East Africa Radio ombeni radhi kwa hiki mlichopost kwenye page yenu

East Africa Radio ombeni radhi kwa hiki mlichopost kwenye page yenu

Wacheni ujinga bongo kuna upumbavu mwingi sana . Kuna ubaya gani wa kusema wanawake watamkumbuka kwa lipi mzee mwinyi?
East africa huwa wana vipindi vya wanawake na wanajadili mambo ya wanawake kwanini msijikite kwenye mada kama inavyosema?
Bora tu tusipewe sukari
Haya sema sasa. MTAKUMBUKA KWA LIPI?
 
Acheni kupotosha!! Huu ni mwezi wa Wanawake ndomana wameuliza swali la namna hyo Ili kufaham ni jinsi gani Wanawake wanatambua mchango wake kwao. Hilo swali liko vizuri kabisa isipokua generation Z mnamatatizo ya akili
Tatizo watu wengi hata hawajui kuwa huu ni mwezi wa wanawake.

Hivyo, likiulizwa swali kama hilo wanatia nongwa.
 
Watoto wadogo ulizeni wakubwa zenu Mungu aliotuwezesha kuona awamu zote. Mwinyi alifuta Kodi ya kichwa kwa wanawake hii kodi ilisumbua sana wakinamama wa kijijini
 
Back
Top Bottom