East Africa capital cities: Dodoma vs Nairobi

Hii ikulu imefunguliwa uzi huko jukwaa la hoja na mabo mbalimbali watu wanaiponda kwamba ni like commercial building
Kwa maelezo ya JPM, Ikulu yenyewe itaanza kujengwa, kwa hiyo hii ni moja ya ofisi ya Ikulu! Mi naliona very modern na liko vizuri kama ofisi ya kisasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…