East Africa capital cities: Dodoma vs Nairobi

East Africa capital cities: Dodoma vs Nairobi

Ndugai Market Dodoma city

AF1QipPBm8YMXLgEGzGxMNtHcbLQH6pJg_Yf2_hy2QVH=w1203-h1152-k-no


AF1QipP8DF3KUJOKnicJWwfQagXE-Setg6zJ4a3yoL5L=w1203-h1152-k-no


AF1QipOpGxe9HwgtGg3f5QrEXuxoo0_XZa_37xp0wxMX=w1203-h1152-k-no

Duuu...noma sana, hapo wanaenda kuingia watanzania wa vipato vyote, wa chini na juu, lingekuwa Kenya ungesikia wanakwambia hyo ni shopping mall ya matajiri tu.
 
Hapo tu ndio huwa serikali ya bongo inanichosha,yaani vijengo vidogo kama hivi hadi wapewe wakandarasi wa China? kwamba local contractors watafanya nini sasa,huu ni wivu kuua uchumi wa wakandarasi wa ndani..mnakera kiukweli
what if local contractor's bid was more costlier?
 
what if local contractor's bid was more costlier?
Ndio maana huwa kuna category kwamba huu mradi ni open kwa international au strictly local..kwa nini mradi mdogo kama huo kuufungua kwa international contractors wakati unajua local hawataweza kushindana nao? Kwamba ikulu inajengwa kwa force account ila mahakama ndo imeshindikana sio? Ningekuwa mhusika ningezuia hii
 
Hapo tu ndio huwa serikali ya bongo inanichosha,yaani vijengo vidogo kama hivi hadi wapewe wakandarasi wa China? kwamba local contractors watafanya nini sasa,huu ni wivu kuua uchumi wa wakandarasi wa ndani..mnakera kiukweli
Sasa we kichaa kicho unachosema kijengo kidogo umekiona?

Mradi wa kujengwa na company kubwa kama hiyo kwa miaka miwili unaita kijengo kidogo?
 
Ndio maana huwa kuna category kwamba huu mradi ni open kwa international au strictly local..kwa nini mradi mdogo kama huo kuufungua kwa international contractors wakati unajua local hawataweza kushindana nao? Kwamba ikulu inajengwa kwa force account ila mahakama ndo imeshindikana sio? Ningekuwa mhusika ningezuia hii
Unajua jengo linalojengwa ni ghorofa kadhaa with sophisticated IT infrastruture! Huwezi ukaweka mradi wa zaidi ya Tshs 10bln kwa locals only! Mbona Estim halalamiki na kajenga miradi mikubwa! wacha upuuzi wa kulalamika bila kujua procurement procedures!
 
Sasa we kichaa kicho unachosema kijengo kidogo umekiona?

Mradi wa kujengwa na company kubwa kama hiyo kwa miaka miwili unaita kijengo kidogo?
Ikulu na hichi kijengo ipi iko sophisticated,acha kucheua magimbi mkuu..vijengo kama hivi ni vya kuwapa local contractors sio hao wajomba zenu macho ya bundi
 
That buiding is our urithi!
Nikuonyeshe tu baadhi ya state houses za Afrika. My personal favorites ni za Uganda, Ghana, Namibia na Cameroon
1593679837572.png

1. Namibia

1593680011625.png

2. Ghana
 

Attachments

  • 1593680278039.png
    1593680278039.png
    56.7 KB · Views: 3
Back
Top Bottom