Tuna jenga nchi kuepuka magonjwa na ajali ,kama kipindupindu tumekisahau kumbuka kinga ni bora kuliko tiba pia madaktari tunao hadi wahindi wazungu waarabu hata wakenya lazima mtalilia kuja kuwa madoctor tz very soonAgain what is the doctor to patient ratio in Tz?
kwa mshahara gan???
Ficha ujinga wako,kwa mshahara gan???
hakuna Mkenya mwenye akili timamu anayewaza kuja kufanya kazi kwenye nchi masikini. so hilo sahau my fren.
Nini wakenya madoctor wa kizungu wanaokuja kifanya kazi tz kwa kujitolea na kwa mafunzo unogewa na kutaka kubaki kufanya kazi tz,sembu se kima za kiberakwa mshahara gan???
hakuna Mkenya mwenye akili timamu anayewaza kuja kufanya kazi kwenye nchi masikini. so hilo sahau my fren.
Khaa ina maana Morocco wameingia mitini?
Hehee, wewe hujui tu, hujui ni familia ngapi za wakenya zinatunzwa na hela za wakenya wanaofanya kazi kwenye nchi unayoiita maskini, hii nchi sio maskini, you just dont understand maskini.kwa mshahara gan???
hakuna Mkenya mwenye akili timamu anayewaza kuja kufanya kazi kwenye nchi masikini. so hilo sahau my fren.
LOL walimu wa daycare na mamaids hotels za Tanzania wasikusikiekwa mshahara gan???
hakuna Mkenya mwenye akili timamu anayewaza kuja kufanya kazi kwenye nchi masikini. so hilo sahau my fren.
if the two r cities kuna ubaya gani kufananisha? wewe mbona ume-post?Naona nairobians wameuzarau tu huu uzi hawapost hata picha, na kwa kweli ni upuuzi kulinganisha Nairobi na dodoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujasomeka unamaanisha nini ? fafanuaNilijua hiki kitatokea, ramani ya ule uwanja ata ukienda Morrocco kwao unautafuta kwa torch? Nilibishana mpaka na mtu ambae yupo kwenye hiyo project. Sasa maneno yangu yametimia. Ila nilijua Magu huwa harudi nyuma lazima atapambana mradi ukamilike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata passo ni gari lakin huwezi kuta wamelinganisha na Nissan patrol V8, bali hulinganishwa Nissan patrol V8 dhidi ya Toyota land cruiser V8, huwezi kulinganishalinganisha tu kisa yote magari! Wewe umelinganisha tu kisa yote majiji na huo ndo ubaya.if the two r cities kuna ubaya gani kufananisha? wewe mbona ume-post?
pita kushoto basi maana kuna nyuzi nyingi humu!Hata passo ni gari lakin huwezi kuta wamelinganisha na Nissan patrol V8, bali hulinganishwa Nissan patrol V8 dhidi ya Toyota land cruiser V8, huwezi kulinganishalinganisha tu kisa yote magari! Wewe umelinganisha tu kisa yote majiji na huo ndo ubaya.
Sent using Jamii Forums mobile app