EAC leaders plotting to kill Raila Odinga — Oburu Oginga

EAC leaders plotting to kill Raila Odinga — Oburu Oginga

kaka yake Odinga amewaambia waandishi wa habar kwamba Kikwete na maadui wa odinga wanakula njama za kumuua odinga.RFA

inaelekea kende zako zimehamia kichwani mwako na akili yako imeenda kwenye nafasi ya kende chini
 
what was that!? amesema kisa ni nini huyo odinga? hawa majiran wana chochochoko,mara banda mara kagame sasa odinga,wameona tunaraha zetu wanataka kutuvuruga, loh waende zao,
 
Rudi shuel ukajifunze jinsi ya kutoa taarifa ,taarifa yako haijakamilika
kaka yake Odinga amewaambia waandishi wa habar kwamba Kikwete na maadui wa odinga wanakula njama za kumuua odinga.RFA
 
Mods tusaidieni kutoa huu ----- unatuharibia Jukwaa.
 
kaka yake Odinga amewaambia waandishi wa habar kwamba Kikwete na maadui wa odinga wanakula njama za kumuua odinga.RFA

Habari kama hii ilikuwemo humu juzi toka gazeti la standard la Kenya. Ila najiuliza JK amuuwe Odinga kwa lipi?
 
Sometimes we have ta stand together to protect our mother land.
 
uyo kikwete sasa mnamdhalilisha....yani aache wapinzani wake wakuu wanaomlaza macho wazi ndo akaangaike na majirani, sasa wanaanza kumuonea rais wetu, haiwezekani!!!
 
Back
Top Bottom