Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Hivi jiji nalo lina shares kwenye hii project?Yes. Mambo ni mazuri sana yanaendelea bongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi jiji nalo lina shares kwenye hii project?Yes. Mambo ni mazuri sana yanaendelea bongo.
Mahali kukua commercial and logistics center si majengo ila ni biashara/uchukuzi unaofanyika hilo eneo..... kama Dar-kariakoo ndo kunafanyika bishara na uchukuzi kuliko eneo lengine basi hapo ndo logistics and commercial center ya Dar, haijalishi kama pana majengo mazuri au la....Kwahivyo ikifika wakati ambapo kutakua kuna warehouse kibao hilo eneo na mizigo mingi pamoja na abiria wanasafirishwa kutoka hapo kuliko eneo lengine lolote EAC, basi hapo ndo mtakua mmetimiza na kuwakilisha hilo jina la EA commercial and logistics center.Kwani Kenya mna kitu kama hiki? View attachment 1249824
Naona umeanza kuchanganyikiwa. Hapa tunaongelea East Africa commercial and logistics centerMahali kukua commercial and logistics center si majengo ila ni biashara/uchukuzi unaofanyika hilo eneo..... kama Dar-kariakoo ndo kunafanyika bishara na uchukuzi kuliko eneo lengine basi hapo ndo logistics and commercial center ya Dar, haijalishi kama pana majengo mazuri au la....Kwahivyo ikifika wakati ambapo kutakua kuna warehouse kibao hilo eneo na mizigo mingi pamoja na abiria wanasafirishwa kutoka hapo kuliko eneo lengine lolote EAC, basi hapo ndo mtakua mmetimiza na kuwakilisha hilo jina la EA commercial and logistics center.
Sisi huku Kenya tumelauch plan kubwa zaidi ya hii mlioleta hapa, yani itakuani eneo kubwa hadi itakua ni mini city ndani ya Nairobi CBD.... kutakua na hadi hoteli, malls mbali na stendi za BRT, RELI, Mabasi..etc sasa hii ndo itakua commercial center si hako kenu
Kenya Railways wana kiwanja kikubwa sana (Karibia hekari 200ha )hapo CBD ambacho hua hakitumiki, kama ushawahi kuangalia nyimbo ya sauti sol -short and sweet, hua video ilifanyiwa hilo eneo. hicho kiwanja chote kitageuzwa kuwa intergrated commercial,residential, transport hub ambayo itakua haina mfanomwengine ukanda huu
Dropbox
www.dropbox.com
Hichi kianja chote hakitumiki kwa sasa, hapa ndo itajengwa Railway city
View attachment 1249846
View attachment 1249850
View attachment 1249857
View attachment 1249860
View attachment 1249861
View attachment 1249863
View attachment 1249865
View attachment 1249866
------
Kwahivyo kama ni cha mipango kwenye makaratasi na mionekano yake kwa picha, pia sisi tunayo mipango tena mmizuri kushinda hio yenu... pale mtakapo maliza ujenzi uni tag
This project is serious just like Bagamoyo.Yes, juzi nilipita pale na sales team wako busy na wanaobook maduka na space mbalimbali, Upande wa nyuma patakua na depot ya BRT
View attachment 1249819
The project is serious .
View attachment 1249820
View attachment 1249821
View attachment 1249822
View attachment 1249823
SGR yenu ilibidi ifike hapo.. siyo kuishia vichakani, kuwapa tabu abiria.Mahali kukua commercial and logistics center si majengo ila ni biashara/uchukuzi unaofanyika hilo eneo..... kama Dar-kariakoo ndo kunafanyika bishara na uchukuzi kuliko eneo lengine basi hapo ndo logistics and commercial center ya Dar, haijalishi kama pana majengo mazuri au la....Kwahivyo ikifika wakati ambapo kutakua kuna warehouse kibao hilo eneo na mizigo mingi pamoja na abiria wanasafirishwa kutoka hapo kuliko eneo lengine lolote EAC, basi hapo ndo mtakua mmetimiza na kuwakilisha hilo jina la EA commercial and logistics center.
Sisi huku Kenya tumelauch plan kubwa zaidi ya hii mlioleta hapa, yani itakuani eneo kubwa hadi itakua ni mini city ndani ya Nairobi CBD.... kutakua na hadi hoteli, malls mbali na stendi za BRT, RELI, Mabasi..etc sasa hii ndo itakua commercial center si hako kenu
Kenya Railways wana kiwanja kikubwa sana (Karibia hekari 200ha )hapo CBD ambacho hua hakitumiki, kama ushawahi kuangalia nyimbo ya sauti sol -short and sweet, hua video ilifanyiwa hilo eneo. hicho kiwanja chote kitageuzwa kuwa intergrated commercial,residential, transport hub ambayo itakua haina mfanomwengine ukanda huu
Dropbox
www.dropbox.com
Hichi kianja chote hakitumiki kwa sasa, hapa ndo itajengwa Railway city
View attachment 1249846
View attachment 1249850
View attachment 1249857
View attachment 1249860
View attachment 1249861
View attachment 1249863
View attachment 1249865
View attachment 1249866
------
Kwahivyo kama ni cha mipango kwenye makaratasi na mionekano yake kwa picha, pia sisi tunayo mipango tena mmizuri kushinda hio yenu... pale mtakapo maliza ujenzi uni tag
Bus ya Toy car na jumba la plastic ndio unaturingia? Dah yaani huku tumefika mahali watu wanaringa na renders. Dunia simama nishuke.
