East Africa Radio ombeni radhi kwa hiki mlichopost kwenye page yenu

East Africa Radio ombeni radhi kwa hiki mlichopost kwenye page yenu

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Hivi kweli media inayojielewa inaweza kupost mada kama hii kwenye kipindi hiki cha msiba? Mkima
Screenshot_20240301-104422.jpg
anisha nini?
 
Makanjanja wala hawaoni kosa lao hapo. Wanaweza wakakuambia wewe mleta mada uwaombe radhi
 
Wacheni ujinga bongo kuna upumbavu mwingi sana . Kuna ubaya gani wa kusema wanawake watamkumbuka kwa lipi mzee mwinyi?
East africa huwa wana vipindi vya wanawake na wanajadili mambo ya wanawake kwanini msijikite kwenye mada kama inavyosema?
Bora tu tusipewe sukari
Basi funguka utuambie wanawake mtamkumbuka kwa lipi na kwanini mmeulizwa nyie
 
Kwahiyo Wanawake wa Tanzania ni dhambi sio? Je kama kipindi cha uraisi wake aliinua Wanawake wa Tanzania? Hivi nyie Watanzania lini mtaacha upumbavu?
 
Wacheni ujinga bongo kuna upumbavu mwingi sana . Kuna ubaya gani wa kusema wanawake watamkumbuka kwa lipi mzee mwinyi?
East africa huwa wana vipindi vya wanawake na wanajadili mambo ya wanawake kwanini msijikite kwenye mada kama inavyosema?
Bora tu tusipewe sukari
Ata mm nimeshangaa mkuu...Angekuwa Kikwete sawa mana yule mzee nasikia yeye sketi kwake ni sawa na swala.
 
Hawa wapuuzi wanatakiwa wafungiwe na TCRA ili liwe fundisho kwao
 
Back
Top Bottom