EAC leaders plotting to kill Raila Odinga — Oburu Oginga

Jamani eeh Rais ni alama ya taifa letu. Inapotokea akashambuliwa namna hii haikubaliki hata kidogo. Majirani wasione upinzani unaishambulia serikali wakafikiri nao wanaweza kufanya hivyo... Hebu tuwapuuze hao tuendelee na kutafuta ufumbuzi wa dengue na katiba yetu.
 
Hii stori nimeshindwa kuielewa. Sijaona mahali Tanzania kuhusishwa kwenye kuzuia am kwenye kuetekeleza. Tanznania imetokea wapi hapa?
 
kabla ya kushangaa, je unafahamu kenya daily post ni gazeti la udaku kama magazeti ya shigongo hapa kwetu?

kama kuna kiongozi wa serikali amelijibu gazeti hili basi ametuahibisha na ile report ya low iq inapata nguvu.

Uko sahihi...ni sawa na magazeti ya ijumaa cjui kiu wanayosoma wale wadada wa saluni na seven za masaji mwenge,kinondoni,sinza
 
Uko sahihi...ni sawa na magazeti ya ijumaa cjui kiu wanayosoma wale wadada wa saluni na seven za masaji mwenge,kinondoni,sinza

Watanzania tunajidharirisha kutumia muda wetu kujadiri gazeti la shigongo wa kenya.
 
Chinjaneni huko..achana na Tanzania jamani.......endeleeni tu na CoW...achana nasi......Akaa.
 
Tutawapiga kama vifaranga mbele ya Tembo; Kama ni kweli kwa mara ya Kwanza namwona JK kama akitembea njia sahihi
 
Ni hatari Tz kujiingiza kwenye mambo yasiyowahusu kama kweli ni wao waliovujisha siri. Hiyo taarifa wao wameipata wapi wakati kama ni kweli hilo jambo lingekuwa siri ya maraisi watatu? Kitakachofuatia ni Tz kuonekana mchonganishi asiyewatakia mema hao majamaa matatu.
 
Salaam aleykum, ndugu zangu Watanzania, sisi tumeipita Kenya kiuchumi, kama vile Nigerian ilivoipita S.Africa na China kuipita Marekani, new powers arrived, so game over kwa matapeli wa zamani. Chokochoko yote hii ni majirani kukataa kumeza dawa chungu ya kukubali a New Supreme Power... tuungane zaidi wapendwa wa tz, our future is good!
 
Belgium ni ndogo kuliko Tabora lakini uchumi wake haukamatiki.

Size is irrelevant.

kama rwanda itatumia mbinu za belgium kukuza uchumi wake basi itakuwa mbali sana kiuchumi.

Tatizo ni je, hyo inawezekana katika karne hii? kumbuka wamejaribu kutumia mbinu za belgium wakashindwa, hasa baada ya jwtz kuwafurumusha M23.

nani asiyejua belgium imetajirika kutokana na kuiba tena kwa kupindukia huko congo? nani asiyejua civil unrest zinazoendelea congo pia zina mkono wa belgium.

nani asiyejua kuwa siku congo ikipata amani belgium ipo kwenye hatari ya mtikisiko wa kiuchumi.

nani asiyejua kuwa almasi inayouzwa Antwerp asilimia kubwa inatoka congo na inaipa belgium pesa nyingi sana?

kama rwanda inategemea kutumia mbinu hizi inabidi ijipange sana tena kwa haraka kabla hawajastukiwa..... ila kumbuka wameshafeli tayari.
 

Kwahiyo Wazungu wanaopora rasilimali za Waafrika mnaogopa kuwashughulikia sana sana mnawasaidia kupora rasilimali zetu kama mnavyofanya hapa Tanzania ila Waafrika wenzenu mko haraka kuwashughulikia tena mkishirikiana name waporaji wa rasilimali zetu toka Ulaya.Hizi akili za Kibongo huwa napata tabu kuzielewa,Si ajabu Wazungu wanatuita Subhumans maana akili zetu ni mbovu.
 
wacha hiyo subhumans kuna neno 'primates' aisee inatumika na wazungu wageni kwetu. uporaji unaendelea sana EAC lakini mtu anajisifu tz imeendelea kuliko rwanda. there are so many differences kati ya tanzania na rwanda demographic factors haiwezekani kuwekwa kwa equation moja. ingekuwa bora zaidi kufananisha tanzania na kenya au ethopia. kumbuka rwanda imepitia the worst civil war in history na imeendelea against all odds.
 
kabla ya kushangaa, je unafahamu kenya daily post ni gazeti la udaku kama magazeti ya shigongo hapa kwetu?

kama kuna kiongozi wa serikali amelijibu gazeti hili basi ametuahibisha na ile report ya low iq inapata nguvu.
unataka kusema kama vile gazeti la Kiu limzungumzie Kenyatta kisha Ikulu ya Kenya itoe tamko? Kama ndiyo hivyo basi nadhani sasa umefika wakati hiyo kurugenzi ya Mawasiliano iangaliwe upya maana inatuaibisha.
 
Nashangaa ati wakenya wanasema Tanzania ina kiwango cha chini kabisa cha usalama wa Taifa duniani. Dharau za wakenya nimekumbuka mbali sana wakisema Tanzania is one of the dirtiest street in Nairobi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…