Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #121
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wenzio huku wanapalilia.kwa mshahara gan???
hakuna Mkenya mwenye akili timamu anayewaza kuja kufanya kazi kwenye nchi masikini. so hilo sahau my fren.
Hii ikulu imefunguliwa uzi huko jukwaa la hoja na mabo mbalimbali watu wanaiponda kwamba ni like commercial building
Kwa maelezo ya JPM, Ikulu yenyewe itaanza kujengwa, kwa hiyo hii ni moja ya ofisi ya Ikulu! Mi naliona very modern na liko vizuri kama ofisi ya kisasa!Hii ikulu imefunguliwa uzi huko jukwaa la hoja na mabo mbalimbali watu wanaiponda kwamba ni like commercial building