Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Tuna jenga nchi kuepuka magonjwa na ajali ,kama kipindupindu tumekisahau kumbuka kinga ni bora kuliko tiba pia madaktari tunao hadi wahindi wazungu waarabu hata wakenya lazima mtalilia kuja kuwa madoctor tz very soonAgain what is the doctor to patient ratio in Tz?
Sent using Jamii Forums mobile app