Hahahaha!!! Kila kitu kinaanzia kwenye planning dogo. Naona moyo unakuuma sana.Bus ya Toy car na jumba la plastic ndio unaturingia? Dah yaani huku tumefika mahali watu wanaringa na renders. Dunia simama nishuke.
Kwani nyie mnayo? Huoni hilo ni jumba la plastiki ndio mnaringa nayo? Sisi tukitaka kujenga jumba la plastiki na Basi la Toy car pia tunaweza kwani tuna makampuni mengi za plastiki huku.Kwani Kenya mna kitu kama hiki? View attachment 1249824
Taja makampuni ya plastic.Kwani nyie mnayo? Huoni hilo ni jumba la plastiki ndio mnaringa nayo? Sisi tukitaka kujenga jumba la plastiki na Basi la Toy car pia tunaweza kwani tuna makampuni mengi za plastiki huku.
Kwanini mkuu....?Usidanganyike na hizo Picha za 3D
Si umpe ile sindano augulie maumivu vizuriHahahaha!!! Kila kitu kinaanzia kwenye planning dogo. Naona moyo unakuuma sana.
TZ ni baba ya kenya.
sasa SGR inaingia wapi hapo kwa hio comment yangu? acha kujishtukia shtukiaSGR yenu ilibidi ifike hapo.. siyo kuishia vichakani, kuwapa tabu abiria.
East Africa commercial and logistics center gani hiyo/ hebu nionyeshe!Naona umeanza kuchanganyikiwa. Hapa tunaongelea East Africa commercial and logistics center
Umesha elewasasa SGR inaingia wapi hapo kwa hio comment yangu? acha kujishtukia shtukia
Mnajua kweli kitu kinachojengwa hapo ubungo au mmeparamia mada tu? Mleta mada nae hajatoa maelezo ndio maana mnapindisha mada na kuleta vitu visivyohusika kama hizi malls na unrealistic projects kama satellite citiesHere is an example of a commercial centre (Private Investment) currently under construction in Meru town. It is called Greenwood park,the project is envisaged to have a 25,000sqm shopping mall, Grade A office block occupying 20,000sqm, 50 apartments of 2 and 3 bedrooms, and a public car park that can fit 240 spaces. Other amenities include a swimming pool, sports club and cinema theatre.
View attachment 1250090
View attachment 1250091
View attachment 1250092
View attachment 1250094
Did you not read all my comments, we have industrial parks and cities under construction which are bigger and better but most importantly private investment. These are special economic zones that will have everything you are trying to achieve with that small four storey building, only difference will be that instead of importing from China, we will manufacture and distribute to the region.Mnajua kweli kitu kinachojengwa hapo ubungo au mmeparamia mada tu? Mleta mada nae hajatoa maelezo ndio maana mnapindisha mada na kuleta vitu visivyohusika kama hizi malls na unrealistic projects kama satellite cities
Kwa kifupi hiyo East Africa logistics ni bidhaa zote za China ambazo nchi jirani kama DRC, Zambia, Malawi, Zimbabwe, Rwanda, Burundi, Uganda huja Kariakoo kuzinunua kwa jumla sasa zitakua zikipatikana hapo East Africa logistics kwa bei ile ambayo ungekuta Guan Zhou China
Yaani kama ungeenda China na kununua simu sh 10 ndio hiyo hiyo bei utakuja kuikuta hapo Dar before taxing na ndio maana kwenye hii logistic center ni makampuni makubwa ya China, industrial depots ndio zitakua hapo
Mtatengeneza bidhaa zote za electronics hapo? Ifike wakati muachage ligi za kitoto and let the reality prevailDid you not read all my comments, we have industrial parks and cities under construction which are bigger and better but most importantly private investment. These are special economic zones that will have everything you are trying to achieve with that small four storey building, only difference will be that instead of importing from China, we will manufacture and distribute to the region.
In Tatu city (a special economic zone), China is already manufacturing transformers and electronic metres for power lines from Kenya and they are exported to the region ie Uganda, Tanzania, Rwanda.Mtatengeneza bidhaa zote za electronics hapo? Ifike wakati muachage ligi za kitoto and let the reality prevail
Kenya mna kitu kama Kariakoo ambapo wafanyabiashara kutoka nchi mbali mbali huja kufunga mizigo yao hapo?