East Africa capital cities: Dodoma vs Nairobi







MY TAKE
Huyu mkuu wa Mkoa wa Dodoma anaamuru Tanroad kusimamisha ujenzi road reserves, yeye anafanya nini kama msimamizi mkuu wa mkoa? na mipango miji ipo chini ya city counciil?
 
Jengo la Wizara ya Habari, Sanaa na Michezo


MY TAKE
Dodoma city is one huge construction site!
 
Kuwa siisiiemu ni kujitoa ufahamu ukishakula makande yako ukijamba baada ya kunywa maji baridi ya kandoro basi maisha yanaendelea, unawezaje kufananisha kijiji cha chamwino kule kwenye vumbi na tracoma na Nairobi metropolitant city? jiji la Tangu kale mashirika yote ya kimataifa na baadhi ya balozi hata ambazo Tanzania hazipo ziko nairobi. Kufikiri kwa kutumia maviungo mengine ni shida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…