli kweli.
Tumemhurumia hapa watu wake walikuwa wanachinjana kama kuku sasa anaona keshafika. Kama ni fitna tutamfanyia fitna kweli mpaka ikulu yake.
 
Kama ni kweli hii basi kweli Kikwete atakuwa amezidi uswahili....kutetateta tu wenzake ndio maana wenzake wanamtenga...

Sipendi sana kulitaja neno kabila, but kwa hapa kwetu na issue hii it matters a lot!!! Wazaramo na wakwere!!! Ha ha ha!!! Msinipige jamani, nimewaza tu.
 
BIG NO.
how can a tanzania's state house be forced to refute accusations made by a gutter press like daily post?.
hivi hamjui kuwa hao daily post kwa kenya, ni sawa na vigazeti vya shigogo huku bongo?.au kwa kuwa wanatumia "kizungu".c'mon GTs, lets be serious.

Nayo pia yanakuwa na story ya kweli sema wanajua kuweka vikolezo!!! Hata sShigongo mbona story za kweli sema anaandikia ile lugha ya kimbea kama kikwere na kizaramo!!!
 
Mkuu mimi sikubaliani na wewe kabisa,hizi nchi hazina haja ya kuchafua jina la jk kwani muhura wake unamalizika si muda mrefu,mimi naamini sana kuhusu hii habari ya uchonganishi wa jk kwani ni yeye anaye haha pande zote za dunia akitaka kuisambaratisha EAC kwani hajakubali kushindwa,alifikiri akijitoa EA basi wataporomoka,badala yake jamaa wanasonga mbele tena kwa kasi,anachotaka nikutaka kuisambaratisha kenya na rwanda kwani kwake hao wamemshika pabaya,kwa mtindo huu mimi naona kikwete kachemka,sasa ushauli wangu ili hili sakata lije liishe itabidi rais yeyote ajae wa tanzania itabidi arudishe maelewano mazuri na hizi nchi ili na tanzania isibaki nyuma kimaendeleo,kwani ikiendelea kwa mtindo huu kwa muda murefu tanzania ndio wataathirika vibaya zaidi ya hizi nchi nyingine.
MUKAMASIMBA nakubaliana na msimamo wako lakini sikubaliani na hoja uloweka.

Kwenye siasa za EA tanzania ni mshirika mkuu na hawezi kuwa chanzo cha kuvunjika kwake. EA hii ikivunjika na UKR wakaunda umoja mpya haitakuwa EA.

Nimesema JK anaweza kuwa dhaifu lakini si --------, JK anajua diplomasia (siongelei utendaji) kuliko marais wote EA hivyo hawezi akajiingiza kwenye uchafu huo.
Hivi hamjiulizi kwa nini aongee na Moses Wetangula na sio Rao mwenyewe? After all sisi wengine tunajua JK alikuwa pro UK....
 
Last edited by a moderator:
F*ck u KENYAN DAILY POST!hamna akili kugombanisha nchi na nchi,na msiwaze hata siku Tz itaingia vitani na Kenya. 2014 - Tanzania President Jakaya Mrisho Kikwete and Bungoma Senator, Moses Wetangula, are individuals behind former Prime Minister, Raila Odinga's assassination claims, The Kenya DAILY POST has finally established.

In an admission by a well placed source in ODM, Wetangula and Kikwete met at State House, Arusha on May 5th where they discussed regional security issues including the assassination claims of CORD leader, Raila Odinga.

Kikwete said Tanzania's intel community has unearthed a conspiracy by three East African Presidents to assassinate former Prime Minister, Raila Odinga, when he returns from his two month official visit to the US.

Kikwete said the three East African Presidents led by President Uhuru Kenyatta hatched the idea during the East African Commission (EAC) meeting held at Safari Park Hotel in Nairobi, last month.

The source said Wetangula was very furious with the revelations
 
REVEALED: WETANGULA/ KIKWETE behind RAILA ODINGA’s assassination claims.

Sunday May 11, 2014 - Tanzania President Jakaya Mrisho Kikwete and Bungoma Senator, Moses Wetangula, are individuals behind former Prime Minister, Raila Odinga’s assassination claims, The Kenya DAILY POST has finally established.

In an admission by a well placed source in ODM, Wetangula and Kikwete met at State House, Arusha on May 5th where they discussed regional security issues including the assassination claims of CORD leader, Raila Odinga.

Kikwete said Tanzania’s intel community has unearthed a conspiracy by three East African Presidents to assassinate former Prime Minister, Raila Odinga, when he returns from his two month official visit to the US.

Kikwete said the three East African Presidents led by President Uhuru Kenyatta hatched the idea during the East African Commission (EAC) meeting held at Safari Park Hotel in Nairobi, last month.

The source said Wetangula was very furious with the revelations but Kikwete calmed him down and advised him to keep quiet for a week so that the information can be made public by Raila’s elder brother, Dr Oburu Odinga.

“Kikwete has been having a lukewarm relationship with the three East African Presidents and this might be a wider plan of soiling their names,” one EAC top officials.

He also said Tanzania has the worst intelligence in the world and this might be a “cock and bull” story aimed at tarnishing the image of EAC leaders.


The Kenyan DAILY POST

Odinga ana nini cha ajabu kumuua??

Ni looser kama wengine.

Hii ni propaganda ya magazeti ya udaku ya KEnya
 
Tanzania kwanza! PK, UK wawe makini na vijigazeti hivi vya udakuzi, vitawaharibia.
 
kaka yake Odinga amewaambia waandishi wa habar kwamba Kikwete na maadui wa odinga wanakula njama za kumuua odinga.
 
kaka yake Odinga amewaambia waandishi wa habar kwamba Kikwete na maadui wa odinga wanakula njama za kumuua odinga.RFA
 
kaka yake Odinga amewaambia waandishi wa habar kwamba Kikwete na maadui wa odinga wanakula njama za kumuua odinga.RFA

Asante kwa taarifa


Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom