East Africa capital cities: Dodoma vs Nairobi

East Africa capital cities: Dodoma vs Nairobi

kwa mshahara gan???
hakuna Mkenya mwenye akili timamu anayewaza kuja kufanya kazi kwenye nchi masikini. so hilo sahau my fren.
Hehee, wewe hujui tu, hujui ni familia ngapi za wakenya zinatunzwa na hela za wakenya wanaofanya kazi kwenye nchi unayoiita maskini, hii nchi sio maskini, you just dont understand maskini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


ES9pNSIXsAAd7bQ
 
if the two r cities kuna ubaya gani kufananisha? wewe mbona ume-post?
Hata passo ni gari lakin huwezi kuta wamelinganisha na Nissan patrol V8, bali hulinganishwa Nissan patrol V8 dhidi ya Toyota land cruiser V8, huwezi kulinganishalinganisha tu kisa yote magari! Wewe umelinganisha tu kisa yote majiji na huo ndo ubaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata passo ni gari lakin huwezi kuta wamelinganisha na Nissan patrol V8, bali hulinganishwa Nissan patrol V8 dhidi ya Toyota land cruiser V8, huwezi kulinganishalinganisha tu kisa yote magari! Wewe umelinganisha tu kisa yote majiji na huo ndo ubaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
pita kushoto basi maana kuna nyuzi nyingi humu!
 
Back
Top Bottom